SEHEMU YA KWANZA LUGHA Muda: Saa 1 Dakika 40 - Kenyan Exams

1y ago
21 Views
2 Downloads
596.36 KB
7 Pages
Last View : 9d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Wade Mabry
Transcription

www.kenyanexams.com7.0KISWAHILI SEHEMU YA KWANZA: LUGHATHE KENYA NATIONAL EXAMINATIONS COUNCILKenya Certificate of Primary EducationKISWAHILISEHEMU YA KWANZA LUGHAMuda: Saa 1 dakika 40MAAGIZO KWA WATAHINIWA (Soma maagizo yafuatayokwa 'makiniY'1.Umepewa kijitabu hiki cha maswali na karatasi ya kujibia. Kijitabu hiki,kina ,r,aswaliSO.2.Ukisha kuchagua jibu lako lionyeshe katika KARATASI YA MAJ I BU na walamaswali.3.Tumia penseli ya kawaida.4.Hakikisha ya kwamba karatasi ya majibu uliyopewa imejumuisha Yflfuatayo:NAMBA YAKO YA MTIHANIJINALAKOJINA LA SHULE YAKO5.Us,itie alarna zozote nje ya visanduku.6.lweke saf ka. tasi yako ya'majibu na usiikunje.7\'8., , . ,,,,slo katika kijitabu hiki' cha,·"'-:· ·Kwa kila sw;lf1-"'50,L,1111epewa majibu manne. Majibu hayo yameof')yeshwakwa herufi A, B/C, D. i jibuMOJAtu kati ya hayo rnanneambalo ni.sahihi. Chagua jibu hilo. ··":,.,.). wenye karataifr ya, rnajibu, jibu sahihi lionyeshwe kwa kuchora kistari katika kisanduku chkriye herufiuliyochagua kuwa .gila jibu,.Mfano:,,/. -:Katika kijita ucha maswali:21.ChaguajiJ,u lenye ala za muziki pekee.A. filimbi, udi mvukuto, chapuo.B. njuga, tari, kinubi, fidla, ·C. harimuni, marimba, msondo, maleba.D. siwa, zeze, upatu.nembo.Jibu sahihi ni B.Katika karatasi ya majibu:·w -w -w -w -w Katika visanduku vinavyoonyesha majibu ya swali namba 21, kisanduku chenye herufi B ndicho kilichochorwa kistari.9.Chora kistari chako vizuri. Kistari chako kiwe cheusina kisijitokeze nje ya kisanduku.10. Kwa kila swali, chora kistari katika kisanduku kimoja tu kati ya visanduku vinne ulivyopewa.Kijitabuhiki cha maswali kina kurasa 7 zilizopigwachapa.C 2017 The Kenya National Examinations Coundl504907504Geuza ukurasa19

www.kenyanexams.comSoma vifungu vifaatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chaguajibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.kanuni fulani ili 2 . Lugha 3Mazungumzo 1msikilizaji, 5sauti. 7sivyo kuwasiliana hakutapatikana. Mtu 6msemaji lazima 4kuzungumza huanza kwa kutamkasauti hizi huwa ghuna. Mfano wa sauti ghuna ni 8 .1.A. huzingatiwaB.2.A. kuzifanikisha3.C.huzingatiaD. huzingatishaB. kumfanikishaC.kuyafanikishaD. kuifanikishaA. anayotumiaB.anapotumiaC.anaotumiaD. anavyotumia4.A. uelewekeB.aelewekeC.lielewekeD. ieleweke5.A. lauB. tenaC.baliD. wala6.A. akijifunzaB. amejifunzaC.akajifunzaD. anajifunza7.A. Baadhi yaB. Mithili yaC.Zaidi yaD. Licha ya8.A. m, f, g, thB. v, z, dh, wC.ch, s, d, tD. n,gh,h,khuzingatianaSherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu 910kabeji, si mchicha, siA. Niliamka alfajiri na mapema. Nilikuwa na hamu kuu ya kuona dada na kaka zangu wa toka nitoke yaani;Baada ya kupata kiamsha kinywa,9.na1412sukumawikiitakuwa ikiwadia B.kuelekea sokoni151311wangu.nilinunua mboga za kila aina, sialimradi nilikuwa na vingi vya kununua.ikiwa iliwadiaC.ikawa inawadiaD. ilikuwa imewadia10. A. kujitayarishaB. kupatayarishaC.kuwatayarishaD. kuzitayarisha11. A. wanunaB.C.maumbuD. wakoi12. A. nilishika usukani B. nilishika tarikiC.nilishika kaniD. nilishika zamu13. A. ambayoB. ambaoC.ambaloD. ambako14. A. kicha chaB.C.tita laD. mtungowa15. A.B.masomochane yac.20D.

