MWANAMKE ALIYEVIKWA JUA

2y ago
311 Views
7 Downloads
2.47 MB
8 Pages
Last View : 2d ago
Last Download : 2m ago
Upload by : Elisha Lemon
Transcription

Toleo 6BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THEMAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA KAZI YAMISSION FIELD WORLDWIDE.KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTEMWANAMKE ALIYEVIKWA JUA“Na ishara kuu ilionekana mbinguni;mwanamke aliyevikwa jua, na mweziulikuwa chini ya miguu yake, na juu yakichwa chake taji ya nyota kumi nambili” (Ufunuo 12:1).Mtume Yohana alipata heshima kubwaya kupata maono ya utukufu wamwanamke huyu huko mbinguni akiwana mwangaza mkubwa uliong’ara sana.Maono haya yanapatikana katika kitabucha Ufunuo na ni mfano ambao ndanimwake kuna ukweli muhimu. Wakatimwingi mwanamke huwa ni mfanounaowakilisha kanisa—kanisa la kweli aulisilo la kweli. Katika maono hayamwanamke huyu anaonyeshwa kamamtu aliye safi, kwa maana yeye alivikwajua.Yeye anawakilisha usafi na utukufuwa kanisa la mitume. Mfano wake nikinyume na mfano wa kanisa lililoangukaambalo mfano wake unaonekana kwenyemaono ya baadaye kupitia kwamwanamke kahaba ambaye simwaminifu kwa bwana wake.Kwenye maono haya mwanamke huyuamesimama juu ya mwezi. Mwezi haunamwangaza wake binafsi bali huangazaasilimia kidogo ya mwangaza wa kweliTahariri3Kujifunza Biblia:Kanisa la Mungu4“Kwa kuwa torati ilitolewa kwamkono wa Musa; neema na kweli zilikujakwa mkono wa Yesu Kristo” (Yohana1:17).ambao hutolewa na jua. Mwezi nimfano unaofaa wa Agano la Kaleambalo lilikuwa “kivuli cha memayatakayokuwa” (Waebrania 10:1).Agano hilo lilikuwa kiongozi namwalimu wa kutuleta kwa KristoMwanamke huyo alivikwa utukufu wajua. Jua huwa chimbuko la mwangaza wakawaida katika mpangilie wa ulimwenguwetu. Wakati Kristo alikuja kwenyeulimwengu huu uliopotea jua lenyeurembo mwingi wa ukweli lilichipukaambalo lilifukuza giza lililokuwepo. Kristondiye chanzo cha mwangaza wa kirohokatika kipindi cha Agano Jipya. Mwangazawa ukweli huangazia dhambi nakuonyesha njia ya kupata haki na ushindi.Kanisa la kweli limevikwa mwangazamkubwa wa usafi na unashinda kwambali mwangaza hafifu wa kanisa laAgano la Kale.Mwanamke huyu alikuwa na taji la nyotakumi na mbili. Taji hili linawakilishamamlaka na nguvu za utawala. Kanisa laMungu haliongozwi au kufungwa nadhambi na badala yake linatawala kwaushindi juu ya nguvu za adui, hata katikanyakati hizi zetu zenye uovu mwingi.Kanisa la MunguLenye Utukufu(Wagalatia 3:24-26). Agano lenyewelinatazamia jambo bora ambalo lingejiribaadaye.Kanisa la Mungu5Hapo mbeleni mtume Yohana alikuwa(Inaendelea kutoka ukurasa 2)Maswali na MajibuJe, Wajua?7Neno Linalofaa kwaMsimu Huu8

