KIswahili Schemes F2 Final - YATMACK INC

1y ago
19 Views
2 Downloads
2.21 MB
36 Pages
Last View : 16d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Joanna Keil
Transcription

Kiswahili,Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa KwanzaYatumiwe na KiswahiliFasahaJUMA 1KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA1Kusikiliza nakuzungumza (Tunu namatini)Matamshi bora: SilabitatanishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza silabi. kutambua makosa katika silabi. kusahihisha makosa yanayohusu silabi. Ufafanuzi Maswali na majibu Tajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 1-2 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 1-2 Kamusi ya KiswahiliSanifu Wanafunzi Kadi za maneno nasilabi Redio au kanda zakunasia sauti2Kusikiliza nakuzungumza pamoja nakuandikaUtungaji wa kiuamilifu:Orodha ya mamboKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza orodha ya mambo. kueleza umuhimu na faida ya orodha. kutengeneza orodha ya mambo. MajadilianoMakundiMaswali na majibuTajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 2-4 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 2-3 Vielelezo vya orodhatofauti3Kusoma kwa ufahamuHadithi ya shujaaMkomboziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kwa sauti na kimya. kujibu maswali kwa usahihi. UsomajiMasimuliziKuiga na kuigizaMaswali na majibu Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 4-5 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 3-7 Kamusi ya KiswahiliSanifu Wanafunzi Makala ya hadithi yamajitu4SarufiNominoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza nomino ni nini. kutaja na kueleza aina sita za nomino. kutumia aina mbalimbali za nominokatika sentensi. kutambua na kurekebisha makosa yasarufi. UfafanuziMajadilianoMaswali na majibuUtafiti Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 6-7 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 7-8 Vielelezo vya aina zanomino212HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA KUUMADA NDOGONYENZO ZAKUFUNDISHIA Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 8 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 8-10 Kamusi ya KiswahiliSanifu Vitu halisi Mikusanyo yawanafunzi Vibonzo Makala kutoka MwM 25Kusikiliza nakuzungumza (Ufasahawa lugha)Makosa ya kimantikiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusikiliza na kuchanganua taarifa. kutambua na kurekebisha makosa yakimantiki katika maandishi. Ufahamu wakusikiliza Ugunduzi Mifano Kazi mradi Vichekesho1Kusikiliza nakuzungumza (Fasihiyetu)Ukusanyaji na uhifadhi wafasihi simuliziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza njia tatu zinazoweza kutumikakukusanya kazi za fasihi simulizi. kutaja na kufafanua njia tatu zinazowezakutumika kuhifadhi kazi za fasihisimulizi. kueleza udhaifu ulioko katika njia zakuhifadhi fasihi simulizi. Masimulizi Kiswahili Fasaha,MajadilianoKcM 2, uk. 8-9Makundi Kiswahili Fasaha,Maelezo na ufafanuziMwM 2, uk. 10-12Ufahamu wa Vielelezo vyakusikilizamikusanyo ya kazi zafasihi simulizi Kanda za kunasiasauti au video aufilamu Mwalikwa (Msanii)2Kuandika (Utunzi)Insha ya MdokezoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza insha ya mdokezo. kuandika insha ya mdokezo kwaufasaha. UfafanuziMajadilianoUtungajiMifano3Kuandika (Tunu namatini)Utungaji wa kiuamilifu:Maagizo na maelekezoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua sifa za maagizo na maelekezomwafaka. kuandika na kufuata maagizo namaelekezo ipasavyo. Utazamaji Maelezo Mifano Ufahamu wakusikiliza Kazi mradiJUMA 1JUMA 2NJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHA213 Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 10 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 12 Vielelezo vya insha Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 11 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 12-14 Mikusanyo kutokamagazetini Vielelezo vya maagizona maelekezo halisiHAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 3JUMA 2KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA4Kusikiliza nakuzungumzaMazungumzo hoteliniKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza sifa za mazungumzoya hotelini. kuigiza mazungumzo ya hotelini. i mradiUfahamu wakusikiliza Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 11-12 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 14-15 Picha za mikahawa auhoteli Mifano ya menyu5Kusoma kwa ufahamuUpishi wa vitumbuaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kwa sauti na kimya. kujibu maswali ya ufahamu. kueleza maana ya maneno na vifungu. UsomajiMaswali na majibuMaelezoKuigizaUgunduzi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 13 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 15-16 Kamusi ya