ميحرلا نمحرلا للها مسب - Firqatu Nnajia

3y ago
362 Views
8 Downloads
639.40 KB
25 Pages
Last View : 28d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Luis Wallis
Transcription

بسم اهلل الرحمن الرحيم UTANGULIZISifa njema zinamstahiki Allah mtukufu, na swala na salam zimfikiemtume wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba wake wote.Baada ya hayo:Hii ni tafsiri ya ufupisho wa muhadhara alioutoa sheikh AbdullahAbdurrahim Albukhary Allah amhifadhi na kuupa jina: ni upi usalaf?Nimeonelea kutafsiri muhadhara huo kwa sababu zifuatazo:1.kutokana na faida nyingi zilizoelezwa katika muhadhara huo.2.kuwaelemisha watu wasiojua usalaf3.kuwazindusha walioghafilika na manhaj hii ya mtume ﷺ namaswahaba wake.4.kujaribu kuieneza daa’wa salafiyya kwa njia hii ya maandishi.5.kutaka radhi za Allah mtukufuNinamuuomba Allah mtukufu kwa majina yake mazuri na sifa zaketukufu akijaalie kitabu hiki kidogo ni chenye kutakaswa kwa ajili ya usowake mtukufu ,pia ninamuomba Allah amlipe kheri sheikh Abdallah Albukhary,na kila aliefanikisha kuitoa tafsiri hii wakiwemo wachapishajina kila atakae kisoma na kuyafuata yote yaliyomo katika kitabu hiki.Abu Hashim Abdulkadir Bin Hashim Al-Musawaa15/11/ 14388/8/20171

NUKTA YA KWANZAKUWEKA WAZI MAANA YA USALAF KATIKA LUGHASiin, Lam na Faa ni asili inayofahamisha kutangulia,kwa hiyo tamshi lasalaf katika lugha linamaanisha mwenye kutangulia.Na huitwa hivyo salaf kila mwenye kukutangulia katika ndugu namfano wake.Na ni katika hayo maneno ya Allah mtukufu:ِ﴾ ين َ ﴿ فَ َج َعلْنَ ُـه ْم َسلَفاً َوَمثَالً لِّالٌّخ ِر (Tukawafanya ni wenye kutangulia na mfano kwa waliokuja mwisho)(Surat Az-Zukhruf: 56)Amesema imam albukhary Allah amrehemu katika tafsiri yake ya ayahhii: salaf ni waliotangulia katika wazee, tukawafanya ni wenyekutangulia ili wa mwisho wapate mawaidha kwa sababu yao.Na ni katika hayo maneno ya Allah mtukufu :﴾ ف َ َ ﴿ َوأَن تَ ْج َمعُواْ بَـيْ َن االٍّ ْختَـيْ ِن إَالَّ َما قَ ْد َسل (Na haram kukusanya baina ya dada wawili (kuwaoa) isipokuayaliyopita) (Surat An-Nisa’:23)Maana vitendo vyenu vilivyo pita, hilo ni lenye kuwekwa mbali,kuondolewa dhambi sio kuwa kitendo hicho kinafaa, kwa hiyohusemwa Fulani ana salaf watukufu, yaani ana wazee waliotangulia,amesema Arraaghib al-asfahaaniy Allah amrehemu katika (almufradat)Alhafidh ibnul athiir na ibnu mandhur wanasema: salaf: ni mwenyekutangulia kwa umri na fadhla tu.2

