Kifurushi Cha Orodha Ya Matayarisho Ya Masomo Ya Kabla Ya .

2y ago
255 Views
2 Downloads
248.38 KB
14 Pages
Last View : 6d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Xander Jaffe
Transcription

Kifurushi cha Orodha ya Matayarisho ya Masomo ya Kabla ya Chekechea/Shule ya Chekechea1. Mwanafunzi anaitikia kwa kukubali anapotenganishwa na m(wa)zazi.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za kitabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lughaLengo ni kutambua iwapo mwanafunzi anaweza kuwa peke yake mbali na wazazi.a. Waulize wazazi maoni yao ikiwa wanaamini kuwa mtoto wao anaitikia kwa kukubali anapotenganishwa nao.b. Wape fursa jamaa wote (isipokuwa mwanafunzi) wasimame na watembee kuenda eneo lingine (ambapo mwanafunzi hawezi kuwaona). Au ujaribukumchukua mwanafunzi na kuenda naye kwenye sehemu nyingine (ambapo mwanafunzi hawezi kuwaona).c. Ikihitajika mshughulishe mwanafunzi-kuwa mcheshi, fanya mzaha, ili mtoto avutiwe nawe. Muulize mwanafunzi ataje jina lake? Muulize mwanafunzi anaumri gani?d. Ona jinsi mwanafunzi anavyoitikia.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAna tatizo la kutengana (analia, anakataa Huenda akaona haya au analia kwa Anatengana kwa urahisi na kwa Kiwango cha ujuzi hakiwezikuenda au anasalia, anaonyesha hasiramuda mfupi tu.furaha.kutambuliwa.nyingi).MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/ElezaMwanafunzi anaanza kulia.Mwanafunzi amekasirika lakiniMwanafunzi hadhihirishiMwanafunzi hajawahiMwanafunzi anaanza kukimbia akiifuataanamruhusu mtu mzima kumtuliza.mwitikio wowote kwa utengano. kamwe kutenganishwa nafamilia yake.Mwanafunzi anajibu maswali.Mwanafunzi ni mtulivu.m(wa)zazi.Mwanafunzi anakataa kujibu swali lolote.Mwanafunzi anajibu maswali.2. Mwanafunzi anawatambua jamaa wa karibu na sifa zao.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha E : Familia Yangu (Ukurasa wa 49).Lengo ni kutambua "sifa" 3 za jamaa wao wa karibu.Jina la Kuzaliwa / Jina Rasmi / Jina la Utani (Victor, Jose, Maria, Brenda) – Jina la kwanza, la mwisho, la utani linatambuliwa.Uhusiano wa Familia (mama, baba, dada, kaka, mpwa, binamu, mjomba, shangazi, n.k.)Sifa Moja ya jamaa (umri, kazi, mambo yanayomvutia, chakula, kinywaji, au shughuli anayoipenda zaidi, n.k.) Mtoto anaweza kuhesabika kama mmoja wa jamaa.a. Muulize mwanafunzi awatambue jamaa zake wa karibu. Ikiwa wako ndani ya chumba, mwambie mwanafunzi awaashirie na kutaja majina yao. Ikiwa kuna pichaya familia, itumie.b. Jamaa wa karibu huzingatiwa kuwa ni: Mama, Baba, Dada, Kaka na m(wa)nyama k(v)ipenzi.c. Hakikisha mwanafunzi anatambua kila jamaa kwa kutaja jina lake (jina rasmi na/au jina la utani; Victor, Jose, Maria, Brenda) na uhusiano wao wa familia (mama,baba, dada, n.k.)d. Muulize mwanafunzi aseme jambo fulani analojua kumhusu kila jamaa (umri - kazi zao - mambo yanayowavutia, chakula au kinywaji au shughuli wanayopendazaidi).ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnataja kimoja kati ya vitambulisho vitatuAnataja viwili kati ya vitambulishoAnataja vitambulisho vyote vitatu vyaKiwango cha ujuzivya jamaa.vitatu vya jamaa.jamaa.hakiwezi kutambuliwaMADOKEZO Mifano Mwanafunzi hawezi kuwatambuaMifano Mwanafunzi anawezaMifano Jina langu ni Ela na kakanguMifano/Eleza:jamaa zake wa karibu.kutambua m(wa)zazi wake na nduguJimmy hupenda malori, lakini mimiMwanafunzi anataja majina yasiyo sahihi.zake wa karibu lakini hawezi kujadilihupenda magari madogo.ulinganifu na tofauti kati yakeHuyo ni babangu Cole, yeye ni mzee, namwenyewe na wengine. Mimi nihuyu ni paka wangu, Spot, anapendaVictor, huyo ni dadangu.maziwa.Swahili

