KISWAHILI PP3 QUESTIONS 1996-2016 WhatsApp/Sms/Call Sir .

3y ago
433 Views
12 Downloads
482.75 KB
44 Pages
Last View : 1d ago
Last Download : 2m ago
Upload by : Grant Gall
Transcription

KISWAHILI PP3 QUESTIONS1996-2016WhatsApp/Sms/Call Sir ObieroAmos @0706 851 439 for MarkingSchemes2006-2016FOR A VARIETY OF REVISIONKITS WhatsApp/Sms/CallBy Sir Obiero Resources070685143911WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources

102/3LUGHAKISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2005SAA 2 ½UshairiSoma mashairi yafuatayo kisha ujibu maswali.Shairi A1. Mpenda cha bure boza, tenaje ni baradhuliTamaaye humpumbaza, huzidi kuwajahili,Vya bure humwongoza, kwa wengine ajidhili,Bure ina sumu kali, yafaa kujihadhari2. Bure kweli hulemaza, tena ina sumu kali,Epuka vinaumiza, sana vyaleta ajali,Kooni takukwaruza, ijapo vina samli,Bure ina sumu kali, yafaa kujihadhari.3. Sikitu cha kwendekeza, falau kuwa asali,Cha bure kimepooza, ijapo embe kwa wall,Kiache kina mafunza, hata kitiwe achali,Bure ina sumu kali, yafaa kujihadhari.4. Wenye hekima hupuza, huona kitu dhalili,Na hufanywa kimeoza, kinamfaa tumbili,Waungwana hukibeza, kwao hakisitahili,Bure ina sumu kali, yafaa kujihadhari.5. Cha mahonyo hutatiza, pato hilo siyo mali,Ndio mlango wa kiza, geuka siukabili,21WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources

Utalingia Gereza, jumba lisilo kandili,Bure ina sumu kali, yafaa kujihadhari.Shairi B1. Hana wema binadamu, usimuone kuchekaAcheke akusalimu, moyoni hutukutika Japomaneno matamu, upate kupumbazika, Akherisumu ya nyoka, binadamu kazidia.2. Binadamu madhulumu, usidhanie dhihaka,Nyoka kweli ana sumu, umwonapo waepuka,Binadamu ni vigumu, hawezi kuepukika,Akheri sumu ya nyoka, binadamu kazidia.3. Binadamu hudhulumu, kumbe huku akicheka,Moyonimwe ana sumu,, kali kushinda yanyoka, Asikione kitamu, mkononi umeshika,Akheri sumu ya nyoka, binadamu kazidia.4. Mbele yako tabasamu, wala hutaona shaka,Kumbe kwako ni hasimu, atamani kukuzikaAkupake marihamu, kilio akianguka, Akherisumu ya nyoka, binadamu kazidia.5. Binadamu madhulumu, na maneno yangushika, Utafika kwa Hakimu, ukifikiri dhihaka,Na mengine mashutumu, gerezani kutumika,Akheri sumu ya nyoka, binadamu kazidia.a) Linganisha dhana ya 'sumu' kama inavyojitokeza katika mashairi hayamawili (A na B).(alama 4)b) Eleza maana ya mishororo ifuatayo kama ilivyotumiwa katika mashairi haya.31WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources

(i)Kooni takukwaruza, ijapo vina samli.(alama 1)(ii)Cha bure kimepooza, ijapo embe kwa wali,(alama 1)(iii)Acheke akusalimu, moyoni hutukutika.(alama 1)(iv)Kumbe kwako ni hasimu, atamani kukuzika.(alama 1)c) Fafanua dhana ya 'gereza' katika shairi A na B.(alama 4)d) Andika ubeti wa 4 katika shairi A kwa lugha nathari(alama 4)e) Dondoa na uandike maneno mawili kutoka shairi 'A' na mengine mawilikutoka shairi 'B' ambayo yameendelezwa kimaksudi Hi kutosheleza mizani.(alama 4)Soma shairi hili kisha ujibu maswali.1. Moyonifuraha sina, ningaitaka sinayo Sisiupati aswilani Kucha nakesha mwendani,usiku si mtana, ni mamoja kwangu hayokwa utungu kuzidiya.Mateso nnayoona, yaujuwa wangu moyo Simwako na wayowayo. uliyonifikiliya!2. Nnajipu lintunza, linipalo tabu mnoTangu liliponianza, kamwe sipati usonoKwamba ni mara ya kwanza, kuuguwandwezi hino Latoma kama sindano,utunguwe nakwambiya3. Sijana wala sijuzi, liliponianza tangu Nimingi mno miezi, nnadhofu hali yanguNnakonda kama uzi, kwa kushitadi utunguKubwa tumaini langu, ni mwishowenangojeya4. Hitaka keti siwezi, kwamba limakaliyoni Kutwa huwa yangu kazi,kusimama; ntendeni? Na usiku usingizi,41WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources

5. Kill kipele mwilini, ndiyo mwanzo wake7. Taliminya litumbuke, lisinisumbuwe tenakuwa Sikujuwa aswilani, kuwajipu chajaVsaha wote utoke, utoke nikiuona Midamukuwa Ningekijuwa zdmani, ningekitangiyaitiririke, kama ng'ombe alonona Jipu hili mwanadawa Ni kwamba sikutambuwa, ndipolana, Mn'gu mbwalipa hizayahakiwatiliya.8. Baada ya yote haya, jahara niliuguze Kwa6. Silcit ya kuiva kwake, hiyo ndiyo sikumadawa kulitiya, Hi kwamba yalipoze Irudikweliyangu afiya, na zaidi niongeze NirukerukeHuo ndiwo mwisho wake, na mwisho waniteze, kwafuraha kuningiyaidhilali Idhilali in 'ondoke, mimi nayo tuwembali Siku hiyo ni mawili, kuteka au kuliya(a)(b)Fafanua mambo yanayomkera msanii wa shairi hili.Onyesha matumaini ya msanii katika shairi.(alama 4)(alama 4)(c)Andika ubeti wa pili katika lugha ya nathari.(alama 4)(d)Dondoa mfano mmoja wa tashbihi na mwingine wa balagha.(alama 2)(e)Katika ubeti wa 5 mshairi anajuta. Eleza.(alama 3)(f)Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika shairi.(i)wayowayo(ii)kushitadi(iii)idhilali(alama 351WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources

102/3LUGHAKISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2006SAA 2 ½FASIHI SIMULIZ1(a)Fasihi Siniulizi nt niiu?(alama 2}(b)Eleza tofauti one baina ya Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi. (alama 12)(c)Nini umuhimu wa Fasihi Simulizi?(alama 6)USHAIRljibu swali la 6 au la 7Soma shairi hili kisha ujibu yanayofuata.KWELI1. Neno la fcwcli dairoa, Una nguvu za kutoshaNi silaha ilo nzima, ghahaba kutopotoshaNeno ngome ya hishima, msema kweli hunyoshaLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli2. UMtaka taadhima, na hi&dha ya kutoshaUishi penye huduma, uwe ndtwc muongoshaUwe mkwcli caima, urongo wako oodoshaLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli3. La kweli lina salama, ghayati ImaridhishaLakmga mbele na nyuma, na kati lafiirahislhaHata kesini ungama. Mala atasahalishaLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli4. Ruhusa urongo sema, patatu nakujulishaNi kauli ya Heshima, wengi wamesadikisha6Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

Ni hadithi twaisoma, nasi tumejifundishaLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli5. Kwanza urongo useme, iwapo wapatanishaPili ni mke na mume ili ndoa kudumishaNa vitani usikome, ni haki kuhadaishaLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli6.Wasalamu kaditama, sitaki ktiyarcfushaWaja wa leo si wema, si hoja kuwagutushaWathamini darahima, hski wtkmziingushjiLa urongo lapotosha, dumu katika ukweli(a)Taja manulaa ya ukweli kama yalivyoeiczwa na mshairi.(alama 4)(b)Taja na kutoa mifeno ya tamathali mbili za usemi katika shairi.(alama 4)(c)Dondoa na ueleze mifano miwili tofauti ya uhuru wa kishairi katika shairihili.(alama 4)(d)Andika ubeti wa tano katika lugha nathari.(alama 4)(e)Eleza maana ya:(i)ghayati(alama 1)(ii)hata kesini ungama, mola auisahalisha.(alama 2)(iii) wamesadikisha(alama 1)Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata.MKULIMAMtazameni.,nguzo ya Afhkamtumwa wa watumwa waloridhiya!Amekita jembe lake aldlisujudiakwa tambo lilotimbuka na kuscleheaUso ukifuka ukata ulojifanya tabia na machungu ya maonevu alovumitia.7Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