Ibnu mandhur Allah amrehemu anasema: Na salaf pia: ni mwenyekukutangulia katika wazee na jamaa wako waliojuu yako kwa umri nafadhla kwa hiyo lile kundi la kwanza katika taabiin limeitwa(assalafuswalih)Na katika hadithi inayo fahamisha maana hiyo ni hadithi iliyokuja katikavitabu viwili sahihi kwa hadithi ya Aisha رضي اهلل عنها na hadithi ina kisa hiki:Mtume ﷺ alimnong’oneza binti yake fatma رضي اهلل عنها akalia,alipoona huzuni yake akamnong’oneza mara nyengine fatma رضي اهلل عنها akacheka, Aisha رضي اهلل عنها akamuuliza Fatma hakumuelezea.Alipokufa mtume ﷺ Aisha رضي اهلل عنها alimuuza mara nyengine ndipoFatma alipojibu kwa kusema :ama aliponinong’oneza mara ya kwanza;alinielezea kuwa jibril alikua akimdhirishia quran mara moja kwa mwaka,na kuwa alimdhirishia hivi sasa mara mbili ,na akamwambia ;mimi sionimuda wangu na kifo isipokua umekaribia ,hivyo mche Allah na subiri,kwani bora ya waliokutangulia ni mimi )Fatma akasema nikalia kilio ulichokiona, alipoona huzuni yangualininong’oneza mara ya pili ,akasema :ewe Fatma hivi huridhii kuwawewe ni bibi mkubwa wa wanawake waumini,au bibi mkubwa wawanawake wa umma huu?nikacheka kicheko kile ulichokiona)Amesema Alhafidh Annawawy Allah amrehemu katika (sharhi ya swahihmuslim)aliposherehesha maneno ya Mtume ﷺ فانو نعم السلف انا لك (kwani bora ya wenye kukutangulia ni mimi )akasema ;assalaf:ni mwenyekukutangulia , na maana yake :mimi ni mwenye kutangulia mbele yakoHii ndio maana ya kilugha3

NUKTA YA PILINI KINA NANI SALAF KATIKA ISTILAHI?Imeshapita kuwa salaf katika lugha :ni waliokutangulia kwa umri nafadhla,sasa tunataja maana ya tamshi hili kwa istilahi.Allah mtukufu amesema katika kitabu chake kitukufuِِ َِّ ان َّر ٍ وىم بِِإ ْحس ٍِ َّ َع َّد ل َُهم جن ِ َّ ﴿و ـت ُ ض َى اللَّوُ َع ْنـ ُه ْم َوَر ُ ين اتَّـبَـ ُع َ ْ َ ضواْ َع ْنوُ َوأ َ ين َواألَنْصاَ ِر َوالذ َ السـب ُقو َن االٌَّّولُو َن م َن ال ُْم َهـج ِر ََِِِِِ﴾ يم َ ين ف َيهآ أَبَداً ذَل َ تَ ْج ِري تَ ْحتَـ َها األَنْـ َه ُـر َخـلد ُ ك الْ َف ْوُز ال َْعظ )na waliotangalia wa mwanzo katika muhajirin na answar na wenyekuwafuatia wao kwa wema Allah amewaridhia na wao wakamridhia naamewaandalia pepo ambazo mito hupita mbele yake huko ndiko kufuzukukubwa) (Surat At-Tawbah:100)Na katika vitabu viwili swahihi kutokana na ibni Masuud رضى اهلل عنه amesema: amesema Mtume ﷺ ويمينو , ثم يجئ أقوام تسبق شهادة أحدىم يمينو , ثم الذين يلونهم , )خير الناس قرنى ثم الذين يلونهم ) شهادتو()البخاري )bora ya watu ni karne yangu, kisha wanaowafuatia hao, kishawanaowafuatia hao,kisha watakuja watu ambao ushahidi wa mmoja waohutangulia kiapo chake,na kiapo chake hutangulia ushahidi wake)BukharyNa katika swahih muslim kutokana na Aisha رضى اهلل عنها anasema : mtummoja alimuuliza mtume ﷺ ni watu gani bora ? Akasema : ni karne ileambayo mimi nipo, kisha ya pili, kisha ya tatu,Na zipo hadithi nyengine nyingi zinazoelezea hivyo, aya iliyopita ya suratittawba na hadithi zinafahamisha ubora wa maswahaba رضى اهلل عنهم nakuwa wao ndio watu bora wa umma huu baada ya mtume wa Allah ﷺ 4

