Kwa Shule Za Rwanda Kidato Cha 4 Michepuo Mingine Mwongozo .

3y ago
189 Views
8 Downloads
1.14 MB
158 Pages
Last View : 11d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Kairi Hasson
Transcription

KiswahilikwaShule za RwandaKidato cha 4Michepuo MingineMwongozo wa MwalimuMwongozo wa mwalimui

Mwalimu MpendwaBodi ya Elimu Rwanda inayo heshima kwa kutoa kitabu hiki cha somo la Kiswahilimchepuo mingine kidato cha nne kitabu cha mwalimu .Kitabu hiki kitakuwa waraka rasmi utakaoongoza ufundishaji na ujifunzaji kuendana na mtaala uegemeaokatika uwezo .Falsafa ya Elimu Rwanda inalenga katika kumpatia mlengwa uwezo katika kilangazi ya Elimu kuweza kumudu vizuri katika jamii na kumpa fursa ya kujipatiaajira .Ili kwenda sambamba na juhudi za kuboresha ubora wa Elimu Serikali ya Rwandainasisitiza umuhimu wa kufungamanisha ujifunzaji na ufundishaji na zana pamojana mitaala ili kuwezesha mchakato wa wa ujifunzaji . Mambo mengi yanayoathiri yale ambayo wanafunzi wanafundishwa , namna nzuri ya kujifunza na uwezowaupatao . Mambo hayo ni pamoja na umuhimu mahsusi wa yaliyomo,uborawa walimu , mbinu za ufundishaji na ujifunzaji, mikakati ya upimaji na vifaa vyakufundishia vilivyopo . Tumezingatia umuhimu wa mbinu zenye mchakato wakujifunza ambao unakuwezesha kuendeleza mawazo yako na kufanya ugunduzimpya wakati wa mazoezi thabiti yawe ya binafsi au katika makundi ,kwa msaadawa walimu ambao majukumu yao ni kufanikisha ufundishaji.Utapata stadi zinazofaa kukuwezesha kutumia yale uliyojifunza katika miktadha ya maisha halisi.Kwakufanya hivyo , utaonyesha tofauti siyo tu katika maisha yako bali hata kwa Taifa .HIi inatofautiana na mfumo wa zamani kuhusu nadharia ya ujifunzaji,iliyosisitizamchakato wa kujifunza kama upataji wa maarifa kutoka yule aliyemzidi maarifana hasa akiwa ni mwalimu.Katika mtaala uegemeao katika uwezo , ujifunzaji unachukuliwa kama mchakato wa kazi ya kujenga na kuendeleza maarifa na ufahamu , stadi na maadili namweneno mwema kutoka kwa mwanafunzi ambapo dhana aghalabu huanzishwa kwa mazoezi , hali na mazingira yanayomsaidia mwanafunzi kujenga maarifa, kuendeleza stadi na upatikanaji chanya wa maadili na mwenendo mwema .Aidha kazi ya kujifunza hujishughulisha na wanafunzi kwa kufanya mambo nakufikiri kuhusu yale wanayoyafanya na wanafarijika kuonysha uzoefu wao halisina maarifa katika mchakato wa ujifunzaji .Katika mtazamo huu jukumu lako litakuwa : Kuandaa majadiliano katika makundi ya ushirikano kwa wanafunzi ukizingatia umuhimu wa ushauri kuwa kujifunza hufanyika kwa ufanisi wakatimwanafunziafanyapo kazi kwa kushirikiana na watu wanaomzidi maarifa na uzoefu.iiMwongozo wa mwalimu

