Mchango Wa WAISLAMU Katika MWAMKO NA MAENDELEO

2y ago
132 Views
8 Downloads
691.58 KB
50 Pages
Last View : 3d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Annika Witter
Transcription

AHMED ESSA NA OTHMAN ALIHiki ni kitabu kilichotoka kwa ukamilifumwaka 2010 na kutoleshwa kwa mara yapili mwaka 2011. Kitabu hiki kimetafitimaandiko ya wasomi wa Magharibi ili kubainishakuwa bila ya kuwepo mchango mkubwa wakitaaluma kutoka Ulimwengu wa Kiislamu, hakikapasingelikuwepo Mwamko wa Maendeleo uliojiriUlaya.iKwa takribani miaka elfu, Uislamu ulikuwa ndioustaraabu unaoongoza duniani, ukivuka mipakaya kijiografia na kushamiri, bila ya ubishi, kulikoustaarabu wowote ule uliokuwepo. Uislamuuliondoa ubaguzi na utengano wa kijamiibaina ya watu wa matabaka, kabila na utaifa,na ukaweka wazi kuwa watu wote wanastahikikufaidi neema za dunia maadam hawakiukitaratibu na maadili. Uislamu ndio uliozinusurutaaluma ambazo vinginevyo ama zingelipoteakwa karne nyingi au moja kwa moja.KUUFAHAMUUSTAARABUwa KIISLAMUMchango wa WAISLAMU katikaMWAMKO NA MAENDELEOAHMED ESSA NA OTHMAN ALI SWAHILI VERSIONIdara ya Lugha na Ukalimani ya Chuo Kikuucha Waislamu cha MorogoroIIIT — Mfululizo wa Vitabu kwa MuhtasariIIIT — Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

KUUFAHAMUUSTAARABUwa KIISLAMUMchango wa Waislamu katikaMwamko Na MaendeleoSWAHILI VERSIONIdara ya Lugha na Ukalimani ya Chuo Kikuucha Waislamu cha Morogoro

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - - International Institute of Islamic Thought, 2012International Institute of Islamic Thought (IIIT)P.O.Box 669Herndon, VA 20172, USAwww.iiit.org16 / 03/ 1429 AH 24/ 03/ 2008 ADiiHakimiliki ya Kitabu hiki imehifadhiwa. Hairuhusiwikukipiga chapa, kwa namna yoyote ile bila ruhusa yamaandishi ya wachapaji.Rai na maoni yaliyo elezwa katika kitabu hiki ni yamwandishi, na si lazima yatangamane na yale ya wachapaji.Kimetafsiriwa na:Abdallah Y. TegoKimehaririwa na:Hadija Kutwa AbdallahDesign and layout by:Iddi Suleiman Kikong’ona (iddkiko@ymail.com)Ahmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -MFULULIZO WA MUHTASARIWA VITABU VYA IIITMfululizo wa muhtasari wa Vitabu vya IIIT* ni hazinamuhimu sana katika machapisho ya taasisi hiivilivyoandikwa kwa ufupi kabisa ili kumwezesha msomajikuelewa dhamira kuu ya kitabu asilia. Vitabu vimeandikwa kwa ufupiili kusomeka kwa urahisi na kuokoa muda hasa kwa waliotingwana kazi. Machapisho haya yanatoa mwongozo wa dhima kuu, hivyokumfanya msomaji kuwa na ari ya kutafuta nakala ya kitabu chenyewe.Kuufahamu Ustaarabu wa Kiislamu, ni kitabu kilichotoka kwa ukamilifumwaka 2010 na kutolewa mara ya pili mwaka 2011. Kitabu hiki kimetafitimaandiko ya Wasomi wa Magharibi ili kubainisha kuwa bila ya kuwepomchango mkubwa wa kitaaluma kutoka Ulimwengu wa Kiislamu,hakika pasingelikuwepo Mwamko wa Maendeleo uliojiri Ulaya. Kwatakribani miaka elfu, Uislamu ulikuwa ndio ustaraabu unaoongozaduniani, ukivuka mipaka ya kijiografia na kushamiri, bila ya ubishi,kuliko ustaarabu wowote ule uliokuwepo. Uislamu uliondoa ubaguzina utengano wa kijamii baina ya watu wa matabaka, kabila na utaifa,na ukaweka wazi kuwa watu wote wanastahiki kufaidi neema za duniamaadam hawakiuki taratibu na maadili. Uislamu ndio ulioanzishataaluma ambazo, vinginevyo zingelipotea ama kwa karne nyingi, aumoja kwa moja.*. Ni ufupisho wa International Institute of Islamic Thought iliyo tafsiriwa kwa Kiswahilikama Taasisi ya Kimataifa ya Fikra ya KiislamuMchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleoiii

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - Uhodari na ubunifu wa Wanazuoni wa Kiislamu uliamsha na kuchocheautamaduni wa kisomi Ulaya na kwa takribani miaka mia saba lughayake ya Kiarabu ilikuwa ndiyo lugha ya kimataifa iliyotumiwa rasmikatika sayansi. Kinacho shangaza sasa ni hii hali ya kupuuzwa urithihuu kwa makusudi, na wakati mwingine huzikwa kabisa. Kwa manenoya Aldous Huxley, “Ukweli una nguvu, lakini bado kuna nguvu kubwa,kwenye mtazamo wa kutenda, ni kutousema ukweli. Kwa kutoyatajamasuala fulani wapakazaji wamefanikiwa kubadili uoni wa watu kwaupeo mkubwa kuliko mafanikio ambayo wangeyapata kwa kutumiaufasaha wa kuukanusha ukweli”.ivKwa hiyo, maudhui ya kuudhihirisha Ustaarabu wa Kiislamu ni hatuainayohitajika kuondoa upotoshaji huo na kurejesha upya ukweli wakihistoria wa ‘zama za dhahabu’, au zama za nuru zilizo stawi katikamwamko wa maendeleo ya kiislamu, na ambayo ni matunda mengineya Magharibi. Kwa kufanya hivyo, inapatikana fursa ya kuona upeompana wa mafanikio ya maendeleo ya utamaduni ambao umekubalikakuwa mfano bora wa ustawi na maendeleo ya mwanadamu katika kilelechake.Toleo la Muhtasari la kitabu asilia walichoandika Ahmed Essa naOthman Ali, kwa lugha ya Kiingereza, kilichochapwa kwa jina la:STUDIES IN ISLAMIC CIVILIZATIONThe Muslim Contribution to the RenaissanceAhmed Essa with Othman AliISBN hbk: 978-1-56564-351-2ISBN pbk: 978-1-56564-350-52012Ahmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -YaliyomoNeno la awalivUTANGULIZI1SURA YA KWANZANafasi ya Uislamu Katika Historia3SURA YA PILIElimu na Ustaarabu wa Kiislamu5SURA YA TATUKuanzishwa Jamii ya Kwanza ya Kiislamu 7SURA YA NNEUlimwengu wa Kiislamu9SURA YA TANOUstaarabu wa Kiislam Ulaya na Asia11Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleov

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -YALIYOMOSURA YA SITABiashara13SURA YA SABAKilimo na Tekinolojiavi16SURA YA NANeUstawi wa Elimu ya Uislamu18SURA YA TISAsayansi21SURA YA KUMITiba23SURA YA KUMI NA MOJAFasihi ya Kiarabu25SURA YA KUMI NA MBILIFasihi ya KiajemiAhmed Essa na Othman Ali27

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -YALIYOMOSURA YA KUMI NA TATUsanaa29SURA YA KUMI NA NNeMchango wa Dola ya Ottoman31SURA YA KUMI NA TANOMwamko Wa Maendeleo Ulaya33Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleovii

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -UTANGULIZI1Ustaarabu wa Kiislamu umeleta mafanikio makubwa nakuacha urithi wa kipekee ambao umeubadili ulimwengu,ukiwa umeenea sehemu kubwa duniani kuanzia Hispaniana Afrika Kaskazini hadi Mashariki ya Kati na Asia, Uislamu ndiyouliokuwa chimbuko la mwamko wa maendeleo Ulaya na dunia kwaujumla. Kwa bahati mbaya leo hii Waislamu wanaonekana kuwa nijamii ambayo haikuleta maendeleo kwa namna yoyote. Ukweli wakihistoria umekuwa hauelezwi kuhusu ustaarabu wa Kiislamu nakwamba ndio uliokuwa kielelezo cha maendeleo ya wanadamu.Mchango uliotokana na ustaarabu wa Kiislamu ama umekuwaukihafifishwa au hauelezewi kabisa katika taarifa nyingi zinazotolewa.Kitabu hiki kimejaribu kuondoa tatizo hili kwa kuelezea ukweli wakihistoria juu ya zama bora zilizotokana na mvuvumko wa Uislamu.Mchango mkubwa wa Waislamu katika sayansi, sanaa, na utamaduniunawekwa wazi kupitia kitabu hiki, pamoja na maelezo ya kina juu yamaendeleo ya kitaaluma ambayo yanatokana na dini ya Uislamu. Kitabuhiki kinatoa maelezo juu ya ustaarabu wa Kiislamu kwa muktadha watafiti mbalimbali kutoka kwa wasomi wa Kimagharibi.Mafanikio ya ustaarabu wa Kiislamu na mchango wake kwa ulimwengundiyo uliopelekea mwamko wa Ulaya, mafanikio haya na mchangohuu hujaelezwa kwa namna ipasavyo. Upofu huu unatokana na uhabaAhmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - wa tafiti, hali halisi ya Waislamu wa leo na kuoanisha kila kitu chamaendeleo na Ulaya. Maelezo juu ya ustaarabu wa Kiislamu yanagawikasehemu kuu mbili; sehemu ya kwanza ni ile ya wasomi wa sasa ambaowanakanusha mchango wa Waislamu kwa maendeleo ya UlayaMagharibi. Sehemu ya pili ni kundi la wasomi wanaotambua mchangowa Waislamu kwa ustaarabu wa Kimagharibi. Kundi hili la wasomilimefanya kazi kubwa ya kubainisha hazina kubwa ya Waislamu katikakipindi cha zama za kati, wasomi hawa wameweka wazi kuwa mwamkona ustaarabu wa sasa wa Ulaya kwa kiasi kikubwa vimetokana na kaziiliyofanywa na Waislamu. Wanachuoni au wasomi hawa wanaelezeapia kuwa ustaarabu wa Kiislamu haukuwa wa kibubusa na walahaukuwabagua wasio Waislamu.Hata hivyo, maelezo ya wasomi wa Magharibi yenye mrengo wakisiasa, yamekuwa yakitilia mkazo juu ya matukio ya kigaidi kamalile tukio la tarehe 11 Septemba, 2001. Athari ya maelezo kama hayani kutoonekana kwa mchango wa ustaarabu wa Kiislamu. Kuusomaau kuuelezea Uislamu kwa njia hii ni dhahiri picha ipatikanayo nikuwa Uislamu ni dini ya vurugu na Vita. Kitabu hiki kupitia ushahidiwa historia, kimejaribu kuonesha makosa yanayotokana na kuusomaUislamu kwa namna hii, na badala yake kinaelezea ni vipi Uislamukama dini unavyohakikisha amani inakuwepo baina ya Waislamu nawasio-Waislamu. Jamii ya Waislamu katika kipindi cha zama za katiilitafuta umoja kupitia mambo mbalimbali hata kukubali mchango wawasiokuwa Waislamu, hivyo ni vyema kusoma ustaarabu uliopita, nakutumia maarifa hayo kujenga jamii yenye kuendelea.Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleo2