Na bila shaka wao ni wenye kututangulia katika fadhla, ilmu na Imani رضى اهلل عنهم Je kila mtu aliyeishi katika zama hizo zilizobarikiwa inatosha kuwa mtuhuyo ni katika watu wema wanaofwatwa?Hapana sio hivyo ,kwani kutangulia kwa zama hizo hakutoshikubainisha hao salaf, ni lazima kuongezea sharti muhimu ambalo nikuwafiki Qurani na hadithi na ufahamu wa maswahaba رضي اهلل عنهم ndiomaana tunapata maimamu wa sunna wanaiwekea sharti istilahi hii, nakusema watu wema waliotangulia, ili watoke watu waovuwaliotangulia katika baadhi ya waliokuwepo katika zama zao nawasiwe juu ya ufahamu wao na mfumo wao.Ushahidi wa hilo ni Alqadariyya waliojitokeza baina ya kundi lamaswahaba ,na hadithi ya Abdullahi bni Umar رضي اهلل عنهم ya kuwaameepukana na hao Qadariyya ni hadithi mashuhuri na ni hadithi yakwanza katika swahih muslimPia khawaarij waliotoka katika twaa ya Aliy رضي هللا عنه na wenginekatika maswahaba ,nao makhawaarij walikuwa baina ya maswahaba,Ibni Abbas رضي هللا عنه alipowajadili makhawaarij mjadala mashuhurialioutoa Alhakim katika almustadrak kwa isnad sahihi . Na katikamaneno aliyowaambia kuwa ni dalili ya upotevu wao;) )وانظروا ليس فيكم منهم اي من الصحابة (angalieni hakuna swahaba yoyote katika nyinyi )Hii inatosha kubainisha upotevu wao .kwa hiyo kutangulia kwa zamahizo hakutoshi kuwa mtu ni katika wema waliotangulia , Imam Muslimametaja (mwanzo wa swahih )kutokana na Aliy bni Shaqiq Allahamrehemu amesema ( nilimskia Abdallah bni mubarak akisema mbele5

ya watu : wacheni hadithi ya amr bni thabit kwani alikuwaakiwatukana salaf)Tumejua kwa yaliyotangulia kuwa maana ya salaf katika istilahi , nimaswahaba , taabiin , na waliowafuatia maswahaba kwa wema mpakasiku ya kiyama, na wakaenda juu ya njia yao ,na kufwata nyayo zao.6

NUKTA YA TATUKUTAJA BAADHI YA MAJINA YA KISHERIA YA WEMA WALIOPITAMwenye kuangalia maneno ya wengi katika wenye ilmu atapata kuwawao wametumia majina mengine, na maana yao ni maana hiyo ya jinatukufu, na haifahamiki kupatikana farka baina ya majina hayo, bali yoteyanawafikiana maana zao kabisa , na majina hayo yote yamechukuliwakutokana na (nususi) maneno yaliyofahamisha hivyoNi katika majina hayo;Ahlu ssunnawal jamaa, ahlulhadith,ahlulathar,alfirqatunnajiya, attaifatul mansura , alghurabaa.Ama kuitwa ahlussunawal jamaa:Al imam Sufyani Thaury Allah amrehemu amesema : (itakapokufikiakhabari kutokana na mtu alioko mashariki mtu wa sunna ,na mwengineyuko magharibi wapelekee salamu, na waombee, ni wachache sanaahlusunnawal jamaa)Na amesema sheikhul Islam Ahmad bni Abdilhalim bni TaymiyyaAlharrany Allah amrehemu katika ( االستقامة na bid’a imekutanishwa nakufarikiana kama sunna ilivyokutanishwa na jamaa , husemwa ahlussunnawal jamaa , kama inavyosemwa ahlul bidaa wal furka)Na amesema Allah amrehemu katika mahali pengine kama katika المجموع akiwaelezea ahlusunna : wao ni wenye kushikamana na kitabu cha Allahna sunna za mtume wake ﷺ na waliyowafikiana na waliotangulia wamwanzo katika muhajirina na answari na waliowafuatia kwa wema )mwisho wa maneno yake.Na amesema tena :Na madhehebu ya ahlussunna wal jamaa ni ya zamani yanajulikana kablaAllah hajamuumba Abu hanifa ,malik , ashafii ,na Ahmad ,kwani hiyo nimadhehebu ya maswahaba ambao wameipokea kwa mtume wao , namwenye kukhalifu madhehebu hayo huwa ni mzushi kwa ahlu sunna )7

