FOMATI ZA MITIHANI YA ASTASHAHADA YA UALIMU ELIMU

2y ago
659 Views
11 Downloads
669.07 KB
52 Pages
Last View : 1d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Camille Dion
Transcription

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIAFOMATI ZA MITIHANI YA ASTASHAHADA YA UALIMUELIMU MAALUMIMETOLEWA NA:BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIAS.L.P 2624DAR ES SALAAMTANZANIA.FEBRUARI, 2020

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIAFOMATI ZA MITIHANI YA ASTASHAHADA YA UALIMU ELIMUMAALUMIMETOLEWA NA:BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIAS.L.P 2624DAR ES SALAAMTANZANIA.FEBRUARI, 2020

Kimechapwa na:Baraza la Mitihani la TanzaniaS.L.P 2624Dar es SalaamTanzania. Baraza la Mitihani la Tanzania, 2020Haki zote zimehifadhiwa.ii

YALIYOMODIBAJI . IV510 UALIMU . 1551 ELIMU JUMUISHI. 4560 MBINU ZA KUFUNDISHIA MASOMO YA TAALUMA. 7561 MAFUNZO KABILISHI NA MJONGEO . 13562 STADI ZA MAWASILIANO: ULEMAVU WA UONI . 15563 MICHEZO NA SANAA REKEBIFU: ULEMAVU WA UONI . 18564 ANATOMIA, FIZIOLOJIA NA PATHOLOJIA YA JICHO . 20565 UTUNZAJI NA UKARABATI WA VIFAA VYA KIELIMU . 22571 AUDIOLOJIA . 24572 MICHEZO NA SANAA REKEBIFU: UZIWI . 27573 LUGHA YA ALAMA . 29574 UJIFUNZAJI WA MWANAFUNZI: UZIWIKUTOONA . 32581 STADI ZA MAWASILIANO: ULEMAVU WA AKILI . 35582 ULEMAVU WA AKILI NA USONJI . 38583 MICHEZO NA SANAA REKEBIFU: ULEMAVU WA AKILI . 41584 UPIMAJI NA AFUA STAHIKI. 44iii

DIBAJIKitabu cha fomati ya Mitihani ya Ualimu Elimu Maalum ngazi ya Astashahadakimeandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa kuzingatia Mtaala wa ElimuMaalum wa mwaka 2019 ulioandaliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania na kuidhinishwana Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia.Kitabu hiki kimeandaliwa kwa ajili ya mitihani ya masomo 16 ya Ualimu ElimuMaalum ngazi ya Astashahada. Kati ya masomo hayo, matano ni ya fani ya Ulemavuwa Uoni, manne Uziwi na Ulemavu wa Akili na Usonji masomo manne. Pamoja namasomo hayo, kutakuwa na masomo matatu yatakayofanywa na watahiniwa woteambayo ni Mbinu za Kufundishia Masomo ya Taaluma, Ualimu na Elimu Jumuishi.Kitabu hiki kimeandaliwa kwa kufuata muundo wenye aya tano ambazo niUtangulizi, Malengo ya Jumla, Umahiri wa Jumla, Muundo wa Mtihani na Umahiriutakaopimwa kwenye Mtihani husika. Jedwali la mgawanyo wa maswali katika kilaumahiri limewekwa mwishoni mwa kila fomati na linaonesha uzito wa maswaliyatakayotungwa katika kila umahiri. Kwa ujumla, kitabu hiki kinatoa mwongozo kwawatunzi wa mitihani, warekebishaji na wakufunzi katika kuandaa mitihani thabiti kwawalimu tarajali.Aidha, kitabu hiki cha fomati kinatoa mwongozo kwa walimu tarajali wa UalimuElimu Maalum kuhusu mfumo wa muundo wa mtihani unaofanyika chuoni kwakufuata hatua za utahini zinazotumiwa na Baraza la Mitihani la Tanzania. Hata hivyo,wakufunzi wanashauriwa kutotumia fomati hizi kama mbadala wa mihtasari yamasomo ya Ualimu Elimu Maalum.Baraza linatoa shukrani za dhati kwa wote walioshiriki katika kuandaa kitabu hiki chafomati.Dkt Charles E. MsondeKATIBU MTENDAJIiv