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -SURA YA KWANZANafasi ya Uislamu Katika Historia3Uislamu ndio ulioweka daraja kati ya ustaarabu wa Masharikina ule wa Magharibi. Wasomi Waislamu ndiyo waliokuwana elimu iliyoleta mwanga mpya katika nyakati tofauti.Katika hali ya ubunifu, Waislamu walitoa mchango mkubwa kielimukwa muda mrefu. Waislamu walielewa kutafuta elimu kwao ni suala lalazima kwani ni wajibu wa kidini. Michango ya Waislamu inatokanana ukweli kwamba Uislamu ni dini inayoheshimu wanaadamu wote.Uislamu umeweka bayana kuwa watu wote ni lazima wafurahie neemazilizomo ulimwenguni ndani ya maadili mema, na kufutilia mbaliyale yote yanayofanya kundi moja la watu kuwa bora kuliko wengine.Uislamu unakwenda nje ya mipaka ya kijiografia kutoka Ulaya hadi Asia,na kwa hiyo, kuwa na umoja ndani yake wa jamii mbalimbali. KupitiaUislamu hadhi ya wanawake nayo ilipanda sana. Mfumo wa maisha yaKiislamu ndiyo uliopelekea chimbuko la ustaarabu wa Kiislamu katikamaeneo yote.Kwa muda wa zaidi ya miaka elfu moja, Uislamu ndiyo dini iliyokuwaikiongoza kwa ustaarabu duniani. Lugha yake ya Kiarabu, ndiyoiliyokuwa lugha ya kimataifa na ya kisayansi1. Hata hivyo Vitabu vingivya historia huelezea kuwa mafanikio ya Uislamu yametokana natamaduni mbalimbali. Wanahistoria wenye mtazamo huu wanatakakuonesha kuwa Uislamu hauna mchango wowote kwa ustaarabu waAhmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - Kimagharibi na kwa hiyo ustaarabu wa Kimagharibi ni ustaarabu wakipekee katika Zama za Kati2. Maelezo yao yanaielezea historia yaUislamu kuanzia karne ya saba na kuendelea, kwa kuishambulia dinihiyo, kitabu cha Quran na Mtume Muhammad (S.A.W). Wanahistoriawamejadili kwa upana historia ya Ugiriki na Urumi na hatua za mwanzoza maendeleo ya Ukristo, na kuelezea kwa kifupi zama za Uislamu, nakurukia mvuvumko wa Ustaarabu na Maendeleo ya Ulaya.Waislamu waliiga tamaduni zilizotangulia na kujazia mchango waona hatimaye kupelekea ustaarabu wa kipekee. Kwa upande mwingine,wale wasiokuwa Waislamu nao waliiga na kufuata desturi na taratibu zaWaislamu. Uislamu vilevile umechangia maendeleo ya dini za Uyahudina Ukristo, na kuweka misingi ya ustaarabu wa Kimagharibi.4Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleo

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -SURA YA PILIElimu na Ustaarabu wa Kiislamu5Katika kutilia mkazo juu ya elimu na mafunzo3, Uislamu ulianza kwa kuziba ombwe la elimu lililokuwepo duniani katikakarne ya saba. Mataifa makubwa yalianguka na Ulaya kuwakatika zama za giza, ambapo kupanuka kwa mipaka ya kijiografia kwaUislamu kuliambatana na ukuaji wa elimu na utamaduni wa Kiislamu.Qur-an imesisitiza sana umuhimu wa kujifunza. Neno ‘ilm’ limejitokezamara 750 katika Qur-an, moja ya neno lililojitokeza mara nyingi katikaQur-an na Hadith za Mtume Muhammad (S.A.W). Zaidi ya hivyo Quran inaeleza bayana tofauti kati ya mwanadamu na viumbe wengine niule uwezo wake wa kudadisi4. Lugha ya Qur-an ni ya weledi wa haliya juu katika kuelezea dhana za kisayansi na maeneo mengine yakitaaluma. Lugha hii ya Qur-an inasomwa na kusikilizwa mara kwamara na Waislamu. Lugha ya Kiarabu ambayo ndiyo msingi wa Uislamuna ustaarabu wake, inahitaji msukumo mkubwa kuliko ilivyopokelewakatika nchi za Magharibi.Wakati wa zama za kati huko Ulaya, Kiarabu ndiyo lugha iliyotawalakatika ulimwengu wa Kiislamu na ni lugha iliyokuwepo Ulaya. Lughaya Kiarabu ilikuwa inatumika katika baadhi ya vyuo vikuu huko Ulayampaka pale kilatini kilipoanza kutumika kama lugha ya kufundishia.Kamusi na kanuni za nahau za lugha ya Kiarabu vilisaidia sanakupatikana kwa filolojia ya Kiyahudi.Ahmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - Tangu awali, Waislamu walifahamu kuwa elimu ni katika mahitajimuhimu na makubwa, na kwa hiyo kuanzisha shule mbalimbali kwaajili ya kutoa mafunzo wakati ambapo Ulaya elimu ilikuwa ni kwa watumaalum5. Jamii ya Waislamu ilikuwa ni jamii yenye muono mpana juuya suala la elimu. Wanachuoni wa Kiislamu waliamini kuwa ujuzi,maarifa na ucha-Mungu ndivyo vyenye kustawisha maisha ya watuhapa duniani na akhera. Kutafuta elimu ni jambo lililosisitizwa katikaQur-an na Sunnah ya Mtume Muhammad (S.A.W).6Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleo

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -SURA YA TATUKuanzishwa kwa Jamii ya Kwanza ya Kiislamu7Jamii ya kwanza ya Kiislamu ilikuwa ni ya watu waliokuwa tayarikujirekebisha iliwawe watu bora zaidi. Hivyo basi, walibadilishamfumo wao wa maisha ili kwenda sambamba na Qur-an naSunna. Qur-an na Sunna ndiyo vitu vilivyoathiri maisha yao katika halizote. Kwa mfano, Qur-an inasisitiza juu ya umuhimu wa kufanya kazikwa kuzingatia uasilia na kufurahia uzuri wa ulimwengu wa MwenyeziMungu. Uislamu umempa hadhi mwanaadamu na sio kumpachikadhambi ya kuzaliwa nayo au kurithi. Qur-an inauelezea mwili wamwanaadamu kama ni muujiza ambao umevaa sifa za uungu6. Kwakifupi, Mwenyezimungu amemtukuza na kumnyanyua mwanaadamu.Quran inasema, “Na hakika tumewatukuza wanaadamu” (17:70)Pamoja na mafundisho mbalimbali ya Qur-an, Mtume Muhammad(S.A.W) ameonesha vilevile kivitendo udadisi na ubunifu. MtumeMuhammad (S.A.W) alizaliwa katika mji wa Makkah mnamo mwaka570 B.K, akijulikana kama mtu mwaminifu na mkweli. Alipokea ufunuo(Wahyi) wa kwanza mnamo mwaka 610 B.K na kuanza kuwalinganiawatu wa Makkah, ambao walimtesa na hatimaye kuuhama mji huo nakwenda Madina. Tukio hili la kuhama ndilo lililopelekea mwanzo wakalenda ya Kiislamu na kuasisiwa kwa jamii ya Waislamu. Baada ya Vitambalimbali, Mtume Muhammad (S.A.W) na wafuasi wake walifanikiwakuuteka mji wa Makkah na kuufanya kuwa kituo cha Uislamu. Dira yaMtume Muhammad (S.A.W) ndiyo iliyoongoza ustaarabu huu mpya naAhmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - harakati za kufikia ufanisi bora. Msikiti ukawa ndio kituo cha kijamii,elimu na shughuli za kiserikali, mfumo wa kodi na uhisani uliasisiwa nakuendelezwa kwa shabaha ya kuwasaidia masikini.Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa ni kiongozi mnyenyekevuambaye aliishi maisha ya kawaida na alisisitiza kuwa watu wote,wakiwemo wanawake wana haki sawa. Kwa zama hizo, haya yalikuwani mafanikio makubwa, wakati ambapo watoto wachanga wa kikewaliuliwa na baba zao kwa kuchelea aibu. Mtume Muhammad (S.A.W)ndiye aliyefundisha kwamba wanawake waendelee kutumia majinayao hata baada ya kuolewa na sio majina ya waume zao waliowaoa.Wanaume waliwekewa ukomo katika kuoa na wanawake wakapewahaki ya kuacha, kupewa fidia7 na kusaidiwa kulea8 watoto. Wanawakewaliruhusiwa kushiriki katika shughuli za kiuchumi na kumiliki mali9.Haya yalikuwa maendeleo makubwa kwa wakati huo.Kuenea kwa Uislamu sehemu mbalimbali duniani kulipelekea haja yakuelewa sheria za Uislamu. Kwa muktadha huu madhehebu manneyaliibuka ambayo yameasisiwa na maimamu hawa: Abu Hanifa, Malikibn Anas, Muhammad ibn Idris al-Shafi’i na Ahmad ibn Hanbali.Imam Abu Hanifa alitumia Qur-an kama msingi wa kujenga hoja zakisheria kwa madhehebu yake, na vilevile alijishughulisha na utafutajiwa hadithi sahihi za Mtume Muhammad (S.A.W). Wanafunzi wakeambao waliibuka baadaye ndiyo waliobobea hasa katika fani ya sheria.Sheria ya Kiislamu iliimarishwa na kuasisiwa na kuwa ndiyo msingi waustaarabu wa Kiislamu.Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleo8