Na ama kuitwa ahlul hadith na ahlul athar:Jina hilo liko katika maneno ya maulamaa kama imam Ahmad , Bukharyna wengineo .Amesema Al imam ibnu Taymiyya Allah amrehemu kama katika اجملموع madhehebu ya salaf watu wa hadith , na sunna wal jamaa)Kisha akataja madhehebu yao , akawataja watu wa hadith na sunna waljamaa.Na amesema Al imam Abuu Hatim Arrazy Alhafidh: katika alama za watuwa bidaa ni kuwakashifu watu wa athar (hadith)Na ametoa alkhatib Allah amrehemu katika شرف اصحاب احلديث kwa isnadsahihi kutokana na Ahmad bni sinanil Qattan amesema : hakuna hapaduniani mzushi yoyote isipokua huwachukia watu wa hadithi , mtuakifanya bidaa huvuliwa ladha ya hadithi katika moyo wake)Na ama kuitwa al firqatu nnajiya na Attaifatul mansura, jina hilo limekujakatika hadithi mashuhuri hadithi ya kufarikiana : ( Hakika banuu israelwalifarikiana kwa vikundi sabini na moja , na ummati wangu utafarikianakwa vikundi sabini na mbili vyote vitakua motoni isipokua kimoja , nachoni aljamaa)Hii ni hadithi mashuhuri imethibiti ni swahih ,kinyume na mwenyekuifanya dhaifu pia imekuja katika hadithi ya Muawiyya رضي اهلل عنه iliyotangulia(. )ال تزال طائفة من أمتي منصورين على الحق (Hakitawaacha kuendelea kikundi katika umati wangu juu ya haki)Amesema Alhafidh Allalakaaiy katika sharh usuli itikadi ahli ssunnati waljamaa ( hicho ni kikundi kilicho nusuriwa na ni kikundi kilichookoka na ni8

kikundi kilichoongoka na ni kundi adilifu lenye kushikamana na sunna)fikiria Allah akuhifadhi sifa hizi tukufu.Na amesema sheikhul Islam bni Taymiyya Allah amrehemu katikautangulizi wa العقيدة الواسطية ama baada ya hayo, hii ni itikadi ya kikundikilichookoka kilicho nusuriwa mpaka qiyama kitakapo simama , watu wasunna na jamaaNa amesema shekhe wa mashekhe wetu mwanachuoni Hafidh HakamyAllah amrehemu katika kitabu chake chenye faida: معارج القبول imekujahadithi ya mkweli mwenye kusadikishwa (kuwa kikundi kilichookoka niwale waliokuwa juu mfano wa manhaj alivyokuwa nayo mtume namaswahaba wake)Ama kuitwa ghurabaa:Haijifichi kwa mwana sunna hadithi ya ghurabaa iliyo mashuhuri katikaswahihi ( uislamu ulianza mgeni na utarudi kuwa ni mgeni kamaulivyoanza , pepo ni ya hao wageni )Amesema imam sufyani Thauriy Allah amrehemu (usianeni kheri Kwawatu wa sunna kwani wao ni wageni)Na amesema ibnul qayyim Allah amrehemu katika مدارج السالكني akisherehesha hadithi ya ugeni : na waumini ni wageni kwa waislamu nawenye ilmu ni wageni kwa waislamu , na watu wa sunna ambaowanaipambanua sunna na watu wa bidaa ni wageni, na walinganizi wasunna wenye subra kwa maudhi ya wenye kukhalifu hao walinganizi niwageni sana ,lakini hawa ndio watu wa Allah kwa haki , hakuna ugeni juuyao, isipokua ugeni wao ni baina ya wengi ambao Allah mtukufuamesema:﴾ ﴿وان تطع اكثر من فى االرض يضلوك عن سبيل اهلل (Ukiwatii wengi waliopo katika ardhi watakupoteza na njia ya ALLAH)(Surat Al-An’am:116)9

NUKTA YA NNEHUKMU YA KUFWATA NA KUJINASIBISHA NA USALAFKila mwislamu anaelekea qibla kwa kuswali kwa ajili ya Allah swala yafaradhi au ya sunna, ni lazima asome suuratil fatiha , na hiyo ni mojakatika nguzo za swala ,na ndani yake kuna maneno ya Allah mtukufu:﴾ ﴿اىدنا الصراط المستقيم ) tuongoze njia iliyonyooka) (Surat Al-fatiha: 6)Al imam ibni jariri katika tafsiri ametoa maneno ya Hamza ibni mughiraaliposema (nilimuuliza Abul-aaliya kuhusu maneno ya Allah mtukufu( ) اهدنا الصراط ادلستقيم Akasema :ni mtume wa Allah ﷺ na maswahaba wakewawili Abubakar na Umar akasema : nikamfwata Alhasannikamwelezea hayo ? yani nini rai yako? Akasema: amesema kweli naametoa nasaha)Unataka Allah akuongoze njia iliyoonyooka zilazimu sunna za mtumewa Allah na zilazimu sunna za maswahaba wake na njia ya maswahabawake na wa juu wao ni makhalifa waongofu na wa juu wao niAbubakar na Umar رضي اهلل عنهم Na amesema sheikhul Islam ibnul Qayyim katika ( )بدائع الفوائد kua uhalisiawa njia hiyo ni kitu kimoja nacho ni : njia ya Allah aliyowawekea wajawake kupitia ndimi za mitume wake na akaijaalia ni yenye kuwafikishawaja wake kwake, na hawana njia ya kufika kwake isipokuwa hiyo, nanjia zote zimefungwa isipokua hii nayo ni kumpwekesha Allah nakumpwekesha mtume wake kwa kumtii ,hashirikishwi na kitu chochotekatika utumwa wake , na hashirikishwi na mtume wake yoyote katikatwaa yake , itakaswe tawhid na itakaswe kumfwata mtume ﷺ , kwa10