510 UALIMU1.0UTANGULIZIFomati ya mtihani wa somo hili imetokana na mtaala wa mafunzo yaAstashahada ya Ualimu Elimu Maalum wa mwaka 2019. Fomati hii inatoamwongozo wa namna utahini wa somo la Ualimu utakavyofanyika kwakuzingatia umahiri uliokusudiwa.2.0MALENGO YA JUMLAMtihani wa somo la Ualimu kwa Astashahada ya Ualimu Elimu Maalumunalenga kupima uwezo wa mtahiniwa katika;2.1kutumia nadharia, mbinu na stadi za saikolojia ya elimu katikakufundishia na kujifunzia;2.2 kutumia misingi ya uongozi katika elimu;2.3kuimarisha maadili ya ualimu;2.4kuimarisha mbinu za kuwezesha watoto wenye mahitaji maalumkumudu masomo mbalimbali ya elimu ya msingi.2.5kukuza stadi za utafiti, upimaji na tathmini katika kuboreshaufundishaji na ujifunzaji;2.6kujenga maarifa ya kuchambua mwelekeo wa falsafa ya elimuTanzania; na2.73.0kuimarisha misingi ya Elimu ya kusoma, kuandika na kuhesabu.UMAHIRI WA JUMLAMtihani wa somo la Ualimu kwa Astashahada ya Elimu Maalum unalengakupima umahiri wa mtahiniwa katika:3.1 kumbaini mwanafunzi mweye mahitaji maalum, kujenga misingi yakukubalika kwa wenzake, jamii na kumpatia afua stahiki;3.2kutumia mazingira wezeshi ya ufundishaji na ujifunzaji kwamwanafunzi mwenye mahitaji Maalum ya mwanafunzi;1

3.3kutumia mbinu mbalimbali katika kutambua vipaji walivyonavyowanafunzi wenye mahitaji maalum na namna ya kuviendeleza;3.4kutumia misingi na stadi za uongozi katika kuongoza taasisimbalimbali za elimu;3.5kufanya tafiti tatuzi za kielimu ili kuwabaini na kuwasaidiawanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule za msingi;3.6kujenga umahiri wa masomo kwa mwalimu tarajali utakaomwezeshakuelewa masomo vema na hivyo kumfundisha mwanafunzi mwenyemahitaji maalum; na3.7kushirikiana na familia za wanafunzi wenye mahitaji Maalum katikakuwajengea wanafunzi hao kujiamini, tabia ya kujifunza na kukuzavipaji walivyonavyo.4.0MUUNDO WA MTIHANIMtihani wa somo la Ualimu utafanyika kwa muda wa saa tatu (3). Mtihaniutakuwa na sehemu A na B zenye jumla ya maswali 13. Mtahiniwaatatakiwa kujibu maswali 12 yenye jumla ya alama 100.Sehemu A itakuwa na maswali nane (8) ya majibu mafupi. Mtahiniwaatatakiwa kujibu maswali yote. Kila swali litakuwa na alama tano (5).Sehemu hii itakuwa na jumla ya alama 40.Sehemu B itakuwa na maswali matano (5) ya insha. Mtahiniwa atatakiwakujibu maswali manne (4) ambapo kila swali litakuwa na alama 15.Sehemu hii itakuwa na jumla ya alama 60.5.0UMAHIRI UTAKAOPIMWAKatika kuandaa mtihani, umahiri ufuatao utazingatiwa:5.1 Kutumia falsafa ya elimu katika ufundishaji na ujifunzaji5.2Kulinganisha historia na maendeleo ya elimu Tanzania5.3Kutumia saikolojia ya elimu kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji2