(Endelea kutoka ukurasa 1)BIBLIAInafundisha Kuhusu.Neno la Mungu2 Tim. 3:6, 2 Pet. 1:20-21, Mt. 24:35Uhusiano wa UpendoMt. 22:37-40, Yn. 14:21-23, 1 Yoh. 4:7-21TobaMdo. 3:19, 17:30, 2 Kor. 7:10Uzao MpyaYn. 3:3-7, 2 Kor. 5:17, Rum. 6:1-4, Efe. 2:1, 5-6Uhuru Kutokana na Dhambi1 Yoh. 5:18, Mt. 1:21, Yn. 8:11Ujazo wa Roho MtakatifuMdo. 19:2, 15:8-9, 1:8UtakatifuLk. 1:73-75, Ebr. 12:14, 1 Pet. 1:15-16,Tit. 2:11-12, Rum. 6:22Ufalme wa MunguLk. 17:20-21, Rum. 14:17, Yn. 18:36KanisaMdo. 2:47, Efe. 4:4-6, 1 Kor. 12:12-13,ameonyeshwa maono ya “nyota saba .na ya vile vinara saba” (Ufunuo 1:20).Akaambiwa kwamba nyota hizo zilikuwa malaika wa yale makanisa saba. Basinyota hizo zinawakilisha wahudumu wa Injili ambao wanaitwa “malaika” auwenye kubeba ujumbe. Ndiposa nyota kumi na mbili za taji la mwanamke yuleni huduma ambayo ilibeba ujumbe wa injili na kuupeleka kwenye ulimwenguuliopotea. Watumishi wakuu zaidi kwenye huduma hiyo ya kwanza ilikuwa nimitume wale kumi na wawili ambao walifanya bidii tangu mwanzo kushirikimwangaza wa ukweli. “Basi tangu sasa ninyi si wageni wala wapitaji, bali ninyini wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwakeMungu. Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesumwenyewe ni jiwe kuu la pembeni” (Waefeso 2:19-20).“Makanisa” mengi na dini nyingi zimefanya uzinzi wa kiroho na kufanyaukahaba kwa mambo ya dunia. Makanisa yanasujudu miungu ya kizazi hiki nakukubaliana na falsafa na matendo ambayo ndani mwake mmejaa dhambi.Imani za kibinadamu zinachukua mahali pa Neno la Mungu lililoandikwa.Makanisa haya hayadumishi uaminifu kwa bwana-arusi ambaye ni Yesu Kristo.Kanisa la kweli la Mungu limechumbiwa kwa mume mmoja na litatolewa kwaKristo kama bikira (2 Wakorintho 11:2). Ni shauku lake Bwana “apate kujileteaKanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwetakatifu lisilo na mawaa” (Waefeso 5:27). Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya bi-arusi huyu mrembo wa Kristo ambaye anajidumisha akiwa safi na bila mawaaya ulimwengu na mwenye utukufu wa mwangaza wa Neno la Mungu.—mwsKol. 1:18UmojaYn. 17:20-23, Gal. 3:28, Ufu. 18:2-4Kanuni za KanisaMt. 28:19-20, 26:26-30, I Kor. 11:23-27,Yn. 13:14-17Uponyaji wa KiunguLk. 4:18, Isa. 53:4-5, Yak. 5:13-16Utakatifu wa NdoaMt. 19:5-6, Lk. 16:18, Rum. 7:2-3,I Kor. 7:10-11Urembo wa NjeUKWELI WA INJILIGazeti la ‘Ukweli wa Injili’ huchapishwa kwa jina la Bwana kwa matumizi ya watu wa mataifayote kwa kusudi la kuimarisha na kuwahimiza watu wote katika ukweli wa neno la Mungu. Gazetihili hufundisha na kueneza ukweli wa Biblia ambao umethibitishwa tangu nyakati za Yesu Kristona mitume.Neno la Mungu ndio mwongozo halisi na wa kipekee wa imani. Linafundisha wokovu na ukombozi kutokana na dhambi unaoletwa na utakaso wa Yesu Kristo; ambao hufuatiwa na ujazo waRoho Mtakatifu anayemwongoza mhudumu, kumwonyesha njia, na kumpatia nguvu; pia unamletea mtu utakatifu halisi katika kila fani ya maisha yake; na pia kuleta umoja na utangamano wawatu wa Mungu. Huduma inayokubalika na Mungu inatokana na mtu kuwa na uhusiano wakibinafsi na wa upendo ambao msingi wake ni ukweli.Waandishi: Michael na René SmithI Tim. 2:9-10, I Kor. 11:14-15, Kum. 22:5Mwisho wa Nyakati2 Pet. 3:7-12, Yn 5:28-29, 2 Kor. 5:10, Mt.25:31-46Kupenda AmaniLk. 6:27-29, 18:20IbadaYn. 4:23-24, Efe. 5:19, 2 Kor. 3:17Wajibu MkuuMk. 16:152UAGIZAJIUkweli wa Injili ni gazeti la kieletroniki linalochapishwa kila robo ya mwaka kwa jinsi Munguanavyotuongoza. Tutembelee katika tovuti yetu ya www.thegospeltruth.org ili uagize jalida hilikupitia kwa orodha yetu ya anwani pepe na upokee toleo lako la wakati huu. Hebu jisikie hurukututumia orodha ya majina na anwani pepe za watu wengine ambao wangependa kupokea toleohili kutoka kwa mwandishi wa jalida la Ukweli wa Injili.WASILIANA NASIGazeti a Ukweli wa injili linachapishwa katika mataifa mbalimbali ili kusambazwa katika maeneo hayo.Kazi hii na zingine za kimishenari ambazo sisi hufanya huwezekana kupitia kwa matoleo ya kujitoleayanayotolewa kwa jina la Kanisa la Mungu.—————————Ukweli wa Injili, PO Box 2042., Nixa, MO 65714 USAeditor@thegospeltruth.org