KiswahiliSanifu Picha Kadi za maneno Chati Mikusanyo ya resipe Kitumbua kimeingiamchanga1SarufiVitenziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya vitenzi vya ainambalimbali. kutoa mifano ya aina sita za vitenzi. kutumia vitenzi vya aina tofautikutungia sentensi. MifanoMaelezoUfafanuziTajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 14-16 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 16-17 Kadi za vitenzi Makala tofauti Mazingira yawanafunzi Vielelezo vyamachapisho214HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA KUUMADA NDOGONYENZO ZAKUFUNDISHIA Utafiti Mifano Ufafanuzi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 16-17 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 17-18 Michoro ya alama zakuakifisha Kadi za alama zakuakifisha Vielelezo vya sentensina ayaMasimulizi ya hadithi:Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziFasihi simulizi – Hekaya za aweze:Abunuwasi kueleza maana na matumizi ya hekaya. kusimulia Hekaya ya Abunuwasi. kueleza mafunzo kutoka kwa hekayahiyo. MasimuliziUtafitiMaswali na majibuMaigizo yauwasilishaji Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 17-18 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 18 Vibonzo Mandhari Vitu halisi MalebaUandishi wa kiuamilifu:Resipe MifanoMaelezoTajribaKuandika Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 19-20 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 18-19 Vielelezo Picha za vyakula,viungo na vyombo Vitu halisi Kadi za resipe Mikusanyo ya resipe2Sarufi (Ufasaha walugha)Uakifishaji3Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)4Kuandika (Utunzi)JUMA 3NJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHAKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana, aina na umuhimu waviwakifishi. kutumia viwakifishi kwa ufasaha katikasentensi na vifungu vya habari.Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kutoa tafsili ya neno resipe. kutaja sababu za kutengeneza resipe. kueleza mtindo wa kuandika resipe. kuandika mifano ya resipe. kutumia msamiati wa mapishi ipasavyo.215HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaNJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIAKIPINDIMADA KUU5Kusikiliza, kuzungumzana kusoma(Tunu na matini)Matamshi bora:Sauti tatanishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kubainisha sauti za Kiswahili. kueleza sababu za sauti hizi kutatanisha. kurekebisha utata unaotokana na sautitatanishi. lianoUtafitiMaswali na majibu Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 21 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 19-21 Kamusi ya KiswahiliSanifu Kadi za maneno Kanda za sauti Wanafunzi1Kusikiliza nakuzungumzaMahojiano baina yaDaktari na MgonjwaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza mahojiano ni nini. kueleza sifa za mahojiano. kueleza mahojiano aliyopewa kwaufasaha na mantiki. kueleza yaliyomo katika mahojianohayo. MahojianoMajadilianoKazi ya makundiMifano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 22-23 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 21-23 Wanafunzi Kanda za kunasiasauti au video2Kusoma kwa ufahamuna mapanaUkweli kuhusu uvutajisigaraKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kwa ufasaha. kueleza maana na madhara ya uvutajisigara. kufurahia kusoma maandishi kwaKiswahili. UsomajiUfafanuziMajadilianoMaswali na majibu Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 23-25 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 23-26 Kamusi ya KiswahiliSanifu Vielelezo vyamajarida Michoro, vibonzo,mabango Vitu halisi Kitumbua kimeingiamchangaJUMA 4JUMA 3MADA NDOGOSHABAHA216HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA3SarufiVivumishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana na aina tano zavivumishi. kubainisha vivumishi hivyo. kutumia vivumishi hivyo katikasentensi. UfafanuziMaswali na majibuMajadilianoMifano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 25-29 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 26-28 Vielelezo vyavivumishi Makala tofauti Majedwali4Kusikiliza nakuzungumza (Ufasahawa lugha)Mazungumzo: Lugha yahospitaliniKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza sifa za lugha ya hospitali. kueleza madhumuni ya kutumia lughaya hospitali. UfafanuziMajadilianoMaswali na majibuKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 29-30 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 28-29 Kamusi ya KiswahiliSanifu Kadi Fomu au stakabadhiza hospitalini5Kusoma kwa kina(Fasihi yetu)Mashairi ya arudhi:Mashairi ya ngonjeraKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza sifa na muundo wa ngonjera. kukariri ngonjera ifaavyo. kujibu maswali kwa usahihi. UfafanuziMajadilianoKuigizaKukariri Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 