5.4Kutoa huduma ya ushauri na unasihi katika elimu5.5Kutumia vifaa vya mtaala katika ufundishaji na ujifunzaji5.6Kutumia misingi ya maandalizi ya ufundishaji5.7Kutumia misingi ya utafiti, upimaji na tathmini za elimu na5.8Kutekeleza majukumu ya ualimu kwa kuzingatia maadili.1Kutumia falsafa ya elimu katikaufundishaji na ujifunzaji2Kutumia historia ya elimukulinganisha na maendeleo yaelimu Tanzania3Kutumia saikolojia ya elimukuwezeshaufundishajinaujifunzaji.4Kutoa huduma ya ushauri naunasihi katika elimu5Kutumia vifaa vya mtaalakatika ufundishaji na ujifunzaji.6Kutumia misingi ya maandaliziya ufundishaji7Kutumia misingi ya utafiti,upimaji na tathmini za elimu8Kutekelezamajukumuyaualimu kwa kuzingatia maadiliJumla ya MaswaliAsilimia ya uzitokwa kila MadaKuundaKutathiminiKuchambuaKutumiaUmahiri MkuuAKuelewaNaKukumbukaNyanja za UtambuziZitakazopimwaIdadi ya MaswaliJedwali la Utahini kwa Somo la Ualimu1821532321518182151813Jumla ya Asilimia ya Uzito wa Maswalikwa kila Nyanja1003

551 ELIMU JUMUISHI1.0UTANGULIZIFomati ya mtihani wa somo la Elimu Jumuishi inatokana na mtaala waMafunzo ya Ualimu Elimu Maalum wa mwaka 2019. Fomati hii inalengakupima maarifa, stadi na mwelekeo wa mwalimu tarajali katika waufundishaji na ujifunzaji mwanafunzi mwenye mahitaji Maalum katikaelimu ya msingi.2.0MALENGO YA JUMLAMtihani unalenga kupima umahiri wa mtahiniwa katika:2.1 kudumisha elimu jumuishi iliyo bora, inayozingatia usawa na kutoafursa za ujifunzaji endelevu kwa watu wote;2.2 kuimarisha mbinu za kuwawezesha watoto wenye mahitaji Maalumkumudu masomo mbalimbali;2.3 kukuza uelewa wa elimu Maalum katika jamii ya shule na kuondoadhana potofu dhidi ya watoto wenye mahitaji Maalum ;2.4 kukuza stadi za kiuongozi na kiutawala katika utekelezaji wa elimujumuishi;2.5 kutumia mbinu za ufundishaji na ujifunzaji katika kutengeza nakufarangua zana jumuishi;2.6 kutekeleza misingi ya elimu jumuishi katika elimu;2.7 kutumia mbinu jumuishi katika kufanya upimaji wa kielimu; na2.8 kutatua changamoto za elimu jumuishi katika ngazi ya shule yamsingi.3.0UMAHIRI WA JUMLAMtihani wa somo la Elimu Jumuishi unalenga kupima uwezo wamtahiniwa katika:3.1 kumbaini mwanafunzi mwenye mahitaji maalum, kujenga misingi yakukubalika kwa wenzake, jamii na kumpatia afua stahiki;3.2 kutumia mazingira wezeshi ya ufundishaji na ujifunzaji kwamwanafunzi mwenye mahitaji Maalum;3.3 kutumia njia mbalimbali za mawasiliano na teknolojia saidizi kwakuzingatia mahitaji Maalum ya mwanafunzi;3.4 kutumia mbinu mbalimbali katika kutambua vipaji walivyonavyowanafunzi wenye mahitaji Maalum na namna ya kuviendeleza;4

3.5 kufanya tafiti za kielimu ili kuwabaini na kuwasaidia wanafunziwenye mahitaji Maalum katika shule za msingi;3.6 kutumia stadi za uongozi katika kuongoza taasisi mbalimbali za elimu.3.7 kutumia sanaa na michezo rekebifu katika kuibua na kuendeleza vipajimbalimbali vya wanafunzi wenye mahitaji maalum;3.8 kutumia misingi ya ufundishaji na ujifunzaji kufundishia masomo yataaluma na3.9 kushirikiana na familia za wanafunzi wenye mahitaji maalum katikakuwajengea wanafunzi hao kujiamini, tabia ya kujifunza na kukuzavipaji walivyonavyo.4.0MUUNDO WA MTIHANIMtihani wa somo la Elimu Jumuishi utafanyika kwa muda wa saa tatu (3).Mtihani utakuwa na sehemu A na B zenye jumla ya maswali 13.Mtahiniwa atatakiwa kujibu maswali 12 yenye jumla ya alama 100.Sehemu A itakuwa na maswali nane (8) ya majibu mafupi. Mtahiniwaatatakiwa kujibu maswali yote. Kila swali litakuwa na alama tano (5);hivyo, sehemu hii itakuwa na jumla ya alama 40.Sehemu B itakuwa na maswali matano (5) ya insha. Mtahiniwa atatakiwakujibu maswali manne (4), na kila swali litakuwa na alama 15. Hivyo,sehemu hii itakuwa na jumla ya alama 60.5.0UMAHIRI UTAKAOPIMWAUmahiri utakaopimwa katika Elimu Jumuishi ni kama ifuatavyo:5.1 Kukuza matumizi ya elimu jumuishi nchini Tanzania5.2 Kutumia misingi ya elimu jumuishi kutatua changamoto zamwanafunzi mwenye mahitaji maalum5.3 Kutumia mikakati ya elimu jumuishi kutoa elimu bora na afua stahiki5.4 Kutumia mfumo stahiki ya uongozi na usimamizi katika kutekelezaelimu jumuishi.5