www.kenyanexams.comKutoka swali la 16 mpaka 30, chaguajibusahihi.16.17.Wingi wa, "Ua wa nyumba yake umejengwana fundi mwenye bidii," ni:A. Ua wa nyumba zake umejengwa namafundi wenye bidii.B. Nyua za nyumba zao zimejengwa namafundi wenye bidii.C. Nyua za nyumba zao zimejengwa na fundimwenye bidii.D. Ua wa nyumba zao umejengwa na fundimwenye bidii.Neno, "kiliundiwa" lina silabi ngapi?A. 6B. 3c. 423.Chagua aina za maneno yaliyopigiwa mstari.Wageni wale walialikwa te.na.lakiniwengjnehawakualikwa.A. kivumishi, kielezi, kiwakilishi8. kiwakilishi, kihusishi, kieleziC. kielezi, kihusishi, kiwakilishi·D. kihusishi, kivumishi, kielezi24.Kauli zilizopigiwa mstari zimetumia tamathaligani za usemi?Tui ni chiriku anaweza kutarnka maneno miamoja kwa sekunde.A. majazi, nahauB. tasfida, kinayaC. sitiari, chukuD. tashbihi, ishara25.Chaguajibu Iisilolingana na mengine.A. unga - kataB. laini - ngumu.C. kumbuka - sahauD. imara - thabitiD. 518. Chaguajibu lenye nomino zilizo katika ngeliya 1-ZI pekee.A. pamba, taaB. kucha, sahaniC. kuta, ngomaD. nyuta, kamba19.20.21.22.26. Chagua sentensi yenye "ki" ya wakati.A. Wachezaji wanaimba wakishangilia.B. Kikataa hicho kililimwa kikatoa mazaomengi.C. Fundi alikishona kitambaa vizuri.D. Wafanyakazi wanaifanya kazi hiyo kivivu.Nijibu lipi lenye maelezo sahihi?A. Kipaji ni sehemu ya kichwa inayohifadhiubongo.B. Goti ni sehemu ya rnguu inayounganishamuundi na wayo.C. Kiwiko huunganisha kiganja na sehemuyajuu ya mkono.·D. Ufizi ni mfupa uliopo baina ya mdomo wajuu na wa chini.Chagua ukanusho wa:Maembe yalitiwa kapuni yakaiva.A. Maembe hayajatiwa kapuni na hayaivi.B. Maembe hayakutiwa kapuni walahayakuiva.C. Maembe hayakutiwa kapuni yaive.D. Maembe hayajatiwa kapuni yakaiva.Chaguajibu lenye nomino iliyoundwakutokana na nomino.A. angaza - mwangaB. samehe - msamahaC. babaika - babaifuD. mpishi - rnapishi.27.Onyesha kauli ya kutendea ya sentensizifuatazo: Munga alitengeneza gari. Mungaalikuwa kiwandani.A. Munga alitengenezea gari kiwandani.B. Kiwandani walirntengenezea Munga gari.C. Munga alitengenezewa gari kiwandani.D. Kiwandani kulitengenezewa gari laMunga.28.Chagua sentensi yenye maelezo sahihi.A. Kukoga ni kuondoa uchafu mwilini nakukonga ni kutawanyia vitu rnahali.B. Kufuta ni kusukuma kitu kuelekea ulikona kuvuta ni kunusa.C. Kusuka ni kutikisa kitu ilhali kuzuka nikutokea kwa jarnbo.D. Kutunga ni kupitisha uzi mahali ilhalikudunga ni kutoboa shimo.29. Chagua sentensi iliyoakifishwa ipasavyo.A. Lo, huoni unamzuia mwenzako?B. Reza - alisema - Koru tutakutana kesho.C. Mugou (yule mtangazaji hodari) amepataTuzo ya Mtangazaji Bora.D. Yafuatayo ndiyo yanayotarajiwa,kusajiliwa, kulipa karo, kuanza masomo.Usemi wa taarifa wa, "Mtavihifadhi vitabuvrenu kwenye kabati," mwalimu akatuambia,ru:A. Mwalimu alituambia kwambatutavihifadhi vitabu vyetu kwenye kabati.B. Mwalimu alituambia kwambatungevihifadhi vitabu vyetu kwenyekabati.C. Mwalimu alituambia kwambatumevihifadhi vitabu vyetu kwenyekabati.D. Mwalirnu alituambia kwambatulivihifadhi vitabu vyetu kwenye kabati.30. Chagua sentensi ambayo inaunganishasentensi zifuatazo ipasavyo.Gari lilikuwa j ipya. Gari halikumpendeza.A. Gari lilikuwa jipya madhalihalikumpendeza.B. Licha ya gari kuwajipya,halikumpendeza.C. Gari lilikuwa jipya angaa halikumpendeza.D. Mithili ya gari kuwa jipya,halikumpendeza.21

