CCMKK401 - KISWAHILI KATIKA SEKTA TOFAUTI ZA KAZI

2y ago
223 Views
4 Downloads
959.96 KB
16 Pages
Last View : 7d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Adele Mcdaniel
Transcription

-KISWAHILI KATIKA SEKTA TOFAUTI ZA KAZICCMKK401Kutumia Kiswahili katika sekta tofauti za kaziCCMKK401Daraja: 4Saa zinazofaa30Idadi ya vipindi: 3Idara: ZoteMikondo: YoteWakati ilipoandaliwa: Januari, 2017LengoModuli hii inaeleza ujuzi na uwezo vinavyostahiliwa ili mwanafunzi aweze: Kutumia Kiswahili kwa kusikiliza, kusoma, kuzungumza na kuandika katika sektatofauti za kazi; Kutumia istilahi/rejesta kimazungumzo, kwa kuhudumia wateja na wageni wakampuni; Kutumia istilahi/rejesta zitumikazo kimaandishi katika idara mbali mbali za kazi; Kutumia istilahi/rejesta za utatuzi wa migogoro kazini.

Ujuzi wa awaliUstadi wa kutumia kiswahili wastaniKitengo na vigezo vya kitengoKitengo kinaeleza mategemeo muhimu yanayohitajiwa.Vigezo vya kitengo vimepangwa kupima ikiwa mwanafunzi anazingatia kitengo ifaavyo.Mwishoni mwa moduli hii mwanafunzi atakuwa na uwezo wa:Kitengo1. Kutumia kimazungmzoistilahi/rejesta zinazohusiana nakazi.Vigezo vya kitengo1.1 Uwezo wa kujitambulisha na kueleza kampuni nashughuli zake;1.2 Uwezo wa kupokea wageni/wateja kimazungumzokwa kutumia rejesta mahususi ;1.3 Uwezo wa kuambatanisha lugha ya ishara na istilahimahususi.2. Kutumia kimaandishi2.1 Uwezo wa kujaza fomu na kuandaa orodha kamaistilahi/rejesta zinazohusiana nainavyotakiwa katika idara fulani za kampuni;kazi.2.2 Uwezo wa kuandika na kufahamu maelekeo namiongozo inayohitajika katika warsha/kampuni2.3 Uwezo wa kueleza kazi na majina ya nafasi za kazikatika kampuni.3. Kutumia istilahi/rejesta za utatuzi wa3.1 Uwezo wa kutoa migogoro inayoweza kujitokezamigogoro katika kampuni.kampuni;3.2 Zingatio la wadau;3.3 Matumizi ya istilahi za lugha zinazohusiana na utatuziwa migogoro kampuni.

LU 1: Kutumia kimazungmuzo istilahi / rejestazinazohusiana na kazi.1Yanayotegemewa:1. Uwezo wa kujitambulisha na kueleza kampuni na shughuli zake.2. Uwezo wa kupokea wageni/wateja kimazungumzo kwa kutumiarejesta mahususi.3. Uwezo wa kuambatanisha lugha ya ishara za kiswahili na istilahimahususi.Saa 6Yanayotegemewa 1.1: Uwezo wa kujitambulisha na kueleza kampuni na shughuli zakeYaliyomoZoezi la kuigiza: Msamiati wakujitambulisha; Uchambuzi wa lugha yawahusika na tabia zao; Muundo wa zoezi laKazi ya mwanafunziVifaaoKutazama zoezi la kuigiza;- Kanda (CD);oKujadili katika makundi;- Mtandao ;oKuigiza mchezo mwenyewe;- Kamusi ya Kiswahili;oKutunga mifano ya kujitambulisha na- Kipazasuti;kueleza kampuni.-Kinasa-sauti;-Projekta.kujitambulisha nakueleza kampuni.Tathimini Endelezi /Arifu1.1Vigezo vya kitengoKujitambulisha na kueleza kampuni na shughuli zake

