MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA EKSIKA - Schools Net Kenya

2y ago
602 Views
3 Downloads
519.92 KB
10 Pages
Last View : Today
Last Download : 2m ago
Upload by : Karl Gosselin
Transcription

Jina : Nambari yako: Shule : Sahihi: Tarehe : .102/2KISWAHILIKaratasi ya piliLughaMEI/JUNI 2014MUDA:SAA 2 ½MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA EKSIKAHati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya(K.C.S.E)MAAGIZO:a)b)c)d)Jibu maswali yote.Andika majibu yote katika nafasi zilizoachwa.Karatasi hii ina alama 30.Hakikisha kurasa zote zimepigwa chapa.SwaliUpeoUfahamu15Ufupisho15Lugha40Isimu Jamii10Jumla80AlamaKaratasi hii ina kurasa 9 zilizopigwa chapaWatahiniwa wanastahili kuona kuwa maswali yote yako na hakuna yaliyoachwa.E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

UFAHAMU (Alama 15)Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.Fungua ukurasaMwanamke wa kisasa anazaliwa na kukulia katika mazingira yaliyobadilika mno. Matazamio yakemaishani ni tofauti na yale ya wanawake walioishi mapote mawili yaliyopita; wanawake makamu yanyanyake na mamake mkuu.Yeye hutarajia kuzaliwa, kukua, kuolewa, kuwa mke wa bwana, kumzalia watoto na daima dawamukuwa ‘mwendani wa jikoni’ akawapikia watoto na bwanake chakula; na akitoka jikoni aelekeeshambani kulima, kichakani kuchanja kuni, mtoni kufua nguo na kuteka maji ya kutumia nyumbani.Mwanamke wa kisasa huandamana na mwanamume. Akanyagapo mume naye papo huutia wayowake.Mwanamke wa kisasa huenda shule na kujifunza yote yafunzwayo huko. Hushindana na wanawakekwa wanaume na kuibuka mshindi si mara haba. Huibuka mshindi katika masomo ya lugha,Historia, Jiografia, Hesabu, Sayansi na mengineyo, sawa na mwanamume.Mwanamke wa kisasa hutaka kufanya kazi za kibega, akazifanya. Akataka kuwa mwalimu, akawa.Akataka kuwa daktari, akafanikiwa. Almuradi, siku hizi mwanamke hufanya kazi yoyote ileafanyayo mwanamume. Kuna wanawake marubani wa ndege, masonara, waashi, wahandisi,madereva wa magari, mawakili mahakimu, mawaziri wakuu na hata marais wa nchi Hakuna kaziisiyofanywa na mwanamke siku hizi.Mwanamke wa kisasa hateswi akafyata ulimi. Anapohiniwa yeye hupigania haki yake kwa dhati nahamasa. Katu hakubali ‘mahali pake’ katika jamii alipotengewa na wanaume wenye mawazo yakihafidhina yaliyopitwa na wakati.Siku hizi mwanamke huolewa tu wakati amepata kazi ya kumwezesha kujikimu maishani au paleanapokuwa na hakika kwamba biashara yake iwapo ni mfanyi biashara, imepiga hatua yakutomrudisha ukatani.Mwanamke wa kisasa haamuliwi katika jambo, lolote, bali hufanya maamuzi yake mwenyewe. Kwaupande mwingine, mwanamume wa ‘kisasa’, ambaye bado amefungwa pingu na taasubi za kiume,hapendezwi na mwanamke huyu. Huuma kidole akatamani ya kale, lakini wapi! Analazimikakumkubali mwanamke huyu kama mshiriki sawa maishani, na kuishi naye, apende asipende. Shingoupande analazimika kukubali kwamba mabadiliko haya sio mithili ya kiwingu kipitacho, bali ni yaaushi.Maswalia) i) Msemo ‘mwendani wa jikoni’ unadhihirisha hali gani ya mwanamke katika jamii? (alama1) .E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

ii) Thibitisha hali uliyotaja hapo juu kwa kutoa hoja nne.(alama 2) b) Mwandishi ana maana gani anaposema ‘akanyagapo mume naye papo huutia wayo wake’(alama 1) .c) Tofautisha mwanamke wa kiasili na wa kisasa ukizingatia maswala ya ndoa na elimu. (alama 4) d) Eleza hoja sita zinazoonyesha kuwa wanaume wana ‘mawazo ya kihafidhina’ dhidi yamwanamke.(alama3) e) Fafanua athari zinazotokana na mabadiliko ya mwanamke wa kisasa katika jamii kulingana namwandishi.(alama2) f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika taarifa.i.UkataniE-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748(alama 2)

