KAZI LIKIZO YA CORONA - Barichohighschool.sc.ke

2y ago
732 Views
21 Downloads
701.19 KB
14 Pages
Last View : 8d ago
Last Download : 2m ago
Upload by : Tripp Mcmullen
Transcription

KAZI LIKIZO YA CORONAMACHI - 2020KIDATO CHA NNE102/3 -KISWAHILIKaratasi ya 3FASIHIMachi. 2020 - Muda: Saa 2 ½Jina . Nambari ya Mtahiniwa Sahihi . Tarehe .Maagizo(a)(b)(c)(d)(e)(f)(g)(h)(i)Andika jina lako na nambari yako ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.Tia sahihi yako kisha uandike tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.Jibu maswali manne pekee.Swali la kwanza ni la lazima.Maswali hayo mengine yachaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki: yaani; Riwaya, Ushairi na FasihisimuliziMajibu yote lazima yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.Majibu yote sharti yaandikwe kwenye nafasi ulizoachiwa katika kijitabu hiki cha maswali.Karatasi hii ina kurasa 5 zilizopigwa chapa.Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapasawasawa na kuwa maswali yote yamo.Kwa matumizi ya mtahini a

SEHEMU A: TAMTHILIAP. Kea: Kigogo1. LazimaChombo chenye rubani imara huhimili vishindo na hasira ya mawimbi makali.a. Weka dondoo hili katika muktadha wake.(alama 4)b. Tambua na ufafanue fani iliyotumika katika dondoo hili.(alama 2)c. Onyesha jinsi msemewa alivyofeli kuhimili ‘vishindo na hasira ya mawimbi makali’ katikatamthilia hii.(alama 4)d. Eleza kwa tafsili mambo yoyote kumi yanayokwaza usawa katika jamii ya Kigogo.(alama 10)SEHEMU B: USHAIRIJibu swali la 2 au la 32.Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.Ewe hisia!Umeniamshia ndoto niloisahau zamaninyimbo ya kalena mdundo usonivutiaila hayawani na mwangu rohoni.Tulia sasa tuliaHebu tulia ewe hisia ulo mtimaniNataka katu kusisimkakwa sauti yako lainiKwani njia zetu nidaima hazioaniUmesubutu vipi kuniitakutoka mwako ngomeniulimosahauliwa tangu zamaniBasi yawache maombolezi yako yaso maoni,yawateke hao mashujaa wa kalewafu walo kaburini.Hebu tulia, usiniingilieUsinihangaishe!Kukuandama katu haimkiniKwani hata sasa kwa kukuwaza tu dakika hininaona majuto ya mbali moyonikama kwamba nimegawa wangu wakatina wazimu, majinuni.Basi nenda zako hisia shuu hebu tokomea.Maswali(a) Huu ni utungo wa aina gani?(b) Huku ukitoa mifano, fafanua sifa zinazoufanya utungo huu kuwa shairi(c) Mistari mishata ni nini? Toa mifano kwenye shairi hili.2(alama 2)(alama 5)(alama 4)

(d) Fafanua tamathali za kifasihi katika shairi hili.(e) Eleza mbinu tatu alizotumia mtunzi kutosheleza kaida za kishairi.3.Soma shairi lifwatalo kisha uyajibu maswali yanayoliandama:Naandika yangu haya, kwa uwezo wa Wadudi,Kanipa njema afiya, kumsifu sina budi,Nifundishie insiya, hino methali ya jadi,Mchama ago hanyeli, huenda akauya papoAgo mchama huuya, mbele mambo yakizidi,Hurudi pakawa kaya, kupapenda hana budi,Kwingi angawayawaya, ago shuruti arudi,Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo.Kule kwetu Mwarakaya, kijiji chetu cha jadi,Yalidhihirika haya, bwana mmmoja mkaidi,Aloalikwa ulaya, kadhani ‘mepata sudi,Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo,Alidhani hatauya, ‘endapo nchi baidi,Na kusema bila haya, kwa inda na ukaidi,Kwamba akenda ulaya, harudi kwenya samadi,Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo.Aliranda akitaya, kwa mbwembwe na zake tadi,Nguo moto kazitiya, nyumbaye akainadi,Kasema vyote ‘ishiya; kurudi sina ahadiMchama ago hanyeli, huenda akauya papo.Matusi aliyamwaya, mengi yasiyo idadi,Mkewe kamwita yaya, na kudharau abidi,Kanena ‘mekata waya’, ng’ambo nenda kufaidi,Mchama ago hayeli, huenda akauya papo,Ng’ambo alielekeya, kwa vishindo kama radi,Kumbe aliyemwendeya, kabambwa kwa ufisadi,Vya watu amebugiya, rushwa na kuhepa kodi,Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo.Kombo yakamwendeya, mambo mno yakazidi,Akabakia kuliya, nyumbani ataka rudi,Nyumba ipi ‘taingiya’, hana tena tabaradi,3(alama 3)(alama 6)