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishosimuliziKanda ya filamuVifaa oBado Tawasifu Kampuni yake Shughuli za kampuniMaoniYanayotegemewa 1.2: Uwezo wa kupokea wageni/wateja kimazungumzo kwa kutumia rejestamahususi.YaliyomoKazi ya mwanafunziVifaaMajibizano katika uwanja waoKufuata mazungumzo;- Kanda (CD);kazi (Mazungumzo):oKubishana juu ya muundo katika- Mtandao ;mazungumzo;- Kamusi ya Kiswahili;oKuigiza mchezo mwenyewe;- Ubao;oKutunga mifano ya kupokea wageni;- Chaki. Msamiati wa kupokeawateja; Uchambuzi muundowa mazungumzo.Tathimini Endelezi /Arifu1.2Vigezo vya kitengoKupokea wageni/wateja kimazungumzo kwa kutumia rejesta mahususi

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishosimuliziKanda ya filamuVifaa samiati wa mapokeziMisemo ya nidhamuIshara za mwiliMaoniYanayotegemewa 1.3: Uwezo wa kuambatanisha lugha ya ishara za kiswahili na istilahimahususi.YaliyomoKazi ya mwanafunziVifaaHotuba zilizohifadhiwa:oKufuata hotuba;-Kanda (CD); Msamiati wa istilahi;oKuvumbua ishara-Mtandao ;zinazoambatanishwa na masimulizi ;-KamusiKutoa maoni kuhusu ishara za-Ubao;mhusika-Chaki. Uchunguzi wa ishara zaKiswahiliozinazoambatanishwa namasimulizi; Maoni kulingana naishara za mhusika.oKuwakilisha hotuba kwa kutumiaishara iwezekanapo.

Tathimini Endelezi /Arifu1.3Vigezo vya kitengoKuambatanisha lugha ya ishara na istilahi mahususi.Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishosimuliziKanda ya filamuVifaa Ishara kulingana na wageniUchangamfu kulingana na mazingiraRejesta maalumYatakayochunguzwa Ishara kulingana na wageni Uchangamfu kulingana na mazingira Rejesta maalumMaoniMatokeoNdiyoBado

LU 2: Kutumia kimaandishi istilahi/rejestazinazohusiana na kazi2Yanayotegemewa:1. Uwezo wa kujaza fomu na kuandaa orodha kama inavyotakiwakwenye idara fulani za kampuni.2. Ufahamu wa maelekeo na miongozo inayohitajika katikawarsha/kampuni.3. Uwezo wa kueleza kazi na majina ya nafasi za kaziSaa 10Yanayotegemewa 2.1: Uwezo wa kujaza fomu na kuandaa orodha kama inavyotakiwa kwenyeidara fulani za kampuniYaliyomoKazi ya mwanafunziVifaaMakala kuhusu ushirikianooKusoma makala;-Kanda (CD);wa idara tofauti katikaoKutambua istilahi za kazi katika-Mtandao ;makundi;-Kamusi yakampuni: Msamiati unaofaa; Uchambuzi wa makala; Istilahi mbali mbali katikamakala.oKujaza fomu zinazoshirikisha idaratofauti katika kampuni.Kiswahili;-Kipazasuti;-Kinasa-sauti;-Ubao na chaki;-Projekta.Tathimini Endelezi /Arifu 2.1Vigezo vya kitengoKujaza fomu na kuandaa orodha kama inavyotakiwa

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishoThibitisho andishiKanda ya filamuVifaa Maswali yakinifuYatakayochunguzwaMatokeoNdiyo Bado Rejesta zinazofaa muYaliyomowamaelekeonamiongozoKazi ya mwanafunziinayohitajikakatikaVifaaUchunguzi kuhusu vifaa katikaoKuchunguza vifaa vya kampuni;- Kanda (CD);kampunioKusoma utunzagi wa kifaa;- Mtandao ;oKupatanisha maelekeo, miongozo na- Kamusi ya kiswahili;utunzagi;- Ubao;Kuhitimisha na kuwasilisha utunzagi wa- Chaki. Msamiati; Utunzagi wa kifaa; Uhusiano wa kifaa namaelekeo au miongozo; Maelezo ya kifaa na jinsikinavyotumika.okifaa fulani.

