Ulinzi Wa Haki Za Binadamu Na Tishio La Virusi Vya Korona .

2y ago
79 Views
2 Downloads
7.99 MB
68 Pages
Last View : 11d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Mia Martinelli
Transcription

Ulinzi wa Haki za Binadamu na Tishio la Virusi vya Korona TanzaniaMUHTASARI WA RIPOTI YAHAKI ZA BINADAMU 2020

WAANDISHI, WAHARIRI NAMCHAPISHAJIKijitabu Kimetayarishwa na:Bw. Fundikila WazambiBi. Victoria LugendoWahariri:Bi. Anna HengaBi. Felista MauyaBw. Fulgence MassaweBi. Naemy SillayoMchapishaji:Kituo cha Sheria na Haki za BinadamuFebruari 2020Namba ya Kijitabu(ISBN): 978-9987-740-58-1

YALIYOMOKuhusu Kituo cha Sheria na Haki za BinadamuiiUtanguliziiiiSURA YA KWANZA: Kuhusu Tanzania01SURA YA PILI: Haki za Kiraia na Kisiasa05SURA YA TATU : Haki za Kiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni23SURA YA NNE : Haki za Kiujumla28SURA YA TANO : Haki za Makundi Maalum29SURA YA SITA: Mifumo ya Ulinzi wa Haki za Binadamu42SURA YA SABA: Utekelezaji wa Mapendekezo kwenye RipotiZilizopita za Haki za Binadamu44SURA YA NANE: Hitimisho na Mapendekezo46MAMBO YA JUMLA Yanayoathiri Ulinzi na Utekelezaji wa Haki zaBinadamu54i

KUHUSU KITUO CHA SHERIANA HAKI ZA BINADAMUKituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) ni shirika binafsi,huru, la hiari, lisilo la kiserikali, lisilofungamana na chama chochotecha kisiasa na lisilotengeneza faida kwa ajili ya kugawana, ambalolinalotaamali jamii yenye Haki na usawa. LHRC ina lengo lakuwawezesha Watanzania kukuza, kuimarisha na kulinda Haki zabinadamu na utawala bora nchini. Lengo kubwa la LHRC ni kujengaufahamu wa sheria na Haki za binadamu miongoni mwa umma nahasa watu walio kwenye hatari kubwa ya ukiukwaji wa Haki zao zamsingi, kutoa elimu ya sheria na uraia, kufanya utetezi unaohusishapia msaada wa kisheria, utafiti na ufuatiliaji wa Haki za binadamu.LHRC ilianzishwa mwaka 1995 na inafanya kazi Tanzania Bara.ii

UTANGULIZIMatukio Makuu Yaliyogusa Ulinzi na Utekelezaji waHaki za Binadamu kwa mwaka 2020 Janga la ugonjwa wa Korona kuhatarisha ukuzaji na ulinzi wa haki zabinadamu sehemu mbalimbali duniani, ikiwemo Tanzania.Hatua chanya katika utekelezaji wa haki ya maendeleo baada ya Tanzaniakufanikiwa kuwa nchi ya uchumi wa kati.Marekebisho ya Sheria ya Utekelezaji wa Haki na Wajibu wa Msingi (BRADEA),ambayo ni tishio kwa kesi mkakati na ulinzi wa haki za binadamu kwa ujumla.Utengenezaji wa mwongozo kwa ajili ya utoaji taarifa kuhusu ukatili dhidi yawanawake na watoto ulioandaliwa na Wizara ya Sheria na Katiba.Utungwaji wa Kanuni Mpya za Maudhui ya Mtandao za mwaka 2020.Maamuzi ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusukupinga matokeo ya urais.Utekelezaji wa haki ya kupiga kura na kugombania nafasi za uongozi wakatiwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.Matukio ya ukatili wa kingono dhidi ya watoto kuongezeka, hasa ubakaji naulawiti.Kupungua kwa kiasi kikubwa kwa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifobaada ya Mh. Rais Magufuli kuwapunguzia adhabu zaidi ya wafungwa hao500.Kuanzishwa kwa madawati ya jinsia Magereza na TAKUKURU.Maombi ya wadau mbalimbali, ikiwemo vyama vya siasa, ya chombo hurucha kusimamia uchaguzi.Mpango wa Serikali wa kutafsiri sheria zote kutoka katika Lugha ya Kiingerezakwenda Lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha watu wengi zaidi kuzielewa.Maamuzi ya Mahakama ya Rufaa katika Kesi ya Haki ya Dhamana iliyofunguliwana Dickson Sanga, ambapo mahakama hiyo ilitamka kwamba Kifungu cha148(5) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai hakipingani na Katiba.iii