TahaririKwa ajili ya Sayuni sitanyamaza, na kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia, hata hakiyake itakapotokea kama mwangaza, na wokovu wake kama taa iwakayo.—Isaya 62:1Somo la muhula huu wa robo ya mwaka ni kuhusu “Kanisa.” Shauku kubwa lamoyo wangu ni kwamba kila mtu aliye na ukweli atapata maono ya urembo wakanisa la kweli la Mungu. Nyingi za taasisi za kidini na mashirika ya Wakristo yamedunishaukweli hivi kwamba Wakristo wanapata ujumbe kwamba hawana haja ya “kuchukua msalabawao kila siku” kulingana na jinsi Bwana alivyofundisha. Njia ya kumtumikia Bwana ni nyonge nani ya utakatifu lakini ni njia nzuri. Ni njia ambayo inamwongoza mtu kupata nguvu na ushindi.Tukiruhusu ukweli kuhusu kanisa la Mungu kuwa maishani mwetu na katika ushirika wetu nijambo litakalomletea Mkristo uhuru na uwazi wa kuabudu “kwa roho na kweli.”Watu wengi hawatakubali kwamba wao ni sehemu ya kanisa la mwanadamu, lakini mtuakijifunza maandiko hatakosa kutambua kwamba makanisa mengi sio sehemu ya kanisa moja lakweli la Mungu. Mungu aliweka wazi mipangilie ya Kanisa lake. Sio kazi yetu kufanya mpangiliehuo kuwa wa kisasa. Ni kazi yetu na mwito wetu kujipima kwa Neno la Mungu. Kanisa la Mungulina urembo na utukufu. Kama Mlima Sayuni kanisa hilo huinuka juu ya mawingu yanayoleta haliya kuchanganyikiwa ambayo imetandaa katika ulimwengu wetu wa kidini.Ni baraka kubwa mtu kuwa huru kutokana na dhambi na kuwa huru kutokana na mafundisho natamaduni za kibinadamu. Haitoshi mtu kuwa na ufahamu wa ukweli katika akili zake tu. Ukwelihuo unahitaji kutumiwa kwa mambo ya kila siku ili mwili wa kweli wa Kristo uweze kujidumishabila kuingiliwa na mawaa ya kilimwengu. Makanisa mengi hujiita “Kanisa la Mungu,” lakini jinapeke yake halitoshi. Je, Roho wa Mungu ndiye anayeongoza mambo kanisani humo ama nimwanadamu anaongoza? Je, Biblia ndio mwongozo mkuu kwa mambo ya imani ama tu ni vileambavyo mhudumu wa kanisa anavyosema? Je, kuna mpangilie wa mamlaka pale kanisani amakweli Kristo ndiye kichwa cha kanisa hilo? Bwana atusaidie ili tuweze kufa kwa ajili ya nafsi zetuwenyewe ili kanisa liweze kuwa “Mji ulio kwenye Mlima” ambao hauwezi kufichika.Tutembelee kwawww.thegospeltruth.orgili uagize na kusomajarida letu.Sisi hatuhitaji kuwa waaminifu kwa historia iliyopita ama kwa maisha ya kitamaduni peke yake.Watu wengi hata katika “Kanisa la Mungu” wako huko kanisani kwa sababu walilelewa hivyo.Lakini mtu kuwa mshirika katika kanisa la Mungu ni jambo linalofanyika wakati ambapo moyowa mtu unabadilishwa kwa nguvu za kiungu. Uaminifu wetu unahitaji kuwa kwa MunguMwenyewe na kwa Neno lake la kiungu ambalo linatuwezesha kutembea katika utakatifu katikamaisha ya kila siku.Kama nitakavyoongozwa na Bwana mimi nitaweza kushughulikia mambo kadhaa ya maisha yakila siku yanayotokana na umoja na ushirika wa kanisa kwenye matoleo ya baadaye ya jalida hili.Ewe rafiki yangu mimi ninakuomba kuwa mtu mwaminifu, kwa maana punde si punde Bwanaanarudi.Michael W. SmithOktoba 20133

MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIAKunaMOJASomo: KANISA LA MUNGUSomo la Biblia:.Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.Matendo 2:47–Muhstasari: Kanisa ni taasisi ya kiungu ambalo lilianzishwa na Kristo, linaongozwa na Roho, na Neno laMungu ndilo mwongozo wake kwa mambo ya imani. Washirika wa Kanisa la Kibiblia—Kanisa la Mungu,ni waumini wote ambao wameokolewa kutokana na dhambi.Maana: Neno “kanisa” linatokana na neno la Kiyunani “ekklesia” ambalo lina maana ya “kusanyiko”ama “walioitwa feso 4:4-52 Timotheo 3:16-17Waefeso 3:14-154I. Mwanzilishi na MjenziA. Mathayo 16:15-18 Mjenzi ni Kristo.B. Waebrania 8:1-2 Haikujengwa namwanadamu.II. Msingi na Mlango—YesuA. 1 Wakorintho 3:9-11 Msingi.B. Waefeso 2:20 Jiwe kuu.C. Yohana 10:7-9 Lango la pekee la kupatawokovu.III. Washirika WakeA. Matendo 2:46-47 Wote walio-okoka.B. 1 Wakorintho 1:2 Watakatifu.C. 1 Wakorintho 12:18 Mungu humwekakila mshirika mahali pake.D. 1 Yohana 5:18 Washirika wakehawatendi dhambi.IV. Daftari ya WashirikaA. Luka 10:20 Majina yameandikwambinguni.B. Wafilipi 4:3 Kitabu cha Uzima(Ufunuo 20:12).V. Kichwa—KristoA. Waefeso 1:22 Kichwa juu ya vitu vyote.B. Waefeso :23-24 Kichwa cha kanisa(Waefeso 4:15-16).C. Wakolosai 1:17-19 Kichwa cha mwili.D. Isaya 33:20-22 Hakimu na mwenyekutoa sheria.VI. Kanuni au Mwongozo wa ImaniA. 2 Timotheo 3:16-17 Maandiko yote.B. 2 Petro 1:21 Yamevuviwa.VII. MpangilieA. 1 Wakorintho 12:18, 27-28 Munguhuweka kila mshirika mahali pake.B. Waefeso 4:10-13 Mungu hutoa karama.C. 2 Wakorintho 3:5-6 Mungu ndiyehuwatosheleza wahudumu wa Kanisa.VIII. Jina la KibibliaA. Waefeso 3:14-15 Limepewa jina la Baba.B. Waefeso 4:10-13 Lisha kanisa la Mungu.C. 2 Wakorintho 1:1 Kanisa la Mungu laKorintho (1 Wathesalonike 2:14).IX. Kanisa MojaA. Warumi 12:4-5 Mwili moja ndani yaKristo.B. Waefeso 4:4-6 Imani moja.C. 1 Wakorintho 12:12-14, 20 Viungo vingilakini mwili mmoja.X. Maelezo kuhusu KanisaA. Waefeso 1:22-23 Mwili wa Kristo.B. 2 Wakorintho 11:2 Bi-arusi wa Kristo.C. Waebrania 12:22-23 Mji wa Mungu –Mlima Sayuni.D. 1 Timotheo 3:15 Nguzo na Msingi waUkweli.

