Shule Ya Sekondari Cheti

1y ago
15 Views
2 Downloads
631.95 KB
7 Pages
Last View : 15d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Rosa Marty
Transcription

SHULE YA SEKONDARI CHETISHULE YA SEKONDARI CHETI,S.L.P 12380,ARUSHA.NDUGU .FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA l, ll, lll NA IV KATIKA SHULE YA SEKONDARI CHETI.Ninayo furaha kukujulisha kuwa umechaguliwa kuingia kidato cha .katika shule hii kwamwaka wa masomo ,unatakiwa kuripoti shuleni tarehe .Yafuatayo ni maagizo unayotakiwa kuyatimiza kabla ya kuripoti hapa shuleni.1.Iwapo unaikubali nafasi hii tafadhali jaza fomu namba 2 ya(a) kukubali nafasi(b) Habari za mzazi / mlezi na mwanafunzi na itiwe sainiFika kwa daktari wa serikali akupime na ajaze fomu ya kupimwa iliyoambatanishwa.2.Fomu zote zilizo tajwa hapo juu zikishakuwa tayari ufike nazo shuleni na kumkabidhi Mkuu wa Shule.VIFAA NA MAHITAJI YA LAZIMA YANAYOTAKIWA.SARE YA SHULE: WASICHANA1.2.3.4.5.6.7.Sekti yenye V mbele, na urefu kupita magoti lazima iwe inchi 7, rangi ya dark blue.Shati light blue /rangi ya blue bahari, mikono mirefu.Sweta ya rangi la dark blue.Tai dark blue inayofanana na kitambaa cha sketiViatu vyeusi vya ngozi na visigino vifupiStockings Dark blue zenye mistari ya light blueKwa waislamu wanaovaa ushungi uwe mweupe na usiwe mrefuNB: Sare zinapatikana shuleni.NGUO ZA MICHEZO KWA WASICHANA.1. Tshirt ya grey2. Track suit - deep brown1

WAVULANA:1. Suruali dark blue kwa wavulana yenye upana wa kutosha (TAFADHALI EPUKA KUSHONA SURUALIILIYOBANWA (MNYONYO).2. Shart light blue au rangi ya bahari3. Sweta la rangi ya dark blue4. Tai dark blue inayofanana na kitambaa cha suruali.5. Viatu vyeusi vya ngozi, visigino vifupi na siyo buti wala raba.6. Stockings Dark blue zenye mistari ya light blue7. Mkanda wa suruali mweusi usio na Balcony kubwaNB: Sare za shule zinapatikana shuleni.NGUO ZA MICHEZO KWA WAVULANA.1. T-Shirt – grey.2. Track suit – deep brown.3: VIFAA VYA DARASANI:i.Madaftari ya kutosha masomo kumi na mbili (12)ii.Rula moja, kalamu za wino ( ball pens), pencil na vifutioiii.Mathematical set 1iv.Begi la kubebea vifaa vya darasani na sio mifuko ya plastikiv.Ream paper2

NB: MAELEZO MUHIMU KUHUSU SHULE1. Shule ya sekondari CHETI ni ya mchanganyiko, wavulana na wasichana, ilianza January 2019,imesajiliwa kwa usajili NA. S. 5071 namba ya mtihani ni S.56742. Shule inapokea watu wa madhehebu mbalimbali ya ( kikristo pamoja na Waislamu ) na wote wanapatavipindi vya dini kuendana na dini yao.3. Uongozi wa Shule wanahaki ya kumfukuza mwanafunzi ambaye hajafika wastani unaotakiwa kwakiwango cha Shule au tabia yake haiendani na mwenendo wa shule.4. Nafasi ya BWENI inatolewa kwa wavulana na wasichana.5. Wanafunzi wa KUTWA wanakaribishwa, Ada ya Shule kwa wanafunzi wa kutwa wasiotumia usafiri nishilingi 930,000/ kwa mwaka.6. Ada ya shule kwa wanafunzi wa KUTWA wanaotumia usafiri kwa umbali usiozidi kilometa 10 ni shilingi1,230,000/ kwa mwaka.7. Ada ya shule kwa wanafunzi wa BWENI ni shilingi 1,430,000/ kwa mwaka.8. Wanafunzi wote wanapata chakula cha mchana kwa gharama ambayo imejumlishwa na ada ya shule.9. Mabadiliko ya ada yatakuwa yakifanyika kutokana na maoni ya kikao cha mkutano Mkuu wa wazaziutakaokuwa unafanyika kila mwezi wa kumi na moja ( November)10. Ada italipwa kwenye akaunti ya Shule katika Benki ya CRDB yenye jina la akaunti :-CHETI SECONDARY SCHOOL na akaunti Na. 0152398578500VITU MUHIMU KWA WATOTO WA BWENIL:-1. Sare za shule zinapatikana shuleni kwa Tshs. 90,000/ kwa pea mbili.2. Nguo za michezo zinapatikana shuleni kwa bei ya Tshs. 35, 000/ VIFUATAVYO VINUNULIWE NA MLEZI / MZAZI KWA WATOTO WA BWENI.1. Gauni la kushindia – light blue – kwa wasichana tu.2. Track suti ya light blue na T-shirt ya light blue kwa ajili ya kushindia kwa wavulana tu.3. Shuka mbili za light blue4. Foronya mbili za light blue5. Raba nyeusi za michezo6. Blanket – rangi yeyote7. Chandarua – rangi yeyote8. Ndoo moja ya lita 109. Taulo moja kwa wavulana10. Taulo moja na vitenge pea moja kwa wasichana11. Ada inalipwa kwa awamu mbili.12. Pocket money- isizidi 60,000/ itahifadhiwa na meneja wa shule13. Daftari 12 quire three (3) ya masomo madogo yasiyopungua 15 kwa ajili ya kazi za ziada( home work na tution)14. Mswaki na dawa ya kuswakia15. Kalamu 10, penseli 10, vifutio, rule, mathematical seti, begi la madaftari na sio malboru.16. Mafuta ya kujipaka, sabuni za kufua miche sita na sabuni za kuoga vipande 12.17. Mabuti kwa ajili ya wakati wa mvua.18. Jembe kubwa kwa ajili ya somo la kilimo cha bustani ndogondogo.3

SHERIA NA KANUNI ZA SHULEa. Kuheshimu mipaka ya shule na kuzingatia kikamilifu maelekezo juu ya kuwepo ndani na nje yamipaka hiyo wakati wote wa uanafunzi wako katika shule hii.b. Kutunza usafi wa mwili wote unaotakiwa.c. Kuvaa sare ya shule wakati wote unapotakiwad. Kuzingatia ratiba ya shule wakati wote.e. Kutunza mali za umma.Makosa yafuatayo yanaweza kukusababisha kufukuzwa shule au kusimamishwa shule.1. Wizi2. Uasherati na ushoga3. Ubakaji4. Ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya kama vile uvutaji bangi, cocaine, bebeli na kadhalika.5. Kupigana au kupiga6. Kuharibu kwa makusudi mali ya shule7. Kudharau bendera ya Taifa8. Kuwa mjamzito/ kupata mimba9. Kuoa na kuolewa10. Kutoa mimba11. Kugoma, kuchochea na kuongoza au kushiriki kuvuruga amani na usalama wa watu au vitu.12. Kukataa adhabu kwa makusudi13. Kuwa na simu ya mkononi.NB:1. Hakikisha unazisoma sheria hizi kwa makini na kujadili na mzazi wako kabla ya kukubaliKujiunga na shule.2. Ukiukaji wa sheria hizo hapo juu utasababisha ufukuzwe shule na kuchukuliwa hatua nyingine zakisheria.3. Nywele lazima ziwe fupi kwa wanafunzi wote.4. Mwanafunzi atakayepata daraja la nne (division 4) katika mtihani wa mwisho wa mwakahataruhusiwa kuendelea na kidato kinachofuata shuleni kwetu.Sahihi ya mwanafunziTareheMwisho, nachukua tena nafasi hii kukukaribisha hapa shuleni CHETI na ni matumaini yangu kuwaufikapo hapa shuleni utaitumia vyema nafasi hii uliyopewa na shule ya Cheti Sekondari.KARIBU SANA .MKUU WA SHULESHULE YA SEKONDARI CHETI4

SHULE YA SEKONDARI CHETIFOMU YA KUJIANDIKISHA SHULENI YENYE HABARI ZA MZAZI /MLEZI WA MWANAFUNZI.Picha ya Familia baba, mama na mtotoA: MWANAFUNZI:1. Jina kamili la mwanafunzi Jinsia (ME / KE)2.Tarehe ya kuzaliwa mahali alipozaliwa, (Kijiji/Mtaa Wilaya:3. Uraia 4.Dini Dhehebu4. Mtoto anaishi na 1. Baba 2. Mama3. Wote wawili 4. Mlezi5. Je mtoto ni yatima . Ndiyo HapanaB: MZAZI / MLEZI1. Jina la baba 2. Dini 3. Dhehebu4. Kazi yake 5. Anwani 6. Simu7. Jina la mama 8. Dini 9. Dhehebu10. Kazi yake 11. Anwani 12. Simu1. Jina la mlezi 2. Dini 3. Dhehebu3. Kazi yake 4. AnwaniDhehebu unalotaka mtoto alelewe shuleniAnuani kamili ya nyumbani ambako mtoto atakuwa anakwenda siku za likizoMimi mzazi / mlezi nathibitisha kuwa taarifahiyo hapo juu ni sahihi, ninaahidi kushirikiana na walimu ili kuhakikisha kuwa mwanangu anakuwana tabia nzuri na mwenye bidii katika masomo.Sahihi ya Baba / Mama / MleziTarehe5

SHULE YA SEKONDARI CHETIP.O.BOX 12380,ARUSHA.MOB: 0764 2636030764 2808860718 826963PICHAFOMU YA MAOMBI YA USAILI.(APPLICATION FORM)WASIFU WA MWANAFUNZI.1.Jina kamili la mwanafunzi ( Andika herufi kubwa ) .2.Tarehe ya kuzaliwa .Mahali alipozaliwa .3.Wilaya Uraia Dini: 4.Mahali anapoishi .5.Jina la Baba . .Anuani: Namba ya simu: 6.Jina la Mama: . Anuani: Namba ya simu: .7.Jina la Mlezi kama yupo) Anuani: .Namba ya simu: .8.Kazi ya Baba: 9.Kazi ya Mama: 10.Jina la Shule aliyohitimu / anayotoka : .11.Namba ya mtihani wa darasa la saba .mwaka aliomaliza: .12.Kidato anachoomba kujiunga: TAARIFA ZA USAILI1. Tarehe ya usaili: 2. Muda wa usaili: .3. Mitihani ya usaili itakuwa ya kiingereza na Kiswahili, taja lugha utakayotumia katika mitihani yausaili: ZINGATIA YAFUATAYO: Gharama ya fomu hii ni Tshs. 10,000/ Fedha ya kujiunga haitarudishwaTafadhali njoo na fomu hii iliyojazwa siku ya mtihani.Mwanao avae sare ya shule aliyotoka siku ya usaili.Wasilisha risiti ya malipo siku ya usaili.6

SHULE YA SEKONDARI CHETIMEDICAL EXAMINATION FORMTo be completed by medical officer in Government Hospital in respect of all entrants to school.Full name:Age:1.Blood count (Red & White)2.Urine examination3.Stool examination4.Syphilis5.T.B6.Ear Test7.Eye Test8.Abdomen9.Spleen10.Additional information or any other physical, mental hereditary or infectious diseases:MEDICAL CERTIFICATION:-I certify that the above mentioned has been examined and found to / not to pursue further educationSignatureDesignationStationDate Official stamp7

3. Uongozi wa Shule wanahaki ya kumfukuza mwanafunzi ambaye hajafika wastani unaotakiwa kwa kiwango cha Shule au tabia yake haiendani na mwenendo wa shule. 4. Nafasi ya BWENI inatolewa kwa wavulana na wasichana. 5. Wanafunzi wa KUTWA wanakaribishwa, Ada ya Shule kwa wanafunzi wa kutwa wasiotumia usafiri ni shilingi 930,000/ kwa mwaka. 6.

Related Documents:

unaokidhi matakwa ya silabasi mpya ya Kiswahili kwa ajili ya shule za sekondari, na umetayarishwa kwa ustadi na . Ijaribu na Uikarabati: Marudio ya KCSE Kiswahili, Ipara & Waititu: 700.00 Fani ya Isimujamii kwa shule za Sekondari, Ipara & Maina: 420.00 Fani ya Fasihi Simulizi kwa shule za Sekondari, Assumpta:

ya Machipuko Si siku ya shule Aprili 04/12 na 04/13 Mtihani wa SAT & ACT WorkKeys Wanafunzi wa Vidato vya Chini pekee A.M. Wanafunzi Wote wa HS P.M. Shule ya Msingi ya Siku Nzima Mei 05/11 Hakuna Shule 05/20 Siku ya Mwisho ya Shule ya 1 Wanafunzi wa Vidato vya Juu 05/27 Siku Nusu (Shule ya Msingi) 05/30 Sikukuu ya Makumbusho - Hakuna Shule Juni

Hali ya Elimu Andika idadi halisi ya huduma zilizopo kijijini. Idadi V401. Idadi ya shule za msingi za serikali V402. Idadi ya shule za msingi za binafsi V403. Idadi ya vituo vya elimu ya awali V404. Idadi ya shule za sekondari V405. Idadi ya shule za ufundi V406. Kuna kamati ya elimu na hu

Tasnifu hii inahusu tathmini ya mitaala ya Kiswahili kwa shule za sekondari imuandaavyo mwanafunzi kumudu somo la isimu Chuo Kikuu. Sura hii ya kwanza, inatoa maelezo yanayohusu lugha ya Kiswahili kwa ufupi, pia maana ya mtaala imelezwa ikiwa ni pamoja na tofauti iliyopo kati ya mtaala na muhtasari wa somo.

atika matokeo ya Mtihani wa taifa wa darasa la saba yali-yotangazwa Oktoba 30,2021 na Katibu Mtendaji wa baraza la Mitihani Tanzania Dkt. Charles Msonde , . zilizopokea fedha ni Pamoja na Shule ya Sekondari Chuno madarasa manne (Tsh. 80,000,000), Shule ya Sekondari Shangani madarasa manne (Tsh. 80,000,000). .

Pamoja na taasisi zilizotajwa kuna shule shikizi (satellite schools) 44 ambapo kila halmashauri ina shule za namna hiyo ambazo baadaye zitakuwa shule kamili. . Kwa mkoa wa Lindi mtihani huu umefanyika katika shule 480 zenye jumla ya wanafunzi 17,519 wakiwemo wavulana 8,117 na wasichana 9,402 katika halmashauri 6 za mkoa wa Lindi. Aidha .

HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI Ukurasa wa 3 kati ya5 SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA KUZINGATIA UWAPO SHULENI NA NJE YA SHULE 1. Unapokuwa eneo la shule; vaa sare za shule, sare za michezo kwa siku za michezo (shati jeupe la mikono mifupi[lililochomekewa muda wote]sketi/suruali nyeusi) na t-shirt za blue [zenye nembo ya shule] zisizobana, kiatu cheusi [cha kamba, kisicho na madoido; raba na .

Operation Guide for the Mercedes-Benz GLA/CLA This is a basic operation guide for those who are driving the Mercedes-Benz GLA/CLA vehicle for the first time. Please read this guide before you leave the rental office if you are not familiar with operation. For more information about the vehicle, please read the instruction manual. Basic Operations to Note Before Driving the Vehicle Starting .