30-31 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 29-30 Vielelezo vyangonjera Ngonjera za ukuta1Kuandika (Utunzi)Insha ya mazungumzoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza sifa na muundo wa insha yamazungumzo. kuandika insha ya mazungumzokulingana na kichwa kilichoteuliwa. UfafanuziMajadilianoUtendajiMjadalaKuandika Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 31-32 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 30-31 Kielelezo cha insha yamazungumzo Makala tofauti yamazungumzo kutokagazeti au jaridaJUMA 4JUMA 5MADA KUU217HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 5KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA2Kuandika (Tunu namatini)Uandishi wa kawaida:Imla – Maendelezo natahajiaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kwa ufasaha. kuandika taarifa kwa usahihi. kueleza maana ya manenoyanayokaribiana kimaana.ImlaMashindanoMaswali na majibuMaelezoUfahamu wakusikiliza Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 33 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 31-32 Kamusi ya KiswahiliSanifu Vinasa sauti Picha za matukio Kazi za vitate3Kusikiliza nakuzungumzaMazungumzo –Majadiliano:Mwalimu na MzaziKufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uigizajiaweze: Tajriba kuigiza na kuendesha mazungumzo kwa Utatuzi wa mambomtiririko mzuri. kutumia msamiati ufaao. kujibu maswali vyema. Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 33-34 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 32-33 Mazingira ya shule Vifaa, maleba Kielelezo cha kifungu4Kusoma kwa ufahamuKiza katika nuruKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kwa sauti na kimya. kujibu maswali ya ufahamu. kueleza maana ya maneno na vifungu. UsomajiUvumbuziMaswali na majibuUfafanuziUchambuzi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 35-36 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 33-34 Kamusi ya KiswahiliSanifu Mandhari au picha yaofisi Kiza katika nuru5SarufiVivumishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kutaja na kueleza aina tano zavivumishi. kutumia vivumishi hivyo katikasentensi. MaelezoMifanoMaswali na majibuMajadiliano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 37-41 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 34-36 Majedwali Vitu halisi Mazingira Picha na mandharitofauti218 HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA KUUMADA NDOGOSHABAHANJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIAKusoma (Ufasaha walugha)Matumizi ya kamusiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza makusudio ya kutumia kamusi. kutafuta mambo kwenye kamusi kwakasi. MichezoMashindanoUtafitiKazi ya makundiUfahamu wakusikiliza Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 42 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 36-37 Kamusi tofauti Kazi za maneno Majedwali2Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)MaudhuiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya maudhui na jinsi yakupata maudhui katika kazi ya fasihi. kubainisha maudhui katika hadithi ya“Isiran amwokoa Eng’atuny”. kukusanya na kuhifadhi kazi mbalimbaliza fasihi. MaelezoMajadilianoMasimuliziUchunguzi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 42-43 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 37-38 Kamusi ya KiswahiliSanifu Picha za wanyamahusika Jedwali la hatua zakupata maudhui Mikusanyo ya kazi zafasihi3Kuandika (Utunzi)Utungaji wa kiuamilifu –Ratiba: Siku ya wazazishuleniKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kutaja sifa za ratiba. kueleza umuhimu wa ratiba. kuandika ratiba kwa ufasaha. TajribaMifanoMaelezoKuandikaKulinganisha Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 43-44 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 38-39 Ratiba za aina tofauti Picha na kanda zasherehe tofautiJUMA 61219HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 7JUMA 6KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHA Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 45 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 39-40 Kamusi ya KiswahiliSanifu Kadi za misemo Magazeti ya Kiswahili Picha za hali tofauti Vielelezo4Kusikiliza na kudadisi(Tunu na matini)MisemoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya misemo. kutumia misemo katika sentensi kukuzalugha. 5Kusikiliza nakuzungumzaHuduma ya dharuraKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya huduma ya dharura. kushauri wakati wa kutolewa hudumaza dharura mbalimbali. MasimuliziTajribaMaigizoUfahamu wakusikiliza Utatuzi wa mambo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 45-46 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 40-41 Waalikwa Kanda za maonyeshoya huduma zadharura Picha au michoro Mikusanyo yamasimulizi1Kusoma kwa ufahamuAjali ilivyoripotiwaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kifungu cha habari kwa ufasaha. kujibu maswali kwa usahihi. kueleza maana ya maneno. Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 46-49 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 41-42 Kamusi ya KiswahiliSanifu Picha kutoka magazeti2SarufiViwakilishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya viwakilishi. kujadili na kubainisha viwakilishi kumina viwili. kutunga sentensi sahihi kwa kutumiaviwakilishi vyote. Maelezo Kuandika YENZO aKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 49-53 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 42-44 Jedwali la nomino naviwakilishiHAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 8JUMA 7KIPINDIMADA KUUMADA NDOGOSHABAHANJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIA3Sarufi (Ufasaha walugha)Usemi halisi na wa taarifaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kupambanua usemi wa taarifa na halisi. kutaja mambo muhimu ya kuzingatiwakatika usemi halisi na wa taarifa. kugeuza sentensi kutoka hali moja hadinyingine. kutunga sentensi katika usemi halisi nawa taarifa. MifanoUtafitiUfaraguziKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 53-54 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 44-45 Kanda za kunasiasauti Chati ya mifano yasentensi Vielelezo Mikusanyo ya ripotimagazetini4Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)Tamathali za UsemiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kuonyesha wasanii, wanavyotumia lughakatika fasihi. kutoa mifano ya baadhi ya tamathali zausemi. kueleza umuhimu wa tamathali zausemi katika fasihi. MaelezoMifanoKutunga sentensiUtafiti Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 54-55 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 45-46 Mikusanyo ya kazi zafasihi5Kuandika (Utunzi)Insha ya maelezo:Ripoti ya ajaliKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza mambo ya kuzingatia katikakutoa maelezo. kutoa ripoti ya ajali kwa usahihi. kushauri jinsi ya kupunguza ajalibarabarani. KuandikaKazi mradiUigizajiUchunguziUtatuzi wa mamboTajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 55-56 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 46 Picha za ajalimbalimbali Mabango Takwimu za ajali1Kusikiliza na kudadisi(Tunu matini)IstiariKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua neno istiari. kutoa na kueleza maana za istiarimbalimbali. kutumia istiari tofauti katika sentensisahihi. TajribaUtazamajiMaelezoUvumbuziMaswali na majibuMajadiliano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 57 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 47-48 Vitabu vya fasihiandishi Walimu na wanafunzi Kamusi221HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 9JUMA 8KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA2Kusililiza na kudadisi(Kusikiliza nakuzungumza)MafumboKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza dhana ya mafumbo naumuhimu wake. kufumba na kufumbua mafumbo. UfafanuziMaelezoMifanoMajadilianoMaswali na majibuTajribaImla Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 57-58 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 48-51 Vielelezo vyamafumbo Wanafunzi Vielelezo vya kujazamraba3Kusoma kwa ufahamuMbinu za usomaji boraKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma makala kwa ufasaha. kueleza mbinu za usomaji bora. kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. UsomajiUfafanuziMajadilianoMjadalaMaswali na majibu Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 58-60 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 51-52 Kamusi4SarufiVieleziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana na aina za vielezi vinne. kutunga sentensi sahihi kwa kutumiavielezi hivyo. MaelezoMifanoMaswali na majibuTajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 60-62 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 52-53 Jedwali la vielezi Wanafunzi5Sarufi (Ufasaha walugha)Ukubwa na udogo wanominoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua hali za ukubwa, udogo nawastani. kueleza mabadiliko ya kisarufi katikahali tofauti. kutumia nomino za hali tofauti katikasentensi. MaelezoUfafanuziMifanoMaswali na majibuMajadilianoTajriba Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 62-64 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 53-54 JedwaliKusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)WahusikaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya wahusika. kutaja na kueleza aina za wahusika. kueleza sifa za wahusika kwa ujumla. TajribaMajadilianoMaswali na majibuUfafanuziKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 64-65 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 54-55 Vitabu vya fasihi Makala kutoka vitabu1-2222HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA3Kuandika (Utunzi)Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya MwalikoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza mtindo wa barua ya mwaliko. kuandika barua ya mwaliko kwa usahihi. UfafanuziUtendajiMajadilianoKuandika Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 65-66 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 55 Vielelezo vya barua zamialiko4Kusikiliza na kudadisi(Tunu na matini)MethaliKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana na matumizi ya methali. kutumia methali katika mazungumzo namaandishi. kueleza mafunzo yatokanayo na methali. MaelezoUigizajiMifanoUtoaji visaKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 67-68 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 55-57 Michoro Kamusi5Kusikiliza nakuzungumzaKamusi za methaliKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua maana ya kamusi ya methali. kutoa mifano ya kamusi za methali. kueleza sifa na manufaa ya kamusi zamethali. kutafuta na kueleza maana na matumiziya methali. MichezoTajribaUtafitiMaswali na majibuMaelezo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 68-69 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 57-58 Michoro Kamusi tofauti zamethali1Kusoma kwa ufahamuUmekuwa pweza kujipaliamakaa?Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma taarifa na kujibu maswali kwaufasaha. kueleza maana ya maneno, misemo namethali. UsomajiMaswali na majibuMjadalaUgunduzi wakuongozwa Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 70-72 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 58-59 Kamusi Mchoro Pweza halisi2SarufiViunganishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya neno viunganishi. kutoa mifano ya viunganishi. kufafanua umuhimu wa viunganishi. kutumia viunganishi katika sentensi. Mifano Mashindano UfafanuziJUMA 9JUMA 10MADA KUU223 Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 72 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 59-60 Chati ya viunganishi Jedwali VielelezoHAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa KwanzaYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIA3Kuandika (Ufasaha walugha)Uandishi wa kawaida:MuhtasariKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza umuhimu wa muhtasari. kutaja hatua za kufupisha. kufupisha sentensi na vifungu. Majaribio Utatuzi wa mambo Maswali na majibu Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 73-74 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 60-61 Chati Mikusanyo ya matini4Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)Fasihi simulizi:MighaniKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua neno mighani. kuandika mifano ya mighani. kupambanua sifa za Siti binti Saad. MifanoMasimuliziKuigizaMdahalo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 74-77 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 61-62 Picha au michoro Mikusanyo ya wasifuwa watu tofauti Kamusi5Kuandika (Utunzi)Insha ya methaliKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza muundo wa insha ya methali. kuandika insha ya methali. MaelezoUfafanuziVisaMasimuliziKuandika Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 77-78 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 62-63 Mikusanyo ya methali Picha na michoro Vielelezo vya insha yamethaliMtihani na kusahihishaMarudio na mazoezi yastadi zoteKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kupitia yote waliyojifunza. kubuni na kujieleza. kusahihisha makosa waliyoyafanya. Tajriba ya wanafunziJUMA 10JUMA 11-13SHABAHA224 Karatasi za mitihani KalamuHAKIUZWIMAONI

Kiswahili,Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa PiliYatumiwe na KiswahiliFasahaNJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIA UchunguziMajaribioMchezo ya lughaImla Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 79 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 63-64 Maabara ya lugha Kanda za sauti Kadi za maneno Michoro KamusiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kutaja sifa za hotuba. kueleza hoja kuu katika hotuba teule. kutoa hotuba. TajribaKuigizaMifanoUfafanuziKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 79-82 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 64-65 Kanda za sauti navideo Picha za watuwakihutubu Maleba na mahambo Vielelezo vya hotuba WanafunziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana na kunga za utamaduniwa Kiafrika. kuendeleza maneno. kueleza maana ya maneno. Usomaji wa makalaMaswali na majibuUpambanuziMijadalaZiara Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 82-84 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 65-66 Waalikwa Picha Makavazi Kamusi Ngonjera za ukutaKIPINDIMADA KUU1Kusikiliza, kuzungumzana kusoma:Tunu na matiniMatamshi bora: VitateKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kutamka maneno kwa usahihi. kuandika sentensi akionyesha maana zamaneno.2Kusikiliza nakuzungumzaHotuba ya kisiasa3Kusoma kwa ufahamuUtamaduni ni kitu gani?JUMA 1MADA NDOGOSHABAHA225HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa PiliYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 2JUMA 1KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA4SarufiVihisishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya vihisishi. kubainisha aina mbalimbali za vihisishi. kutumia vihisishi katika sentensi. Ufaraguzi wa hisiaKuigizaMifano ya sentensiMaelezo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 84 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 66-67 Picha za hali namandhari tofauti Maleba Kadi za vihisishi5Sarufi (Ufasaha walugha)Hali na ukanushajiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua matumizi ya hali mbalimbaliza vitenzi. kutunga sentensi katika hali na nyakatitofauti. kukanusha sentensi katika hali nanyakati mbalimbali. MifanoUtafitiMazoeziUvumbuzi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 84-87 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 67-69 Majedwali ya vitenzi Vielelezo vyamaumbo ya vitenzi Kadi za viambishi navitenzi1-2Kusoma kwa kina(Fasihi yetu)Ushairi:Tenzi za Shaaban Robertkwa wanaweKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya utenzi. kudondoa ujumbe muhimu. kuandika maneno kwa lugha nathari. kueleza maana ya maneno na vifungu. Maelezo Kuigiza Mifano ya tenzinyingine Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 88 -90 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 69-71 Pambo la lugha Chati ya mawaidhamakuu ya gazeti Kamusi3Kuandika (Utunzi)Utungaji wa kiuamilifu:Hotuba ya kisiasaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza sifa za hotuba ya siasa. kuandika hotuba ya siasa. Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 90 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 71 Mikusanyo ya hotuba Picha gazetini Wanafunzi Vyombo vya habarivikiripoti mikutano AONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa PiliYatumiwe na Kiswahili FasahaNJIA ZAKUFUNDISHIANYENZO ZAKUFUNDISHIAMaelezoKutunga sentensiImlaUfafanuziMashindanoMichezo ya lugha Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 91 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 72-73 Kamusi Jedwali Kadi za maneno Picha au michoroMADA KUU4Kusikiliza nakuzungumza (Tunu namatini)VitaweKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana za maneno yenye maanazaidi ya moja. kutumia vitawe katika sentensi. kubainisha maana mbalimbali zamaneno. 5Kusikiliza nakuzungumzaKusoma vitabu vyamaktabaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua umuhimu wa maktaba. kusoma na kudondoa hoja. kufurahia kusoma. Maelezo Mifano Uhakiki Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 91 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 73-74 Vitabu vya maktaba Wanafunzi Sheria za maktaba Wakutubi Maktaba1Kusoma kwa ufahamuDuniaKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma na kukariri shairi kwa mahadhi. kujibu maswali ya shairi kwa usahihi. KusomaMaelezoMifanoMaswali na majibuUchambuziMajadialiano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 92-93 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 74-75 Pambo la lugha Kamusi Ramani ya dunia Picha na michoro2SarufiVihusishiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana na aina za vihusishi. kutaja mifano ya vihusishi mbalimbali. kutunga sentensi akionyesha matumiziya vihusishi tofauti. MaelezoMifanoTajribaMaswali na majibuKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 93-94 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 75-76 Vitu halisiJUMA 3JUMA 2KIPINDIMADA NDOGOSHABAHA227HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa PiliYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 4JUMA 3KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA3Kuandika (Ufasaha walugha)Utungaji wa kiuamilifu:Matangazo ya vifoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza manufaa na sifa za matangazoya vifo. kuweza kuandika tangazo la kifo kwaurefu na kwa ufupi. MaelezoTajribaMifanoMaswali na majibuUfaraguziMajadiliano Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 94-95 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk.76-77 Vielelezo Kanda za kunasiasauti Magazeti4Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)Kisasili –Chura aliutaka uzuriKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma na kufurahia kisasili. kufafanua sifa za visasili. kutaja mifano mingine ya visasili. kueleza sifa za wahusika katika kisateule. MasimuliziKusomaUchambuziMaswali na majibuUtafiti Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 95-97 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 77-79 Fanani Picha na michoro Kanda za sauti Kamusi Vielelezo5Kuandika (Utunzi)Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya risala ya pongeziKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza risala ni nini. kuandika barua ya risala ya pongezi. MaelezoMifanoUfafanuziMjadala Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 97-98 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 79 Vielelezo vya barua Kanda za sauti zenyerisala1Kusikiliza na kudadisi(Tunu na matini)Chemsha bongoKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufikiria na kupata jibu. kutega vitendawili. kutoa majibu ya vitendawili. MaelezoMashindanoUfafanuziUchunguziUigizajiKazi mradi Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 99 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 79-80 Madhari Vitendawili kwamashairi Mifano ya mwalimuna wanafunzi228HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa PiliYatumiwe na Kiswahili FasahaJUMA 4KIPINDIMADA KUUMADA NDOGONJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIA2Kusikiliza nakuzungumzaJua na sayariKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kuchora mfumo wa jua na sayarimbalimbali. kueleza sifa za sayari mbalimbali. kujibu maswali kwa usahihi. kusoma kwa mapana. UvumbuziMaelezoUfafanuziMifanoUtafiti Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 99-100 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 80-81 Michoro Makala ya habari zasayari Majarida3Kusoma kwa ufahamuUvumbuzi wa anga za juuKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma kifungu kwa ufahamu. kueleza hatua zilizopigwa katikauvumbuzi wa anga. kujibu maswali kwa ufasaha. kusoma kwa mapana majarida namagazeti. UsomajiMifanoMaswali na majibuMjadala Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 100-102 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 81-82 Kamusi Picha Majarida Gazeti4SarufiMofimuKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza maana ya mofimu. kubainisha mofimu za Kiswahili. kufafanua dhima ya mofimu. Mifano Michezo ya lugha Maelezo Kiswahili Fasaha,KcM uk. 102-103 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 83 Vielelezo Kadi za mofimu Jedwali Chati5Ufasaha wa lughaUakifishajiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kueleza umuhimu wa alama zakuwakifisha. kufafanua matumizi ya alama zakuwakifisha. Maelezo Mifano Utatuzi wa mambo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 104-105 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 83-84 Mabandiko kwenyetarasha Ubao wenye alama zauakifishaji229HAKIUZWIMAONI

Kiswahili, Kidato cha 2Maazimio ya KaziMuhula wa PiliYatumiwe na Kiswahili FasahaKIPINDIMADA KUUNJIA ZAKUFUNDISHIASHABAHANYENZO ZAKUFUNDISHIAKusoma kwa kina(Fasihi yetu)Shairi:Titi la mama litamuKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma shairi kwa ufasaha. kufafanua maana ya “Titi la mamalitamu”. kueleza sifa za lugha. kujibu maswali kwa usahihi. KukaririMaelezoMifanoMjadala Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 106-108 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 84-85 Wanafunzi Pambo la lugha Kanda za sauti Kamusi3-4Kuandika (Utunzi)Utungaji wa kisanii:Hadithi fupiKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kusoma hadithi fupi. kuandika hadithi fupi. UfafanuziMaelezoMifanoUtafiti Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 108 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 85-86 Vielelezo vya hadithifupi Hadithi za BibiMahiraKusikiliza na kudadisi(Tunu na matini)VitendawiliKufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze: kufafanua maana ya kitendawili. kutega na kutegua. kuandika vitendawili na majibu yao. MashindanoMjadalaMichoroMaswali na majibuKutega na kuteguaMichezo Kiswahili Fasaha,KcM 2, uk. 109 Kiswahili Fasaha,MwM 2, uk. 86-87 Mikusanyiko yawanafunzi Kanda za sautiKusikiliza nakuzungumzaMjadala:Utangamano

Maswali na majibu Ufafanuzi Uchambuzi Maelezo Mifano Maswali na majibu Majadiliano JUMA 5. 219 KIPINDI SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA NYENZO ZA KUFUNDISHIA MADA KUU MADA NDOGO MAONI HAKIUZWI Yatumiwe na Kiswahili Fasaha Kiswahili, Kidato cha 2 Maazimio ya Kazi Muhula wa Kwanza 1 2 3

Related Documents:

Kiswahili dialects are endangered by, among other factors, the onslaught of standard Kiswahili, English, and Sheng, and so they are likely to be dying. The paper holds the position that the Kiswahili dialects are vital for the development of standard Kiswahili and, therefore, their endangerment is the endangerment of standard Kiswahili.