3. Mwanafunzi anatambua mizozo rahisi na anajaribu kuitatua mwenyewe.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha F: Mikakati ya Kusuluhisha Mizozo (ukurasa wa 50)Lengo ni mwanafunzi aweze kusuluhisha mzozo na kuzingatia hitaji la wengine.a. Ikiwezekana, mwangalie mwanafunzi anapotangamana na watoto wengine (au jamaa).b. Ikiwa hilo haliwezekani iulize familia iripoti kuhusu kiashirio hiki.c. Mzozo baina ya ndugu kwa kawaida huwa kuhusu chombo fulani.ALAMA Bado Anaendelea Kujua NdiyoAnapokumbwa na mzozo,Anapendekeza suluhu rahisi za mzozo Anapendekeza suluhu za mzozo hukuanaeleza mahitaji na haja zake,ambazo aghalabu zinazingatia mahitaji akizingatia mahitaji na haja zake na zalakini anahitaji usaidizi ili kutoana haja zake mwenyewe.wengine.suluhu zinazowezekana.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMwanafunzi anatazama familiaMwanafunzi anatumia maneno yake:Wanafunzi wanaomba watumie kifaa kwayake na kupiga kelele akiitisha"Ni zamu yangu ya kusoma kitabudakika 5.kitabu chake.hicho. Nipe utakapomaliza kukitumia."Mwanafunzi anaingilia kati wakatiMwanafunzi anamtazama mtuMwanafunzi anajaribu kubadilishanawengine wanapobishana na kuwatuliza.mzima ili amsaidie kurudishakitabu au kalamu na kifaa kingineMwanafunzi anatumia maneno yake:chombo chake.alicho nacho."Ninahitaji kitabu hicho sana - tunawezaMwanafunzi anakasirika,"Unaweza kutumia hii penseli yangukukisoma pamoja? - tunaweza kupakaanaanza kupigana au kuudhika.ikiwa utaniruhusu nikitumie kwanza."rangi pamoja?" HaitumikiKiwango cha ujuzihakiwezi kutambuliwaMifano/Eleza:4. Mwanafunzi anatambua kanuni na anajadili sababu za kuwa na kanuni mahususi.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.Lengo ni mwanafunzi atambue hali zisizo salama na aweze kueleza kanuni mahususi na ni kwa nini ipo.a. Wakati mtu mzima yupo, na mtoto anahusika na hali isiyo salama angalia mwitikio wa utekelezaji wa kanuni.b. Ikiwezekana, angalia tabia hii mwanafunzi anapotangamana na wengine (watoto, jamaa, n.k.).c. Ikiwa hilo haliwezekani iulize familia iripoti kuhusu kiashirio hiki.ALAMAMADOKEZO BadoAnapohitajika kufuata kanuni, hawezikudhibiti mwitikio wake na analia,kukataa au kuonyesha hasira nyingi.MifanoMwanafunzi anakimbia, naanapoambiwa atembee, anaendeleakukimbia au kuonyesha hisia.Mwanafunzi anakataa kuvaa jaketiyake anapoenda nje kukiwa nabaridi.Mwanafunzi anajaribu mipakailiyowekwa na watu wazima. Anaendelea KujuaAnapohitajika kufuata kanuni,anahitaji usaidizi wa kufuatakanuni.MifanoMwanafunzi anapanda kwenyefanicha, na anapoambiwa ashukeakanyage chini kwa miguu 2,anashuka. Kisha dakika 10baadaye anahitaji kukumbushwakanuni hiyo hiyo.Mwanafunzi anahitajikukumbushwa na watu wazimaafuate kanuni zao. NdiyoAnafuata kanuni ipasavyo na anawezakueleza sababu za kuwepo kwa kanuni hizi. HaitumikiKiwango cha ujuzihakiwezi kutambuliwaMifanoMwanafunzi anawaambia wengine wasaliekando ya barabara na wasitembee kwenyebarabara.Mwanafunzi anakuambia ukalie kiti, iliusianguke.Mwanafunzi anafuata kanuni na anawezakueleza sababu ya kanuni hizo kwa wengine(ndugu).Mifano/Eleza:Swahili

