GERVAS KUTAMIKA SILAU

3y ago
152 Views
5 Downloads
2.95 MB
184 Pages
Last View : 14d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Luis Waller
Transcription

KUTATHMINI DHIMA YA NYIMBO KATIKA KUKUZA NAKUIMARISHA MALEZI, MFANO WA KABILA LA WAKAGURUGERVAS KUTAMIKA SILAUTASNIFU ILIYOWASILISHWA, IKIWA NI SHARTI PEKEE LAKUPATIYA SHAHADA YA UZAMILI MA-KISWAHILI KATIKA FASIHISIMULIZI YA KISWAHILI YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA2013

iiUTHIBITISHOAliyeweka sahihi hapo chini,anathibitisha kwamba,ameisoma tasnifu hii ya;Kutathmini nyimbo katika kukuza na kuimarisha malezi,mfano wa kabila laWakaguru kwa ajili ya shahada ya uzamili, katika fasihi simulizi ya Kiswahili,naanaomba ikubaliwe na Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania. .Prof. Dr. Sheikh T.S.Y.M Sengo(Msimamizi).Tarehe

iiiHAKIMILIKISehemu yeyote ya tasnifu hii, hairuhusiwi kubadilishwa, kwa njia yoyote iwayo, iweya kietroniki, kunakilisha, kurudufu, kaitka hali yoyote, bila ya kupata idhini yamaandishi,kutoka kwa mwandishi wa Tasnifu hii au Chuo Kikuu Huria cha Tanzaniakwa niaba yake.

ivTAMKO LA MTAHINIWAMimi Silau Gervas Kutamika, ninakiri kwamba tasnifu hii, ni kazi yangu mwenyewena kwamba kazi hii haijawahi kuwasirishwa na wala haitaweza kuwasirishwa katikaChuo Kikuu chochote, kwa ajili ya shahada hii au tuzo yoyote iliyo sawa na hii.Sahihi.Tarehe

vTABARUKUTasnifu hii ni kwa heshima ya wazazi wangu, mzee Kutamika Silau Chinyong ole naMkumbukwa mama,Hayati Kamwaya Mwile Mwehombe na familia yanguyote,kwani pasipo wao na nguvu za mwenyezi Mungu nisingeweza kuimaliza kazihii kwa ufanisi mkubwa kama huu.

viSHUKRANIKwanza kabisa, napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu,aliyenijalia Afya nanguvu tele na kunibariki katika kufanikisha kazi hii. Kama inavyofahamika sikuzote, kwamba mshikamano wa mikono yote miwili, daima huzalisha kazi nzuri .Kwahiyo Mafanikio yote haya,ya kazi hii ya “Kutathmini Dhima Ya Nyimbo KatikaKukuza Na Kuimarisha Malezi, Mfano Wa Kabira La Wakaguru” yametokanana misaada ya hali na mali ya watu mbalimbali.Wapo watu ambao ni lazima niwataje kutokana na misaada yao waliyonipatia.Shukrani nyingi ni kwa Msimamizi wangu Prof. Dr. Sheikh.T.S.Y.M. Sengo, kwajuhudi zake alizonifanya,kusimamia na kuisahihisha kazi hii na kunishauri hadikufikia kiwango timilifu,kwa kunipa moyo, uliyoniwezesha kuifanya kazi hii kwasubira kubwa, ari ya kunitia hamu bila kuchoka walaa kukata tamaa,nilipokatatamaa, nikafika kwake nguvu mpya ikapatikana.Aidha kwa nafasi ya pekee kabisa ningependa Kukishukuru Chuo Kikuu Huria chaTanzania kwa Jumla wake ,hususan,Kitivo cha Sanaa na Sayansi za Jamii,kwaushirikiano mzuri nilioupata muda wote wa masomo.Nawashukuru wataalamu wa Taasisi ya Taalimu za Kiswahili (TATAKI),ChuoKikuu Cha Dar-es-salaam kwa maoni na ushauri waliyonipa na kuruhusu kutumiamaktaba yao ya Taasisi na kunielekeza maktaba kuu ya Chuo kikuu ch Dar esSalaam katika kufanikisha kazi hii.