HAKI 5 ZILIZOKIUKWAZAIDI MWAKA 20201. HAKI YA KUISHI[Mauaji yanayotokana na kujichukulia sheria mkononi, Mauajiyanayotokana na imani za kishirikina, mauaji ya kijinsia]2. UHURU DHIDI YA UKATILI[Ukatili wa kingono na kimwili dhidi ya watoto;Ukatili dhidi ya wanawake; Ukatili dhidi ya wazee]3. UHURU WA KUJIELEZA[Utungaji, marekebisho, na utekelezaji wa sheria na kanunizinazominya uhuru wa kujieleza]4. HAKI YA KUWA HURU NA SALAMA[Ukamataji na uwekaji kizuizini watu kinyume na sheria,Uchunguzikuchelewa kukamilika, Kutotoa dhamana, Ubambikaji wa kesi]5. UHURU WA KUKUSANYIKA NA KUJUMUIKA[Sheria na kanuni zinazominya Uhuru wa Kukusanyika naKujumuika kinyume na viwango vya kimataifa]iv

MADHUMUNIMADHUMUNI YA RIPOTINA UKUSANYAJI TAARIFAElimu ya haki za binadamuMapendekezoHaki fulani inamaanisha na kujumuisha nini?Haki hiyo inalindwa na mfumo upi wa kisheria?Kwa nini haki hii ni muhimu?Haki hii ina mipaka ipi?Nini kifanyike kuimarisha na kulindahaki za binadamu?KukumbushiaKukutaarifu kuhusu haki za binadamuna masuala ya kisheria ili kuchukuatahadhari na kutekeleza wajibu wakokwa mujibu wa sheria mbalimbali zanchi.Ni maeneo gani ya haki za binadamuyanahitaji kuimarishwa?Uchechemuzi wenye ushahidiNini kinahitaji kubadilika na kwa nini?Mambo na matukio yaliyosaidia ulinzina utekelezaji wa haki za binadamuNi mambo au matukio gani yameimarishaulinzi au utekelezaji wa haki za binadamu?Uchambuzi wa sheria na miswadaNi nini kimebadilika kufuatia utungwajiwa sheria au marekebisho ya sheriaau kanuni? Mabadiliko hayo yameletaau yataleta athari gani kwenye haki zabinadamu?Utoaji taarifaKuonyesha mienendoHali ilikuwaje miaka ya nyumaukilinganisha na sasa?Kutoa mwanga katikakupanga afuaRipoti inaweza kutumika kamasehemu ya kuanzia katika kupangaafua mbalimbali.KuelimishaKutoa elimu kuhusu haki za binadamu;elimu kuhusu mifumo ya ulinzi wa hakiza binadamu ya kitaifa, kikanda nakimataifa; elimu kuhusu masuala yakisheria; elimu kuhusu mambo mapyakuhusu sheria na haki za binadamu.v

MBINU ZA UKUSANYAJI TAARIFAviTaarifa zilizotumika kuandaa Ripoti hii zimepatikanakupitia vyanzo vya awali na upili. Taarifa za awalizilipatikana kupitia utafiti wa haki za binadamuna kupitia shughuli za Kituo cha Sheria na Haki zaBinadamu na huduma zinazotolewa kwa wanufaikawake, pamoja na mfumo wa Kituo wa ufuatiliaji wahaki za binadamu. Utafiti kuhusu haki za binadamuulilenga zaidi kupata maoni kuhusu masuala muhimuya haki za binadamu na washiriki walikuwa nimtandao wa wasaidizi wa kisheria na waangalizi wahaki za binadamu, ambao wamekuwa wataalamuwa masuala mbalimbali yahusuyo haki za binadamukatika maeneo wanayoishi na kufanyia kazi. Taarifa zaupili zilipatikana kupitia mapitio ya vyanzo mbalimbalivya uhakika, ikiwemo taarifa na ripoti za wadau nataasisi za kiserikali na hotuba za bajeti. Pia, utafitiwa LHRC kuhusu taarifa zilizotolewa na vyombovya habari kwa mwaka 2020 ulitoa taarifa muhimuzilizosaidia uandaaji wa ripoti hii ya haki za binadamu,ikiwemo kuwezesha ufanyaji wa utafiti zaidi kuhusumasuala mbalimbali yanayohusiana na sheria na hakiza binadamu yaliyojitokeza katika taarifa hizo.