Wanafunzi washirikishe kwa kupitia kazi za ujifunzaji kama: njia ya uchunguzi, makundi ya mijadala, utafiti,mazoezi ya utafiti na kazi za binafsi. Toa fursa ya usimamizi kwa wanafunzi kwa kuendeleza uwezo wao kwakuwapa ushindani tofauti na kutoa majukumu yanayoongeza tafakuri tunduizi, utatuzi wa matatazo,ubunifu, na uvumbuzi,mawasiliano na ushirikiano. Toa msaada na kuwezesha mchakato wa ujifunzaji kwa kutathminimchango wa wanafunzi katika mazoezi ya darasani . Waongoze wanafunzi kuoanisha matokeo ya utafiti Hamasisha kila mmoja, rika na tathmini kazi iliyofanyika darasani kwa kutumia uwezo na mbinu sahihi za msingi. Kuwezesha katika mazoezi yako ya kufundisha, yaliyomo katika mwongozohuu wa mwalimu unaeleweka kiasi kwamba unaweza kutumiwa kwa urahisi.Mwongozo huu umeganyika katika sehemu tatu (3)Sehemu ya 1: Huelezea muundo wa kitabu hiki na kukupa mbinu namaelekezo ya ufundishaji.Sehemu ya 2: Hukupa sampuli ya andalio la somo kama marejeleo yamchakato wa kuandaa somo .Sehemu ya 3: Hutoa mwongozo au maelekezo ya ufundishaji kwa kila dhana iliyotolewa ndani ya kitabu .Ingawa mwongozo huu wa mwalimu una majibu kwa kila kazi zote zilizotolewakatika kitabu cha mwanafunzi, unaombwa kupitia kila swali na kazi kabla ya kutathmini matokeo ya utafiti.Napenda kutoa shukrani kwa wale wote walioshiriki kutoa mchango wa kuboresha kitabu hiki, na hasa wafanyakazi wa Bodi ya Elimu Rwanda (CTLR –REB) walioandaa mchakato wa kazi hii tokea ilipoanza .Mwongozo wa mwalimuiii

Pongezi muhimu ziwaendee walimu chuo Kikuu cha Rwanda kwa msaada wao wakutoa wataalamu ambao ni ,wahadhiri walimu wachoraji waliosaidia kusimamia, kuendeleza na kufanikisha uboreshaji wa kazi hii kuhusu picha na michorosahihi . Maoni au mawazo yoyote yanakaribishwa kwa ajili ya uboreshaji wa kitabuhiki kwa matoleo yatakayofuata .Dr Ndayambaje IrénéeMkurugenzi Mkuu Bodi ya Elimu Rwandaiv Mwongozo wa mwalimu

SHUKRANINapenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote walioshiriki kwa hali namali katika kukiandaa na kukifanikisha kitabu hiki.Kitabu hiki kisingeliwezekanakufanikiwa bila kuwepo wadau mbalimbali walioshiriki , jambo ambalo limenifanya nitoe shukrani zangu za dhati .Shukrani zangu za kwanza ziwaendee wafanyakazi wa Bodi ya Elimu Rwanda walioshiriki katika kuandaa na kuandika kitabu hiki .Napenda kutoa shukrani zaidi kwawalimu kutoka chekechea hadi chuo kikuu kwa ngazi zote kwa juhudi zao wakatiwa utendaji wao ulio wa thamani .Natoa shukrani kwa shule mbalimbali Rwanda zilizoweza kuwaruhusu walimu nawahadhiri katika kuandaa kitabu hiki hadi kuhaririwa kwake .Napenda kutoa shukrani kwa wale wote walioshiriki kutoa mchango wa kuboresha kitabu hiki, na hasa wafanyakazi wa Bodi ya Elimu Rwanda (CTLR –REB) walioandaa mchakato wa kazi hii tokea ilipoanza .Joan MurungiMkuu wa idara ya Mitaala, Ufundishaji, Ujifunzaji na Zana ( CTLR- REB)Mwongozo wa mwalimuv