.ii.Aushi .UFUPISHO (alama 15)Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.Katika karne hii na ya kesho, urafiki ni ngome kuu duniani amabayo huhifadhimaslahi ya kila rafiki. Rafiki mwema humpenda mwenzake si kwa sababu ni tajiri ama ana cheokikuu nchini. Rafiki mwadilifu huridhika na hali aliyonayo rafikiye; akiwa ni tajiri au ni masikini,ana cheo, hana. Rafiki mwema huwa mwadilifu wakati wowote. Wakati wa neema hushirikiana narafikiye katika furaha na wakati wa shida hushirikiana naye katika huzuni na taabu zotezinazomkabili.Sahibu mwema hutoa alichonacho kumkomboa rafiki yake, huwa radhi kabisakufilisika kwa ajili yake. Mahali pa finyo hujasiri kuingia ili kumkomboa rafikiye, hushughulikazaidi kuliko wana ndugu wa toka nitoke. Kwa vyovyote hula naye tamu na chungu pamoja, mkonokwa mkono katika maisha yao yote hadi mmoja wao akaitoka dunia. Urafiki wa namna hii ndiouletao Baraka ya Mungu, kuwashukia viumbe hao kama umande wa asubuhi.Urafiki ni lazima sana katika maisha ya wanadamu. Urafiki ni mfano wa mishipaipitishayo damu mwilini ili kurutubisha kila sehemu ya mwili. Ingawa ni bora kuwa na marafikiwengi lakini kila marafiki wanapozidi, ni hatari ya kuangukia kwenye marafiki wadanganyifu hasidi.Pasi na shaka, ni heri maadui kuliko marafiki wadanganyifu. Hivyo basi, tukiwa na rafiki waliokinyume cha wema na upole wa kulinda haki za wanadamu na wasiomcha Mungu ni lazimatuwaepuke. Ingawa ni hivyo, vile vile sheria inatukataza tusisikilize na kujali ubaya wa mtu yeyotepasipo kuhakikisha. Huenda ikawa ni uvumi tu usiokuwa na msingi wowote. Ikiwa rafiki ni mbaya,haikosi atajulikana kwani mtungi mbovu haukawi kuvunjika. Lazima tuwapende watu wote ilikutimiza haki za kibinadamu na kuchukia matendo maovu. Rafiki waovu si vema kuwaacha katikamaangamizi ya ubaya wao bali ni lazima tuwaambie waziwazi ili wapate kuokoka. Ukimsameherafiki, unaponya donda lake moyoni. Hivyo ni bora kuliko kumtazama na hali anazidi kukosa.Maswalia) Fupisha aya ya kwanza na ya pili kwa kutumia maneno yasiyozidi 60. (alama 7, 1 ya utiririko)Matayarisho E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

Jibu b) Fupisha mambo muhimu kama yalivyoelezwa na mwandishi katika aya ya mwisho. Tumiamaneno kati ya 60 – 65.(alama 8, 1 ya utiririko)Matayarisho E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

Jibu MATUMIZI YA LUGHA (alama 40)a) i) Eleza dhana ya kiambishi(alama 1) ii) Ainisha viambishi na utoe mifano(alama 2) b) Taja vitamko vyenye sifa zifuatazo:i)(alama 2)Vokali ya nyuma, juu .ii)Nazali ghuna cha mdomo .E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

c) Huku ukitoa mfano, eleza maana ya sentensi sahili.(alama 2) d) Tunga sentensi ya masharti yasiyowezekana.(alama 2) e) i) Taja sifa mbili za nomino za pekee.(alama 2) ii) Dhihirisha nomino ya pekee katika sentensi.(alama 1) f) Ainisha kiunganishi katika sentensi hii.(alama 2)Japo Kiptoo ni dereva hodari, hana leseni ya kuendesha gari g) Tunga sentensi moja kuonyesha maana mbili tofauti za neon ‘bana’(alama 2) h) Fuata maagizo kwenye mabano.(alama 2)Tafadhali hakikisha Jane ameelimika vizuri (andika katika kauli ya kutendesha) i) Eleza maana mbili za sentensi hii.(alama 2) j) ‘Kwa’ imetumika vipi katika sentensi zifuatazo?i)(alama 2)Tumealikwa kwa Chebet. ii)Alipata alama ishirini kwa mia.E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

.k) Tunga sentensi kubainisha muundo ufuatao.(alama 2)KN(W V) KT(T E) l) Andika kwa ukubwa wingi.(alama 2)Mwizi aliiba nguo na kiti m) i) Tofautisha shamirisho kipozi na shamirisho kitondo.(alama 2) ii) Onyesha shamirisho kipozi na kitondo katika sentensi moja.(alama 2) n) Tunga sentensi ukitumia kirejeshi ‘O’ kuonyesha uzoefu.(alama 2) .o) Eleza matumizi ya kiambishi /ji/(alama 1)Alijikata mguu. p) Andika sentensi ifuatayo katika hali isiyodhihirika.(alama 1)Kibofu hupaa angani. q) Andika katika usemi wa taarifa.(alama 2)“Kwa nini unampiga ndugu yako? Nyanya alimuuliza. E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

r) Pambanua kwa kielezo cha matawi.(alama 4)Mkufunzi hodari amepita mtihani rahisi.ISIMU JAMII (alama 10)a) Eleza mambo matano yaliyochangia maendeleo ya Kiswahili kama lugha ya mawasiliano nchiniKenya kabla ya Uhuru. .b) Kwa nini watu huchanganya msimbo wanapozungumza. Toa hoja tano.(alama 5) .E-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