MUUNDO WA RIPOTISURA YA KWANZA:Kuhusu TanzaniaInaelezea kwa kifupi kuhusu Tanzania, ikigusiahistoria, jiografia, idadi ya watu na mihimili yaserikali, na wajibu wa mihimili hii katika ulinzi wa hakiza binadamu.SURA YA PILI:Haki za Kiraia naKisiasaInaelezea hali ya haki za msingi za kiraia na kisiasa,ikiwemo uhuru wa kujumuika na kukusanyika; uhuruwa kujieleza; haki ya usawa mbele ya sheria nakupata nafuu ya kisheria; haki ya kuishi.SURA YA TATU:Haki za Kiuchumi,Kijamii na KiutamaduniInaelezea haki muhimu za kiuchumi, kijamii nakiutamaduni, ikiwemo haki ya kufanya kazi, haki yaelimu, haki ya afya na haki ya maji safi na salama.SURA YA NNE:Haki za KiujumlaInaangazia hali ya haki za kiujumla, hususan hakiya maendeleo na haki ya kufurahia na kufaidika narasilimali asilia.SURA YA TANO:Haki za MakundiMaalumInaelezea hali ya haki za wanawake, watoto, watuwenye ulemavu, wazee, watu wanaoishi na VVU, nawakimbiziSURA YA SITA:Mifumo ya Ulinzi waHaki za BinadamuInaangazia mifumo ya ulinzi wa haki za binadamukatika ngazi za kitaifa, kikanda, na kimataifana kujadili wajibu wake katika ulinzi wa haki zabinadamu.SURA YA SABA:Utekelezaji waMapendekezo katikaRipoti Zilizopita za Hakiza BinadamuInafanya tathmini ya utekelezaji wa mapendekezoyaliyotolewa katika ripoti zilizopita (2015 mpaka2019).SURA YA NANE:Hitimisho naMapendekezoInatoa hitimisho kuhusu haki za binadamu na kutoamapendekezo yatakayosaidia kukuza na kuimarishaulinzi wa haki za binadamu nchini Tanzania.vii

MASUALA NA DONDOO MUHIMUMauaji ya watu 122 yanayotokana na imani za kishirikinauk.8Mauaji ya wanawake 23, waliouwawa na wenza wao kwa sababu ya wivu wa kimapenziuk.12Sheria na marekebisho mapya ya sheria yanayominya uhuru wa kujielezauk.13Sheria na marekebisho mapya ya sheria yanayominya uhuru wa kujumuika na kukusanyika uk.13Hatua zilizochukuliwa kuimarisha ufikiaji wa hakiuk.16Vikwazo vya ufikiaji wa hakiuk.17Upungufu wa asilimia 42.5% wa watumishi katika Mhimili wa Mahakamauk.17Wasiwasi kuhusiana na haki ya kuwa huru pamoja na changamoto ya kuwekwa kizuiani uk.17muda mrefu kabla ya kesi kuanza kusikilizwa, ambapo zaidi ya asilimia 56 ya watu waliomagerezani ni mahabusu.Wasiwasi kuhusiana na usalama na ulinzi wa madereva bodaboda.uk.18Mahakama ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu inatamka kwamba mahakama uk.19ziruhusiwe kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uraisIdadi ya wanawake walioshinda viti vya ubunge majimboni ni chini ya asilimia 10 pekeeuk.21Wasiwasi kuhusiana na upungufu wa walimu katika shule za msingi na sekondariuk.24Wasiwasi kuhusiana na upungufu wa watumishi wa afya, hasa madaktari – ambao uk.25hulazimika kuhudumia hadi wateja 25,000 kwa mwakaMzigo wa makato makubwa kwenye mishahara miongoni mwa wafanyakaziuk.26Kuripotiwa kwa vitendo vingi vya ukatili wa kingono dhidi ya wanawake na wasichanakk.30& 31viiiKuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kingono dhidi ya watotouk.30Mikoa inayoongoza kwa ukatili wa kingono dhidi ya wanawake na wasichanauk.31Matukio muhimu kuhusu ndoa za utotoni Tanzaniauk.36Tatizo kubwa la mimba za utotoniuk.37Athari ya Virusi vya Korona kwa makundi maalumuk.40