What is Truth?KANISALA MUNGUNakala ya kuandamana na Mafunzo ya BibliaKanisa ni taasisi la kiungu la munguKweli za kawaida kuhusiana na kanisa zinaangazia mapenzina kusudi za Mungu katika maisha haya na pia kudhihirishauongo wa taasisi za kidini katika jamii zetu. Ulimwenguumejaa dini na makanisa yenye viwango mbali mbali naimani tofauti. Hata ingawa watu wengi katika siku zetuhuendeleza dhana kwamba “kila mtu ana haki yakuhudhuria kanisa lolote alilochagua yeye mwenyewe”Biblia hufundisha kwamba kuna njia mojatu nyembamba ambayo huongoza mtukwenye uzima (Mathayo 7:13-14).maana ya ‘kanisa’Kila mtu katika kanisa la Mungu anaishi huku akiwa hurukutokana na dhambi.yesu ndiye mlango wa pekeeYesu ndiye mlango wa pekee ambao tunaweza pitia ilikuingia kanisani mwake. Yeye peke yake ndiye mwenyeuwezo wa kusamehe dhambi, “. . . mtu akiingia kwa mimi,ataokoka . . .” (Yohana 10:9). Hakuna kikundi cha watu,kuhani, askofu, au mhudumu yeyote wa Injili mwenyeuwezo huo. Basi hakuna mtu ambayeanaweza kutuingiza kanisani na hakunamtu anaweza kututoa hapo. Kitabuchenye washirika wa kanisa kimewekwambinguni (Luka 10:20) na majina yakeyamewekwa katika kitabu cha uzima(Wafilipi 4:3). Na kwa sababu Munguanajua kila mtu na kila moyo nakala yawashirika wa kanisa liko sawa, nahakuna jina lililoachwa nje.Kanisa linatajwa mara ya kwanza katikaBiblia kwenye Mathayo 16:18, “Naminakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu yamwamba huu nitalijenga kanisa langu;wala milango ya kuzimu haitalishinda.”Neno kanisa linatokana na neno laKiyunani ekklesia ambalo lina maana yayesu ndiye mwanzilishi“kusanyiko” ama “walioitwa kutoka.”Kanisa la Mungu lilianzilishwa naMaandiko yanatumia tena neno kanisakujengwa na Yesu Kristo Mwenyewe,Kanisa silo jengo . . . washirikakatika Matendo 2:47, “Bwana akalizidisha“.nitalijenga kanisa langu” (1kanisa kila siku kwa wale waliokuwawake ni watu wote ambaoWakorintho 13:11). Kikundi chochotewakiokolewa.” Kanisa silo jengo au mahaliwameokolewa kutokana nacha kidini ambacho kinaashiria kwambapa ibada, kanisa ni watu ambaomwanadamu fulani ndiye mwanzilishidhambi.wameokolewa kutokana na dhambi zao.hakifuati ukweli. Mwandishi mmojaWatu wa Mungu wameitwa ili “watoke”anayeitwa Circa aliandika katika mwakadhambini, watoke duniani, watoke kwawa 30 (Baada ya Kristo) na kusemadini, n.k. Wao wana ushirika na Mungu nakwamba Yesu ndiye alianzisha kanisa lake humu duniani, sioumoja wa Roho, huku wakiishi kwa imani katika Neno lamwanadamu (Waebrania 8:1-2). Yeye alikufa, akafufuka,Mungu.akapaa kwenda Mbinguni na kumtuma Roho Mtakatifu iliKANISA LA MUNGUwashirika wa kanisa la kweli la munguawape nguvu waumini za kuishi maisha matakatifu.Mtu kuwa mshirika wa kanisa hakutokani na yeyekuhudhuria ibada, ama kwa kuandikwa kwenye kitabu chawashirika wa kanisa, ama kwa yeye kupata cheti chaubatizo. Mungu ndiye huweka washirika kwenye mwili(1 Wakorintho 12:18). Tunaingia kanisani mwa Mungutunapozaliwa tena na kuokolewa kutoka dhambini kwadamu yake Yesu Kristo ambayo hutupatanisha na Mungu.msingi wake ni kristoYesu ndiye msingi wa taasisi hii ya kiungu: “Maana msingimwingine hakuna mtu awezaye kuuweka, isipokuwa ni uleuliokwisha kuwekwa, yaani, Yesu Kristo” (1 Wakorintho3:11). Neno la Mungu lililovuviwa ndilo kanuni aumwongozo wa pekee wa imani katika kanisa la Mungu(Inaendelea kutoka ukurasa 6)5