5. Mwanafunzi anafahamu jina lake la kwanza, jina lake kamili na umri wake, na anaweza kuhusisha baadhi ya herufi najina lake na sauti.***Wanafunzi wa ELL/DLL wanapaswa kupewa alama ya weledi wao wa Kiingereza kwa kiashirio hiki.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha G : Jina.Lengo ni mwanafunzi aweze kutaja maelezo yake na kutambua angalau herufi 2 kati ya alfabeti ya Kiingereza.a. Huku unapomuuliza maswali kwa Kiingereza na lugha yake asili (ikihitajika), nakili majibu yake kwenye karatasi kubwa nyeupe. Unaweza kumuulizamwanafunzi kufanya hivyo - kuandika majibu yake kwenye karatasi kubwa tofauti nyeupe.b. Muulize jina lako ni gani? Andika jina hilo. Jina la kwanza au la utani ni sahihi.c. Jina lako la mwisho ni gani? Andika jina hilo. Jina la mwisho la mwanafunzi linaweza kuwa tofauti na lile la jamaa wale wengine.d. Una umri gani? Andika nambari ya umri wa mwanafunzi.e. Angalia karatasi yako (na yake) muulize mwanafunzi ataje herufi za jina lake na uthibitishe iwapo mwanafunzi anatambua na kutaja herufi mbili.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnatambua kwa usahihi moja katiAnatambua kwa usahihi mawili Anatambua kwa usahihi maelezo manne katiKiwango cha ujuziya maelezo manne aliyoulizwa.kati ya maelezo manneya manne aliyoulizwa, iwe ni kwa kujibu kwahakiwezi kutambuliwaaliyoulizwa.kutumia maneno au bila kutumia maneno.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi anataja jina sahihi laMwanafunzi anataja jina sahihiMwanafunzi anataja jina sahihi la kwanza.kwanza (na/au jina la utani), lakinila kwanza na anaashiria idadiMwanafunzi anataja jina sahihi la mwisho.jina la mwisho na umri si sahihi.sahihi ya vidole ili kuonyeshaMwanafunzi anatoa jibu sahihi la umri wake.umri wake.Mwanafunzi anatambua kwa kuona aukusema na kutaja angalau herufi mbili za jinalake.6. Mwanafunzi anatofautisha herufi na nambari.***Wanafunzi wa ELL/DLL wanapaswa kupewa alama ya weledi wao wa Kiingereza kwa kiashirio hiki.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha H : Alfabeti na Kadi za Nambari.Lengo ni mwanafunzi atofautishe NA kutaja baadhi ya herufi na nambari. Tumia kadi za alfabeti na nambari, zikiwa zimechanganyika.a. Chukua kadi kutoka kwa rundo moja na umuulize mwanafunzi ikiwa hiyo ni herufi au ni nambari? Usihesabu majibu asiyo na uhakika nayo. Ninafikiri nimbili - Je, ni mbili?b. Kisha mwanafunzi anatengeneza marundo mawili (ukimsaidia). Moja la Herufi na Lingine la Nambari.c. Muulize mwanafunzi ataje jina la kila herufi na/au nambari. Ikiwa mwanafunzi hajui, anaruhusiwa kutotambua herufi na nambari hizo. Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiALAMAAnatambua baadhi ya herufi AUAnatambua baadhi ya herufi na baadhi ya Anatambua NA kutaja majina ya baadhiKiwango cha ujuzibaadhi ya nambari.nambari, hata hivyo anataja tu majina yaya herufi na baadhi ya nambari.hakiwezi kutambuliwabaadhi ya herufi au nambari.MifanoMifanoMifano/Eleza:MADOKEZO MifanoMwanafunzi anafanya makosaMwanafunzi anataja herufi au nambariMwanafunzi anaweka kadi zenye 0, 2, 3,mengi katika kutofautisha herufi na kwa usahihi lakini anaiambatanisha na1 kwenye rundo linalofaa na anasomanambari.kadi tofauti.nambari kwa usahihi kwa Kiingereza.Mwanafunzi hawezi kutambuaMwanafunzi anatambua herufi "H" naMwanafunzi anasoma herufi, a, b, c, d, e,herufi au nambari kwa Kiingereza.anasema jina langu linaanza na "H" naf, h, k na p na kutambua kuwa ni herufi.Mwanafunzi anatumia jina moja lakutaja sauti ya H lakini anaweka kadi hiyonambari kutambua nambarikwa rundo la nambari.kadhaa.Mwanafunzi anaomba usaidizi:Ninafikiri ni nne? Je, ni tano? Je, nia?Swahili