YALIYOMOMADA KUU YA 1: MATUMIZI YA LUGHA KATIKA MAZINGIRAMBALIMBALI. . 11.1. Uwezo Upatikanao katika Mada: .11.2. Ujuzi wa Awali. 11.3. Masuala Mtambuka.11.4. Mwongozo kuhusu Kidokezo cha Mada. .11.5. Orodha ya Masomo na Tathmini.1SOMO LA 1: Mazungumzo Hospitalini.21.1. Ujuzi wa Awali/Utangulizi. . . 21.2. Zana na Vifaa vya Ufundishaji. . 31.3.Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 31.4 MAJIBU. 4SOMO LA 2: USAFI WA MAZINGIRA YA HOSPITALI. . . 92.1. Ujuzi wa Awali. 92.2. Zana au vifaa vya Kujifunzia. 92.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . . 92.4 MAJIBU.10SOMO LA 3: ADABU HOSPITALINI . . . 143.1. Utangulizi/Marudio. . . 143.2. Vifa vya Kujifunzia. 143.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 143.4 Majibu. 153.5Muhtasari wa Mada. 193.6. Maelezo ya Ziada. 193.7. Tathmini ya Mada ya Kwanza. 193.8 Soma maswali yafuatayo na kujibu:. 203.9. Mazoezi ya Ziada. 21SOMO LA 4: MICHEZO SHULENI. .234.1. Ujuzi wa Awali/Marudio/Utangulizi. 23vi Mwongozo wa mwalimu

4.2. Zana za Kujifunzia. 234.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . . 234.4 Majibu. 25SOMO LA 5: FAIDA ZA MICHEZO. 285.1. Ujuzi wa Awali/Marudio/Utangulizi . . . 285.2. Zana za Kujifunzia. . 285.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 285.4Majibu. 29SOMO LA 6: MASHINDANO. 356.1. Ujuzi wa Awali. 356.2. Zana za Kujifunzia. 356.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . 366.4 MAJIBU. . . 376.5. Muhtasari wa Mada. 426.6. Maelezo ya Ziada. . 426.7.Tathmini ya Mada ya Pili. 426.8. Mazoezi ya Ziada. . .43MAADA KUU YA 3: UHAKIKI WA HADITHI ZAMASIMULIZI KATIKA KISWAHILI. . . 45MADA NDOGO: MUHTASARI, FANI NA MAUDHUI. 45SOMO LA 7: MUHTASARI. . 497.1. Ujuzi wa Awali. 497.2. Zana za Kujifunzia. . 497.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . . 507.4 MAJIBU. 50SOMO LA 8: FANI KATIKA HADITHI SIMULIZI. 568.1. Ujuzi wa Awali. 568.2. Vifaa vya Kujifunzia. 568.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji . . . 568.4 MAJIBU. 58Mwongozo wa mwalimuvii

SOMO LA 9:MAUDHUI KATIKA HADITHI SIMULIZI. . . 639.1. Ujuzi wa Awali.639.2. Vifaa vya Kujifunzia.639.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. .639.4 MAJIBU. . . 659.5. Muhtasari wa Mada. 709.6. Maelezo ya Ziada. . 709.7. Tathmini ya Mada ya Tatu. 70MADA KUU YA 4: UKUZAJI WA MATUMIZI YA LUGHAKIMAZUNGUMZO. 72MADA NDOGO: MIDAHALO NA MIJADALA. 72SOMO LA 10: MDAHALO. . . .7 610.1. Ujuzi wa Awali/Marudio/Utangulizi. 7610.2. Zana za Kujifunzia. 7610.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 7610.4. Kusoma na Uufahamu.77SOMO LA 11: MAANDALIZI NA UTEKELEZAJI WA MDAHALO . 8611.1. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 8611.2. Kusoma na Ufahamu. 8611.3 Kuandika. . . 95SOMO LA 12: MJADALA.9612.1. Ujuzi wa Awali/Utangulizi. 9612.2. Zana na Vifaa vya Ufundishaji. 9612.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . 9612.4. Kusoma na Ufahamu. . . 97SOMO LA 13: MAANDALIZI NA UTEKELEZAJI WA MJADALA. . . 10413.1. Ujuzi wa awali/ Utangulizi. . . 10413.2. Zana na Vifaa vya Ufundishaji. 10413.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. . . 10413.4. Majibu.10513.5. Muhtasari wa Mada. 111viii Mwongozo wa mwalimu