kanisa lilipewa jina lake na mungu mwenyewe(Endelea kutoka ukurasa 5)Kuna majina mengi na maelezo ya vyeo vya kanisa na taasisi zakidini. Lakini tayari Mungu amewapatia watu wake jina. “Kwahiyo nampigia Baba magoti, ambaye kwa jina lake ubaba wotewa mbinguni na wa duniani unaitwa” (Waefeso 3:14-15). Niaibu kwa familia ya kiroho kuitwa kwa jina lingine isipokuwalile la baba yake. Neno laMungu liliwafunzawahudumu wa Injili wapate“kulilisha kanisa lakeMungu” (Matendo 20:28).Jina la kweli na la kibiblia lakanisa ni “Kanisa la Mungu.”Katika Maandiko wauminiwa mahali pamoja waliitwaKanisa la Mungu(2 Wakorintho 1:1). Ingawajina peke yake halimwokoimtu hilo ndilo jinaambalo limepewahalipangwi na kamati za watu au kanisa la Mungu.kanisa ni moja(2 Timotheo 3:16-17). Maandiko ndiyo hupewa kipa umbele namamlaka yake ni ya juu zaidi ya kila tamaduni, mazoea, autamko la imani ya kibinadamu. Katika kanisa la Mungu hamnakundi la askofu la kuwachagua viongozi au wahudumu wa Injiliambao ndio huamuampangilie wa kanisa.Mungu tayari ashatupatiaNeno lake na Roho wakekuwa mwongozo wamaisha yetu.kristo hana mbadalaYesu ndiye “. . . kichwacha mwili, yaani, chakanisa; .ili kwamba awemtangulizi katikayote” (Wakolosai 1:18).Hakuna mbadala wakeKristo mbinguni naduniani. Yeye ndiyekichwa cha kila kitu.“Kwamaana Bwana ndiyemwamuziwetu; Bwana ndiye mfanya sheria wetu; Bwana ndiye mfalmewetu; ndiye atakayetuokoa” (Isaya 33:22). Katika kanisa laMungu hamna nafasi ama haja ya uchaguzi wa askofu aumsimamizi kwa maana Kristo ndiye askofu wa nafsi zetu.Kanisa la Mungukwa uchaguzi bali linatawaliwa na Roho Mtaktifu.viongozi huchaguliwa na munguKatika kanisa la Mungu ndiye huweka washirika mwilini kwajinsi apendavyo (1 Wakorintho 12:18). Yeye ndiye hupatiakanisa karama (Waefeso 4:10-13) na Roho hupanga nakuongoza kanisa kulingana na mapenzi Yake. Mara nyingimwanadamu hujaribu kuchukua wajibu huo wa kuongoza nakuchagua. Lakini katika mwili wa Kristo washirika humtegemeaRoho kuwaongoza kwa njia watakayofuata. Upako wa Roho nauongozi hauji kwa njia ya elimu, au kwa kuhudhuria seminari,au kwa kuwa na uhusiano na mtu fulani aliye uongozini balikwa mtu kujitoa wakfu kwa wito wake Mungu.Ingawa kuna makanisamengi sana na dininyingi Mungu ana kanisa moja tu – Kanisa la Mungu. Kanisahilo hujulikana kama “mwili wa Kristo” (Efeso 1:22-23).“Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, naviungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja;vivyo hivyo na Kristo” (1 Wakorintho 12:12). Maandiko piayanasema kwamba Kanisa ni bi-arusi (2 Wakorintho 11:2).Mungu hana mabibi wengi. Yeye ana bi-arusi mmoja ambayeni kanisa.Tunamuomba kila msomi atambue tofauti kati ya kanisa lakweli la Mungu na makanisa ya wanadamu. Kanisa la Mungu nihuo mji ambo umewekwa juu ya kilima na ambao hauwezikufichika (Mathayo 5:14). Kanisa hili limepaa juu ya hali zote zakuchanganyikiwa kwa wanadamu kuhusiana na maswala yakidini na mafundisho ya kidini. Kanisa la Mungu ni safi,takatifu, lisilo na doa, na la kweli. Kristo ndiye mwanzilishi,kiongozi, mwenye kutoa sheria, na Mwokozi wake.—mws6