www.kenyanexams.comSoma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 mpaka 40.Usalama ni mojawapo ya mahitaji ya kimsingi katika maisha ya binadamu. Nchi isiyowahakikisharaia wake usalama hujidhalilisha; ni sawa na kuku ambaye aonapo mwewe kukimbiza roho yake hukuakiwaacha vifaranga wake kuwa kitoweo cha mwewe.Ukosefu wa usalama hauathiri tu mtu binafsi, bali pia huathiri nchi na majirani wake. Mathalani,vita vya kikabila vinapozuka nchini, raia, kwa kuhofia usalama wao, hukimbilia kwa makabila menginena hata nchi jirani. Wakimbizi hawa, licha ya kuwa wategemezi wa wafadhili wao, hupoteza hadhi yaokama binadamu, kwani daima mhitaji huwa mtumwa. Isitoshe, katika nchi ambamo ukosefu wa usalamaumeshamiri, uchumi hutetereka. Shughuli nyingi za uzalishaji mali na uwekezaji hugonga mwamba.Wawekezaji wa ndani na nje huhofia kupoteza mali na roho zao. Hali hii hupalilia zaidi makali yaukosefu wa nafasi za kazi na umaskini.Maeneo mengi katika nchi zilizo na tatizo la ukosefu wa usalama hukabiliwa na uchechefu wawafanyakazi. Raia kindakindaki wa sehemu hizi hupungua. Si ajabu kupata kwamba katika baadhiya maeneo, wenyeji hawadiriki kujenga humo, kisa na maana; wanahofia kuchomewa nyumba zao namagaidi wanaodai asilimia kubwa ya fedha iii wasitekeleze uhalifu huu. Matokeo ya haya ni kwambashughuli za kiuchumi kama vile ufugaji zimeachiwa wachache, hususan wazee ambao hawana hamu yakuhamia mijini. Hali kadhalika, jamii isiyo na usalama huvuruga misingi ya mshikamano wa kijamii.Ni dhahiri kwamba wanajamii ambao wanaendeleza vitendo kama vile wizi wa mifugo, unyakuzi waardhi, ubakaji, na ulawiti hupalilia zaidi utengano miongoni mwao. Vitendo hivi huzua chuki, kisasi,kutoaminiana na mara nyingine husababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe. Katika hali hii baadhi yaraia huumizwa, wengine hufa n:a wengine kuachiwa majeraha ya moyo.Tatizo la ukosefu wa usalama linapozungumziwa, watu moja kwa moja huwanyooshea vidolepolisi na walinda usalama wengine. Raia kwa jumla huwa wepesi kusema, "Tunaisihi serikali ituhakikishieusalama." Jambo la kusikitisha ni kwamba wanaoiomba serikali kuwahakikishia usalama ndiokwa mfano, wanaojenga kando ya mito na kujitia katika hatari ya kusombwa na maji. Wenginewanatarajia serikali kuwahakikishia usalama huku wakiabiri magari yaliyojaa watu pomoni bila kuwaziahatari inayowakabili. Wapo wengine ambao huhatarisha usalama wao kwa kunywa pombe haramu nakuambulia upofu. Wengine nao hula vyakula vyenye kemikali zinazoathiri afya zao. Wapo wenginewanaojitia hatarini kwa kupuuza wito wa serikali wa kuhakikisha kuwa wamejua anayeishi karibu nao,na kwamba wamewaangaza wale ambao wanashukiwa kuwa pingamizi kwa usalama. Isitoshe, kunawale ambao huhatarisha usalama wao kwa kutumia njia za kijadi za matibabu kama vile akina mamakujifungulia nyumbani bila wakunga maalum; jambo ambalo huhatarisha maisha ya mzazi na mtoto pia.Wengine hushiriki, vitendo viovu kama vile utunguaji mimba na kujisababishia vifo.Ni dhahiri kwamba kudumishwa kwa usalama kunahitaji mchango wa kila mwanajamii. Kamakila mtu angejifunga masombo kushughulikia usalama wake na wajirani, huenda hakungekuwa na hajaya polisi na hata walinda lango.22