viiShukrani zangu maalumu ni kwa walimu wote kwa namna yoyote wamesukumagurumu pamoja name hatua kwa hatua.Pamoja nao, napenda Kumshukuru sana ProfE.Mbogo, ,Dr.Haule Mkurugenzi wa Kituo Cha Mtwara,Chuo Kikuu Huria chaTanzania, kwa ushauri wake aliyonipa na kunitia moyo.Mafanikio ya kazi hii, nimatokeo ya huduma na misaada mbalimbali ya hali na mali, niliyoipata kutokakwenye Taasisi na watu mbalimbali. Kwa kila aliyehusika kwa namna yeyote ilenamshukuru sana,ingawa siyo kazi rahisi,kuwataja watu wote waliohusika,kwakuorodhesha majina yao,nitakuwa sina busara, kama sitawataja wachache kwa niabayao.Kwanza , napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa mjomba wangu MhandisiJackson Ezekiel wa Wizara ya Miundombinu kwa namna alivyoniwezesha kipindichote cha kuandaa Tasnifu ya kazi hii,.Pia mjukuu wangu Yohana LeonceSenyagwa, aliyeniwezesha sehemu ya kuishi na kufanya kazi yangu kwa utulivumkubwa.Pili, natoa shukrani zangu za dhati kwa Profesa E. Mbogo wa kitivo cha Elimu, ChuoKikuu Huria Cha Tanzania, ambaye kwa wakati wote, amekuwa akinishauri nakunielekeza nini cha kufanya hatua kwa hatua, katika kuandaa pendekezo la utafiti,Tatu, shukrani zangu za dhati na pekee kabisa zimwendee kwa wakati mwingineProfesa T.Y. Sengo, aliyeniwezesha kujinoa zaidi kitaaluma, katika istilahi muhimuza kitafiti na amekuwa akikumbusha nilipojisahau.Nne pongezi za dhati,zimwendee Dkt.Wanne,aliyenishawishi kwa mara kwanzanilipokamilisha shahada ya kwanza, anitia moyo na kuniamuru kuaanza mara

viiimoja,kwa wake mwisho wa Shahada ya kwanza ndiyo mwanzo wa Shahada ya pili.Tano sitowasahau kamwe wote waliosaidia matini yao, yaliyonipa mwanga wakuikabiri kazi hii,Kitila Afisa Utamaduni Msaidizi Wilaya ya Mpwapwa,PascalMahinyila wa Chuo Cha Ustawi wa Jamii Buhare Musoma.Sita wazazi wangu nao wanayo nafasi kubwa mno katika kazi hii,kwani waowalijitolea sana kuhakikisha napata elimu.Saba na mwisho , ningependa kutoa shukrani zangu za dhati na maalumu kwa BiSalimo Mwifunde, Mama wa Baba alinifungulia mlango wa kuanza masomo.

ixIKISIRIMakusudi ya kufanya utafiti huu, ni kutathmini dhima ya nyimbo katika kukuzanakuimarisha Malezi,mfano wa kabila la Wakaguru,Utafiti huu umefanyika WilayaniKilosa,kata za mbili za Rubeho na Chagongwe zilizopo wilaya mpya ya Gairo,Aidhakata zote mbili zimeshirikishwa kikamilivu, zikiwa maskani ya utafiti huu,Nyimboza ngoma tatu zimetumika katika mchakato wa utafiti hadi kufukia Matokeo halisi yautafiti.Ngoma zilzojumuishwa kwenye utafiti huu ni pamoja na Ngoma yaDigubi,Ngoma ya Jando na Ngoma ya Mtunya Zilichunguzwa dhima zao naumuhimu wao kwa jamii ya Wakaguru wenyewe na Taifa kwa ujumla wake.Njiazilizotumika katika kufikia ukamilifu wa kazi hii, zilikuwa ni utafiti wa Maktaba naule wa ana kwa ana. Matokeo ya utafiti huu yamebaini yaufuatayo:Washirikiwalioteuliwa ni 340 walifikiwa na kufanikisha utafiti.1.Vijana wenye umri wa miaka kuanzia 11-18 hawashiriki kabisa katika shughulinyimbo za jadi wamezamia katika kuufukuza utandawazi.2.Asilimia 75 ya Walioteuliwa kwenye utafiti huu na wenye umri wa miaka 19-25walishiriki katika shughuli za nyimbo za ngoma.Zipo nadharia kadhaa zililyotumika katika Tasnifu hii, kuhusu uwasilishaji nauchanganuzi wa takwimu,Nadharia hizo ni Nadharia ya fasihi ina kwao, Nadharia yauhalisia na Nadharia ya Mtu na fasihi na Nadharia ya Dini ni Bangi, Tasnifu hiiimeundwa na sura sita, ya kwanza inahusu utangulizi kwa ujumla, usuli wa tatizoumewekwa bayana .Dhana ya mwingiliano wa nyimbo za ngoma imejadiliwa kwakuhusishwa na mwingiliano uliopo kati ya nyimbo za ngoma na utamaduni wamagharibi, unaovinjari Mithili ya kasi mawimbi ya vumbi,linalonyemelea kuumeza

xutamaduni wa mwafrika, hususan katika eneo la kata za Rubeho na Chagongwe,ambako utafiti huu ndiko unakofanyika, ukiwakilisha maeneo yote yanayokumbwana tamaduni za magharibi, ambazo tayari zimeleta athari kubwa ya kuporomoka kwamaadili ya jamii, kwani nyimbo za ngoma katika jamii zetu hasa Digubi, kwa ajili yakuwafundisha na kuwataarisha watoto wa kike, katika kuyakabiri maisha yao yaujana kwenda utu uzima na Jando lililotumika pia kuwaandaa vijana wakiume kwamaisha mema na kupata mwongozo im arawa maisha yao ya jamii,na jamiizinazowazunguka.Pamoja na usuli wa tatizo sura hii imeonesha waziwazi malengo ya utafiti huu.sura ya pili inahusu nadharia na mbinu zilizotumika katika utafiti huu, katika surahii.Dhana ya nadharia imeelezwa ,Aina za nadharia zimeelezwa, na nadhariazilizotumika kwenye utafiti huu, zimebainishwa, aidha eneo la utafiti, wahusikalengwa, namna ya ukusanyaji wa takwimu, muundo wa ukusanyaji wa takwimu,mpango wa uchanganuzi wa takwimu, katika utafiti; vyote hivyo vimefafanuliwawazi kuhusu zana zilizotumika,utafiti huu umetumia uchunguzi wa maktaba, masailina maswali ya dodoso.Sura ya tatu imeshughulikia mapitio mbalimbali ya maandishi yanayohusu Fasihi yangoma ,Jando, na Digubi,katika sura hii imetoa maana na dhanna nzima ya ngoma,jando, digubi,Fasihi ya ngoma na nyimbo za ngoma vimeelezwa na kufafanuliwakwa kina.Dhanna za maadili,malezi navyo vimejadiliwa.Sura ya nne imehusika na mambo makuu mawili ;Mbinu na njia za kukusanyadata,uwasilishaji na uchanganuzi wa data.Wahojiwa waliotarajiwa walikuwa1,720,000 lakini waliofanikiwa kufikiwa walikuwa 340 na ndio walioleta matokeo

xihalisi ya utafiti,kwa hiyo uwasilishaji na uchanganuzi wa takwimu hizo odhayawahojiwaimeambatanishwa nyuma ya taarifa hii, kama kiambatanishi A na E kinabainisha.sura hii imebainisha wazi uhusiano uliokuwapo hapo zamani, kati ya tabia njemakwa vijana na mafunzo yaliyotokana na nyimbo za ngoma za digubi na jando.Sura ya tano imejadili nadharia ya fasihi inakwao,Nadharia ya uhalisiya na Nadhariaya udhanaishi,Nadharia ya Ufeministi, Nadharia ya dini ni bangi,Nadharia ya ujumina Nadharia ya ndani nje katika kuhakiki vipengele vya fani na maudhui ya kaziyote,hizi zimefafanuliwa kwa kina na kwa kuzingatia nadharia saidizi tatu zanadharia ya fasihi inakwao,Nadharia ya uhalisiya na Nadharia ya udhanaishi,Na hatimaye muhtasari wa utafiti,hitimishi yake na mapendekezo kadhaa, kwa iinakwao,Nadharia ya uhalisiya na Nadharia ya udhanaishi,nadhariayafasihi

xiiYALIYOMOUTHIBITISHO. iiHAKIMILIKI . iiiTAMKO LA MTAHINIWA . ivTABARUKU . vSHUKRANI . viIKISIRI . ixYALIYOMO . xiiMAJEDWALI . xviVIAMBATISHI . xviiORODHA YA VIFUPISHI . xviiiSURA YA KWANZA . 11.0UTANGULIZI KWA UJUMLA . 11.1Utangulizi . 11.1.1 Jamii ya Wakaguru . 11.1.2 Historia . 11.1.3Jiografia . 21.1.4 Mila na Desturi . 31.1.5 Uchumi . 51.1.6 Fasihi . 61.1.7 Elimu . 71.1.8 Shughuli za Misiba . 71.1.9 Shughuli za Ngoma . 81.1.10Mada ya Utafiti . 8

xiii1.1.11 Tatizo Kutozingatiwa kwa nyimbo, kumesaidiya kutokeya kwa mmomonyokowa maadili . 81.2Usuli wa Tatizo . 81.2.1 Tatizo la Utafiti . 131.3Lengo la Utafiti . 131.4Malengo Mahsusi . 131.5Maswali ya Utafiti . 141.6Umuhimu wa Nyimbo . 141.7Eneo la Utafiti . 171.7.1 Mahali Lilipo . 171.7.2Mpaka Ya Utafiti. 18SURA YA PILI . 192.0 MKABALA WA KINADHARIYA . 192.1Utangulizi . 192.1Maana ya Nadhariya . 202.2.1Nadhariya ya Uhalisia . 212.2.2Nadhariya ya Ufeministi . 212.2.3Nadhariya ya Fasihi Ina Kwao . 232.2.4Nadhari ya Dini ya Bangi . 242.2.5Nadharia ya Uasilia . 252.2.6Nadharia ya Ujumi . 262.2.7Nadharia ya Ndani Nje . 272.32.4.1Matatizo/Vikwazo/Utatuzi . 27Mawanda ya Kinadharia (Nadharia Kiongozi) . 29

xivSURA YA TATU . 313.0 KAZI TANGULIZI . 313.1 Utangulizi . 313.2Tahakiki za Kazi Tangulizi . 333.3Hali Halisi, Matabaka na Utamaduni wa Vijana . 333.4 Dhanna . 36SURA YA NNE . 464.0 MBINU NA NJIA ZA UTAFITI . 464.1Usuli wa Kuingia Maskani . 464.2Dhana ya Mbinu za Kukusanya Takwimu . 484.3Mbinu za Kukusanya Data . 494.2.3Umakinifu . 504.4Usaili . 524.5Hojaji . 524.6Zana za Utafiti . 534.7Wasaidizi Katika Kukusanya Data. 534.8Wasaidizi Katika Kukusanya Takwimu . 574.9Zana za Utafiti . 58SURA YA TANO . 595.0 UCHAMBUZI WA TAKWIMU . 595.1Utangulizi . 595.2Dhana ya Nyimbo . 60SURA YA SITA . 796.0 FANI KATIKA NYIMBO . 79

xv6.1 Utangulizi . 796.2 Matumizi ya Lugha . 796.3Matumizi ya Sitiari . 826.4 Lugha ya Taswira . 826.5 Taswira Zinazoonekana . 826.6Taswira za Mawazo au Kufikirika . 836.6.1 Taswira za Hisia . 846.7Lugha ya Ishara . 846.8 Lugha Ya Mafumbo . 856.9 Lugha ya Tafsida . 866.10 Matumizi ya Takriri . 876.10.1 Takriri Mstari . 87SURA YA SABA . 897.0 HITIMISHI NA MAPENDEKEZO . 897.1Utangulizi . 897.2Muhtasari . 897.3Matokeo. 907.4Majadiliano Kutokana na Kazi Tangulizi . 917.5Madhumuni ya Utafiti . 947.6Hitimishi. 101MAREJELEO . 107MAREJELEO YA WAHOJIWA . 114

xviMAJEDWALIJedwali 1.1: Linaonesha Idadi ya T

2.Asilimia 75 ya Walioteuliwa kwenye utafiti huu na wenye umri wa miaka 19-25 walishiriki katika shughuli za nyimbo za ngoma. Zipo nadharia kadhaa zililyotumika katika Tasnifu hii, kuhusu uwasilishaji na uchanganuzi wa takwimu,Nadharia hizo ni Nadharia ya fasihi ina kwao, Nadharia ya

Related Documents:

COMPARATIVE TABLE. www.pidengtech.com CONTACT Process Integral Development S. L. C/ Francisco Gervás 11 Pol. Ind. Alcobendas 28108 Alcobendas (Madrid) - SPAIN Tel. : 34 914 840 183 - Fax : 34 916 620 141 pid@micromeritics.com ADVANCED SYSTEM CATALYTIC ACTIVITY FOR MEASUREMENT OF THE MOST.

abundante evidencia científica sobre la eficacia del método. Las enfermeras aprenden mejor, más rápido y de manera más sostenible en el tiempo. Según el Dr. Gérvas, el caso clínico es la presentación comentada de un paciente, o grupo de pacientes, que se convierte en «caso», en un ejemplo o modelo que ilustra

tasawuf, fiqh, usul al-fiqh, ilmu kalam, falsafah, logik serta hadis dengan baik. Apa yang lebih menarik pada diri al-Ghazali ialah kekuatan pendirian beliau yang tidak silau . kitab-kitab atau terjemahannya dite

penerangan ini merupakan sistem penerangan yang terbaik. "Pencahayaan harus menggunakan teknik yang tepat karena jika pencahayaan terlalu silau/redup akan menyebabkan kelelahan fisik dan mental para karyawan atau pekerjanya" (Notoatmodjo, 2003:123). Setiap pekerja memiliki kebutuhan akan intensitas cahaya yang berbeda.

Sun control dan shading device juga dapat meningkatkan kenyamanan visual pengguna dengan mengontrol silau (glare) dan mengurangi rasio kontras cahaya.Penggunaan shading device merupakan aspek penting dari salah satu strategi desain bangunan yang efisien dari segi energi. Efektifitas desain shading device akan bergantung pada orientasi matahari .

wesley long hospital . womack army medical center . 3 overview of goals the student should spend the majority of their time in the inpatient pharmacy learning the roles and responsibilities of every staff member. this is a medication use process and systems based experience, not a clinical experience. students should be encouraged to work with pharmacy technicians, including those .

ASTM C 1628 06ASTM C 1628 06 Standard Specification for Joints for Concrete Gravity Flow Sewer Pipe Using Rubber Gaskets AS C 16 09ASTM C 1677 09 Standard Specification for Joints for Concrete Box, Using Rubber Gaskets ASTM C 1619 05 Standard Specification for Elastomeric Seals for Joining Concrete Structures ASTM C 505 05a Standard Specification for Irrigation Pipe with Rubber Gasket Joints .

Automotive EMC Introduction and Overview. 14. Automotive System RF Emissions Vehicle systems can be responsible for onboard noise generation as a byproduct of vehicle operation. In the automotive industry, this noise has been classified into two categories: – Broadband (typically due to electrical arcing) » Referred to as “Arc and Spark” noise. – Narrowband (typically due to .