Mchama ago hanyeli, huenda akauya papoMaswalia) Kwa kutolea ushahidi ufaao shairini, jadili kifupi maswala matatu makuu ambayo mtunziameyashughulikia.(alama 6)b) “Mtunzi huyu ni bingwa wa kutumia lugha kupitisha ujumbe.” Tetea.(alama 4)c) Fasiri ujumbe wa mtunzi katika ubeti wa sita.(alama 4)d) Nafsi nenewa katika shairi hili ni nani? Thibitisha.(alama 2)e) Zaidi ya tarbia, ungelipangaje tena shairi hili?(alama 2)f) Fafanua msamiati ufwatao kama ulivyotumika shairini:(alama 2)i.Baidiii.‘mekata waya’SEHEMU C: HADITHI FUPIJibu swali la 4 au la 5A. Chokocho na D. Kayanda: Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine4.“Madhila ya mtoto mvulana katika karne ya ishirini na moja ni mengi.” Tetea kauli hiikwa hoja ishirini ukirejelea hadithi ya Mapenzi ya Kifaurongo, Masharti ya Kisasa na Ndoto yaMashaka.(alama 20)5. Salma Omar: Shibe Inatumaliza(a)“ Sijali lawama mnonilaumu”(i) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)(ii) DJ na wenzake wanaonekana kufurahia maudhui ya wimbo huu. Thibitisha. (alama 6)(b) Alifa Chokocho: Shogake Dada ana Ndevu“ tumshukuru kwa jinsi alivyomwongoza na kumwelekeza kwenye njia iliyonyooka”Ukirejelea wasifu wa Safia, tetea na upinge kauli hii.(alama 10)SEHEMU D: FASIHI SIMULIZI6. “Magwiji wa uwanda mpana wa tamaduni za Kiafrika: wazee walioila chumvi wakabobeakatika falsafa za turathi zetu, maghuluma wenye misuli tinginya na vifua vya mfumbatavinavyostahimili hujuma za kila nui na malaika wa kike uliosheheni mizinga na chemichemi yaurembo, nawasabahi. Wa zamani waliamba kuwa mwacha mila ni mtuma. Turathi zetu ni uhai.Turathi zetu ni msingi wa ubinadamu wetu. Turathi zetu zinabeba mustakabali wetu. Tuzienzikama tuenzivyo asali.”4

Maswali(a) (i) Tambua kipera cha utanzu wa mazungumzo kinachohusishwa na kifungu hiki. (alama 1)(ii) Thibitisha jibu lako katika (i) kwa mifano yoyote mitatu.(alama 3)(b)Iwapo umehudhuria utendaji wa kipera hiki nyanjani eleza sifa tano za mtendajiutakazoziona zisizojitokeza kwenye kifungu.(alama 5)(c)Taja na kueleza miktadha minne ambamo kipera hiki kinaweza kutumiwa katika jamii yakisasa.(alama 4)(d) Andika sifa zozote nne za jamii ya nafsi neni katika utungo huu.(e)hiki.(alama 4 )Eleza njia tatu za ukusanyaji wa data unazoweza kutumia kukusanya data kuhusu kipera(alama 3)SEHEMU YA E: RIWAYAA. Matei: Chozi la HeriJibu swali la 7 au la 87.“Nitapigana kwa jino na ukucha kuulinda utu wangu.”(a)Eleza muktadha wa dondoo hili.(alama 4)(b)Eleza umuhimu wa msemaji wa dondoo hili.(alama 4)(c)Kwa kutolea mifano riwayani, thibitisha namna binadamu alivyopungukiwa na utu.(alama 12)8.Mwanamke ametwezwa katika kiwango sawa na namna alivyotukuzwa. Thibitisha ukweliwa madai haya kwa kurejelea riwaya ya Chozi la Heri.(alama 20)5

. . . . 6

. . . .7

. . . 8

. . . 9

. . . .10

. . . 11

. . . 12

. . . .13

.