www.kenyanexams.comHI31.37. Ni wazi kwamba kudumisha usalamaKulingana na aya ya kwanza:A. Mzazi asiyewalinda wanawe hupotezahadhi yake kama mlezi.B. Binadamu asiyepata anachohitajihuathirika anapoachwa na mzazi.c. Mzazi mwenye ubinafsi huhatarishamaisha yake kama mlezi.D. Binadamu mwenye woga hushindwakuwadhibiti wanawe kama mzazi.kunahitaji:A. raia wenyewe kuyatambua matatizo yawaishio kwao;B. wanajamii wenyewe kufahamu mchangowa serikali;C. uwajibikaji wa mtu binafsi katika shughulizake;D. kujifunza aina za lishe bora wenyewe.32. Vita vya kikabila:38. Kulingana na kifungu serikali:A. husababisha kukimbizana kwa majirani;B. huwafanya watu kuwa watumishi wamajirani;c. huwafanya watu hupoteza heshima yao;D. husababisha kutopatikana kwa mali.A. inawataka watu kuwaogopawanaodhaniwa kuwa wahalifu;B. inawashauri watu kuepuka kupata watotonyumbani;C. inawaonya watu dhidi ya mauaji wakiwawachanga;D. inawahimiza watu kujua mienendo yamajirani wao.33. Aya ya tatu imeonyesha kwamba:A. Sehemu zilizo na ukosefu wa usalamahazina wafanyakazi.B. Tamaa inasababisha ukosefu wa usalamakatika jamii.Maeneo yenye ukosefu wa usalamahayana majengo ya wenyeji.D. Kutokuwepo kwa usalama husababishakutomiliki mifugo wengi.39. Wazo kuu linalojitokeza katika aya yamwisho, ni:A. Usalama unadumishwa kwa mtu kuishikaribu na nyumbani.B. Inamjuzu mtu kuwazia usalamaunaoelezewa na wanajamii.C. Ni muhimu mtu kujitahidi kuhakikishausalama kwake na katika mazingira yake.D. Maafisa mtaani hawahitajiki pale watuwanapoamini ni salama.c.34. Kulingana na kifungu, athari za ukosefu wausalama ni:A. kupungua kwa uzalishaji mali, kutokuwawajenzi;B. mifugo michache, kutengana na wazee;c. kushukiana, uharibifu wa mali;D. kuuawa, kupata vidonda mwilini.40.35. Mwandishi amedhihirisha kwamba:A. Walinda usalama huelekezewa lawamabaada ya uhalifu kutokea.B. Wenye magari yaliyojaa kote huhatarishausalama.c. Usalama unahusu kujua wanakotokamajirani wasioaminika.D. Utulivu unaonyesha uwajibikaji waserikali inapohitajika.36. "Wanaoiomba serikali kuwahakikishiausalama ndio kwa mfano, wanaojengakando ya mito na kujitia katika hatari yakusombwa na maji."Onyesha methali inayoweza kutumiwakuwaonya watu hawa.A. Mti huchongewa na tundaze.B. Mto huvunjika kingo iliyo mbovu.c. Ukibebwa usilevyelevye miguu.D. Ukipanda pantosha utavuna pankwisha.23Chagua maana ya kindakindaki kwa mujibuwa kifungu.A. waliozaliwa hapoB. waliohitajika hapoC. waliopatikana hapoD. waliothaminiwa hapo.