Moyo wake mzito ulokokomaa kama kuniHaujui tcna kutarajia wula kutamaniUrnekufa ganzi, kutohis i raha wala huzuniBasi item fikira mambo mukiyafikiriSiku hatnaki yoke itapochafitka kama baharSiku ukwcli wa hali yake utapodhihiriUniejiandalia vipi.huo mkono ulomuunibua na kumkaushahizo pumzi ziiomzimia taa ya maishakumfimga kizuiTi, gizani kumtowesha?Ni jawabu gani alowekewa na wakatiKuipoza ghadhabu ya kiu ingawa katiti kuiliwazahamaki ya njaa hit ya dhatiNjaa ya maisha itakayo kushibishwa.(a)Eleza mambo muhimu yanayojitokeza katika shairi hiE(alama 4)(b)Taja na utoe mifeno ya aina zozote mbili za tamathali za usenii zilizotumika katikashairi hili,(alama 4)(c)Eleza umbo la shairi hill(alama 3)(d)Onyesfca umuhimu wa matumizi ya kihisishi katika shairi.(alama' 2)(e)Fafanua maana ya:(f)(i)Siku hamaki yake itapochanika kama bahari.(alama 2)(ii)kuipoza gbatfiiabu ya kiu ingawa katiti.(alama 2)Eleza maana ya msamiati ufiiatao kama ulivyotumiwa katika shairi:(i)tambo(ii)ulokokomaa(iii)kumtowesha(alama 3)8Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

102/3LUGHAKISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2007SAA 2 ½(Lazima)Soma Shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata:1Tohara, usimwazie, mwanamke,Tohara, usikarimbie, mwili wake,Tohara, usiifikie, ngozi yake,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!2Tohara, hiyo haramu, adha kwake,Tohara, ni kubwa sumu, si kufu yake, Tohara, ni zakudumu, dhara zake,Tohara ya mwanamke, katwaani shtezie!3Tohara, kile kijembe, usikishike,Tohara, yule kiumbe, si haki yake,Tohara, usimtimbe. kwayo makeke,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!4Tohara, ni tamaduni, usiyashike, Tohara, ati uzimani. ajumuike,Tohara, umaahini. kwa mwanamke,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!5Tohara, akijifungua, ataabike.Tohara, yaweza ua, hufa wanawake, Tohara, inausumbua,uhai wake,Tohara ya mwanamke. katwaani siwazie!6Tohara, na siku hizi, haya uyashike,Tohara, gonjwa umaizi, lije iimshike,Tohara, ageuke uzi, hue mWili wake,Tohara ya mwanamke. katwaani siwazie!9Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

7(f)Tohara, nasisitiza, rawanamke,Tohara, inaibeza, hadhi yake,Tohara, inadumaza, fikira yake,Tohara ya mwanamke, zamu yake ipitile!(a)Eleza dhamira ya msanii katika shairi hili,(b) Fafanua madhara manne ya tohara kwa mwanamke.(c)Taja na ueleze mbinu mbili za kifasihi ziiizotumika katika shairi,(d) Kulingana na mshatrl mwanamke hupashwa tohara kwa nini?(e)Andika ubeti wa sita katika lugha nathari.Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi(i)(ii)(g)adhausimdmbe(alama )(alama 4)(alama 4)(alama 2)(alama 4)(alama 2)Upashaji wa tohara kwa mwanamke ni mojawapo ya maswala ibuka katika jamii yetu.Taja maswala ibuka mengine mawili yanayohusu mwanamke.(alama 2)FASIHI SIMULIZI(a)(b)(c)Nini maana ya mighani/migani?alama4)Fatanua sifa tano za Mighani/migani.Eleza umuhimu wa mighani/migani:(alama 10)(alama 6)10Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