Tathimini Endelezi /Arifu 2.2Vigezo vya kitengoKuandika na kufahamu maelekeo na miongozo inayohitajika katikawarsha/kampuniMwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishoThibitisho andishiKanda ya filamuVifaa Maswali yakinifuYatakayochunguzwaMatokeoNdiyo Bado Lugha sanifu Rejesta zinazofaaMaoniYanayotegemewa 2.2: Kueleza kazi na majina ya nafasi za kazi katika kampuniYaliyomoKazi ya mwanafunziVifaaoKusoma makala kwa kimya; Msamiati;oKusoma katika makundi; Kazi zipatikanapo;oKusoma kwa sauti;- Kanda (CD); Majina ya kazi;oKutoa kazi zipatikapo;- projekta; Majina ya nafasi za kazi.oKutoa majina ya wafanyakazi.- Mtandao ;Makala ya kazi mbali mbali- Vitabu vya habari zakiswahili;- Kamusi ya kiswahili;- Ubao;- Chaki;

Tathimini Endelezi /Arifu 2.3Vigezo vya kitengoKueleza kazi na majina ya nafasi za kazi katika kampuni.Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/Arifu Aina za thibitishoThibitisho andishiKanda ya filamuVifaa Maswali yakinifuUwasilishajiYatakayochunguzwaKazi muhimu katika kampuni fulaniMajina ya nafasi za kazi hizoMaoniMatokeoNdiyo Bado

LU 3: Kutumia istilahi/rejesta za utatuzi wa migogorokatika kampuni.3Yanayotegemewa:1. Uwezo wa kutoa migogoro inayoweza kujitokeza kampuni2. Zingatio la wadau.3. Matumizi ya istilahi za lugha zinazohusiana na utatuzi wamigogoro kampuni.Saa 10Yanayotegemewa 3.1: Uwezo wa kutoa migogoro inayoweza kujitokeza kampuniYaliyomoTabaka mbali mbali katikaKazi ya mwanafunziokampuni:VifaaKutoa migogoro inayoweza kujitokeza- Kanda (CD);baina ya tabaka hizo;- Mtandao ; Viongozi;oKutoa wajibu wa kila wadau;- Kamusi ya Kiswahili; Wafanyakazi;oKutoa mbinu za utatuzi;- Kipazasuti; Wateja/wageni;- Kinasa-sauti;- Projekta.Tathimini Endelezi /Arifu 3.1Vigezo vya kitengoKutoa migogoro inayoweza kujitokeza kampuni

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/ArifuAina za thibitisho Thibitisho simulizi Majibizano Kanda ya filamu UsailiVifaa UwasilishajiYatakayochunguzwaMatokeoNdiyo Bado Aina za migogoro Majina ya migogoroMaoniYanayotegemewa 3.2: Zingatio la wadauYaliyomoKazi ya mwanafunziKifungu cha habari kuhusuoKutoa tabia za wadau;wadau:oKutoa hisia za wadau;oUchambuzi wa mandhari. Msamiati;Vifaa- Vitabu vya vifungu vyahabari;- Kanda (CD); Wadau;- Mtandao ; Mazingira ya wadau- Kamusi ya Kiswahili;(mahali,wakati).- Ubao- ChakiTathimini Endelezi /Arifu 3.1Vigezo vya kitengoZingatio la wadau

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/ArifuAina za thibitisho Thibitisho simulizi Majibizano Thibitisho andishi Uwasilishaji Kanda ya filamuVifaaYatakayochunguzwaMatokeoNdiyo BadoIstilahi ya tabia za wadauIstilahi ya hisia za wadauMaoniYanayotegemewa 3.3: Matumizi ya istilahi za lugha zinazohusiana na utatuzi wa migogorokampuni.YaliyomoKazi ya mwanafunziVifaaKifungu cha habari (yaoKusoma kifungu cha habari;- Kifungu cha habari;mgogoro au ajali kazini):oKutoa jedwali la migogoro na istilahi- Kanda (CD)inayotumiwa;- Mtandao Msamiati; Istilahi za migogoro;oKutoa istilahi za utatuzi wa migogoro;- Kamusi Istilahi za utatuzi waoKuigiza utatuzi wa migogoro kwa kutumia- Ubaoistilahi zinazofaa.- Chakimigogoro.Tathimini Endelezi /Arifu 3.3Vigezo vya kitengoMatumizi ya istilahi za lugha zinazohusiana na utatuzi wa migogoro kampuni

