DARASA LA SABA - KCPE Past Papers - Free KCPE Past Papers

2y ago
449 Views
4 Downloads
1.21 MB
8 Pages
Last View : 10d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Bennett Almond
Transcription

DARASA LA SABAKISWAHILI SEHEMU YA KWANZA:LUGHAMuda:Saa 1 dakika 40SOMA KWA MAKINI MAAGIZO YAFUATAYO1. Umepewa kijitabu hiki cha maswali na karatasi ya kujibia. Kijitabu hiki kina maswali 50.2. Ikiwa utataka kuandikia chochote ambacho si jibu andika katika kijitabu hiki.3. Ukisha chagua jibu lako lionyeshe katika KARATASI YA MAJIBU na wala siyo katika kijitabuhiki cha maswali.JINSI YA KUT UMIA KARATASI YA MAJIBU4. Tumia penseli ya kawaida.5. Hakikisha ya kwamba yafuatayo yameandikwa katika karatasi ya majibu:NAMBA YAKO YA MTIHANIJINA LAKOJINA LA SHULE YAKO6. Kwa kuchora kistari katika visanduku vyenye namba zinazou,sha namba yako kamiliya mtihani (yaani namba ya shule, na zile namba tatut a hi wa tika sehemu iliyotengwamwanzo wa karatasi ya majibu.7. Usitie alama zozote nje ya majibu na usiikunje. 8. Iweke safi karatasi yako ya majibu na usikunje.a . ameonyeshwa kwa herufi9. Kwa kila swali 1-50 umepewa majibu manne. aJA, B, C naD.· . Chagua jibu hilo.Ni jibu MOJA tu kati ya hayo manne a al i10.herufi uliyochagua kuwa ndilo jibuMfano19. Tumiakiam isi iDarasa taJe aA. iuJibu sahihi ni CKatika karatasi ya majibu [A] [BJ [CJ [DJ [A] [BJ [DJC. li [AJ [Bl [CJ [DJ m[AJ [BJ [CJ [DJD. ki11[A] [BJ [CJ [DJKatika visanduku vinavyoonyesha majibu ya swali namba 19, kisanduku chenye herufi Cndicho kilichochorwa kistari11. Chora kistari chako vizuri. Kistari chako kiwe cheusi na kisijitokeze nje ya kisanduku.12. Kwa kila swali, chora kistari katika kisanduku kimoja tu kati ya visanduku vinne ulivyopewa." Discovery Educational Publishers. NairobiKijitabu hiki cha maswali kina kurasa 8 zilizopigwa chapa.Discovery National Examinations 2020GEUZA UKURASA

Soma vifungu vifuatavvo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa maiibumanne. Chagua iibu lifaa/o zaidi kati ya ulivopewa.Ulikuwa usiku l manane.Mvua 2 . kwa kiasi kikubwa. Nje.kulikuwana giza 3 . Kijiji 4 kilikuwa kimelala. 5 ya· vyura vidimbwini ndiyoiliyosikika. Ghafla bin vuu 6 .yalienea angani kutoka 7 nyumba ya jirani.Mbwa nao walisikika--'- 8 . Wanakijiji walitetemeka kwa 9 walihofia maishayao. Hakuna aliyeelewa IO . za usiahi huo.I.A.ya-1i·B.kwaC.naD.wa2. A.ilinyeshaB.zilinyeshaC. ulinyeshaD.walinyesha3. A. tititiB.mwaC.totoroD.tiriri4 . A. mzimaB. kizintaC. nzimaD. zima5. A. MilioB.MroromoC. KuliaD. Mlio6.A. sautiB.nduruC.ugomviD.·mayowe7. A. kwaB. katikaC.ndaniD.juu ya.8. A:·wakiliaB. .rahaD. kicheko10. :A. ukweliB. faidaC.hasaraD. sababuNi 11 la kuvunja mayo kuona, jinsi nchi yetu inavyodidimia katika ufisadi.Pesa 12 zimefujwa na viongozi wetu wenye 13 ya fisi.Wao huendelea tukujaza ma bo 14 . Tushirikiarie lcupigana na ufisadi kwani 15 .11. ingiD. wengi,13.A. tamaaB. matumainiC.urohoD.hamu14.A.zaoB.yakeC.yenuD.yao15. A; asiyesikia la mkuu huvunjika guuC. umoja ni nguvu utengano ni udhaifuB.mvumilivu hula mbivuD.dalili ya mvua ni mawingui 2.,.:,,KISW/7