7. Mwanafunzi anatambua jalada la mbele, jalada la nyuma na kichwa cha kitabu - Anadhihirisha ufahamu wamuundo wa matini.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha I: Sehemu za Kitabu.Lengo ni mwanafunzi kutambua mwelekeo sahihi wa kitabu, jalada la mbele na la nyumba la kitabu.a. Mwambie mwanafunzi achukue kitabu au atumie kitabu ambacho umechukua. Sema, "Leo tutasoma kitabu pamoja."b. Mpe mwanafunzi kitabu kikiwa kimepinduliwa juu chini na kikionyesha sehemu ya nyuma. Ona jinsi mwanafunzi anavyoitikia.c. Muulize mwanafunzi asome kitabu na uangalie ikiwa mwanafunzi anafuatilia maneno kutoka upande wa kushoto hadi wa kulia.d. Tumia kitabu hicho kumuuliza mwanafunzi kuhusu pale jalada la mbele, jalada la nyuma, na kichwa kilipo.e. Muulize mwanafunzi akuambie kile anachokiona.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiHaonyeshi kuvutiwa naAnatumia ujuzi wa kuanzia wa kushughulikiaAnatumia sehemu za kitabuKiwango cha ujuzikitabu.kitabu.(kichwa, jalada la mbele, jalada la hakiwezinyuma) ili kuyafahamu maandishi. kutambuliwaMADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi anashika kitabu Mwanafunzi anaweza kutambua jalada laMwanafunzi anasema, "Tazama,sehemu ya juu ikiwa chini.mbele, na jalada la nyuma, lakini haonyeshinina paka pia", anapoashiriaMwanafunzi hajifanyiufahamu wa muundo wa matini.jalada la mbele ambaloanasoma kitabu.Mwanafunzi anashika kitabu kwa mwelekeolinaonyesha paka.Mwanafunzi anatambuaunaofaa lakini hashughuliki na kufuatiliaMwanafunzi anatumia michoromaandishi anayofahamumaneno.iliyoko kwenye kitabu ilianapoambiwa kichwa chaMwanafunzi anaashiria maneno, kutoka kushoto kumsimulia rafiki yake hadithikitabu.hadi kulia, huku akijifanya anasoma hadithi.anayoijua.8. Mwanafunzi anasimulia mfululizo rahisi wa matukio kwa kutumia picha.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha J : Kadi za Picha za Mfululizo.Lengo ni mwanafunzi atambue mfululizo sahihi anapozitazama picha.a. Tumia viambatisho vya karatasi za mazoezi ya mfululizo vilivyopeanwa.b. Mwelezee mwanafunzi kwamba ni lazima afafanue ni nini kilichoendelea kwanza.c. Ikiwa mwanafunzi anasita na anaomba usaidizi, mnaweza kufanya mfano 1 pamoja. Tumia mfano wa paka aliyeenda kuogelea.d. Ikiwa mwanafunzi bado anatatizika, unaweza kumwelezea mfano ule ule tena. Usimpe vidokezo, mapendekezo au uthibitisho wa kile ambacho nikizuri au si kizuri.e. Mpe mwanafunzi jumla ya dakika 5 kufanya zoezi hili. Huenda wakabadilisha mfululizo wa matukio hadi dakika 5 ziishe. Wakati huo ndioutakapohesabu mifululizo sahihi ya matukio.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnafanya mifululizo 4 au chache sahihi.Anafanya kati ya mifululizo 5 au 8Anafanya mifululizo 9 au zaidi sahihi.Kiwango cha ujuzisahihi.hakiwezi kutambuliwaMADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi haelewi cha kufanya (hataMwanafunzi anaweza kukamilisha Mwanafunzi anaweza kukamilishakwa lugha yake kuu).mifululizo 5, 6, 7, au 8 sahihi.mifululizo 9, 10 au zaidi sahihi.Mwanafunzi anatoa maelezo kuhusuMwanafunzi anasimulia hadithiMwanafunzi anasimulia hadithi kuhusupicha lakini hawezi kuzipanga kwakuhusu picha na anaweka baadhipicha na anaweka picha hizo kwamfululizo sahihi.ya picha hizo kwa mfululizo sahihi. mfululizo sahihi.Swahili

9. Mwanafunzi anaandika jina kwa kutumia miundo inayofanana na herufi au maandishi ya kawaida.***Wanafunzi wa ELL/DLL wanapaswa kupewa alama ya weledi wao wa Kiingereza kwa kiashirio hiki.Lengo la mwanafunzi ni kuonyesha kuwa anaweza kuandika jina lake.a. Muhimize mwanafunzi aandike jina lake kwenye karatasi.b. Mruhusu mwanafunzi achague kifaa cha kuandika nacho (kalamu ya kuandikia alama, penseli, n.k.) na umuhimize mwanafunzi kutaja herufi anapokuwaakiziandika.c. Ikiwa inahitajika, unaweza kutumia kazi ya sanaa iliyotengenezwa hapo awali (yenye jina la mwanafunzi) na umuulize mwanafunzi akuonyeshe naakuambie kile ambacho aliandika/alichora.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnaandika sehemu zaAnaandika herufi au maumbo yanayofanana naAnaandika jina lake na/auKiwango cha ujuzimiundo ya herufi (k.m.,herufi.maneno rahisi, huku nyingi zahakiwezimistari, vizingo).herufi zikiwa o/Eleza:MwanafunziMwanafunzi anachora herufi.anachorachora mistari,miduara, mistari mshazari,au kwa safu-milalo.10. Mwanafunzi anafuata maagizo anapopewa maelekezo ya hatua mbili.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha K: Mfululizo: Maelekezo yenye Hatua Nyingi.Lengo ni mwanafunzi aweze kujibu bila usaidizi anapoulizwa swali linalohitaji kitendo cha hatua mbili.a. Muulize mwanafunzi afanye hatua au agizo au kuanzisha hatua inayofuata kwenye mfululizo na kisha na umuhimize kuendelea anapopata matokeoyanayofaa.b. Mpe mtoto fursa ya kurudia hatua hadi afahamu kila mojawapo vizuri.c. Tumia kiambatisho cha K. kwa mifano mahususi.d. Mpe mwanafunzi muda wa kujibu.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnafuata maelekezo yenye hatuaAnafuata maelekezo yenye hatuaAnajibu kauli rahisi na anaonyesha kuelewaKiwango cha ujuzimoja au mbili anapokumbushwa.moja au mbili.dhamira.hakiwezi kutambuliwaMADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi anaenda kwenye sinkiMwanafunzi anatupa taka kwenyeMwanafunzi anajibu ipasavyo kauli rahisikunawa mikono, lakini anahitajijaa la taka anapoambiwa aitupe.(ikiwemo maelekezo yenye hatua mbili) nausaidizi kufuata utaratibu unaofaaMwanafunzi anaashiria mpira wamaswali.(kuweka sabuni, kufungulia maji, n.k.) soka anapoulizwa mchezoMwanafunzi anachukua gundi na kushikishaanaoupenda zaidi.unyoya wake kwenye karatasi, kamaalivyoagizwa na mwalimu.Mwanafunzi anamletea rafiki yake sepetu, rafikiyake anaposema kuwa anahitaji kitu chakuchimba shimo kwenye sehemu ya kuchimbamchanga.Swahili