ANSWERS:Order a copy of answers from www.schoolsnetkenya.com/order-e-copyNB We charge Kshs. 100 ONLY to meet website, e-resource compilation and provision costsE-resources available online at www.schoolsnetkenya.com / Email: infosnkenya@gmail.com / Tel.: 254202319748

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA EKSIKA Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya(K.C.S.E) MAAGIZO: a) Jibu maswali yote. b) Andika majibu yote katika nafasi zilizoachwa. c) Karatasi hii ina alama 30. d) Hakikisha kurasa zote zimepigwa chapa. Swali Upeo Alama Ufahamu 15 Ufupisho 15 Lugha 40 Isimu Jamii 10 Jumla 80

Related Documents:

ya Machipuko Si siku ya shule Aprili 04/12 na 04/13 Mtihani wa SAT & ACT WorkKeys Wanafunzi wa Vidato vya Chini pekee A.M. Wanafunzi Wote wa HS P.M. Shule ya Msingi ya Siku Nzima Mei 05/11 Hakuna Shule 05/20 Siku ya Mwisho ya Shule ya 1 Wanafunzi wa Vidato vya Juu 05/27 Siku Nusu (Shule ya Msingi) 05/30 Sikukuu ya Makumbusho - Hakuna Shule Juni

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA UPILI WILAYANI MAKINDU, 2014 Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E) MAAGIZO KWA MTAHINIWA . Urafiki wa namna hii ndio uletao baraka ya Mungu, kuwashukia viumbe hao kama umande wa asubuhi. Urafiki ni lazima sana katika maisha ya wanadamu. Urafiki ni mfano wa mishipa ipitishayo damu

Pamoja na taasisi zilizotajwa kuna shule shikizi (satellite schools) 44 ambapo kila halmashauri ina shule za namna hiyo ambazo baadaye zitakuwa shule kamili. . Kwa mkoa wa Lindi mtihani huu umefanyika katika shule 480 zenye jumla ya wanafunzi 17,519 wakiwemo wavulana 8,117 na wasichana 9,402 katika halmashauri 6 za mkoa wa Lindi. Aidha .

MTIHANI WA PAMOJA -MECS 2021 Jina: _ Nambari ya mtahiniwa:_Darasa: _ Tarehe: _ Sahihi: _ 102/2 Kiswahili Karatasi ya 2 Muhula wa Pili - 2021 Muda: Saa 2½ . kweli kwamba sera ya elimu bila malipo katika shule za msingi nchini humu inaendelea kutekelezwa. Hata hivyo, asilimia ya watoto na hata watu wazima wasiojua kusoma na .

3. Uongozi wa Shule wanahaki ya kumfukuza mwanafunzi ambaye hajafika wastani unaotakiwa kwa kiwango cha Shule au tabia yake haiendani na mwenendo wa shule. 4. Nafasi ya BWENI inatolewa kwa wavulana na wasichana. 5. Wanafunzi wa KUTWA wanakaribishwa, Ada ya Shule kwa wanafunzi wa kutwa wasiotumia usafiri ni shilingi 930,000/ kwa mwaka. 6.

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA MTIHANI WA CEKENAS MUHULA WA PILI MWAKA 2015 Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari KISWAHILI INSHA KARATASI YA KWANZA MUDA: SAA 1 ¾ MAAGIZO 1. Andika insha mbili. 2. Insha ya kwanza ni ya lazima. 3. Chagua insha nyingine moja kutoka hizo tatu zilizosalia. 4. Kila insha isipungue maneno 400 5. Kila insha ina alama 20.

Vitambulisho vya mtihani kwa Wanafunzi wa lugha ya kiingereza ( NYSITELL ). Madhumuni ya NYSESLAT ni kwa mwaka kutathmini ustadi na ngazi za lugha ya Kiingereza ELLs / MLLs waliojiunga na darasa K-12 katika shule za Jimbo la New York . Mtihani ina serikali, shule, wazazi, peya walimu taarifa muhimu na

Director of Army Safety Background A rmy motorcycle mishaps are on the rise. Motorcycle mishaps resulted in 155 Soldier fatalities from FY02 through FY06. Collected accident data revealed that over half of motorcycle fatalities were the result of single vehicle accidents that involved riders exercising poor risk decisions and judgment. Males between the ages of 18 and 25 years are historically .