j Kutoka swali la 16 hadi 30, iibu kulinganana maagizo.16. Ni salamu zipi zinazotumiwa nawatoto?- chewaA. ChewaB. Hujambo - sijamboc: Cheichei - ewaaD. Shikamoo - marahaba1 .,:21. Kutokana na nomirio ulezi tutapatakitenzi kipi?A. MaleziB. LeaC. MzaziD. Mlinzi22. Shairi lenye mishororo roitano katikakila ubeti huitwa?A. TakhmisaB. TarbiaAndika sentensi ifuatayo kwa wingil}zi huo ndio ulioshonea nguoA. N)ruzi hiyo ndiyo iliyoshonea nguoB. Uzi h:. zo ndizo zilizoshonea nguoC. TasdisaD. TathniaC. Nyuzi hayo ndiyo y:1liyoshooeanguoD. Nyuzi hizo ndizo zilizoshonea nguo-1 -Ipi si maana ya neno vua?-- A Oiil.fo mwilini kitu kilichovaliwaB. Toa samaki majini18. Ni kiungo kipi cha mwilikinachosafisha damu?A. FigoB. IniC. KongoshoD. KibofuC. Toa mtu katika matatizoD. Safisha nguo kwa maji na sabuni24. Kan usha sentensi ifuatayo kwa usahihiKusoma sana kulimsaidia baadaye.A. Kusoma sana hakukumsaidia baadayeB. Kutosoma sana hakutamsaidia19. Akisami 2/9 kwa maneno ni A. sudusi tisaB. tusui mbiltC. sub1:;1 tisabaadayeC. Kutosoma sana hakukumsaidiabaadayeD. Kusoma sana hakutamsaidiaIJ. thumni mbilibaadaye.20. Ni sentensi ipi iliyo katika halitimilifu?A. Wageni walifika asubuhiB. Miti hiyo itakatwa kwa shokaC. Mwalimu anafunza KiswahiliD. Wanafunzi wamefika shuleni25. Chagua sentensi yenye istiaraA. Mwanafunzi ni kigeugeu kamakinyongaB. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyoC. Gunia lilianguka sakafuni pu3KISW/7.

D. Mtu huyu ni sungura26. Maneno dhana na zana, nchi na inchi,dhalili na dalili huitwa?A.VisaweB. VitateC. VitaweD. Vibadala27. Tegua kitendawili kifuatacho.Chaudhi, chapendeza, chachekeshaA. SautiB.UparaC.HewaD. Ndege28. Ni alama ipi ya uakifishaji in yoonyesb.:akuwa kuna orodha itakayofuata?A. Nukta na mkatoB. iviabanoC. Nukta mbi1iD . .Kikomo29. Chagua mkato wa mpwa wako.A.MpwawoB.MpwakoC.MpwaweD;"Mpwao30. Ni mcethali ipi yenye maana kuwavitendo vyem kila wakati hupongezw?,.na mtu husifiwa kwa matendo yake.,. mema?J\".: '. anda chema huvikwa pete··B.'. aliyopita si nd,wele 'cugange yajayoC. Ml!Ci!!r1a akisifiwa, tembo hulitia majiiLUsipozibaufa tajenga ulmtaKISWn

Soma habari ifr . atar.o kisha uiibu maswali 31 hadi 40.c.,V H1: vi majuzi, yaani siku ya Dominika il2'. pita, nilikata shauri kuliabiri basi ili kwendaku:.nzuru na kumjulia h!li shangazi yangu ambaye · sikuwa-nitn f!!tia ozi kwa muda mrefu.Shangazi yangu alikuwa akiishi mtaa wa vumilia umbali wa kilotnitahamsini ivi u?an. ';amashariki mwajiji nilimoisliL --- Naam, basi lilikuwa limejaa abiria ungedhani n1 ndizimkunguni. Kila mmoja alikuwakatika shughuli zalce l'eilgin -- ma wale Waliokuwa wakitoka kazini kurejea kwao- akitokaya iku nzima .ya kurauki k;zcw kuburudika baada.maabadini. Nd ni mlikuwa najoto kama tan:uri lakini nilivumilia botatu nifike mapema.Barabara hiyo haikuwa na magari mengi ya abiria. Punde si .punde dereva alilitia gariufunguo na safari ikaanza mwendo wa saa tisa unusu. Safari sasa ilikuwa imeiva. Abiriawalisikika wakipiga gumzo na wengine wakiangua vicheko. Hiyo ilikuwa ishara ya furaha.Baadaye kondakta alisimama na kuanza kazi yake ya kuchukua nauli µuku akipeanarisiti. Alipofika nilipokuwa nimeketi, alininyooshea mkono akidai nimpe haki yake. Bila yawasiwasi :wala wahaka wowo e niliupeleka mo mfukoni ih kutoa pesa za nauii.Masalaal !Moyo ulianza kunienda mbio nilipokosa hela nifukoni. Acha kijashochemba,mba kinidondoke. kipajini. · Nilijatibu kuongea lakini sauti haikunitoka. Kumbe'Ihuenda nilizipotez.a pesa .zangu paid stehdini. Abina mmoja alinionea huruma na kunilipia ,\,! I;1' nauli ya shilingi mia mbili kwani kondakta alikuwa ametishia kunitupa nje. Nilinishukuru '' / ; ' abiriahuyo kwa wema wake. Baada ya saambili,,nilifika-kwa shangazlsalama salimihi.5KISW/7:

31. M&im lizi ali : a kumtembelea shan i 36. .joto kama tanU1.i. Hii ni fani gani ya,yake s1ku gam?lugha? .A. JumatatuA. Istiara''B. JumapiliB. Methali.C. TashbihiC. Jumamosir:'. TinmaaD. Nahauv: z.r----. . .32. Ni nini maana ya maneno nimem,tiakulingana na·habari?A. Nimemsikia ·B. NimemtembeleaC. Nimemwon D. Nimemkutaozi · .-NI:-ja mbo lipi linaloonyesha kuwa abiriawalikuwa wenye furaha? ·A. Kucheza kutokana na muzikiuliokuwa baslniB. Kupiga gumzo na kuchekaC. Kucheka na kupeana nauliD. Kuzungumzanakuwana wasiw.asi33. Kulingana na habari hii, ni kwelikusema; .38. Pindi tu kondakta alipomnyoosheaA. msimulizi aliishi katika mji wa Vumiliamkono msimulizi ampe na11liB. mtaa wa Vumilia ulikuwa magharibi· A. Alijitia hamnazo iii kuepuka kulipamwa alipoishi msimulizinauliC. mtaa wa Vumilia ulikuwa umbali waB. Tayari alikuwa amefahamu alipotezakilomita· mia mojapesa zakeD. shangazi ya mwanqishi aliishi katikaC. Alianza kulia kwani hakuwa a pes mtaa wa Vumiliaza kulipia nauliD . Aliupeleka mkono mfukoni iii kutoa34. Basi alilolisafiria msimulizi;pesa za nauliA. lilikuwa na abiria wengi zaidi . '.B. liliendeshwa kwa kasi39. Baada ya msimulizi kugundua kuwaC. halikuwa na abiria wengi sanahakuwa na hela mambo yafuatayoD. lilibeba abiria kiasi tuyalitokea isipokuwa?A. Alipata ujasiri mkubwaB. Moyo ulimdunda kwa kasi35. katika basi hilo si eli kusema kuwa;C. Jasho lilimtiririka usoniA. kila abiria alitoka shughuli iakeD. Alishindwa kuzungumzaB. abiria wote walikuwa wakitoka kaziniC. miongoni mwa abiria k:una wale4,.,. Abiria aliyemlipia msimulizi nauliwaliotoka maabadinialikuwa mwenyeD. basi lilikuwa na joto jingiA. kichwa chepesiB. mkono waziC. kulaza damuD. mkon tirika6KISW/7

Soma taarifa ifuatavo kisha uiibu maswali 41 hadi 50.Ulanguzi na utumiaji wa dawa za kulevya ni jambo lililop,igwa marufuku na kupigwa vitana mataifa mengi ya dunia . Serikali za nchi duniani zimekuwa macho kuwatia mbaroniwanaohusika na ulanguzi huu.Katika jitihada hizi wanaotoka na wanaoingia nchini huchunguzwa ili kuonekana kamawanasafirisha law.a za kulevya. Utafiti unaonyesha kuwa watu wengi wanaopatikanl;l na hatiahii huadhibiwa vikali.Dawa za kulevya zina madhara ambayo kila aliye na sikio angezingatia mafunzo dhidiyake. Kwa kufanya hivyo watajitahidi kujiepusha nazo au kuziacha ikiwa wanahusika nazo.Dawa hizi zimewafanya wengi kuwa mazuzu baada ya kuzitumia kwa muda mrefu kupita kiasihata zikawadhuru akili zao.Watoto wa watu, wanaotumia mihadarati huzaliwa wakiwa na kasoro fulani katika viungovya miili yao. Aidha, huwa na uzani mdogo. Wengine huadhirika akilini na kusababisha shidazakutofanya uamuzi mwafaka akilinina pia kuwa na matokeo mabaya huleni.Wakati mwingine 'dawa hizi humfanya mtumiaji asione vizuri. Macho huona vitu vidogovikiwa vikubwa na vikubwa vikiwa vidogo. Kutoona vyema huku huwafanya maderevawanaotumia dawa hizi kusab bisha ajali barabarani. Maji yanapozidi unga, watumiajiwa dawa hizi huipa dunia mkono wa buriani. Ni jukumuletu kushikana mikono nakup ulanguzi wa dawa za kulevya tusije tukaangamia sote.7KISW/7