SURA YA KWANZA:KUHUSU TANZANIA1.1. HistoriaKabla ya kutawaliwa nawakoloni wa Kijerumani naKiingereza katika Karne ya19, Tanganyika (sasa TanzaniaBara) ilikaliwa na wazawawaliokuwawakizungumzalugha ya Kibantu, ambaobaadayewalipataugenitoka Bara la Asia na tokaUarabuni. Kufikia Karne ya15 Wareno nao wakaingia;na katika kipindi hichocha Waarabu na Warenondipo biashara ya tano mkubwa katikaMji wa Berlin – Ujerumani,ambapo nchi za Ulayazililigawa Bara la Afrika kwaajili ya kulitawala. Ujerumaniilipewa sehemu mbalimbaliza Afrika Mashariki, ikiwemoTanganyika. Baada ya Vita Kuuya Pili ya Dunia, Tanganyikailiwekwa chini ya ukoloni waUingereza, mpaka ilipofikiamwaka 1961 ilipopata uhuru.Katika kipindi chote chaukoloni, machifu mbalimbaliwalipigananauongozikandamizi wa kikoloni, ambaoulikandamiza haki zao kamabinadamu, akiwemo MtemiMirambo wa Wanyamwezi,Mangi Meli wa Wachaggana Abushiri wa Pangani.Mapigano makubwa zaidiyalitokea Mwaka 1905 wakatiwa ukoloni wa Mjerumani,yakifahamikazaidikamaVita vya Majimaji, ambavyoviliongozwa na kiongozi wakimila na kiroho aliyeitwaKinjekitile Ngwale, ambayealiaminika kuwa na uwezo wakugeuza risasi kuwa maji.Harakati za kupata uhuruziliongozwa na chama chaTANU (Tanganyika AfricanNational Union), ambachokilizaliwa mwaka 1954, kablaya hapo kikifahamika kamaTAA (Tanganyika AfricanAssociation), kilichoanzishwamwaka 1929. Kiongozi wachama alikuwa Mwl. JuliusNyerere, ambaye aliiongozaTANU na Tanganyika kupatauhuru mwaka 1961, akiwaWaziri Mkuu wa Kwanza chiniya Katiba ya Uhuru. Mwaka1962,TanganyikaikawaJamhuri, Nyerere akiwa Raiswake wa kwanza chini yaKatiba ya Jamhuri, ambayoilimfanya kuwa Kiongozi waTaifa, Kiongozi wa Serikali naAmiri Jeshi Mkuu, pia akiwasehemu ya Bunge. Mwaka1964, Tanganyika iliunganana Zanzibar, ambayo ilikuwaimepata uhuru toka kwaSultani wa Oman mwaka1963, na kuunda Tanzania.Katiba ya tatu, Katiba yaMuungano, iliundwa, ikiletamfumo wa serikali mbili,1