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -SURA YA NNEUlimwengu wa Kiislamu9Ndani ya karne moja baada ya kuja Uislamu, Waislamuwalifika Afrika ya Kaskazini na Hispania kwa upandemmoja na China na Indonesia kwa upande mwingine, hukuukiwavutia watu wengi wapya. Mwanzoni Waislamu walikabilianana maadui zao kwa ari ya kushangaza, ukizingatia kwamba katikamatukio mengi walikuwa wachache ukilinganisha na maadui zao.Jambo lingine muhimu ilikuwa ni namna Waislamu walivyo ishi na waleambao hawakuwa na uhasama nao. Wengi wa Wayahudi na Wakristowaliwakaribisha na Waislamu kwenye ardhi zao kwa sababu ya matesona madhila yaliyowakuta kutoka kwa watawala wa dola ya Kirumi10.Waislamu hawakuwa na chembe ya ukatili, na Mtume Muhammad(S.A.W) aliwasihi kuwa wapole kwa watu wengine11.Waislamu hawakuharibu miji waliyoiteka, hawakuuwa au kuwafanyawatumwa wa kiVita wanawake na watoto. Majeshi yao hayakutwaa mijibadala yake walijenga mahema yao na vituo vya kijeshi pembezoniya miji, baadhi ya maeneo haya yamekuwa miji maarufu, kama vileCairo12. Mji wa Baghdad13 ulitokana na kutanuka kwa shughuli za elimuna mafunzo na hatimaye kuwa mji maarufu kwa masuala ya kitaaluma.Watatu kati ya waanzilishi wanne wa madhehebu za kisheria waliishi nakufanya kazi za kitaaluma katika mji huu. Baghdad ndiyo uliokuwa mjimkuu wa dola ya Abbassiya, dola iliyotawala kwa muda mrefu katikaAhmed Essa na Othman Ali

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - historia ya Kiislamu. Walikuwa ni Wamongoli walioharibu mji waBaghdad na maktaba zake mnamo mwaka 1258 B.K.Si kweli kwamba Uislamu ulienezwa kwa ncha ya upanga kamainavyodaiwa na baadhi ya watu. Waislamu walikuwa ni wachachekatika nchi ambazo Waislamu walitawala kama vile, Iran, Iraq, Misri,Tunisia na Hispania14. Waislamu waliendelea kuwa ni wachache hatapale ambapo utawala ulikuwa wa Kiislamu katika nchi kama vile Indiana Sicily15. Kwa ujumla watawala wa Kiislamu hawakuwabughudhiwala kuwatesa Wayahudi, Wakristo na watu wengine walioishi kwenyemamlaka yao. Watu wengi waliingia kwenye Uislamu baada ya karnemoja tangu Waislamu walipotwaa miji mbalimbali16. Uislamu uliingiaIndonesia, nchi yenye Waislamu wengi duniani, bila ya Vita au nguvubali ilikuwa kupitia wafanyabiashara na Masufi17.Wakati Wamongolia walipotawala na kuharibu sehemu kubwa yaustaarabu wa Kiislamu, watu hawa hawa ndio walioingia kwenyeUislamu kwa hiari zao. Wafuasi wa Wamongoli ndio waliokuja naustaarabu wa Kiislamu na utamaduni wake kwa namna yao.Historia ipo bayana kwa namna Waislamu walivyowachukuliaWayahudi wakati wakiteswa na Wakristo kwa miongo kadhaa. Wayahudiambao walikimbia mateso ya Wakristo walitafuta hifadhi katika mijiya Waislamu. Hispania, Waislamu waliwateua Wayahudi kuendesha aukusimamia maendeleo ya miji waliyokuwa wanaishi.Katika nchi zingine za Waislamu, Wayahudi waliishi kama jamii nawaliishi kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao. Vilevile walishirikikatika shughuli za kiutawala na elimu katika taasisi za kitaaluma.Taaluma za dini na falsafa za Kiyahudi ziliendelea sana chini ya utawalawa Kiislamu. Hispania iliyokuwa chini ya utawala wa Waislamu ndiyoiliyokuwa kituo cha maarifa ya Uyahudi.Mchango wa Waislamu katika Mwamko wa Maendeleo10