11. Mwanafunzi anashiriki uzoefu anapoulizwa kufanya hivyo Anazungumza kuhusu fikra, hisia na mawazo yake binafsi.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha L: Kadi za Rangi zenye Maswali.Lengo ni mwanafunzi ajibu swali au uzoefu wa sasa na uzoefu wake, huku akizungumza kwa kutumia sentensi nyingi ambazo zinaweza kueleweka na watuwengi.a. Tumia rundo la kadi za rangi na umpe mwanafunzi achague moja.b. Kulingana na rangi ambayo mwanafunzi alichagua, utamuuliza maswali kutoka kwa chati.c. Ikiwa mwanafunzi hakujibu na anaona haya sana, jaribu kumuonyesha mfano na umpe mwanafunzi jibu lako. Jibu lako la swali lilo hilo litakuwa ni gani?d. Ikiwa mwanafunzi anachukua muda mwingi kujibu akisaidiwa na picha (zaidi ya dakika 3), jaribu kutumia mazingira yaliyo karibu na mwanafunzi. Je,mwanafunzi atazungumza kuhusu vitu vinavyoonekanaALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo sha ishara yaAnazungumza/anaonyesha ishara zaKiwango cha ujuziishara ya sentensi sahili (zenyesentensi sahili (enye maneno 2-3)sentensi za maelezo (maneno 3 - 4 /hakiwezimaneno 1-2).ambazo zinaweza kueleweka na walesentensi 2 -3) ambazo zinawezakutambuliwaambao wanafahamu mtindo wakueleweka na watu wengi.kuzungumza wa mtoto.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi hajibu maswali.Mwanafunzi anajibu kwa sentensi fupi.Mwanafunzi anajibu kwa sentensi nyingi.Mwanafunzi anachukua dakika 3 Mwanafunzi anauliza, "Necessito el bano" Mwanafunzi alitaja chakulakujibu.alipohitaji kuenda msalani.anachokipenda zaidi na ni naniMwanafunzi anajibu ndiyo auMwanafunzi anasema, "Nitafanya mimi."anayekipika vizuri zaidi.hapana.Mwanafunzi anazungumza kuhusukinywaji anachokipenda zaidi naanaomba apewe kinywaji hicho.12. Mwanafunzi anazungumza kwa sentensi kamili.***Wanafunzi wa ELL/DLL wanapaswa kupewa alama ya weledi wao wa Kiingereza kwa kiashirio hiki.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha L: Kadi za Rangi zenye Maswali.Lengo ni mwanafunzi kuzungumza sentensi kwa Kiingereza zenye makosa machache tu.a. Fanya zoezi sawia na #11. Zungumza Kiingereza tu na uone ikiwa mwanafunzi anazungumza Kiingereza.b. Ikiwa mwanafunzi alizungumza Kiingereza hapo awali (kabla ya zoezi hili) unaweza kuweka alama ya kiashirio hiki kulingana na maoni yako. Hatahivyo, bila kufanya zoezi, itabidi umpe sentensi sawia kabisa na zile za 2. Nakili ushahidi.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiHawasiliani kwa Kiingereza.Anawasiliana kwa Kiingereza kwa kutumia Anawasiliana kwa Kiingereza kwaKiwango cha ujuzineno moja moja, semi fupi fupi alizokaririkutumia sentensi kamili kuhusu mada nahakiweziau sentensi zisizo kamili.dhana mbali mbali bila kufanya makosakutambuliwamengi ya sarufi.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi haelewiMwanafunzi anajaribu kumuonyesha mtuMwanafunzi anasema: “Wikendi hiiKiingereza.mzima ndege huko nje. Anaashiria ndegenitaenda kuona filamu.”Mwanafunzi hazungumzina kupaza sauti akisema "Tazama".Mwanafunzi anapokea zawadi na kujibu:Kiingereza.Mwanafunzi anaitisha kalamu ya kuchora,“Asante kwa zawadi hii, Bw. Damaso.”kwa kutazama karatasi yake na kusema:"Andika, ninaandika, ninaandika".Swahili