102/3LUGHAKISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2008SAA 2 ½(LAZIMA)USHAIRISoma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata.WASAKATONGE1.2.Wasakatonge na juakaliWabeba zege ya maroshani,Ni msukuma mikokoteni,Pia makuli bandarini,Ni wachimbaji wa migodini,Lakini maisha yao chiniJuakali na wasakatongeWao ni manamba mashambani,Ni wachapa kazi viwandani,Mayaya na madobi wa nyumbani,Ni matopasi wa majaani,Lakini bado ni masikini.3.Wasakatonge na juakaliWao huweka serikalini,Wanasiasa madarakani,Dola ikawa mikononi,Wachaguliwa na ikuluni,Lakini wachaguaji duni4.Juakali na wasakatongeWao ni wengi ulimwenguni,Tabaka lisilo ahueni.Siku zote wako matesoni,Ziada ya pato hawaoni,Lakini watakomboka lini?(Mohammed Seif Khatib)11Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

(a)(b)(c)(d)(e)(f)"Shairi hili ni la kukatisha tamaa". Fafanua rai hii kwa kutoa mifano minne. (alama 4)Taja tamathali ya usemi iliyotawala katika shairi zima na uonyeshe mifanomiwili ya jinsi iiivyotumika.Eleza umbo la shairi hili.Andika ubeti wa tatu katika lugha ya nathari.Onyesha mifano miwili ya maadiii yanayojitokeza katika shairi hili.Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi.(i)Manamba(ii)Tabaka lisilo ahueni(alama 3)(alama 5)(alama 4)(alama 2)FASIHI S1MULIZIFafanua sifa zozote kumi za mtambaji bora wa ngano.(20 alama)12Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

102/2KISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2009SAA 2 ½USHAIRISoma shairi kisha ujibu maswali yanayofuata:KIBARUWA: Abdilatif AbdallaKwenye shamba hilo kubwa asilani hakunyi mvuwa!Ni kwa mitilizi ya jasho langu ndiyo hunweshezewaKwenye shamba hilo kubwa sasa imeshaiva kahawaNa bunize ni matone ya damu yangu niliyotowaNdipo mte ukatipuza!Buni hiyo itakaangwa buni hiyo itapondwapondwaBuni hiyo itasagwa na buni hiyo itafyondwafyondwaBali itabaki nyeusi kama ngozi yangu KibaruwaWaulize ndege kwa nyimbo nyanana watutumbuizaoIulize na mito kwa furaha maji itiririkaoUulize na upepo mkali kwa ghadhabu uvumao-.Viulize: Ni nani araukaye na mapema kuzitema mbuga na kuzilaza?Viulize: Ni nani akweaye minazi tangu kuchapo hadi lingiapo giza?Viulize: Ni nani abebeshwaye mizigo hadi maungo yakageuka shaza?Halfuye hana faida moja apatay wala malipo yanayotoshelezaIsipokuwa kusundugwa na kutupiwa matambara na vyakula viliyooza?Viulize: Ni nani huyo ni nani!Viulize: Ni nani aliyemaye mashamba na kuyapoliliya?Na mimea kochokocho ikajaa kwa uzito ikajinamiya?Hatimaye nani atajirikaye mali yakammiminikiyaAkatoa na kitambi kama mja mzito wa miezi tisiyaNa akaongeza magari na wanawake kutoka na kuingiya?Viulize: Ni nani huyo nani113Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