www.kenyanexams.comSoma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 mpaka 50.Siku hiyo jua lilichomoza mapema kuliko kawaida. Niliitazama miale yake kupitia kwenyedirisha la chumba changu. Rangi ya miale hii iliibua mjadala moyoni mwangu. "Sijui kama machoyangu ndiyo yanayonipiga chenga, ila naona leo miale hii ina mabaka meusi yaliyotwaa wekundu wadamu," moyo wangu ukasema. "Ingawa mimi si mnajimu wala mshirikina, nadhani rangi hii imefumbatakitendawili fulani," moyo ulirudia kusema. Baada ya mawazo haya nilishusha pumzi ndefu na kusema,"Siku njema huonekana asubuhi, huenda hii ni dalili ya wema wenyewe. Juu ya hayo mustakabali wasiku umo mikononi mwake aliyeiamrisha siku yenyewe kuwepo, bindamu ana hiari au usemi ganik:uhusu yatakayokuwa au yatakayokosa kuwepo?Nilijikokota kutoka kitandani mwangu. Siku hii nilikuwa na miadi na rafiki yangu Tindi ambayealihitaji kununua vifaa vya nyumbani. Rafiki huyu alikuwa kapata kazi ya uhasibu katika Shirika laUtozaji Ushuru baada ya kipindi cha kuhangaishwa na ulaji rushwa. Alikuwa anagura alikoishi nawazazi wake. Kama alivyosema, alitaka k:uishi peke yake iii ajifunze kujitegemea, Tulik:uwa tumepangakukutana katikajengo moja la kibiashara ambamo mliuzwa aina nyingi za vifaa vya nyumbani.Nilifika kwenye jengo hilo baada ya saa moja na nusu. Nilimngojea rafiki yangu kwa takribansaa mbili ingawa alikuwa ameahidi kufika mapema. Hata hivyo, kuchelewa huku hakukuwa ibrakwangu. "Vipi Bwana? Leo umezidi?" Nilimuuliza Tindi. "Samahani sana ndugu, ila wewe unajuakatika mji wa Selea methali, 'Chelewa chelewa utampata mwana si wako', haiwezi kuafiki. Hata mtuukataka kuchapuka vipi, msongamano wa magari utakutilia vizingiti," alijibu kama kawaida yake.Tulijitoma katika shughuli ya ununuzi. Mara, "Leta hiki," mara, "Rudisha, hiki ni ghali mno,"mara, "Punguza bei." Hata baadaya muda usiopungua saa tano na nusu, tulikuwa tumenunua vyotevilivyok:uwa kwenye orodha yetu ya bidhaa. Ghafla taa za urneme zilizimika, mlio wajenereta ukasikika,kisha mlipuko, na kiza cha kutisha. Mara nilisikia ukemi mkubwa uliopasua dari ya jengo hili. Ukemihuu ulifuatwa na sauti nene ya kiume, "Fungeni vishubaka vya pesa! Nenda kafunge mlango wa mbelena wa nyuma!"Wakati hayo yote yakijiri, jumba lilikuwa limekumbatiwa na moto wa tanuri. Joshi jeusi lilitandakila mahali, vilio vya wateja waliokuwa wanatapatapa huku na huko kama kuku aliyedenguliwa shingoviliyarernba mandhari haya. Nilimshika Tindi mkono na kukimbilia mlango wa nyuma ambarnoalisimama mlinda lango mmoja kuhakikisha hatubebi bidhaa yoyote; hata zile tulizokuwa tumelipia.Nilijaribu kumsihi atufungulie tutoke lakini akakataa katakata. Arnri ya Bwana Mkubwa ilimzuia hatakuona hatari iliyomkabili yeye. Hatirnaye nilifanikiwa kutumia misuli yangu k:umwondoa, nikajishuk:urukwa mazoezi ya viungo ambayo mimi hufanya kila siku.Mimi na Tindi tulifanikiwa k:utoka nje bila majeraha ya haja. Ndani k:ule vilio vya roho zilizok:uwazikibanania kwenye mlango wa nyuma vilihanikiza. Bwana Mkubwa alikataa katakata kufungua rnlangowa mbele; anahofia mali yake kukwepuliwa na wafu! Wapo walionusurika, wakapitia kwenye mlangohuu, wapo waliosalirnu amri ya moto, moshi, hewa yenye sumu na k:ubanwa na wenzao. Hata Shirika laZimamoto lilipowasili baada ya saa nne, jengo hilo lilikuwa majivu pamoja na vyote vilivyok:uwemo.Runinga ya Taifa usiku huo iliarifu kwamba hata mwenye jengo aliyesimama wenye mlango wambele kulinda mali yake dhidi ya roho zilizokuwa zinateketea aliaga dunia.24