13. Mwanafunzi aliandika nambari hadi 20.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.Lengo ni mwanafunzi kuhesabu kutoka 1 hadi 20, kwa mfululizo unaofaa.a. Muulize mwanafunzi anaweza kuhesabu hadi nambari gani.b. Anza kuhesabu pamoja na mwanafunzi (hadi 3) 1, 2, 3, na umuache mwanafunzi aendelee kuhesabu hadi upeo anaoweza kumudu.c. Nambari ambazo hazisomi vizuri kwa sababu hajafikisha umri au vikwazo vya kuongea zinahesabiwa.d. Ikiwa mwanafunzi anaweza kuhesabu hadi 20, kwa mfululizo unaofaa, unaweza kunakili taarifa hiyo kama nukuu.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnahesabu hadi 10.Anajaribu kuhesabu hadi 20, lakini huenda akarukaAnahesabu hadi 20.Kiwango cha ujuzinambari, akarudia nambari, au kuweka nambari kwahakiwezimfululizo usio za:KEZOAnahesabu hadi 10.1, 2, 3, 5, 6, 7, 8, 9, 14, 13, 12, 20.Anahesabu hadi 20.Anajaribu kuhesabu hadi 20, lakini huenda akarukanambari, akarudia nambari, au kuweka nambari kwamfululizo usio sahihi.14. Mwanafunzi anatambua na kuelezea angalau maumbo 4.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha M: Kadi za Maumbo - Maumbo ya Jiometri.Lengo ni mwanafunzi ataje na kueleza angalau maumbo 4.a. Weka maumbo mbele ya mwanafunzi.b. Muulize mwanafunzi atambue maumbo yoyote anayoyajua.c. Ikiwa mwanafunzi anasita (anakawia kwa dakika 1 au anajaribu kufanya jambo lingine) msaidie kwa kumuuliza ikiwa anaona duara? Ikiwamwanafunzi anaashiria umbo sahihi, basi endelea.d. Majina ya maumbo ambayo huenda yakasomeka vibaya kwa sababu hajafikisha umri au vikwazo vya kuongea yanahesabiwa.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnatambua maumboAnaweza kutambua maumbo 4 kwa kutajaAnataja majina ya maumbo 4 naKiwango cha ujuzikwa kuyaashiria.majina yake.anaweza kuyaeleza.hakiwezi MwanafunziMwanafunzi anataja majina ya maumbo 5, 4 katiMwanafunzi anaashiria maumbo naanatambua maumboyao ni sahihi.kusema hiyo ni pembetatu, duara, hilali,yasiyozidi 4.Mwanafunzi anaashiria na kutaja duara dufu,na mraba. Duara ni ya mviringo,almasi, duara na mistatili.pembetatu ina makali, hilali ni ya kijani,na mraba unatoshana.Swahili

15. Mwanafunzi anaeleza mahali vitu vitano vinavyotumika kila siku vipo.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha N: Vihusishi vya Mahali na Mwendo (ukurasa wa 69).Lengo ni mwanafunzi kutaja mahali kitu kiko katika hali tano tofauti.a. Tumia kadi za msamiati wa mahali.b. Tumia kitu kutoka kwa chumba na urudie kitendo / uigize tena hali hiyo kutoka kwa kadi.c. Jaribu kumruhusu mwanafunzi aendelee bila usaidizi na uache atumie lugha kuelezea mahali kitu kilipo.d. Ikiwa mwanafunzi hazungumzi/hajibu, muulize afuate maelekezo yanayotumia maneno ya kuonyesha mahali kitu kilipo. Au kwa kitu kilichosalama na kinachopatikana. Muulize mwanafunzi awekelee kitu juu ya meza, nyuma ya kiti, chini ya kiti, karibu na kiti, na mbele ya kiti.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnafuata maagizo yanayotumia manenoAnatumia msamiati unaofaaAnatumia msamiati unaofaa kuelezaKiwango cha ujuziya kuonyesha mahali kitu kilipo.kueleza mahali vitu vinne aumahali vitu vitano au zaidi vilipohakiwezivichache vilipo (mahali AU(mahali AU utaratibu).kutambuliwautaratibu).MADOK MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:EZOMwanafunzi anaweka kitu juu ya kiti,Mwanafunzi anaomba kupewaMwanafunzi anaeleza mahali mpiraanapoulizwa kufanya hivyo.zamu ya kwanza.ulipo kwenye kadi, na jinsi anavyojua.Mwanafunzi anaketi kwenye meza yaMwanafunzi anatambua ndegejikoni anapoelekezwa kufanya hivyo.juu angani. Mwanafunzi anasema“arriba” (up).16. Mwanafunzi anapanga na kulinganisha vitu 5 kwa kutumia sifa moja.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki kinaungwa mkono na Kiambatisho cha O: Kupanga Vitu kwa kutumia Sifa Moja.Lengo la mwanafunzi ni kueleza jinsi na ni kwa nini anapanga vitu.a. Ikiwezekana, jaribu kumuangalia mwanafunzi akicheza na vidude vya kuchezea.b. Au ujaribu kucheza na mwanafunzi kwa kutumia vitu vilivyo karibu na nyinyi. Penseli, Kalamu za kuchora, Karatasi, Viatu, Viti, Vikombe, n.k.c. Ni lazima mwanafunzi aweze kueleza ni kwa nini anapanga au kulinganisha vitu tofauti, kwa kutumia (msamiati maalum) sifa kama vile: rangi,ukubwa, uzito, lengo, maumbo, hai dhidi ya visivyo hai, vinavyolika dhidi ya visivyolika n.k.d. Ikiwa huwezi kumuangalia mwanafunzi au kucheza na yeye, unaweza kutumia karatasi za mazoezi zilizochapishwa tayari - Kiambatisho cha O.Karatasi hizi za mazoezi zikitumika, ni lazima uweke alama ya mwanafunzi kuwa "anaendelea kujua".ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnashughulika na vitendoAnatumia maneno yanayodhihirisha ufahamu Anapanga hadi vitu 5 akitumia sifaKiwango cha ujuzivya kupima lakini hatumiiwa sifa zinazopimika.moja na kueleza matokeo.hakiwezi kutambuliwa.maneno kueleza sababuzake.MADOKE MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:ZOMwanafunzi anacheza naMwanafunzi analinganisha gari dogo na lori.Linganisha sifa za vitu kwa kutumiawanyama na watu.Gari ni dogo, lori ni kubwa.msamiati fulani maalum (k.m.Mwanafunzi anawawekaMwanafunzi anapanga mnyama pamoja naPenseli hii ni refu. Hiyo ni fupi.) kwawanyama wote kwenyemmea. Mnyama hula mmea.kuonyesha kwa mikono.upande mmoja wa meza.Eleza sifa zinazopimika za vitu kwa kutumiamsamiati maalum akitumia karatasi zamazoezi zilizochapishwa tayari.Swahili