Na hao ndege kwa nyimbo nyanana watutumbuizaoNayo hiyo mito kwa furaha maji itirikaoNa huo upepo mkali wenye ghadhabu uvumaoVyote hivyo vitatu vitakujibu kawa umoja wao“Ni Kibaruwa Manamba ndiye mtendaji hayo!”a) Eleza dhamira ya shairi hili.(alama 2)b) Kwa kutoa mifano, eleza aina mbili za idhini ya kishairializotumia mshairi(alama 4)c) kwa kurejelea ubeti wa tatu taja na ueleze tamathali ya usemi na mbinu yakimuundo mshairi(alama 4)d) Huku ukitoa mifano, eleza kwa kifupi mwelekeo wa mshairi kuhusuvibarua.(alama 4)e) andika ubeti wa tano katika lugha ya nathari(alama 4)f) Onyesha utata wa maana katika matumizi ya Kibaruwa Manamba(alama 2)Soma shairi hili kisha ujibu maswali yayofuata:Kila Mchimba KisimaMusa Mzenga1.Tenda utendapo tendo, tenda tendo kwa hekima,Lindamane mwenendo, sawa na yakio kalmia,Kalmia yenye upendo, kufurahisha mtima,Kila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe.2.Utendapo la faraja, tendo ni yako salama,Ya kukupa kila tija, na ushindi wa daima,Upate njema daraja, duniani na kiyama,Kila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe.3.Utendapo la miuja, tendo ni yako nakamaYa kukutia harija, hasara kukuandama,Usione afuwaja, mwanza ajue heshima,Kila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe4.Nakwambia uelewe, pulika ninayosema,Si ari ya mwenginewe, kumuonya kwa lazima,Mtu hufunza mwanawe, Kwanza ajue heshima,Kila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe.14Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

5.Nisipokwambia wewe, kukufunza kila jema,Kusudi nikuongowe, uepukwe na tujuma,Matusi ndimi nipawe, ila na kila lawama,Kila mchimba kisima, bundi hungia mwenyewe6.Hii si heri ujuwe, matusi kuigandama,Hadhi usiniuzuwe, hamithilishwa na nyama,Fikiri moyo utuwe, nikupapo taalumaKila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe.shika tena utambuwe, wasia huu ni mwemaMatendo usipunguwe, mazuri kutenda hima,Yatende ubarikiwe, upawe na taadhimaKila mchimba kisima, budi hungia mwenyewe.7.8.Yakupasa uchunguwe, kila jambo kulipimaUpime ufafanuwe, mambo yote kwa alamaLa kuwaka ulijuwe, pia lipi la kuzima,Kila mchimba kisima hungia mwenyewe.a)Eleza maudhui ya shairi hili.b)Ujumbe unaowasilishwa katika shairi hili una hadhiralengwa tatu. Zitaje na utoe mifano.c)(alama 4)(alama 6)d)Eleza umuhimu wa kipokeo kinachotumiwa katika shairi hili(alama 4)Andika ubeti wa tano kwa lugha ya nathari.(alama 4)e)Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika shairi:i)ii)afuwajataaluma(alama 2)15Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

102/3KISWAHILIKARATASI 3FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2010SAA 2 ½SEHEMU A: USHAIRI (alama 20)(LAZIMA)Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata.Dhamiri yanguDhamiri imenifunga shingoni.Nami kama mbuzi nimefungwaKwenye mti wa utu. Kamba ni fupiNa nimekwishachora duara.Majani niwezayo kufikia yote nimekula.Ninaona majani mengi mbele yanguLakini siwezi kuyafikia: kamba, kamba.Oh! Nimefungwa kama mbwa.Nami kwa mbaya bahati, katikaUhuru kupigania, sahani ya mbinguNimeipiga teke na niigusapo kwa mdomoMbali zaidi inakwenda na siwezi tenaKuifikia na hapa nilipofungwaNimekwishapachafua na kuhama siwezi.Kamba isiyoonekana haikatiki.Nami sasa sitaki ikatike, maana,Mbuzi wa kamba alipofunguliwa, mashambaAliharibu na mbwa aliuma watu.Ninamshukuru aliyenifunga hapaLakini lazima nitamke kwa nguvu "Hapa nilipo sina uhuru!"(a)(b)(c)(d)Taja mambo manne ambayo mshairi analalamikia.Kwa nini mshairi haoni haja ya yeye kuwa huru?Eleza rnaana ya mshororo ufuatao kama ulivyotumiwa katika shairi."Kamba isiyoonekana haikatiki."Taja na utoe mifano ya aina mbili za tamathali zilizotumika katika shairi hili.(E. Kezilahabi)(alama 4)(alama 2)(alama 2)(alama 4)16Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

(e)(f)Kwa kutoa mifano miwili, eleza jinsi matumizi ya mishata yanavyojitokezakatikashairi hili.(alama 4)Andika ubeti wa pili kwa lugha nathari.(alama 4)FASIHI SIMULIZIHuku ukitoa mifano mwafaka, linganisha na utofautishe kipera cha vitendawili na kileCha methali.(alama 20)17Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