chini ya vyama vya TANU (Tanzania Bara)na ASP (Zanzibar). Mwaka 1965, Katibaya Mpito iliundwa, ambayo ilirudisha nchikatika mfumo wa chama kimoja. Katiba hiiilipitishwa kama sheria nyingine za bunge,kinyume na kanuni za kikatiba. Mwaka 1977,vyama vya siasa vya TANU na ASP viliunganana kuunda Chama cha Mapinduzi (CCM),ambacho kilitengeneza Katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977,ambayo ndiyo inayotumika mpaka leo, japoimekuwa ikifanyiwa marekebisho mbalimbaliyapatayo kumi na nne mpaka kufikia mwaka2015. Mojawapo ya marekebisho makubwani yale ya mwaka 1992, ambayo yalirudishamfumo wa vyama vingi, ambayo yalidumishahaki ya kushiriki katika utawala. Mengine ni yaleya mwaka 1984, ambayo hatimaye yaliingizahati ya haki za binadamu kwenye Katiba.Kabla ya hapo, tangu nchi ipate uhuru, haki zabinadamu hazikuonekana kuwa muhimu sanakuwemo katika Katiba, japo Tanzania ilikuwaimeshaanza kuridhia baadhi ya mikataba yakimataifa ya haki za binadamu.1.2.kuliko zote Afrika Mashariki na ina MlimaKilimanjaro, ambao ndio mlima mrefu kulikoyote barani Afrika (wa tatu duniani). Tanzaniaimebarikiwa kuwa na maliasili nyingi, ikiwemomimea, mabonde ya ufa, maziwa, mito nambuga za wanyama. Maziwa ni pamoja naZiwa Victoria - ambalo ni kubwa kuliko yoteAfrika, na Ziwa Tanganyika - ambalo lina kinakirefu kuliko yote Afrika. Mbuga za wanyamani pamoja na Serengeti, Mikumi, Manyara,Ngorongoro na Katavi.1.3.Idadi ya WatuIdadi ya watu nchini Tanzania inaendeleakuongezeka, ambapo kwa mujibu wa Sensaya Watu na Makazi ya mwaka 2012, idadi yawatu ni 43,625,354 kwa Tanzania Bara na1,303,569 kwa Zanzibar. Wanawake ni wengizaidi (51.3%) ikilinganshwa na wanaume(48.7%). Kufikia mwaka 2016, idadi ya watuiliongezeka hadi kufikia takribani 50,144,175,huku 24,412,889 wakiwa wanaume na25,731,286 wakiwa wanawake. Idadi kubwaya watu wapo vijijini kuliko mijini.Jiografia1.4. Mihimili ya dola na wajibu wamihili hiyo katika ulinzi wa hakiTanzania iko kati ya Latitudo 10 na 120 Kusiniza binadamuna Longitudo 290 na 410 Mashariki. Inapakanana Bahari ya Hindi upande wa Masharikina imepakana na nchi za Kenya, Uganda,Rwanda, Burundi, Malawi na Zambia kwapande nyingine. Tanzania ndiyo nchi kubwa2Kuna mihimili mikuu mitatu ya dola nchiniTanzania, ambayo ni: Serikali, Bunge naMahakama. Mihimili hii imeanzishwa nakupewa mamlaka na Katiba ya Jamhuri ya

IDADI YA WATU NCHINIIDADI YA WATUINAKUWA KWAWASTANI WA2.7kwamwakaSENSA2012WANAWAKEIDADI YA WATU43,625,354TANZANIA ngano wa Tanzania yaMwaka 1977.A. Serikali KuuSerikali inajumuisha Rais- ambaye ni Kiongozi waTaifa, Kiongozi wa Serikalina Amiri Jeshi Mkuu - naBaraza la Mawaziri. Barazala mawaziri linajumuishaMakamu wa Rais, WaziriMkuu, Rais wa Zanzibar namawaziri wote. Rais ndiyeMwenyekiti wa Barazala Mawaziri. Makamu waRaisanamsaidiaRaiskwenye mambo yote yamuungano. Zanzibar inaserikali yake na Rais wakechini ya mfumo wa serikalimbiliambaoTanzaniainautumia, na ina mamlakajuuyamamboyoteambayo siyo ya muungano,kamayalivyoainishwakatika Katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania.Wajibu katika ulinzi wahaki za binadamu: Wajibuwa Serikali Kuu ni pamojana kutekeleza majukumuyake chini ya mikatabambalimbali ya kikanda nakimataifa ambayo Tanzaniaimeridhia; kuilinda Katiba,ambayo inajumuisha hakiza binadamu; kuhakikishautekelezaji wa haki zakiuchumi,kijamiinakiutamaduni kwa kutoahuduma za kijamii kamavile maji, afya na elimu;kulinda haki ya kuwa huruna salama kupitia vyombovya dola na mifumo ya haki;kutuoa ulinzi wa kisheriana wa haki za binadamuMAKADIRIO YA IDADI YA arais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMw. Julius Kambarage Nyerere: 1964-1985Ali Hassan Mwinyi: 1985-1995Benjamin William Mkapa: 1995-2005Jakaya Mrisho Kikwete: 2005-2015John Pombe Magufuli: 2015- 2021Samia Suluhu Hassan - 2021 - Mpaka Sasa3