- - - - - - - - - - - - - - Kuufahamu Ustaarabu Wa Kiislamu - - - - - - - - - - - - - -SURA YA TANOUstaarabu wa Kiislamu Ulaya na Asia ya Magharibi11Ulimwengu wa Kiislamu ulitanuka zaidi na kudhibiti hatamaeneo ya bahari. Kwa karne nyingi, Waarabu walisafirikwa kut

SURA YA PILI Elimu na Ustaarabu wa Kiislamu K atika kutilia mkazo juu ya elimu na mafunzo 3, Uislamu ulian-za kwa kuziba ombwe la elimu lililokuwepo duniani katika karne ya saba. Mataifa makubwa yalianguka na Ulaya kuwa katika zama za giza, ambapo kupanuka kwa mipaka ya kijiografia kwa Uislamu kuliambatana na ukuaji

Related Documents:

kundi ,fanya jukumu la maana katika masomo yote.Umahiri wa maelezo maalum na wa baina ya mitaala yameshikanishwa pamoja katika muktadha wa maelezo. . baina ya mitaala katika muda wa mwaka wa shule. Kwa kufanya hivo wanaangazia kusoma kwao . na wanachukua jukumu la mchakato wao wa kimasomo. Tathmini ya kibinafsi hufanywa katika

Mchango wa Fasihi ya Kiswahili katika Kuudumisha Utambulisho wa Kiswahili : Mifano Kutoka Kazi za Fasihi za Kiswahili Dk. Wael Nabil Ibrahim Othman* Abstract This study emphasizes that the Swahili literature has a very big role in consolidating and maintaining Swahili identity. In the field of Swahili poetry

Data zilirekodiwa katika kinasa sauti na kunukuliwa kwa maandishi. . Tofauti za Matumizi ya Lugha katika Miktadha Mbalimbali ya Mazungumzo 13 sehemu ya pili inahusu tofauti ya matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Sehemu ya tatu inafafanua mkabala wa kinadharia uliotumika katika uch

Nyenzo za kufundisha huwa viungo muhimu wakati wa utoaji wa mafunzo. Utafiti ulichunguza matumizi ya nyenzo katika ufundishaji wa Kiswahili katika shule za msingi za umma katika Jimbo la Nyandarua, Kenya. Madhumuni ya utafiti yalikuwa: Kuainisha nyenzo zinazotumika kufundisha Kiswahili, Kutathimini kiwango cha matumizi ya

maswali yeye aliuliza ilikuwa, 'Biblia ina hadithi kuhusu mtu ambaye alimezwa na samaki mkubwa. Alikuwa nani? Asilimia themanini ya watu katika kundi hilo, kwa ushujaa wakasema, 'Pinocchio!' Marla aliniambia tukiwa bado katika ibaada kwamba swali hilo bado liliulizwa katika kanisa ambako alihundumu katika Kusini mwa California na

inafuata mchango wa baadhi ya wanaisimu wa lugha ya Kiingereza, Kiarabu na Kiswahili walivyobainisha uwepo wa kategoria ya nomino (majina) katika lugha hizi. 1.1.2 Majina Katika Lugha ya Kiingereza Wataalamu mbalimbali wa lugha ya kiingereza wamebainisha kuwepo kw

inayojadiliwa hapa ni: Fasihi ni Hisi, Fasihi ni Kioo cha Jamii, Fasihi ni Mwavuli wa Jamii, na Fasihi ni Zao la Jamii husika na Mielekeo yake ya maisha. 3. Mitazamo inayofafanua Uhusiano wa Fasihi na Jamii Kama lilivyo lengo la makala haya kwamba mchango wake ni kuongeza mchango katika kufafanua uhusiano uliopo baina ya fasihi na jamii.

First aiders must complete a training course approved by the Health and Safety Executive (HSE). 20 At school, the main duties of a first aider are to: give immediate help to casualties with common injuries or illnesses and those arising from specific hazards at school; when necessary, ensure that an ambulance or other professional medical help is called. PERSON? WHAT IS AN APPOINTED . 21 An .