Kukuza matumizi ya elimujumuishi nchini Tanzania2 Kutumia misingi ya elimujumuishi kutatua changamoto zamwanafunzi mwenye mahitajimaalum3 Kutumia mikakati ya elimujumuishi kutoa elimu bora naafua stahiki4 Kutumia mfumo stahiki wauongozi na usimamizi katikakutekeleza elimu jumuishiJumla ya MaswaliKuundaKutathiminiKuchambuaAsilimia ya uzitokwa kila Mada1KutumiaUmahiri MkuuKuelewaNaKukumbukaNyanja za UtambuziZitakazopimwaIdadi ya MaswaliJedwali la Utahini kwa Somo la Elimu Jumuishi32332343132313Jumla ya Asilimia ya Uzito wa Maswalikwa kila Nyanja6100

560 MBINU ZA KUFUNDISHIA MASOMO YA TAALUMA1.0UTANGULIZIFomati ya mtihani wa Mbinu za Kufundishia wanafunzi wenye mahitajiMaalum, imeandaliwa kwa kuzingatia mihtasari ya masomo ya Mbinu zaKufundishia Kiswahili, Kiingereza, Maarifa ya Jamii, Hisabati, Sayansi naTeknolojia, Uraia na Maadili na Stadi za Kazi, ya mwaka 2019. Fomati hiiinatoa mwongozo wa namna utahini utakavyofanyika katika masomo hayokwa kuzingatia umahiri uliokusudiwa.2.0MALENGO YA JUMLAMtihani wa Mbinu za Kufundishia Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum kwawalimu tarajali unalenga kupima uwezo wa mtahiniwa katika:2.12.22.32.42.52.62.72.82.93.0kutumia misingi ya ufundishaji na ujifunzaji wa masomo mbalimbalikatika shule za msingi;kuchambua vifaa vya mtaala vya kufundishia na kujifunzia;kutengeneza na kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia;kuchambua nadharia na mbinu za ufundishaji na ujifunzaji;kuandaa utekelezaji wa ufundishaji na ujifunzaji stahiki katika shule zamsingi;kufanya tathmini ya maendeleo ya wanafunzi katika kufundisha nakujifunza;kufanya upimaji katika ufundishaji na ujifunzaji;kukuza stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma, kuandika naujasiriamali kwa wanafunzi wenye mahitaji Maalum ; nakutumia mbinu za ufundishaji kuwezesha ujifunzaji wa masualamtambuka na mahitaji Maalum .UMAHIRI WA JUMLAMtihani wa somo la Mbinu za Kufundishia Wanafunzi wenye MahitajiMaalum utazingatia upimaji wa umahiri na utendaji wa mtahiniwa katika;3.1kumbaini mwanafunzi mwenye mahitaji maalum, kujenga msingi yakukubalika kwa wenzake, jamii na kumpatia afua stahiki;3.2 kutumia mazingira wezeshi ya ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunziwenye mahitaji maalum;7