17. Mwanafunzi anaonyesha kuvutiwa na mada, mawazo, na shughuli mbali mbali.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.Lengo ni mwanafunzi kuonyesha ari na utayari wa kujifunza mada mpya na kupanua ufahamu wao.a. Ni lazima mwanafunzi ajitolee na kuonyesha ari ya kusoma, kwa kuvumbua vitu vipya kwa kugusa, kwa kutazama na kuuliza maswali. Familiazitajua ikiwa mwanafunzi ni mdadisi na zinaweza kuripoti kiashirio hiki.b. Njia nyingine ya kuona ikiwa mwanafunzi anavutiwa ni kuleta kitu fulani kipya. Kitu kipya, au "hazina" mpya na uone ikiwamwanafunzi anashughulika kiamilifu kujifunza mengi zaidi.c. Anzisha shughuli zinazohusisha kutumia mikono:a. leta sepetu - ili kuchimba mchanga na kupanda mbegu zako mwenyeweb. leta maelezo ya mapishi - ili kutengeneza aiskrimu au pudinic. leta kitu ambacho kimegandizwa kwa barafu (maua, majani, n.k.) - ili mwanafunzi afikirie jinsi atayeyusha barafu.ALAMA BadoAnaonyesha kuvutiwa namazingira yake. Anaendelea KujuaAnaonyesha kuvutiwa na mada, kitu,au uzoefu fulani.MADOKEZOMifanoMwanafunzi anakagua vitu kwakuvigusa.MifanoMwanafunzi anaonyesha kuvutiwa naanatangamana na wengine kuhusukazi na vitendo vyao. NdiyoAnaonyesha kuvutiwa na uzoefumpya kwa kuwatazama wengine,kushika vitu, au kuuliza maswali.MifanoMwanafunzi anauliza maswali ilikuelewa jambo.Mwanafunzi anauliza: “Hiki hufanyanini?” HaitumikiKiwango cha ujuzihakiwezi kutambuliwa.Mifano/Eleza:18. Mwanafunzi anashiriki kufanya shughuli moja kwa muda mrefu.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.Lengo ni mwanafunzi ashiriki kikamilifu katika shughuli kwa zaidi ya dakika 15.a. Unaweza kumuuliza mzazi atoe maoni yake na uandike mfano.b. Mwanafunzi anashiriki katika shughuli ambayo amejichagulia, hajajichagulia, au shughuli ambayo hapa awali ilikuwa ni tatizo.c. Ni lazima mwanafunzi ashiriki kwa kipindi kirefu, bila kuvutwa mawazo, kutovutiwa tena, na bila kuhimizwa na mtu mzima.d. Skrini – Muda: Kutazama televisheni au kucheza mchezo kwenye kompyuta hakuhesabiwi.e. Muda mrefu unachukuliwa kuwa zaidi ya dakika 15.ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnashiriki kwa shughuliAnashiriki kwa shughuli lakini anavutwaAnaendelea na shughuli hata kwenyeKiwango cha ujuzilakini anavutwa mawazo mawazo au kupoteza mvuto asipohimizwamazingira yanayomvuta mawazo auhakiwezina mtu mzima.wakatikutambuliwa.jambo linapokuwa gumu.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi anachezaMwanafunzi anachora picha ya jamaa,Mwanafunzi anatengeneza mashuana treni, baada yabaada ya dakika 10 mwanafunzi anasema:kwa kutumia nyenzo ya kufinyaga;dakika 5 mwanafunzi"Nimemaliza". Mtu mzima anamuhimizamashua inaendelea kuzama.anataka kutoka nje.kuongezea rangi zaidi.Mwanafunzi hakati tamaa, hatawanafunzi wale wenginewakitengeneza mashua zinazoelea.Swahili