13.6. Maelezo ya Ziada. . . 11113.7. Tathmini ya Mada ya Nne. . 111MADA KUU YA TANO: UTUNGAJI. . 115MADA NDOGO: INSHA ZA MASIMULIZI AU ZA KUBUNI UwezoUpatikanao katika Mada. 115SOMO LA 14: MAANA YA INSHA. 11814.1. Utangulizi/Marudio.11814.2. Vifaa vya kujifunzia.11814.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji.11814.4 MAJIBU . . . 119SOMO LA 15: AINA ZA INSHA.12815.1. Ujuzi wa Awali/Utangulizi. 12815.2. Zana na Vifaa vya Ufundishaji. 12815.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji . . . 12815.4. Majibu.129SOMO LA 16: UTUNGAJI WA INSHA ZAMASIMULIZI.13816.1. Utangulizi/Marudio. 13816.2. Vifaa vya Kujifunzia. 13816.3. Maelekezo kuhusu Kazi za Ujifunzaji. 13816.4. Majibu. 13916.5.Muhtasari wa Mada. . . 14616.6. Maelezo ya Ziada. 14616.7. Tathmini ya Mada ya Tano. 14616.8. Mazoezi ya Ziada. 146Mwongozo wa mwalimuix

SEHEMU III: MADAMADA KUU YA 1: MATUMIZI YA LUGHAKATIKA MAZINGIRA MBALIMBALI1MADA NDOGO YA 3: MSAMIATI KATIKA MAZINGIRA YA HOSPITALI1.1. Uwezo Upatikanao katika Mada:Kusikiliza kwa makini, kusoma vifungu vya habari na kutumia msamiati muhimu katikamazingira ya hospitali; kuzingatia matumizi ya viambishi -nge-, -ngeli- na -ngali-.1.2. Ujuzi wa AwaliHii ni mada ya kwanza katika kidato cha nne, michepuo isiyokuwa ya lugha. Mada hiiinazungumzia “Msamiati katika mazingira ya hospitali”. Tayari wanafunzi wa kidato hikiwana ujuzi wa awali wa kutosha kuhusu msamiati utumiwao katika sehemu mbalimbali.Sehemu hizo ni kama sokoni, nyumbani na shuleni, kilimo na ufugaji, hotelini nakadhalika. Kupitia mada hii, wanafunzi wanapanua ujuzi wa msamiati wao. Msamiatiwa mazingira ya hospitali ni mojawapo wa msamiati wa matumizi ya kila siku. Kwa hiyo,si kitu kipya kwa wanafunzi hawakuelimishwa msamiati unaotumiwa mahali maalumu.1.3. Masuala MtambukaKupitia mada hii, mwalimu aonyeshe nafasi ya mwanamke na hadhi yake katika jamii.Hapa mwalimu atakuwa na jukumu la kuhimiza wanafunzi kuheshimu usawa wa jinsiakimaendeleo. Kitu kingine, mwalimu ataonyesha wanafunzi namna wanavyowezakuzalisha mali katika kazi yoyote wanayoifanya. Hivi vyote vitafanyika katika hali yaamani na maadili mema.Kutokana na hali ya hapo juu, itachochewa elimu kwa wote/elimu isiyo na ubaguzi ili kufanikisha maendeleo shirikishi endelevu.1.4. Mwongozo kuhusu Kidokezo cha Mada- Mwalimu anatoa mwongozo wa kutoa jibu kwa kazi. Itakuongoza kufahamu mambomuhimu unayostahili kutilia maanani wakati wa kufunza somo fulani. Ni sharti urejeleekitabu cha mwanafunzi kila unapofunza lolote lililoandikwa kitabuni humo. Baadaya kufunza jambo hilo ni sharti uwaongoze wanafunzi kuyarudia uliyoyafunza kwakuyarejelea vitabuni mwao.- Wanafunzi wanaweza kushindwa kutoa majibu sahihi mwanzoni, lakini wanawezakufanikiwa kwa kupitia kazi nyingine zilizotayarishwa. Kumbuka kuwa yamo baadhi yamambo katika mwongozo huu ambayo hayamo katika vitabu vya wanafunzi. Mambohaya ni nyongeza yako ya kukutayarishia kazi yako.1.5. Orodha ya Masomo na TathminiMwongozo wa mwalimu1