3.3kutumia misingi ya ufundishaji na ujifunzaji kufundishia masomombalimbali katika shule za msingi;3.4 kujenga umahiri kwa mwalimu tarajali katika masomo ya kufundishiautakaomwezesha kuelewa somo vema na hivyo kumfundishamwanafunzi mwenye mahitaji maalum;3.5 kutumia mbinu mbalimbali katika kutambua vipaji walivyonavyowanafunzi wenye mahitaji Maalum na namna ya kuviendeleza; na3.6 kushirikiana na familia za wanafunzi wenye mahitaji maalum katikakuwajengea wanafunzi hao kujiamini, tabia ya kujifunza na kukuzavipaji walivyonavyo.4.0MUUNDO WA MTIHANIMtihani wa somo la Mbinu za Kufundishia Wanafunzi wenye MahitajiMaalumkwa Walimu Tarajali Astashahada ya Ualimu Elimu Maalumutafanyika kwa saa tatu (3). Mtihani utakuwa na sehemu A, B na C zenyejumla ya maswali 19. Mtahiniwa atatakiwa kujibu maswali 12 yenye jumlaya alama 100.Sehemu A itakuwa na maswali nane (8) ya majibu mafupi. Mtahiniwaatatakiwa kujibu maswali yote. Kila swali litakuwa na alama tano (5).Sehemu hii itakuwa na jumla ya alama 40. Maswali katika sehemu hiiyatapima umahiri wa jumla alioupata mtahiniwa kuhusu Mbinu zaKufundishia na Kujifunzia.Sehemu B itakuwa na maswali mawili (2) ya insha. Mtahiniwa atatakiwakujibu maswali yote. Kila swali litakuwa na alama 15, na kufanya jumla yaalama 30. Maswali katika sehemu hii yatapima umahiri wa jumla alioupatamtahiniwa katika Mbinu za Kufundishia na Kujifunzia Stadi za Kazi naUraia na Maadili.Sehemu C itakuwa na vipengele vitatu (3). Kila kipengele kitakuwa namaswali matatu (3). Maswali katika vipengele hivyo yatapima umahiri wamtahiniwa katika Mbinu za Kufundishia na Kujifunzia masomo ya Lugha,Sayansi na Sayansi ya Jamii. Mtahiniwa atatakiwa kujibu maswali mawili (2)katika kipengele cha mchepuo wake. Kila swali litakuwa na alama 15, nakufanya jumla ya alama 30.8

5.0UMAHIRI UTAKAOPIMWAMtihani utatahini umahiri ufuatao:5.1 Kutumia nadharia mbalimbali katika ufundishaji na ujifunzaji.5.2 Kutumia zana za upimaji katika ufundishaji na ujifunzaji5.3 Kutumia vifaa vya mtaala kwa kuzingatia mahitaji maalum yamwanafunzi mwenye ulemavu wa uoni na mwanafunzi mwenyeuziwikutoona5.4 Kutumia njia na mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatiamahitaji ya mwanafunzi mwenye ulemavu wa uoni na mwanafunzimwenye uziwikutoona5.5 Kutumia zana za ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia mahitajiMaalum ya mwanafunzi mwenye ulemavu wa uoni na mwanafunzimwenye uziwikutoona5.6 Kutumia vifaa vya mtaala kwa kuzingatia mahitaji ya mwanafunzimwenye uziwi na mwanafunzi mwenye uziwikutoona5.7 Kuchambua mbinu na njia za ufundishaji na ujifunzaji kwamwanafunzi mwenye uziwi na mwanafunzi mwenye uziwikutoona5.8 Kutumia zana za ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia mahitaji yamwanafunzi mwenye uziwi na mwanafunzi mwenye uziwikutoona5.9 Kushirikisha wadau katika kutambua changamoto na kutoa hudumakwa mwanafunzi mwenye uziwikutoona5.10 Kutumia njia na mbinu za kufundishia na kujifunzia mwanafunzimwenye ulemavu wa akili na mwanafunzi mwenye usonji5.11 Kutumia vifaa vya mitaala kwa kuzingatia mahitaji ya mwanafunzimwenye ulemavu wa akili na mwanafunzi mwenye usonji5.12 Kueleza umuhimu wa matumizi ya zana za ufundishaji na ujifunzajikwa mwanafunzi mwenye ulemavu wa akili na mwanafunzi mwenyeusonji5.13 Kutumia njia na mbinu za kumudu darasa kwa mwanafunzi mwenyeulemavu wa akili na mwanafunzi mwenye usonji5.14 Kuandaa mipango ya ufundishaji na ujifunzaji kwa mwanafunzi mwenyeulemavu wa akili na mwanafunzi mwenye usonji5.15 Kukuza stadi za lugha katika mawasiliano5.16 Kutumia Hisabati kutatua matatizo katika mazingira tofauti kwamwanafunzi mwenye mahitaji maalum5.17 Kusimamia maabara ya somo la Sayansi na Teknolojia kwa kuzingatiamahitaji ya mwanafunzi9