kupitia Jeshi la Polisi, Tume yaHaki za Binadamu na UtawalaBora na wizara husika katikasekta mbalimbali.B. BungeBungelaJamhuriyaMuunganowaTanzaniandiyo chombo kikuu chakutengeneza sheria nchini,ambachokinaundwanawabunge mbalimbali wachama tawala (CCM) navyama vya upinzani. Raispia ni sehemu ya Bunge kwamujibu wa Katiba. Kazi kuuya bunge ni kuisimamia nakuishauri Serikali. Bunge hililina mamlaka juu ya mamboyote ya muungano. Zanzibarina Baraza la Wawakilishi,ambalo ndiyo chombo chakekikuuchakutengenezasheria na kuisimamia Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibar.Bunge lina wabunge wakuchaguliwa na wabunge wakuteuliwa.Wajibu katika ulinzi wahaki za binadamu: Utungajiwa sheria za kulinda haki4za binadamu; uridhiaji wamikataba na utungwaji washeria za kusaidia utekelezajiwa mikataba hiyo; kuisimamiana kuishauri Serikali katikautekelezaji wa shughuli zake;kujadili masuala mbalimbaliyanayohusiana na haki zabinadamunakuyatoleamaamuzi.C. Mhimili wa MahakamaMahakamanichombokikuu cha utoaji haki nchiniTanzania,ambapokunamahakama kadhaa ambazozinatofautianakimamlaka.Mahakama ya juu kabisa niMahakama ya Rufaa, ambayoina majaji wa Mahakama yaRufaa, ambao husimamia nakutolea maamuzi kesi zoteza rufaa. Ya pili ni MahakamaKuu, ambayo pia ina majaji(Majaji wa Mahakama Kuu),ambao husimamia kesi zotekatika ngazi hiyo na kuzitoleamaamuzi.Mahakamazinazofuatia ni Mahakamaya Hakimu Mkazi, Mahakamaya Wilaya na Mahakama yaMwanzo – ambayo ndiyomahakama ya chini kabisa.Tofauti na Mahakama yaRufaa na Mahakama Kuu,mahakama hizi za chini zinamahakimu. Mahakama Kuuinavitengombalimbali,ikiwemo cha ardhi, biashara,kazi na cha rushwa –ambacho kiliundwa mwaka2016. Majaji wanateuliwa naRais baada ya kupata ushauriwa Tume ya Utumishi waMahakama, huku mahakimuwakichaguliwa na Tume hiyomoja kwa moja. Pia kunaMahakama Maalum ya Katiba,ambayo ina mamlaka yakushughulikia kesi za kikatiba,ikiwemo haki za binadamu.Ukiachamahakamahizi,kuna mahakama za kijeshiambazo ni mahsusi kwa ajiliya wanajeshi.Mahakama ya Rufaa nimahakama yenye mamlakahadi Zanzibar, ambayo piaina mahakama zake ziitwazoMahamaka Kuu ya Zanzibar,Mahakama ya Hakimu Mkazi,Mahakama ya Wilaya naMahakama ya Mwanzo. Pia

kuna Mahakama ya Rufaa yaKadhi na Mahakama ya Kadhi.Wajibu katika ulinzi wahaki za binadamu: Mhimilihuu una wajibu mkubwakatika ulinzi wa haki zabinadamu, ikiwemo kutafsirisheria mbalimbali, ikiwemozinazohusu haki za binadamu;kuchukua hatua za kisheriadhidi ya watuhumiwa wavitendo vya ukiukwaji wa hakiza binadamu; na kusikilizamadai yanayohusiana nahaki za binadamu. Mhimilihuu pia hufanya mapitio yamaamuzi na vitendo vyawatu na mamlaka mbalimbalikulingana na viwango vyahaki za binadamu; huimarishaupatikanaji wa haki; hukuzautaratibu wa kisheria; nahutengeneza sheria kupitiakesi.5

SURA YA PILI:HAKI ZA KIRAIA NA KISIASAUtanguliziHaki za kiraia na kisiasa zinalindwa namikataba mbalimbali ya kikanda na kimataifaya haki za binadamu. Mikataba hii ni pamojana Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraiana Kisiasa (MKIHAKIKI) wa mwaka 1966,Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu naWatu (Mkataba wa Banjul) wa mwaka 1981,Mkataba wa Nyongeza katika Mkataba waAfrika wa Haki za Binadamu na Watu juu yaHaki za Wanawake barani Afrika (Mkatabawa Maputo) wa mwaka 2003 na Mkatabawa Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto(Mkataba wa Watoto wa Afrika) wa mwaka1990. Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania ya mwaka 1977 pia inajumuishaHaki Zilizoangaliwa (9)Haki ya Kuishi, Uhuru wa Kujieleza,Haki za Usawa mbele ya Sheria naNafuu ya Kisheria, Haki ya Kuwa Huruna Salama, Uhuru wa Kukusanyika,Uhuru wa Kujumuika, Haki yaKushiriki katika Utawala au Serikali,Uhuru dhidi ya Utesaji6haki za binadamu, zikiwemo haki za kiraia nakisiasa. Ripoti hii imejikita katika haki muhimutisa, kama zilivyotajawa hapo juu. Haki hizipia zinalindwa na Tamko la Ulimwengu laHaki za Binadamu (TUHABI) la mwaka 1948.Hivyo basi, haki hizi zinalindwa katika ngaziza kitaifa, kikanda, na kimataifa na ni muhimukatika kufurahia na kutekeleza haki nyingineza binadamu.2.1.Haki ya KuishiHaki ya Kuishi iliendelea kuathiriwa namatukio ya kujichukulia sheria mkononi,mauaji yanayotokana na maafisa wa vyombovya dola kutumia nguvu kupita kiasi, ukatilidhidi ya maafisa wa vyombo vya dola,mauaji yanayotokana na imani za kishirikina,adhabu za kifo, ajali za barabarani, na mauajiya wanawake yanayotokana na wivu wakimapenzi.Mauaji yanayotokana na wananchikujichukulia sheria mkononi:Japokuwa matukio ya mauaji yanayotokanana wananchi kujichukulia sheria mkononi