www.kenyanexams.com41.Miale yajua asubuhi hii:A. Ilionyesha hali ya kuamini uchawi.B. Ilimfanya Msimulizi kufikiri zaidi.C. Ilikuwa kinyume na matarajio ya unajimu.D. Ilisababisha upuuzaji moyoni mwamtazamaji.46.Chagua sifa kuu za mwenye jengo kulinganana kifungu.A. mwenye pupa, mwogaB. mwenye tamaa, asiyewajibikaC. mwenye wivu, katiliD. mwenye dharau, asiyeamini42.Aya ya kwanza imedhihirisha kwamba:A. Jambo huweza kutisha hata kamalinaonekana zuri.B. lshara ya yanayotokea huonyeshamafanikio hapo mbeleni.C. Binadamu hana mamlaka kuhusu haliinayoyaathiri maisha yake.D. Mtu hukosa hakika ya mafumbo anayotoaakilini mwake.47.Chaguajibu ambalo si sahibi kwa mujibu wakifungu.A. Maafa mengi husababishwa na kutowaziahatima za matendo yetu.B. Utiifu huweza kumletea mtu madhara.C. Desturi katika maisha yetu huwezakutuletea neema.D. Sheria zitolewazo wanapoiba huwezakudhibiti waokoaji.43.Chagua jibu lisilo sahihi kwa mujibu wakifungu.A. Msimulizi anajua hii ni mara ya pili Tindikuchelewa.B. Ufisadi huathiri utoaji wa ajira nchini.C. Kuwepo kwa magari mengi barabaranihutatiza shughuli.D. Pesa humpa mtu nafasi ya kufurahiauhuru wa kibinafsi.48.Aya ya mwisho imebainisha kwamba:A. Msimulizi na Tindi walinusurikakuumizwa.B. Watu wengi walikufa kwa sababu yakulinda mali zao.C. Uharibifu mkubwa ulisababishwa nakutochukua hatua haraka.D. Kufinyana kwenye moto kulileta moshi nasumu.44.Kauli, "Hata hivyo kuchelewa hukuhakukuwa ibra kwangu", inamaanisha:49.Chagua kisawe cha kurnsihi.A. kumraiB. kumwelekezaC. kumtahadharishaD. kumshauri50."Hata rnwenye jengo aliyesimama kwenyemlango wa mbele kulinda mali yake dhidiya roho zilizokuwa zinateketea aliagaA. Aghalabu Tindi hazingatii mudawaliokubaliana kuanza shughuli,B. Tindi ana hulka ya kuchelewa anaponunuabidhaa.C. Msimulizi amezoea kutotimiza miadi yaTin di.D. Ni kawaida kwa Msimulizi kumwonaTindi baada ya kuchelewa.45.dunla."Chagua tamathali mbili za usemi zilizotumiwakatika kauli hii.A. tashbihi, sitiariB. kinaya, nahauC. ishara, tashihisiD. chuku, majaziChagua mfuatano ufaao wa matukio kulinganana taarifa.A. kuagiza bidhaa, kujadiliana bei, kupoteakwa umeme, mpasuko, giza nene;B. kuagiza bidhaa, kukagua bidhaa, kuagizanyingine, kupotea kwa umeme, sauti, gizanene;C. kuagiza bidhaa, kununua vyote, kupoteakwa umeme, moshi, giza nene;D. kuagiza bidhaa, muda kuyoyoma, vilio,kupotea kwa umeme, giza nene.25