234567Kutumia nadharia mbalimbali katikaufundishaji na ujifunzajiKutumia zana za upimaji katikaujifunzajiKutumia vifaa vya mtaala kwakuzingatia mahitaji Maalumyamwanafunzi mwenye ulemavu wauoni na mwanafunzi mwenyeuziwikutoonaKutumia njia na mbinu za ufundishajina ujifunzaji kwa kuzingatia mahitajiya mwanafunzi mwenye ulemavu wauoni na mwanafunzi mwenyeuziwikutoonaKutumia zana za ufundishaji naujifunzaji kwa kuzingatia mahitajiMaalumya mwanafunzi mwenyeulemavu wa uoni na mwanafunzimwenye uziwikutoonaKutumia vifaa vya mtaala kwakuzingatia mahitaji ya mwanafunzimwenye uziwi na mwanafunzimwenye uziwikutoonaKuchambua mbinu na njia zakufundishia na kujifunzia mwanafunzimwenye uziwi na mwanafunzimwenye imia ya uzito kwakila swali1UmahiriKuelewaNaKukumbukaNyanja za UtambuziZitakazopimwaIdadi ya MaswaliJedwali la Utahini kwa Somo la Mbinu za Kufundishia Masomo ya Taaluma21021015.315.315.315.315.3

89101112131415Kutumia zana za ufundishaji naujifunzaji kwa kuzingatia mahitaji yamwanafunzi mwenye uziwi namwanafunzi mwenye uziwikutoonaKushirikisha wadau katika kutambuachangamoto na kutoa huduma kwamwanafunzi mwenye uziwikutoona.Kutumia njia na mbinu za kufundishiana kujifunzia mwanafunzi mwenyeulemavu wa akili na mwanafunzimwenye usonjiKutumia vifaa vya mitaala kwakuzingatia mahitaji ya mwanafunzimwenye ulemavu wa akili namwanafunziKueleza umuhimu wa matumizi yazana za ufundishaji na ujifunzaji kwamwanafunzi mwenye ulemavu waakili na mwanafunzi mwenye usonjiKutumia njia na mbinu za kumududarasa (hatua) kwa mwanafunzimwenye ulemavu wa akili namwanafunzi mwenye usonjiKuandaa mipango ya ufundishaji naujifunzaji kwa mwanafunzi mwenyeulemavu wa akili na mwanafunzimwenye usonjiKukuza stadi za lugha katikamwasiliano11Asilimia ya uzito kwakila swaliIdadi ya ewaNaKukumbukaNyanja za 5.3

Kutumia Hisabati kutatua emahitajimaalumKusimamia maabara ya somo la17 Sayansi na Teknolojia kwa kuzingatiamahitaji ya mwanafunziJumla ya MaswaliJumla ya Asilimia ya Uzito wa Maswali kwakila Nyanja12Asilimia ya uzito kwakila swaliIdadi ya ewaNaKukumbukaNyanja za UtambuziZitakazopimwa15.215.319100

561 MAFUNZO KABILISHI NA MJONGEO1.0UTANGULIZIFomati ya Mtihani wa Mafunzo Kabilishi imetokana na Mtaala wa somo laMafunzo Kabilishi na Mjongeo wa mwaka 2019. Fomati hii inatoamwongozo wa namna utahini utakavyofanyika katika somo la MafunzoKabilishi na Mjongeo kwa kuzingatia umahiri uliokusudiwa.2.0MALENGO YA JUMLAMtihani wa somo la Mafunzo Kabilishi na Mjongeo utapima umahirialiotakiwa kuwa nao mtahiniwa katika:2.12.22.32.43.0UMAHIRI WA JUMLAMtihani wa somo la Mafunzo Kabilishi na Mjongeo utapima umahiri wamtahiniwa katika:3.13.23.33.43.54.0kumjengea mwanafunzi uwezo wa kutumia stadi za mafunzo kabilishina ujongeaji ili ayamudu mazingira yake;kumjengea mwanafunzi uwezo wa kutumia mbinu za ujongeaji binafsina zile za matumizi ya vifaa saidizi ili kupunguza utegemezi;kutumia stadi za mafunzo kabilishi