kuzingatia yaliyotangulia : ni wajibu kufwata njia ya mtume wa Allah ﷺ na njia ya maswahaba wake رضي اهلل عنهم Ibnul Qayyim Allah amrehemu ameweka mlango wenye manufaakatika kitabu chake ( )إعالم ادلوقعني kuhusu wajibu wa kuwafwatamaswahaba katika salaf , na tutataja baadhi ya dalili hizo:1. Maneno ya Allah mtukufu ﴿وان جاىداك على أن تشرك بي ما ليس لك بو علم فال تطعهما و صاحبهما فى الدنيا معروفا واتبع سبيل ﴾ من أناب إلي ثم إلي مرجعكم فأنبئكم بما كنتم تعملون (Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basiusiwat'ii. Lakini kaa nao kwa wema duniani, nawe ishike njia ya anaye elekeakwangu. Kisha marejeo yenu ni kwangu Mimi, na Mimi nitakuambieni mliyokuwa mkiyatenda.) (Surat Luqman:15)Njia ya kutolea dalili:Amesema ibnul Qayyim: Kila mmoja katika maswahaba ni mwenyekurejea kwa Allah kwa hiyo ni wajibu kufwata njia yake, maneno yake,vitendo vyake, na itikadi zake ni katika njia yake kubwa.Na dalili kuwa maswahaba ni wenye kurejea kwa Allah ni kuwa Allahamewaongoza katika uislamu na akasema﴾ ﴿ويهدي اليو من ينيب (na anamuongoza mwenye kurejea kwake ) (Surat Ash-Shura:13)2. Maneno yake mtukufu:﴾ ﴿قل ىذه سبيلي أدعوا إلى اهلل على بصيرة أنا ومن اتبعني وسبحان اهلل و ما أنا من المشركين 11

(Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Allah kwa kujua - mimi nawanao nifuata. Na ametakasika Allah! Wala mimi si katika washirikina.)(Surat Yusuf: 108)Njia ya kutolea dalili kwa aya hiyo: amesema ibnul Qayyim Allahamrehemu: “Allah mtukufu ameelezea kuwa mwenye kumfwatamtume ﷺ hulingania kwa Allah, na anaelingania kwa ALLAH juu yailimu: ni lazima kumfwata kwa maneno ya Allah mtukufu aliponukuumaneno ya majini na akayaridhia: akasema﴾ ﴿يا قومنا أجيبوا داعي اهلل وامنوا بو (Enyi jamaa zetu muitikieni mlinganizi wa Allah na mumuamini)(Surat Al-Ahqaf: 31)Na kwa sababu mwenye kulingania kwa Allah juu ya ujuzi analinganiahaki hali ya kuijua , na kulingania hukumu za Allah ni kulingania kwaAllah na ni kulingania katika kumtii Allah katika aliyoamrisha nakukataza, hivyo maswahaba رضي هللا عنهم walimfwata mtume ﷺ , kwahiyo ni lazima kuwafwata wakilingania kwa Allah )3. Maneno ya Allah mtukufu﴾ ﴿ومن يعتصم باهلل فقد ىدي الى صراط مستقيم (Na mwenye kushikamana na Allah huyo ameongozwa katika njiailiyonyooka) (Surat Aal-E-Imran: 101)Njia ya kutolea dalili kwa aya hiyo : amesema ibnul qayyim Allahamrehemu Allah mtukufu amewaelezea watu wenye kushikamana naekuwa wao wameongozwa katika haki , tunasema: maswahaba رضي هللا عنهم ni wenye kushikamana na Allah kwa hiyo wao ni wenye kuongozwa hivyoni lazima kuwafuata )12