Mwongozo wa Tathimini. Tathimini Endelezi/ArifuAina za thibitisho Thibitisho simulizi Majibizano Kanda ya filamu UwasilishajiYatakayochunguzwa Istilahi za kueleza migogoro Istilahi za utatuzi wa migogoroMaoniVifaaMatokeoNdiyo Bado

2. Uwezo wa kupokea wageni/wateja kimazungumzo kwa kutumia 3. Uwezo wa kuambatanisha lugha ya ishara za kiswahili na istilahi mahususi. Saa 6 Yanayotegemewa 1.1: Uwezo wa kujitambulisha na kueleza kampuni na shughuli zake Zoezi la kuigiza: Msamiati wa kujitambulisha; Uchamb

Related Documents:

Data zilirekodiwa katika kinasa sauti na kunukuliwa kwa maandishi. . Tofauti za Matumizi ya Lugha katika Miktadha Mbalimbali ya Mazungumzo 13 sehemu ya pili inahusu tofauti ya matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Sehemu ya tatu inafafanua mkabala wa kinadharia uliotumika katika uch

Nyenzo za kufundisha huwa viungo muhimu wakati wa utoaji wa mafunzo. Utafiti ulichunguza matumizi ya nyenzo katika ufundishaji wa Kiswahili katika shule za msingi za umma katika Jimbo la Nyandarua, Kenya. Madhumuni ya utafiti yalikuwa: Kuainisha nyenzo zinazotumika kufundisha Kiswahili, Kutathimini kiwango cha matumizi ya

Kiswahili) na Shahada ya Umahiri/Uzamili ya Sanaa katika Kiswahili (MA. Kiswahili – akitamilikia Fasihi) zote kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania. Chuoni anafundisha kozi za Kiswahili - Lugha, Isimu na Fasihi ikiwemo kozi ya Uandishi wa Kubuni. Pia, hufundisha Kiswahili

Kiswahili dialects are endangered by, among other factors, the onslaught of standard Kiswahili, English, and Sheng, and so they are likely to be dying. The paper holds the position that the Kiswahili dialects are vital for the development of standard Kiswahili and, therefore, their endangerment is the endangerment of standard Kiswahili.

Introduction to Kiswahili Poetry KSX 2102 Kiswahili Oral Literature KSX 2104 (with Mr Innocent Yerindabo) Introduction to Kiswahili Novels KSX 2202 History and Development of Kiswahili KSX 3101 Kiswahili Teaching Methods KSX 3201 Drafts Reviewed: Advanced Proficiency in Kiswahili KSX 1102 by Boaz Mutungi.

4.0 KISWAHILI (102) 4.1 MATOKEO YA MTIHANI WA SOMO LA KISWAHILI Jedwali hili linaonyesha matokeo ya mtihani wa somo la Kiswahili katika muda wa miaka minne (2005 hadi 2008). Jedwali 6: Matokeo ya mtihani wa Kiswahili (2005 - 2008) Mwaka Karatasi Watahiniwa Alama ya Juu Alama ya Wastani Alama ya Tanganisho 2005 1 2 3 Jumla 259,301 40 80

Mchango wa Fasihi ya Kiswahili katika Kuudumisha Utambulisho wa Kiswahili : Mifano Kutoka Kazi za Fasihi za Kiswahili Dk. Wael Nabil Ibrahim Othman* Abstract This study emphasizes that the Swahili literature has a very big role in consolidating and maintaining Swahili identity. In the field of Swahili poetry

2nd Grade – Launching with . Voices in the Park by Anthony Browne (lead from the Third Voice) My First Tooth is Gone by student (student authored work from Common Core Student Work Samples) A Chair for my Mother by Vera B. William Moonlight on the River by Robert McCloskey One Morning in Maine by Robert McCloskey, Roach by Kathy (student authored work from www.readingandwritingproject.com .