na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Kitabu hiki kimeandaliwa kwa ajili ya mitihani ya masomo 16 ya Ualimu Elimu Maalum ngazi ya Astashahada. Kati ya masomo hayo, matano ni ya fani ya Ulemavu wa Uoni, manne Uziwi na Ulemavu wa Akili na Usonji masomo manne. Pamoja na masomo hayo, ku

Related Documents:

sayansi zitachukuliwa ipasavyo, na hatimaye kuboresha matokeo ya watahiniwa katika mitihani ijayo. Mwisho, Baraza la Mitihani linatoa shukrani za pekee kwamaafisa mitihani na wengine wote walioshiriki ku

wa somo la Kiswahili wa mwaka 2016 ulioanza kutumika Januari 2017, ambao ulizingatia muhamo wa ruwaza. Aidha, fomati hii imezingatia malengo ya Upimaji wa Elimu Msingi Darasa la Tatu na Darasa la Nne ambayo ni pamoja na kufuatilia kiwango cha ujifunzaji wa wanafunzi wa Darasa la Tatu na Darasa la Nne katika somo la Kiswahili.

(a) Fupisha ujumbe wa aya nne za kwanza kwa maneno 90. ( alama 8, 1 ya mtiririko) ya hayo, huduma zinazopatikana kwenye mtandao zimewafanya vijana kuwa waraibu kiasi cha kutotenga wakati kuyadurusu masomo yao. Hili linawatia kiwewe wakati wa mtihani na yumkini ni mojawapo ya vyanzo vya udanganyifu katika mitihani.

elimu ya juu, Sayansi na Teknolojia. Ilitoa jumla ya tuzo 119 kwa wanafunzi wa kike kutoka shule 20 zilizofanya vizuri katika masomo ya Sayansi na Hisabati katika mitihani ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2006 (18); kidato cha sita mwaka 2006 na 2007 (25); vyuo vikuu, taasisi za serikal

atika matokeo ya Mtihani wa taifa wa darasa la saba yali-yotangazwa Oktoba 30,2021 na Katibu Mtendaji wa baraza la Mitihani Tanzania Dkt. Charles Msonde , . zilizopokea fedha ni Pamoja na Shule ya Sekondari Chuno madarasa manne (Tsh. 80,000,000), Shule ya Sekondari Shangani madarasa manne (Tsh. 80,000,000). .

of BEC is defined in terms of divisions, groups, subgroups and basic headings of SITC , Rev. 3. The categories of BEC are a rearrangement and aggregation of the basic headings of SITC, Rev. 3; reflecting the end -uses of the commodities covered by each basic heading. Each SITC, Rev. 3 basic heading is allocated entirely to one BEC category .

m/s bharat power tech ltd mehak kanwar, b.p. lathawal 40. o.m.p.(comm) 199/2020 jansatta sehkri awas samiti milind m bharadwaj i.a. 2641/2014 ltd vs. m/s gobind ram chaprana old no. o.m.p. 179/2014 and sons 41. o.m.p. (comm)197/2020 mukesh gupta vikas arora old no. o.m.p. 268/2014 vs. praveen kumar jolly 42. o.m.p. (comm)198/2020 celebi delhi cargo terminal gaurav duggal old no. o.m.p. 304 .

BRIDGE Number One Hundred and Fifty-Five November 2015 Bernard Magee’s Acol Bidding Quiz You are West in the auctions below, playing ‘Standard Acol’ with a weak no-trump (12-14 points) and 4-card majors. N W E S 1. Dealer West. Game All. A 10 6 4 A 10 9 2 W WA 9 8 4 2 WestNorth EastSouth ? N W E S 2. Dealer West. Game All. A K Q A K 4 3 A K 4 J 6 5 .