2015-2020Wastani wa640Waliuwawana 'wananchiwenye hasirakali'2542020443Matukiopungufu zaidiyaliyokusanywaIdadi ya watuwaliouwawana 'wananchiwenye ha

Utekelezaji wa haki ya kupiga kura na kugombania nafasi za uongozi wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Matukio ya ukatili wa kingono dhidi ya watoto kuongezeka, hasa ubakaji na ulawiti. Kupungua kwa kiasi kikubwa kwa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo baada ya Mh. Rais Magufuli kuwapu

Related Documents:

uchangizi wa pamoja wa mawazo, kuuliza maswali halisi, kufanya tathmini ya usalama wa kiuendeshaji pamoja na hatari, kuandika mipango na michakato jumuishi . Hivyo basi, mwongozo huu mpya unalenga kuwafanya watetezi wa haki za binadamu waimiliki harakati nzima ya usalama na ulinzi. Umilikaji ni kipengele cha usalama wenyewe.

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu na zile za awali ni kwamba ukuaji wa kiuchumi pekee hauchangii kiotomatiki ukuaji wa maendeleo ya binadamu. Sera zinazotetea maskini na uwekezaji wenye maana katika uwezo wa watu – kupitia kwa kusisitiza elimu, lishe na afya, na ujuzi wa

FASIHI SIMULIZI Fasihi ni sanaa inayotumia lugha kuwasilisha ujumbe unaomhusu binadamu. Sanaa ni ufundi wa kuwasilisha fikra na hisia za binadamu kama vile maneno, maandishi, uchoraji, uchongaji, ufinyanzi n.k. Fasihi simulizi ni sanaa kwa vile: a) Huwasilisha ujumbe kuhusu binadamu kuhusu utamaduni na uchumi. b) Huwa na umbo mahsusi k.m .

Unapofanya maamuzi ya ajira kulingana na uwezo na sifa, na sio tabia za binafsi zisizohusiana na kazi. Unapoheshimu haki za kila mmoja. Unapotoa nafasi ya kutosha kwa watu wenye ulemavu au mahitaji maalum. Unapokataa aina yoyote ya Ukatili au matumizi mabaya ya madaraka. Unapoendelea kufahamu masuala ya usalama, kufuata itifaki za ulinzi na usalama wa ndani na kusimamisha kazi yoyote ambayo si .

c) Fasihi simulizi ni mali ya jamii ilhali fasihi andishi ni mali ya mtu binafsi/mwandishi. d) Fasihi simulizi ina wahusika wa kila aina k.v binadamu, wanyama na ndege, mazimwi na majitu, miungu, mizimu, mashetani na vitu visivyo na uhai k.v. mawe na miti ilhali fasihi andishi ina wahusika binadamu kwa kiasi kikubwa.

wa elimu nchini Tanzania: mapendekezo ya kukabiliana na mwenendo huu”; (x) Prof. Flora Kessy na Bi. Mashavu Omar – waandishi wa makala ya utangulizi # 10, “Hali halisi ya maendeleo ya binadamu na matarajio ya Za

l een test fety w on site C s C s t esting Centre 3 www.simian-risk.com l CISRS Tube and Fitting (Part 1, Part 2 & Advanced) Layher, Cuplok, Plettac, Kwikstage, Haki, Peri Up l CISRS 2 day Product Training Layher, Cuplok, Plettac, Kwikstage, Haki, