MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA OLOITOKITOK

3y ago
436 Views
1 Downloads
225.58 KB
8 Pages
Last View : 12d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Rafael Ruffin
Transcription

102/3KISWAHILIKARATASI YA 3FASIHI YA KISWAHILIJUNI / JULAI - 2012SAA 2 ½MTIHANI WA PAMOJA WA WILAYA YA OLOITOKITOKCheti Cha Kuhitimu Masomo ya Sekondari (KCSE)102/3KISWAHILIKARATASI YA 3FASIHI YA KISWAHILIJUNI / JULAI - 2012SAA 2 ½MAAGIZO KWA MTAHINIWA(a)Jibu maswali manne pekee katika karatasi za majibu(b)Swali la kwanza ni la lazima(c)Maswali hayo mengine matatu yachaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki yaani :Riwaya,Tamthilia,Ushairi na Fasihi Simulizi.(d)Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.(e)Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote zimepigwa chapa sawasawa na kuwamaswali yote yamo.Karatasi hii ina kurasa 8 zilizopigwa chapaWatahiniwa wanastahili kuona kuwa maswali yote yako na hakuna yaliyoachwa 2012Kamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/31Fungua Ukurusa

HADITHI FUPI,K.W Wamitila; Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine.SEHEMU A: HADITHI FUPI1.(alama 20)(LAZIMA)Jadili changamoto zinazoikumba sekta ya elimu katika jamii ukirejelea hadithi zifuatazo: 2012(a)Siku ya mganga(b)Ndimi za mauti(c)Ngome ya nafsi(d)Uteuzi wa moyoni.Kamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/32Fungua Ukurusa

SEHEMU B: TAMTHILIA - KIFO KISIMANIKITHAKA WA MBERIAJibu swali la 2 au la 32.Nimeshakwambia tulale hapa langoni! Tulale umati unaokuja kumtoa mfungwa gerezani utukutehapa. Watu wanatupenda sana kwa kazi ya kumzuia mfungwa gerezani. Kwa hivyo, tuwasubiriwaje watupe mafuta.(a)Eleza muktadha wa dondoo hili.(alama 4)(b)(i)Taja mbinu iliyotumika kwenye dondoo(alama 2)(ii)Fafanua matumizi ya mbinu hii kwenye dondoo.(alama 6)(c)Ni maovu gani yaliyotekelezwa na wahusika walioko katika dondoo hii(alama 8)au3.Jadili huku ukitoa mifano mwafaka matumizi ya mbinu ya uzungumzi nafsia kwenye tamthilia yaKifo Kisimani. 2012Kamati ya Elimu ya Wilaya ya Oloitokitok(alama 20)Kiswahili 102/33Fungua Ukurusa

SEHEMU C: RIWAYA - UTENGANO S.A MOHAMMED.Jibu swali la 4 au la 54.Watu wameshachoka kudanganywa na wanafiki kama nyinyi.’(a)Fafanua muktadha wa maneno haya.(alama 4)(b)Eleza sifa za msemaji wa maneno haya.(alama 4)(c)Wakati wa kisa hiki, msemaji na msemewa wanasababisha aina fulani ya Utengano’. Tajautengano huu na ueleze sababu zake.(d)(alama 4)Thibitisha madai kwamba uhuru wa wahusika fulani katika riwaya hii haujatimia.(alama 8)au5.Huku ukirejelea wahusika wowote wawili, fafanua mabadiliko kumi yaliyowapata kila mmojawao. 2012Kamati ya Elimu ya Wilaya ya Oloitokitok(alama 20)Kiswahili 102/34Fungua Ukurusa

6.SEHEMU D: Fasihi Simulizi(a)Tambua tamathali zilizotumika katika methali zifuatazo:Ujana ni moshi ukienda haurudi(ii)Kupotea njiandiko kujua njia(iii)Bandu bandu humaliza gogo(iv)Usipoziba ufa, utajenga ukuta.(v)Chururu so ndo ndo ndo.(alama 5)(b)Nyimbo zina umuhimu gani katika jamii?(c)Eleza aina zifuatazo za ngano:(d) 2012(i)(alama 5)(i)Khurafa(ii)Mighani(iii)Hekaya(iv)Ngano za mtanziko(v)Ngano za usuli.(alama 5)Eleza sifa za ngomezi.(alama 5)Kamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/35Fungua Ukurusa

SEHEMU7.Ushairi.Soma mashairi yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata;SHAIRI1.E:A:HOFU YA BIN – ADAMUHofu zao wanyonge, ni nguvu za matajiriAmbazo zinawaponda, wanapotaka usawa.2.Hofu za watawala,ni kupoteza uhuru,Wa kutawala kwa mbavu, pamoja na utukufu3.Hofu za mwanamke, mwanamke wa sasa,Ni kutumiwa ja rungu, daima kuwekwa nyuma.4.Hofu za mcha – Mungu, ni maisha ya baadaye,Maana hana hakika, ndio aogopa kifo.5.Hofu zao wasomi, ni kwamba wako baidi,Na wale wateteao, ambao ni sawa nao. 2012Kamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/36Fungua Ukurusa

SHAIRI1.B:AMANIUhuru pia amaniUsifikirie ni zawadiAmbayo inapeanwaPasipo mikwaruzano2.Kama wataka hakiyoSharutu uwe tayariKupoteza roho yakoPamoja na ya mwingine3.Uhuru ja ini la faniAmbalo kulifikiaSharti uwe jasiriJasiri aso kifaniMaswali(a)Linganisha bahari za shairi A na B.(alama 4)(b)Eleza umbo la kila shairi.(alama 3)(c)Andika ubeti wa pili wa shairi B kati lugha nadhari(alama 4)(d)Taja na utoe mifano ya mbinu mbili za uandishi zilizotumika katika mashairi yote mawili.(alama 4)(e)Taja na utoe mfano wa uhuru wa mtunzi uliotumika katika mashairi yote mawili. (alama 2) 2012Kamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/37Fungua Ukurusa

(f) 2012Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika mashairi.(i)Ja(ii)Sharuti(iii)UtukufuKamati ya Elimu ya Wilaya ya OloitokitokKiswahili 102/38(alama 3)MWISHOFunguaUkurusa

2012 Kamati ya Elimu ya Wilaya ya Oloitokitok Kiswahili 102/3 Fungua Ukurusa 3 SEHEMU B: TAMTHILIA - KIFO KISIMANI KITHAKA WA MBERIA Jibu swali la 2 au la 3 2. Nimeshakwambia tulale hapa langoni! Tulale umati unaokuja kumtoa mfungwa gerezani utukute hapa. Watu wanatupenda sana kwa kazi ya kumzuia mfungwa gerezani. Kwa hivyo, tuwasubiri waje watupe mafuta. (a) Eleza muktadha wa dondoo hili .

Related Documents:

2015 Mtihani wa Tathmini eneo la Bondo 102/1 Insha Fungua ukurasa 102/1 KISWAHILI Karatasi ya 1 Julai/Agosti - 2015 MUDA: SAA 1 ¾ MTIHANI WA KUTATHIMINI WILAYA YA BONDO - 2015 . Ardhi ndiyo chanzo cha riziki zote. Fauka ya hayo, ardhi ni dafina kubwa. . Fupisha aya ya kwanza kwa maneno 50.

3. JIOGRAFIA YA WILAYA. Wilaya ipo kilomita 171 kutoka Manispaa ya Bukoba - ambayo ni Makao Makuu ya Mkoa wa Kagera. Wilaya inapatikana kati ya nyuzi 20 15' - 30 15' Kusini mwa Ikweta na 31o - 32o Mashariki mwa "Standard Meridian". 4. HALI YA HEWA Hali ya hewa kwa ujumla ni joto la wastani wa 270 C. Kijiografia Wilaya ya

Lindi 6.30-6.50 Chikonji Mwenge kuweka jiwe la msingi Mradi wa Maji. 0 Mkuu wa Wilaya ya Lindi 6.50-7.00 10Chikonji Mwenge kuelekea S/M Kineng‟ene. Mkuu wa Wilaya ya Lindi 7.00-8.00 S/M Kineng‟ene. CHAKULA CHA MCHANA 0 Mkuu wa Wilaya ya Lindi 8.00-8.15 S/M kineng‟ene Mwenge kuelekea Shule ya Sekondari Mkonge. 15 Mkuu wa Wilaya ya Lindi 8. .

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA EKSIKA Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya(K.C.S.E) MAAGIZO: a) Jibu maswali yote. b) Andika majibu yote katika nafasi zilizoachwa. c) Karatasi hii ina alama 30. d) Hakikisha kurasa zote zimepigwa chapa. Swali Upeo Alama Ufahamu 15 Ufupisho 15 Lugha 40 Isimu Jamii 10 Jumla 80

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA UPILI WILAYANI MAKINDU, 2014 Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E) MAAGIZO KWA MTAHINIWA . Urafiki wa namna hii ndio uletao baraka ya Mungu, kuwashukia viumbe hao kama umande wa asubuhi. Urafiki ni lazima sana katika maisha ya wanadamu. Urafiki ni mfano wa mishipa ipitishayo damu

MTIHANI WA PAMOJA -MECS 2021 Jina: _ Nambari ya mtahiniwa:_Darasa: _ Tarehe: _ Sahihi: _ 102/2 Kiswahili Karatasi ya 2 Muhula wa Pili - 2021 Muda: Saa 2½ . kweli kwamba sera ya elimu bila malipo katika shule za msingi nchini humu inaendelea kutekelezwa. Hata hivyo, asilimia ya watoto na hata watu wazima wasiojua kusoma na .

JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA MTIHANI WA CEKENAS MUHULA WA PILI MWAKA 2015 Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari KISWAHILI INSHA KARATASI YA KWANZA MUDA: SAA 1 ¾ MAAGIZO 1. Andika insha mbili. 2. Insha ya kwanza ni ya lazima. 3. Chagua insha nyingine moja kutoka hizo tatu zilizosalia. 4. Kila insha isipungue maneno 400 5. Kila insha ina alama 20.

ASTM D 4255 SACMA RM 3 ASTM D 5766 ASTM 2344 ASTM 2584 ASTM 1622 ASTM D 2734 ASTM D 570 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 5 1 1 1 1 1 45 45 45 45 45 45 45 3 3 3 3 3 CTD – Cold Temperature Dry (-29C) RTA – Room Temperature Ambient ETW – Elevated Temperature Wet (Equilibrium Conditioning - 95% RH and 49C) Three batches (minimum) per test. A batch consists of laminates fabricated on .