-- -----\41. Ulanguzi na utumiaji wa dawa za kulevya 47. Unafikiria ni orodha gani yenye dawa zaunapingwa katikakulevya pekee?A. mataifa yote dunianiA. Pombe, sigara, kahawaB. serikali zote dunianiB. Miraa, kokeini, mchichaC. mataifa mengi AfrikaC. Miraa, dania, pombe- D. Nchi nyingi dunianiD. Pombe, sigara;miraa42. Ni nini maana y kuwatia mbaronikulingana na habari?A. KuwafukuzaB. KuwakamataC. KuwazuiaD. Kuwatenga43. Wanaopatikana na hatia hufanyiwa nini?A. Huadhibiwa vikaliB. Husamehewa na kuachiliwaC. Hurudishwa katika nchi walizotokaD'. Hutengwa wasiwadhuru wengine48. Ni nini maana ya maji yanapozidi ungakulingana na habarj?A. Mambo yanapokuwa mabayaB. Mambo yanapokuwa mengiC. Mambo yanapokosa kufauluD. Mambo yanapom;iekana kuboreka49. Ni wajibu wetu kufanya nini?A. Kutengana ili tusiathirike na dawa zakulevyaB. Kuungana pamoja kuwaangamizawatumiaji wa mihadaratiC. Kushirikiana na kupigana namihadaratiD. Kushirikiana na kupigana namihadarati44. Yafuatayo ni madhara ya mihadaratiisipokuwa;A. kasoro kwenye akiliB. matatizo ya machoC. watoto kuzaliwa wakiwa na uzanimdogoD. kuchangamsha akili na kuwa zuzu50. Kichwa kinachofaa habari hii ni kipi?A. Madhara ya dawa za kulevya45. Ni nini kinachosababisha ajali kulinganaB. Aina za dawa za kulevyana habari?C. Matumizi ya dawa za kulevyaA. Madereva kukosa usingizi wa kutoshaD. Njia za kuzuia dawa za kulevyaB. Madereva kutoona vizuriC. Madereva kuwa na fikra nyingiD. Madereva kubeba abiria wengi46. Ni kweli kusema kuwaA. dawa hizi zinapotumiwa kwa mudarorefu haziatbiri akiliB. watoto wa wanaotumia mihadaratihuugua utapiamloC. watoto wanaozaliwa na wanaotumiamihadarati hawafaulu masomoniD. dawa za kulevya hazina madharameng18KISW/7

A.Wageni walifika asubuhi B.Miti hiyo itakatwa kwa shoka C.Mwalimu anafunza Kiswahili D.Wanafunzi wamefika shuleni j 21. Kutokana na nomirio ulezi tutapata kitenzi kipi? A.Malezi B.Lea C.Mzazi D.Mlinzi 22. Shairi len

Related Documents:

wa somo la Kiswahili wa mwaka 2016 ulioanza kutumika Januari 2017, ambao ulizingatia muhamo wa ruwaza. Aidha, fomati hii imezingatia malengo ya Upimaji wa Elimu Msingi Darasa la Tatu na Darasa la Nne ambayo ni pamoja na kufuatilia kiwango cha ujifunzaji wa wanafunzi wa Darasa la Tatu na Darasa la Nne katika somo la Kiswahili.

Alitaka kujua kwa nini mkewe aliyasema hayo ilhali alikuwa amemweleza kuhusu wageni tangu siku iliyotangulia. Aliuliza kwa nini mke wake hakumwambia kuwa asingepika ilihali wazazi wake wangewasili baada ya muda mfupi. Basi mume ilimbidi aondoke pale nyumbani ili aibu isimfunik

Saba Security Program implements a multibusiness review process that focuses on meeting and exceeding industry-accepted practices. In addition to embedding security throughout the System Development Life Cycle, Saba adheres to priva

Saba Software. All ights eserved. Saba Cloud – Validated Environment Managed Services (VEMS) 2 Companies operating in highly regulated GxP markets such as pharmaceuticals, medical device manufacturers, biotech companies, biologics developers, life science companies

P.O. Box 1000, Church Street The Bottom, Saba, Dutch Caribbean Phone 011-599-416-3456 Fax 011-599-416-3458 Website: www.Saba

it (e.g., the presentation of Saba products or Compensation Plan, the operation of a motor vehicle, the lease of meeting or training facilities, etc.), and agree to indemnify Saba for any liability, damages, fines, penalties, or other awards arising from any unauthorized conduct that I undertake in operating my business. 9.

The answers are lettered A. B. C and D. In each case only ONE of the four answers is correct. Choose the correct answer. 9. On the answer sheet the correct answer is to be shown by drawing a dark line inside the box in which the letter you . KCPE 2013 THE KENYA NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL . (Adapted from Oxford English Course. F.G .

To my Mom and Dad who taught me to love books. It's not possible to thank you adequately for everything you have done for me. To my grandparents for their