4. Maneno ya mtume ﷺ katika hadithi ya Irbaadh ibni Saariya iliyo mashuhuri , katika hadithihiyo alisema : jilazimisheni kufwata sunna zangu na sunna za makhalifawaongofu wenye kuongozwa , ziumeni kwa meno ya mwisho (magego)na tahadharini mambo yenye kuzushwa, kwani kila uzushi ni upotevu )hii ni hadithi sahihi wameitaja wenye vitabu vya hadithiNjia ya kutolea dalili : amesema ibnulQayyimmtume ﷺ amekutanisha sunna za makhalifa wake na sunna zake naakaamrisha kuzifuata , kama alivyoamrisha kufwatwa sunna zake , namtume ﷺ alizidisha kuamrisha sunna hizo mpaka akaamrisha ziumwekwa magego na hii hukusanya yote waliyo yatolea fatwa nawaliyoyaweka kwa umma huu, mwisho wa maneno yake رحمه هللا Na amesema ibnu Qudama katika kitabu ( )ذم التأويل :mtume ﷺ ameamrisha kushikamana na sunna za makhalifa wakekama alivyoamrisha kushikamana na sunna zake , na akaelezea kuwamambo yanayozushwa ni uzushi na ni upotevu , na hayo ni mamboambayo hakufwatwa mtume ﷺ wala sunna za maswahaba wake )Amesema tena ibnu Qudama : umethibiti wajibu wa kufwata wemawaliopita Allah awarehemu kwa Qurani na sunna na ittifaki yamaulamaa , na mazingatio yanafahamisha hivyo , kwani wemawaliotangulia hawaepukani na kuwa ni wenye kupatia au wenyekukosea , wakiwa ni wenye kupatia ni lazima kuwafwata, kwa sababukufwata ilivyo sawa ni wajibu na ni haramu kufuata makosa katikaitikadi, na pia wao wakiwa ni wenye kupatia wanakuwa juu ya njiailiyonyooka , na mwenye kuwakhalifu ni mwenye kufuata njia yashetani inayoongoza njia ya motoni.13

Na Allah ameamrisha kufwata njia yake, na akakataza kufuataisiyokuwa njia hii,﴾ ﴿وأن ىذا صراطي مستقيما فا تبعوه وال تتبعوا السبل فتفرق بكم عن سبيلو ذلكم وصاكم بو لعلكم تتقون (Na hakika hii ni njia yangu yenye kunyooka ifwateni na msifwate njianyingne nyingi zisije zikakupotezeni na njia yake, Allah amewausienihilo ili mpate kuwa wachaji Allah) (Surat Al-An’am: 153)Na mtu akidai kuwa hao wema waliotangulia ni wenye kukoseaatakuwa ni mwenye kuukashifu uislamu wote, kwa sababu ikifaa waokukosea katika jambo hili itafaa kukosea kwao katika mambo mengineya uislamu, na inatakikana kutonukuu hadithi walizozinukuu, piamiujiza ya mtume walioipokea isithibitishwe, hapo mapokeziyatabatilika na sharia itaondoka, na haifai mwislamu kusema hivyowala kuitakidi hivyo.KUJINASIBISHA NA USALAFUmekwishajua ewe mwenye kuwafikishwa kwamba ni wajibu kufwatanjia ya waumin ambao ni watu wema waliopita, kwa hiyo kujinasibishanao ni utukufu kwako, amesema Al Imam ibni Taymiyya Allahamrehemu:(Si aibu kwa mwenye kudhihirisha madhehebu ya salaf naakajinasibisha nayo, bali ni lazima kumkubalia hayo kwa itifaki yamaulamaa kwani madhehebu ya salaf hayawi isipokuwa ni haki.)Na lau unapofikiria nyasia za maimamu ungepata kuwa wao wanausiakufwata na kulazimu njia ya watu wema waliopita رضي هللا عنهم nawamekataza kujiepusha na njia hiyoNi katika Nyasia hizo1. Qauli ya Al imamul Awza3i imamu wa watu wa sham :14