Chaguajibu lenye nomino iliyoundwa kutokana na nomino. A. angaza - mwanga B. samehe - msamaha C. babaika - babaifu D. mpishi - rnapishi. 22. Usemi wa taarifa wa, "Mtavihifadhi vitabu vrenu kwenye kabati," mwalimu akatuambia, ru: A. Mwalimu alituambia kwamba tutavihifadhi vitabu vyetu kwenye kabati. B. Mwalimu alituambia kwamba

Related Documents:

Data zilirekodiwa katika kinasa sauti na kunukuliwa kwa maandishi. . Tofauti za Matumizi ya Lugha katika Miktadha Mbalimbali ya Mazungumzo 13 sehemu ya pili inahusu tofauti ya matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Sehemu ya tatu inafafanua mkabala wa kinadharia uliotumika katika uch

inafuata mchango wa baadhi ya wanaisimu wa lugha ya Kiingereza, Kiarabu na Kiswahili walivyobainisha uwepo wa kategoria ya nomino (majina) katika lugha hizi. 1.1.2 Majina Katika Lugha ya Kiingereza Wataalamu mbalimbali wa lugha ya kiingereza wamebainisha kuwepo kw

Kukuza lugha. Aghalabu tungo zote za fasihi hutumia lugha. Isitoshe, fasihi hutumia mbinu nyingi za lugha. Wasimulizi na waandishi wa fasihi huhitaji kuwa na ukwasi wa lugha. Kuhifadhi mila, tamaduni na itikadi za jamii. Aghalabu kazi za fasihi (hasahasa Fasihi Simulizi) huambatanishwa na desturi mbalim

Lugha huja katika sehemu za maneno Maneno huweza kuvunjwa kuwa silabi Silabi huweza kuvunjwa kuwa sehemu ndogo zaidi zinazoitwa fonimu Baadhi ya mbinu ambazo walimu wanaweza kutumia kuwafundisha watoto dhana kuhusu kusoma na kuandika ni mbinu ya Uzoevu wa Lugha, Kushirik

dan pepaya muda dan menentukan pengaruh perbandingan nangka muda dan pepaya muda . Abon jantung pisang yang telah dihasilkan akan dianalisis bedasarkan respon kimia dan respon organoleptik. Respon kimia meliputi kadar protein, kadar serat, kadar air dan kadar lemak. Sedangkan, respon organoleptik

Legacy currency's ISO currency code AOR Conversion rate 1,000,000 readjusted kwanza 1 kwanza; with effect from 13 December 1999 Currency history 20 January 1954: Introduction of the Angolan escudo; conversion rate: 1 Angolar 1 Angolan escudo 8 January 1977: Introduction of the kwanza (AOK); conversion rate: 1 Angolan escudo 1 kwanza

Pia, ni lugha ya saba ulimenguni na ya pili barani Afrika kwa kuwa ina wazungumzaji wengi (Bakari 1982,). Lugha ya Kiswahili imeenea kwingi katika Afrika Mashariki na sehemu zingine ulimwenguni. Mambo yaliyosaidia kuenea kwa lugha ya Kiswahili ni biashara ya

Unit 39: Adventure Tourism 378 Unit 40: Special Interest Tourism 386 Unit 41: Tourist Resort Management 393 Unit 42: Cruise Management 401 Unit 43: International Tourism Planning and Policy 408 Unit 44: Organisational Behaviour 415 Unit 45: Sales Management 421 Unit 46: Pitching and Negotiation Skills 427 Unit 47: Strategic Human Resource Management 433 Unit 48: Launching a New Venture 440 .