Introduction to Kiswahili Poetry KSX 2102 Kiswahili Oral Literature KSX 2104 (with Mr Innocent Yerindabo) Introduction to Kiswahili Novels KSX 2202 History and Development of Kiswahili KSX 3101 Kiswahili Teaching Methods KSX 3201 Drafts Reviewed: Advanced Proficiency in Kiswahili KSX 1102 by Boaz Mutungi.

Song as an aspect of Kiswahili poetry. Origin and development of modern Kiswahili classics such as taarab. Leading founders of Kiswahili popular song in East Africa, history and development of Kiswahili solo, choral and orchestra composition. Themes, style and language use in popular Kiswahili songs.

Kiswahili) na Shahada ya Umahiri/Uzamili ya Sanaa katika Kiswahili (MA. Kiswahili – akitamilikia Fasihi) zote kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania. Chuoni anafundisha kozi za Kiswahili - Lugha, Isimu na Fasihi ikiwemo kozi ya Uandishi wa Kubuni. Pia, hufundisha Kiswahili

4.0 KISWAHILI (102) 4.1 MATOKEO YA MTIHANI WA SOMO LA KISWAHILI Jedwali hili linaonyesha matokeo ya mtihani wa somo la Kiswahili katika muda wa miaka minne (2005 hadi 2008). Jedwali 6: Matokeo ya mtihani wa Kiswahili (2005 - 2008) Mwaka Karatasi Watahiniwa Alama ya Juu Alama ya Wastani Alama ya Tanganisho 2005 1 2 3 Jumla 259,301 40 80

Kiswahili, Kidato cha 3 Maazimio ya Kazi Muhula wa Kwanza 4-5 6 1 2 3-4 Hadithi fupi Fasihi teule Kusikiliza na kuzungumza Utunzi Hadithi fupi Siku ya Mganga Maudhui katika riwaya Lugha ya dini Umbo la barua rasmi Pwaguzi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: kujadili dhamira ya mwandishi. kuchambua maudhui na tamathali za lugha .

KISWAHILI PP3 QUESTIONS 1996-2016 WhatsApp/Sms/Call Sir Obiero Amos @ 0706 851 439 for Marking Schemes 2006-2016 FOR A VARIETY OF REVISION KITS WhatsApp/Sms/Call By Sir Obiero Resources 0706851439. 2 1 WhatsApp Sir Obiero Amos @0706851439 for more Resources 102/3 LUGHA KISWAHILI KARATASI 3 FASIHI YA KISWAHILI OKT/NOV 2005 SAA 2 ½ Ushairi Soma mashairi yafuatayo kisha ujibu maswali. Shairi A 1 .

5 I. Academic Writing & Process . 2. 1 Prepare . 2. 1. 1 What is the assignment asking you to do? What kind of assignment is it? (E.g. essay, research report, case study, reflective