(Ivumilie nafsi yako juu ya sunna na simama mahali waliposimamawatu, na sema waliyoyasema, na jizuie waliojizuia, na fwata njia yawema waliopita, kwani yanajuzu kwako yale yalojuzu kwao)2. Na amesema tena:(Jilazimishe kufwata athari za salaf hata watu wakikukataa, natahadhari na maoni ya watu hata wakikupambia maneno yao, kwanimambo yatabainika wakati yatakapobainika, na wewe utakua katikanjia iliyonyooka)3. Na amesema al Imamu Abu Uthman ismail Alswaabuun katikakitabu عقيدة السلف اصحاب احلديث (na wanamfwata mtume ﷺ na maswahaba wake ambao ni kamanyota, na wanawafwata watu wema waliopita ambao ni viongozi wadini na maulamaa wa waislamu, na wanashikamana na manhajwaliokuwa nayo hali ya kushikamana na dini madhubuti, na hakiiliyowazi.)15

NUKTA YA TANOFADHILA ZA KUFWATA SALAF NA USALAFMwenye kujilazimisha usalaf wa haki yani njia ya salaf ya haki naukweli, atapata kheri zote, na atapata thawabu kubwa nyingi; kwasababu amelazimiana na mwongozo wa mtume wa Allah ﷺ , nakatika fadhila hizo:1- Ni kwamba mwenye kujilazimisha na usalaf ni mwenye kufwataamri ya Allah, na hili ni katika mambo anayoyapenda nakuyaridhia : kwani ibadah : ni jina linalokusanya kilaanalolipenda Allah na kuliridhia katika maneno na vitendo vyaDhahiri na vya ndani , na kuzingatia hilo : mwenye kujilazimishana amri hizo zilizopita huko nyuma katika wajibu wa kufwatawema waliopita basi yeye ni mwenye kufwata amri za Allah , namwenye kufwata amri za Allah , Allah humpenda kwasababuamejilazmisha na sharia yake.2- Ni kwamba mwenye kujilazimisha na usalaf ni mwenye kupatauongofu na kusalimika na upotevu: na hili ni jambo lililow

Hii ni tafsiri ya ufupisho wa muhadhara alioutoa sheikh Abdullah . Na zipo hadithi nyengine nyingi zinazoelezea hivyo, aya iliyopita ya surati . njia zote zimefungwa isipokua hii nayo ni kumpwekesha Allah na kumpwekesha mtume wake kwa kumtii ,hashirikishwi na kitu chochote

Related Documents:

Web Hooks and API integration Add validations and extensions from the marketplace or build your own using web hooks and REST APIs. Semantic code search Quickly find what you’re looking for with code-aware search that understands classes and variables. Getting Started with Azure DevOps Azure Pipelines Cloud-hosted pipelines for Windows, macOS, with unlimited minutes for open source page 013 .

BTEC LEVEL 1/2: First Award in Hospitality Assignment title: Working in the Hospitality Industry . You are to look at the two businesses and within your magazine you are to evaluate the consequence of poor working skills within the two businesses. In your magazine include the effect on its staff and customers. (2A.D1) 3. In your handbook/magazine you must explain how professional policies .

Business continuity management (BCM) includes methods for, and experience of, dealing with potential and actual disruptive events as well as a remit to access and relate to all areas of the business. It is therefore well placed to lead on efforts to manage climate risks, which require cross-cutting action and are often disruptive in nature. Adapting to climate change is moving up the .

Spring 2018 Edition ALAN GIBSON MODEL RAILWAY PRODUCTS New Products on Page 35 High Quality Items 4mm and 7mm Scale Price 2.00 Version 03.01.01

Codependent No More How to stop controlling others and start caring for yourself (a summary by Pat Evert) - Introduction Codependents are experts in taking care of others, but not taking care of themselves. They cannot see themselves or feel their own emotions. They cannot say ‘no’ to anything but fun in their lives.

Communism in China has the same dehumanizing effect on the people as it has elsewhere. 4 THE JEWISH ROTTING OF CHINA It was the Sassoon family that turned the general Chinese suspicion of and dislike of foreigners into hatred. David Sassoon controlled the Opium Trade in

March15,2013 sGermanWikibooksandWikipedia n-ShareAlike3 .

Corporate Governance, Management vs. Ownership, Majority vs Minority, Corporate Governance codes in major jurisdictions, Sarbanes Oxley Act, US Securities and Exchange Commission; OECD Principles of Corporate Governance; Developments in India, Corporate Governance in Indian Ethos, Corporate Governance – Contemporary Developments. 2.