102/2KISWAHILIKARATASI 2FASIHI YA KISWAHILIOKT/NOV 2011SAA 2 ½USHAIRIKUJITEGEMEA1. Nchi ni ile ambayo, imekita ardhiniSiyo ile iombayo, ghaibu na majiraniTaratibu siyo hiyo, wanachi twambizaneniDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji2. Chumo lote na mitaji, leo limo maganjaniBepari na wanyonyaji, wasalie maguguniShime utekelezaji, vingine havifananiDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji3. Twaishije tujihoji, wanachi humunchiniKila tunachohitaji, kupatakwe ugeniniHiyo ni tete haviji, tongo tupangusaneniDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji4. Kuomba wataalamu, ni mwendo haulinganiTupate wa humu humu, wajuzi wakila faniMbele washike hatamu, kwa mapimo na makiniDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji5. Tuufuate wongozi, pamwe na nyingi imaniTushiriki kila kazi, na mambo yalomkiniMikopo ina kinyezi, si kitu cha tumainiDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji6. Yote hatuyatimizi, alotimiza ni naniLakini tuwe maizi, tusizurure mijiniTukamshabilii kozi, kipanga au kunguniDaima hukaa chini, maganja ya mpewaji7. Shujaa itakiwavyo, aonekane vitani18Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

Na sisi vita tunavyo, roho kwa roho ugani'Kutegemea' vilivyo, kondo tujiamueniDaima hukaa chini, maganja ya mpewajiBoukhet Amana: Malenga waMrimaMwinyihatibu MohammedOxford University Press1977(a)(b)(c)Mtunzi wa shairi hili ana dhamira gani?Shairi hili ni la aina gani? Toa sababu moja.Eleza mambo matatu ambayo mshairi anashauri nchi ifanye ilikujitegemea.(alama 2)(alama 2)(alama 3)(d) Taja aina moja ya idhini ya kishairi iliyojitokeza kwa wingi zaidi katika shairi na utoemifano mitano ya matumizi yake.(alama 7)(e)Andika ubeti wa pili kwa lugha ya nathari.(alama 4)(f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi:(i)Ghaibu(ii) Tukamshabihi.(alama 2)HAKI1. Haki watutisha, tusikuandame, kwa matendo yetu,Watukorofisha, tusikuandame, kila penye kitu,Mbona watugwisha, miba ituchonie, kwenye huu mwitu,Tutokwe nautu!2. Hatutakufanya, mwana kwa mvyele, aliyemzaa,Haki watunyima, machumi ya mbele, na nyingi hadaa,Tuchumayo nyanya, uchungu umbele, hatuna wasaa,Haki twashangaa!3. Na kambi nzima, kunaiyenea, hasa hapa petu,Tunakutazama, kwa kuulizia, kuweza thubutu,Na kwenye milima, ilotueka, kupandia watu,Usifanyekatu!4. Sio hao mabwana, waloteuliwa, kupata mwangaza,Haki wakubana, lilotarajiwa, kwenye hichi kiza,Ndevu kuchomana, wengine kuliwa, tukijiingiza,Kambi yatuviza!19Pyramid consultants P.O BOX 67593-00200 Nairobi 0722614502/0733494581

5.Haki huna njia, kizuizi mali, ndio njia panda,Tukiifatia, hatufiki mbali, wengi tunaganda,Sio yetu nia, lakini akili, mali ishapenda,Haki yatuponza!6. Wala hutasemwa, sababu ni nyoyo, kwisha haribika,Ya mali kuchumwa, vyovyote iwavyo, itavyopatika,Wakati mtumwa, ushatumwa ndivyo, na ushatufika,Kwetu ni mashaka!7.Haki hufanyiki, papitapo mambo, na vikubwa visa,Watu hawataki, kutenda kijambo, tunu yao pesa,Sisi kwetu dhiki, yatunisha tumbo, wao hata hisa,Nandio yasasa!8. Haki husimami, kwa viumbe sisi, tuvyojaaliwa,Na huna ulimi, kuweza tukisi, tukageukiwa,Zama za uchumi, zishashika kasi, nguvu zishapewa,Haki wauliwa!9. Iwe hivi haki, hakuna mmoja, akukumbukae,Hatuna ashiki, kuvuta la haja, haki ituvae,Mbona hatutaki, twalia na tija, haki iambae,Hakitamati!Suleiman A. Ali: Malenga Wapya(a)Eleza dhamira ya shairi hili.(alama 2)(b)Huku ukitoa mfano, eleza aina ya shairi hili.(alama 3)(c)Taja na ufafanue tamathali ya usemi inayotawala katika shairi hili.(alama 3)(d)Kwa kutoa mfano mmoja mmoja, onyesha aina ta