Kichwasomocha Malengo ya kujifunza (kutoka Idadi ya vipindimuhtasari:maarifanaufahamu, stadi na maadili namwenendo mwema)1. MsamiatiMaarifa na ufahamu: kutamka 7katikana kuandika majina vifaa namazingira yawafanyakazi wa hospitalini.hospitaliStadi:kutumiamsamiatisahihi kuhusu mazingira yahospitali katika mawasilianorahisi.Maadili na mwenendo mwema:kuheshimu mazingira, vifaana wafanyakazi wa hospitalini.2.UsafihospitaliniMaarifa na ufahamu: kueleza 8umuhimu wa usafi hospitalini.Stadi: Kufanyakuboresha afya3. AdabuhospitaliniusafikwaMaadili na mwenendo mwema:kuimarishausafikatikamazingira mbalimali.Maarifanaufahamu: 7kuonyesha mwenendo mzurihospitalini.Stadi: kufuatahospitalini.sheriazaMaadili na mwenendo mwema:kukuza adabu hospitalini.Tathmini ya mada2Vipindi vya mada zote24SOMO LA 1: Mazungumzo Hospitalini1.1. Ujuzi wa Awali/Utangulizi2Mwongozo wa mwalimu

Somo hili linajishughulisha na “Msamiati katika mazingira ya hospitali”ambapohuzungumziavifaa pamoja na wafanyakazi wa hospitalini. Mwalimu ataanza somo nakueleza maana ya hospitali na watu tunaowakuta hospitalini kama kiini cha somo lenyewe.Wanafunzi wataeleza wanayoyajua kuhusu hospitali na wafanyakazi wanaowajua ilikumwezesha mwalimu kupata mwanzo wa somo kutokana na wanayoyajua.Mojawapoya maswali mwalimu anayoweza kumuuliza mwanafunzi ni kama yafuatayo: Hospitali ni nini Taja vifaa vitano vitumiwavyo hospitalini, kisha eleza umuhimu wake. Ainisha kazi na majukumu ya wafanyakazi wapatikanao hospitalini. . Andika aya moja kwa kuelezea umuhimu wa usafi hospitalini. Baadhi ya wagonjwa huonyesha mienendo isiyofaa hospitalini. Jadili1.2. Zana na Vifaa vya UfundishajiVifaa vitakavyosaidia mwalimu ni kama: Kitabu cha mwongozo wa mwalimu, Kitabu cha mwanafunzi, Magazeti mbalimbali, Ubao, Chaki, Michoro ya watu wanaowasiliana.Mwalimu anaweza kuandaa vifaa kadhaa vitakavyomsaidia kufanikisha somo lakeakitilia mkazo kwa wale wanafunzi ambao wana ulemavu fulani. Hapa mwalimu awembunifu wa vifaa na zana za ufundishaji na ujifunzaji.1.3.Maelekezo kuhusu Kazi za UjifunzajiKatika hatua hii, mwalimu atatafuta mbinu mbalimbali zitakazomwezesha kufikakwenye malengo ya somo lake hivi akitilia mkazo mbinu zifuatazo: Utumiaji wa makundi ya wanafunzi: Mwalimu aweke wanafunzi katikamakundi ya watu wawili, watatu, wanne. Ni vizuri kutozidi idadi ya watuwatano katika kundi moja kwa kujilinda uzembe ndani ya kundi. Mwalimuaendelee kuchunguza kwa makini namna kazi inafanyika katika makundikwa kutumia muda vizuri na kutoa msaada ikiwa unahitajika. Makundi hayayachanganye wasichana na wavulana. Baada ya kazi, mwalimu aombemakundi kuwasilisha matokeo kwa darasa. Kazi katika makundi itiliwe mkazokwa kusaidia wanafunzi kushirikiana na kujifunza kutoka kwa wenzao. Kazi binafsi kwa mwanafunzi: Kwa kusaidia kila mwanafunzi na kuhakikishakwamba lengo la somo limetimizwa, mwalimu awape wanafunzi kazi yabinafsi. Kila mwanafunzi ajibu maswali peke yake. (Asome kifungu cha habariMwongozo wa mw

Sehemu ya 3: Hutoa mwongozo au maelekezo ya ufundishaji kwa kila dha-na iliyotolewa ndani ya kitabu . Ingawa mwongozo huu wa mwalimu una majibu kwa kila kazi zote zilizotolewa katika kitabu cha mwanafunzi, unaombwa kupitia kila swali na kazi kabla ya ku-tathmini matokeo ya utafiti.