SWALInaJIBUSwali: Kanisa ambalo mimi huhudhuriahalifunzi ukweli wote unaopatikanakwenye Biblia. Je, nifanye nini kuhusianana jambo hilo.Jibu: Hili ni swali lenye umuhimumkubwa na nzito ambalo linastahili jibulililowaziwa vizuri kwa maana watu wengihujipata kwenye hali kama hii. Nimuhimu kutambua kwamba Kanisa laMungu ni kanisa la kiungu. Kila mtuambaye ameokolewa kutoka dhambinikupitia kwa Yesu Kristo huwa ni sehemuya kanisa hilo la kweli (Matendo 2:47).Kuhudhuria ibada katika kusanyiko ladhehebu yoyote ile na lililo na jina lolotelile hakumleti mtu katika taasisi ya kiunguinayoitwa kanisa. Mtu yeyoteulimwenguni ambaye hutubu dhambizake huweza kuingia kanisani. Yeyeanaweza kujitambulisha kamamshirika wa “kikundi” fulani lakinikundi lenyewe silo ambalo Munguhutambua. Mtu mwenyewehufanyika kuwa mshirika wa Kanisala Mungu, iwe anatambua hivyoama hatambui, kwa maana Munguhutambua hali ya moyo na maisha yamwanadamu.kuendelea kuwa “mwokovu” kwamaana hadaa za kiroho ni moja yamatokeo ya kudumu kutokana namafundisho ya uongo. Hamna shakakwamba “kanisa” ambalo linafunzauongo na ambalo limepotoka kwamambo ya ukweli wa Neno la Mungu nikanisa ambalo limeanguka machonipake Bwana. Maandiko huita makanisakama hayo kuwa ni Babiloni, amayaliyochanganyikiwa. Katika kitabu chaUfunuo makanisa hayo yamepewamfano wa “kahaba” na hayamruhusuRoho wa Mungu kuwaongoza. Imanizao kuhusiana na dini huchukuliwakuwa muhimu zaidi kuliko Bibliayenyewe. Kamati zao za kanisa nazoukweli na hayafundishi ukweli wote nihatari zaidi kwa watu wanaotafutaukweli kuliko dini ambazo zinafundishakinyume na Biblia. Ukweli ambao siokamili huacha pengo ambazo aduihufanya kazi maishani mwa Wakristo.Mapenzi yake Bwana ni kwambatujitenge kutokana na manabii wauwongo na kutokana na taasisi zakibinadamu na tuwe katika ushirika nawashirika wa kweli wa mwili Kristo—maanake Kanisa la Mungu.Ingawa mifumo na misingi ya makanisamengi hayafai kwa sababu hayafundishiukweli wote ni muhimu kutambuakwamba kuna watu wengi wasio namakosa ambao wako na wanadumukwenye mifumo hiyo. Mradi watu haowataishi maisha matakatifu mbele zakeMungu wao wataenda mbinguniwatakapoaga dunia. Lakini mtuakiendelea kudumu katika mahubiriambayo si ya ukweli wote atapatamadhara kwa jinsi ambavyo ataendeleakudumu humo. Mwisho wao watajipatakwenye njia panda na itawabidi kujiuliza– “Je, mimi niendelee kudumu chini yamahubiri haya yasiyo ya kweli nakuyakubali tu, ama niwe wazi mbele zakeBwana na nijitenge kutokana na mamboyaliyo mapotovu?”JE, NINASTAHILI KUSHIRIKIKATIKA KANISA LA UONGO?Taasisi yoyote au “kanisa” ambalohalifunzi ukweli wote linaweza kuzileteanafsi za watu hasara kubwa. Ni kwelikwamba watu wanaweza kuokoka kwanjia ya mahubiri kanisani humo kamakutakuwa na toba ya kweli. Lakini shidaya kuendelea kushiriki kwenye kanisa hilohuwa kwamba inakuwa ngumuhuchukua mahala pa Roho Mtaktifu,n.k. Utaratibu huo ni mpotovu nayeMungu haukubuli. Ndiposa Maandikoyanasema, “ Tokeni kwake, enyi watuwangu, msishiriki dhambizake ” (Ufunuo 18:4).Shetani ameleta madhara makubwakwa Ukristo wa kweli kupitia kwamakanisa yanayojiita ya Kikristo hatakuliko alivyofanya kupitia kwa makafirina kwa mateso ya moja kwa mojaambayo ameiletea kanisa. Makanisayanayofundisha sehemu sehemu zaJinsi swali hivyolitakavyoshughulikiwa litaletatofauti ya hatma ya maisha yamilele ya mtu. Watu wanahitajikusimama wima kwa unyenyekevu dhidiya uongo na kuwa kwenye ushirika naumoja wa imani na wa Roho.Ni ombi letu kwamba Bwana atapatianeema na hekima nyingi yeyote yulealiye kwenye dini za uongo na awapeujasiri wa kusimama wima kwa kileambacho ni cha haki na cha kweli.Amina.—mws7

Ukweli kuhusu Mtume Petro . . . Jina lake lilikuwa Simoni Bar-yona, Yesu naye akampatia jina lingine Kefa (Petro), maanake jiwe.JE, WAJUA? Alizaliwa Bethsaida, karibu na Bahari ya Galilaya na kikazi alikuwa mvuvi wa samaki. Petro alikuwa mmoja wa wanafunzi wale kumi na wawili na alikuwa ameoa. Ndugu yake aliitwa Andrea na alikuwa mfuasi wa Yohana Mbatizaji, halafu akawa mtume wa kwanza wa Yesu. Alikufa hapo mwaka wa 64 (Baada ya Kristo) huko Roma katika utawala wa Kaisari Nero. Yeye alisulubiwakichwa chini miguu juu kwa maana hakuona kwamba anastahili kufa kwa njia moja na Bwana wake Yesu.NenoLinalofaa kwaMsimu HuuYehova-Nisi—Bwana ni Bendera YanguKutoka 17:15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yehova-nisi.AnwaniThe Gospel TruthP. O. Box 2042Nixa, MO 65714USAEmail:editor@thegospeltruth.orgUtakatifu kwa BwanaWakati Musa angeinua mikono juu wana wa Israeli wangeshinda Waamaleki vitani.Ndiposa Haruni na Huri wakasimama kando kando yake Musa ili wamshike mikonokuinyanyua hewani wakati Musa alipochoka. Basi Mungu akawapatia ushindi dhidi yaadui. Kwa kumbukumbu la jambo hilo Musa akajenga madhabahu na kuyaita Yehovanisi, maanake “Bwana ni bendera yangu.”Kuna sababu nyingi zinazofanya askari kuinua bendera yakuwaongoza vitani. Bendera hiyo ilitumika kutambuawatu, kupeana mwongozo vitani, kuwapatia askarimotisha, na kama ishara ya ushindi. Wana wa Israelihawakupigana kibinafsi, wao walikuwa wakipigana kamamwili wenye umoja chini ya uongozi wa Bwana Mungu.Yehova alikuwa ndiye bendera yao. Waisraeli walishindakwa jina lake.Wakati mwingi moshi na kelele za vita huleta ukungumachoni pa watu na kuwakosesha uwezo wa kuona maono na mwelekeo wa vita.Jambo hilo pia ni kweli katika vita za kiroho ambazo tunakumbana nazo maishanimwetu. Ikiwa tutatazama sana mazingara yaliyotuzunguka tunaweza kufa moyo nakukatishwa tamaa. Tunahitaji kutafuta na kusimama wima tukiwa na bendera yetu.Kristo ndiye muhuri wetu (Isaya 11:10) na tunafanya kazi katika mapenzi, bidii, nakujitoa mhanga kwake. Sisi tunaweza kutambulika tu kwa jina hilo la Yehova-nisi, na nindani yake tu ndipo tunaweza kupata kusudi, nguvu mpya, na hata ushindi.—mws8