KISWAHILI PP3 QUESTIONS 1996-2016 WhatsApp/Sms/Call Sir Obiero Amos @ 0706 851 439 for Marking Schemes 2006-2016 FOR A VARIETY OF REVISION KITS WhatsApp/Sms/Call By Sir Obiero Resources 0706851439. 2 1 WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources 102/3 LUGHA KISWAHILI KARATASI 3 FASIHI YA KISWAHILI OKT/NOV 2005 SAA 2 ½ Ushairi Soma mashairi yafuatayo kisha ujibu maswali. Shairi A 1 .

Related Documents:

Kiswahili dialects are endangered by, among other factors, the onslaught of standard Kiswahili, English, and Sheng, and so they are likely to be dying. The paper holds the position that the Kiswahili dialects are vital for the development of standard Kiswahili and, therefore, their endangerment is the endangerment of standard Kiswahili.

Introduction to Kiswahili Poetry KSX 2102 Kiswahili Oral Literature KSX 2104 (with Mr Innocent Yerindabo) Introduction to Kiswahili Novels KSX 2202 History and Development of Kiswahili KSX 3101 Kiswahili Teaching Methods KSX 3201 Drafts Reviewed: Advanced Proficiency in Kiswahili KSX 1102 by Boaz Mutungi.

Song as an aspect of Kiswahili poetry. Origin and development of modern Kiswahili classics such as taarab. Leading founders of Kiswahili popular song in East Africa, history and development of Kiswahili solo, choral and orchestra composition. Themes, style and language use in popular Kiswahili songs.

Kiswahili) na Shahada ya Umahiri/Uzamili ya Sanaa katika Kiswahili (MA. Kiswahili – akitamilikia Fasihi) zote kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania. Chuoni anafundisha kozi za Kiswahili - Lugha, Isimu na Fasihi ikiwemo kozi ya Uandishi wa Kubuni. Pia, hufundisha Kiswahili

4.0 KISWAHILI (102) 4.1 MATOKEO YA MTIHANI WA SOMO LA KISWAHILI Jedwali hili linaonyesha matokeo ya mtihani wa somo la Kiswahili katika muda wa miaka minne (2005 hadi 2008). Jedwali 6: Matokeo ya mtihani wa Kiswahili (2005 - 2008) Mwaka Karatasi Watahiniwa Alama ya Juu Alama ya Wastani Alama ya Tanganisho 2005 1 2 3 Jumla 259,301 40 80

AKS 301: Kiswahili Structure AKS 302: Theories of Literary Criticism AKS 303: Contemporary Kiswahili Novel and Play AKS 400: Sociolinguistics AKS 401: Second Language Learning AKS 402: Kiswahili Poetry AKS 403: Oral Literature in Kiswahili History AHT 102: Introduction to Political Science AHT 200: A History of Kenya AHT 201: Themes in African

Mchango wa Fasihi ya Kiswahili katika Kuudumisha Utambulisho wa Kiswahili : Mifano Kutoka Kazi za Fasihi za Kiswahili Dk. Wael Nabil Ibrahim Othman* Abstract This study emphasizes that the Swahili literature has a very big role in consolidating and maintaining Swahili identity. In the field of Swahili poetry

November 2014 HR: Getting smart about agile working WORK WORKFORCE WORKPLACE in association with . Championing better work and working lives The CIPD’s purpose is to champion better work and working lives by improving practices in people and organisation development, for the benefit of individuals, businesses, economies and society. Our research work plays a critical role – providing the .