A. Chokocho na D. Kayanda: Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine 4. “Madhila ya mtoto mvulana katika karne ya ishirini na moja ni mengi.” Tetea kauli hii kwa hoja ishirini ukirejelea hadithi ya Mapenzi ya Kifaurongo, Masharti ya Kisasa na Ndot

Related Documents:

2LB42 Hot Melt Coater and Corona Treater 71 gph coating /adhesive Corona treater 2kW N/A 2S01 Corona Treater 5kW N/A 5X01 Silicone Coater and Corona Treater 80 inch web width 15 gph coating/ adhesive 120 ft/min Corona treater 15kW N/A B1 Fulton Steam Boiler 0.63 MMBtu/hr N/A B2 Aerco Boiler (Plant 2), Model Number .

Freunde oder Bekannte (6 %) oder durch Babysitter (6 %) wurden vor Corona zusätzlich in Anspruch genommen. Während der Corona-Zeit gaben lediglich 13 % der Eltern an, dass sich ihr Kind in der Notbetreuung befand und 1 % gaben an, dass ihr Kind während der Corona-Zeit von einer Tagespflegeperson betreut wurde. 89 % der Eltern gaben an, dass ihr

Amtliche Abkürzung: Corona-LVO M-V Ausfertigungsdatum: 23.11.2021 Gültig ab: 24.11.2021 Gültig bis: 11.03.2022 Dokumenttyp: Verordnung Quelle: Fundstelle: GVOBl. M-V 2021, 1534 Gliederungs-Nr: B2126-13-56 Corona-Landesverordnung Mecklenburg-Vorpommern (Corona-LVO M-V) Vom 23. November 2021 Gesamtausgabe in der Gültigkeit vom 12.02.2022 bis .

Wahusika - jinsi mwandishi alivyo wasawili wahusika wake Usimulizi wa kazi za fasihi Wahusika ni binadamu wanaopatikana katika kazi ya kifasihi na ambao wanasifa za kimaadili, kitabia, kiitikadi na kifalsafa ambazo hutambulishwa na wanayoyasema (mazungumzo) na wanayoyatenda (matendo) (Wamitila, 2002).

wahusika wakuu wa kazi ya fasihi na wahusika wadogo. Wahusika hao ndio wanaoipamba kazi fasihi na kuifanya iweze kuakisi mambo ya yaliyomo katika jamii (Msokile, 1992). Kwa muktadha huo tabia za wahusika wa kazi ya fasihi ndio ambao husawiri matukio na mambo mbalimbali yanayofanywa katika jamii inayohusika.

Kuwaongoza wanafunzi ili waweze kuoanisha matokeo ya utafiti, Kutilia maanani tathmini ya kazi binafsi na kazi za makundi zilizofanyika darasani kwa kutumia mchakato na mbinu za tathmini zinazoegemea katika uwezo wa wanafunzi, Kuutumia mwongozo huu kutakusaidia katika kazi yako ya kufundisha kwani

KAZI YA LIKIZO YA APRILI KISWAHILI – DARASA LA TANO Chagua jibu sahihi kati ya yale uliopewa kukamilisha kifungu hichi. Hapo awali (1) ya (2) wageni wowote katika bara (3) la Afika, Watoto walikuwa na tabia (4) sana. Sasa kwa nini tuache mkondo (5) Asilia na (6) ma

RP-2 ISO 14001:2015 Issued: 8/15/15 DQS Inc. Revised: 5/12/17 Introduction This Environmental Management System Assessment Checklist is a tool for understanding requirements of ISO14001:2015 “Environmental management systems – Requirements with guidance for use”. The Checklist covers Clauses 4-10 requirements with probing questions about how an organization has addressed requirements and .