19. Mwanafunzi anatumia nyenzo na vitu kuwakilisha dhana mpya.*** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha.*** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia.Lengo la mwanafunzi ni kutumia fikra na ubunifu wake.a. Ni lazima mwanafunzi aonyeshe kuwa anaweza kucheza na vitu tofauti na ni mbunifu katika mchezo wake.b. Chombo kinachotumiwa hakiwezi kufanana (kufanya kazi) na kile wanachocheza nacho.c. Mchezo wa kujifanya ni lazima uwakilishe dhana mpya, maana nje ya maisha ya kila siku, fikra, nje ya mila za utamaduni wake.d. Je, mwanafunzi ana mawazo pevu na yenye ubunifu?ALAMA Bado Anaendelea Kujua Ndiyo HaitumikiAnatumia vitu halisi kucheza na Anatumia vitu halisi kuwakilishaAnatumia vitu tofauti kuwakilisha kituKiwango cha ujuzikubuni.dhana kuu.kipya, huku akikipa utendaji na mwendo. hakiwezikutambuliwa.MADOKEZO MifanoMifanoMifanoMifano/Eleza:Mwanafunzi anatumia ndege ya Mwanafunzi anatumia kalamu yaMwanafunzi anatumia vyungu vya jikonikuchezea kupaa kwenyekupakia rangi ili kupiga mswaki menokutengeneza ngoma na kujifanyachumba.ya mwanasesere na kuchana nywelekucheza kwenye bendi mpya ya muzikizake.wa Kitamaduni (Co

4. Mwanafunzi anatambua kanuni na anajadili sababu za kuwa na kanuni mahususi. *** Wanafunzi wa ELL/DLL wanaweza kudhihirisha dalili za tabia katika lugha yao kuu, au kupitia mikakati isiyohusisha lugha. *** Kiashirio hiki huenda kikaripotiwa na familia. Lengo ni mwanafunzi atambue hali zis

Related Documents:

1. Pata orodha ya maswali yako na uifungue kwenye ukurasa wa kwanza. 2. Tumia habari katika mwongoza huu wa Kiswahili kuweka alama kwa majibu yako kwenye karatasi ya orodha ya maswali la Kiingereza. USIANDIKE MAJIBU YAKO KWENYE MWONGOZO HUU. 3. Kabla ya kujibu swali la kwanza, hesabu watu wanaoishi katika nyumba

Chuo Kikuu cha Morogoro cha Kilimo kuwa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo. Seneti ya Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) mwaka 1991 ilipitisha uamuzi kwamba kila mwaka Chuo kitakuwa kinamuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine kwa kuadhimisha kumbukizi ya kifo chake kilichotokea tarehe 12 Aprili, 1984.

Wananchi wengi wanavifahamu vyama vikuu vitatu nchini yaani Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) Wananchi wengi wangewachagua wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kama uchaguzi ungefanyika wakati wa mahojiano. Idadi ya wananchi ambao hawako karibu na chama chochote cha .

Kiswahili Kidato cha 4 Kitabu cha Mwanafunzi iii DIBAJI Mwanafunzi Mpendwa Bodi ya Elimu Rwanda inayo heshima kwa kutoa kitabu hiki cha Somo la Kiswahili Michepuo mingine kidato cha nne kitabu cha mwanafunzi .Kitabu hiki kitakuwa

CHARACTER SHEET Level Other skills: Craft - INT Perform - CHA Knowledge - INT Profession - WIS Ranks Racial, Feats, Synergy Skill Bonus Misc Armour Check Penalty Skill Ranks Level Adjustment Hit Die Untrained Acrobatics DEX-Appraise INT Bluff CHA Climb STR-Diplomacy CHA Disable Device DEX Disguise CHA Escape Artist DEX Fly DEX---Handle Animal CHA

Lakshmi Gayathri Mantra Om Mahaa Devyai Cha Vidhmahe Vishnupatnyai Cha Dheemahi Thanno Lakshmi Prachodhayaath Saraswathi Gayathri Mantra Om Vaak Devyai Cha Vidhmahe Virinchi Pathniyai Cha Dheemahi Thanno Vaani Prachodhayaath Durga Gayathri Mantra Om Kaatyayanaya Vidhmahe Kanya Kumari Dhimahi Tanno Durgih Prachodhayath . Shiva Gayathri Mantra

Cha 408-02 The use of a mobile jack implies the necessity of using protection routes. It absolutely forbidden the vehicle lifting using the front suspension arms or the rear axle as supporting points. The following type of mobile jack is using the sockets, the support Cha 408 – 01 or Cha 408 – 02 in order to place the route Cha 280 – 02.

Keywords: Korean, heritage language, multiliteracies, university-level language classroom, multimodal reading response Journal of Language and Literacy Education Vol. 11 Issue 2—Fall 2015 117 eritage language (HL) learners1 who are exposed to and speak a language other than English exclusively in their homes and communities exhibit relatively lower reading and writing skills compared to .