Related Documents:

3. Uongozi wa Shule wanahaki ya kumfukuza mwanafunzi ambaye hajafika wastani unaotakiwa kwa kiwango cha Shule au tabia yake haiendani na mwenendo wa shule. 4. Nafasi ya BWENI inatolewa kwa wavulana na wasichana. 5. Wanafunzi wa KUTWA wanakaribishwa, Ada ya Shule kwa wanafunzi wa kutwa wasiotumia usafiri ni shilingi 930,000/ kwa mwaka. 6.

ya Machipuko Si siku ya shule Aprili 04/12 na 04/13 Mtihani wa SAT & ACT WorkKeys Wanafunzi wa Vidato vya Chini pekee A.M. Wanafunzi Wote wa HS P.M. Shule ya Msingi ya Siku Nzima Mei 05/11 Hakuna Shule 05/20 Siku ya Mwisho ya Shule ya 1 Wanafunzi wa Vidato vya Juu 05/27 Siku Nusu (Shule ya Msingi) 05/30 Sikukuu ya Makumbusho - Hakuna Shule Juni

unaokidhi matakwa ya silabasi mpya ya Kiswahili kwa ajili ya shule za sekondari, na umetayarishwa kwa ustadi na . Ijaribu na Uikarabati: Marudio ya KCSE Kiswahili, Ipara & Waititu: 700.00 Fani ya Isimujamii kwa shule za Sekondari, Ipara & Maina: 420.00 Fani ya Fasihi Simulizi kwa shule za Sekondari, Assumpta:

Pamoja na taasisi zilizotajwa kuna shule shikizi (satellite schools) 44 ambapo kila halmashauri ina shule za namna hiyo ambazo baadaye zitakuwa shule kamili. . Kwa mkoa wa Lindi mtihani huu umefanyika katika shule 480 zenye jumla ya wanafunzi 17,519 wakiwemo wavulana 8,117 na wasichana 9,402 katika halmashauri 6 za mkoa wa Lindi. Aidha .

HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI Ukurasa wa 3 kati ya5 SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA KUZINGATIA UWAPO SHULENI NA NJE YA SHULE 1. Unapokuwa eneo la shule; vaa sare za shule, sare za michezo kwa siku za michezo (shati jeupe la mikono mifupi[lililochomekewa muda wote]sketi/suruali nyeusi) na t-shirt za blue [zenye nembo ya shule] zisizobana, kiatu cheusi [cha kamba, kisicho na madoido; raba na .

Kiswahili Kidato cha 4 Kitabu cha Mwanafunzi iii DIBAJI Mwanafunzi Mpendwa Bodi ya Elimu Rwanda inayo heshima kwa kutoa kitabu hiki cha Somo la Kiswahili Michepuo mingine kidato cha nne kitabu cha mwanafunzi .Kitabu hiki kitakuwa

elimu ya juu, Sayansi na Teknolojia. Ilitoa jumla ya tuzo 119 kwa wanafunzi wa kike kutoka shule 20 zilizofanya vizuri katika masomo ya Sayansi na Hisabati katika mitihani ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2006 (18); kidato cha sita mwaka 2006 na 2007 (25); vyuo vikuu, taasisi za serikal

find protein coding genes in E.coli DNA using E.coli genome DNA sequence from the EcoSeq6 database maintained by Kenn Rudd. This HMM includes states that model the codons and their frequencies in E.coli genes, as well as the patterns found in the intergenic region, including repetitive extragenic palindromic sequences and the Shine - Delgarno motif. To account for potential sequencing errors .