ambalo lilikuwa kivuli cha mema yatakayokuwa (Waebrania 10:1). Agano hilo lilikuwa kiongozi na mwalimu wa kutuleta kwa Kristo (Wagalatia 3:24-26). Agano lenyewe linatazamia jambo bora ambalo lingejiri baadaye. Kanisa la Mungu Lenye Utukufu BIBLICAL INSTRUCTION A

Related Documents:

4. Biblia inajibu maswali tunayojiuliza Mwanamke fulani alitambua kwamba Biblia ina majibu ya maswali yaliyomhangaisha kwa miaka mingi.OnyeshaVIDEO,kisha mzu-ngumzie maswali haya: Katika video hiyo, mwanamke huyo alijiuliza maswali gani? Kujifunza Biblia kulimsaidiaje? Biblia inatutia moyo tuulize maswali.SomaMathayo 7:7, kisha mzungumzie .

Suriname SUR PJC 61 Swaziland SWZ AJU 61 Sweden SWE EJU 61 Switzerland SUI EJU 62 Syrian Arab Republic SYR JUA 62 Tajikistan TJK JUA 62 . Yellow: Asia Blue: Europe Red: Panamerica Green: Oceania IJF standard ratio Vertical

Hali halisi ya uzazi wa mpango endelea--- Idadi ya watu inaendelea kuongezeka kwa kasi kubwa kwa zaidi ya mara tatu kutoka milioni 12.3 mwaka 1967 mpaka milioni 44.9 mwaka 2012. Wastani wa idadi ya watoto kwa kila mwanamke aliye katika umri wa uzazi (15-49) nchini bado ni mkubw

KWANZA-KIDATO CHA PILI -KISWAHILI KIDATO 2 Compiled & distributed by Schools Net Kenya, P.O. Box 15509-00503, Nairobi Tel: 254202319748 E-mail: infosnkenya@gmail.com ORDER ANSWERS ONLINE at www.schoolsnetkenya.com UFAHAMU (ALAMA 15) Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia. Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona .

apa juga bentuk dan dengan cara apa jua sama ada secara elektronik, fotokopi, mekanik, rakaman atau cara lain sebelum mendapat kebenaran bertulis daripada Pengarah, Bahagian Pembangunan Kurikulum, Kementerian Pendidikan Malaysia, Aras 4-8, Blok E9,

6 Undang-Undang Malaysia AKTA 446 Takat pemakaian 2. (1) Tiada apa-apa jua dalam Akta ini boleh terpakai bagi mana-mana tempat pekerjaan atau bahagian daripadanya, yang terletak di dalam kawasan Majlis Bandaraya, Majlis Perbandaran

Hak Cipta Terpelihara. Tidak dibenarkan mengeluar ulang mana-mana bahagian artikel, ilustrasi da isi kandungan buku ini dalam apa juga bentuk dan dengan cara apa jua sama ada secara elektronik, fotokopi, mekanik, rakaman atau cara lain sebelum mendapat izin bertulis daripada Pengarah, Penerbit UiTM,

Spring Lake Elementary Schools Curriculum Map 2nd Grade Reading The following CCSS’s are embedded throughout the year, and are present in units applicable: CCSS.ELA-Literacy.SL.2.1 Participate in collaborative conversations with diverse partners about grade 2 topics and texts with peers and adults in small and larger groups. CCSS.ELA-Literacy.SL.2.2 Recount or describe key ideas or .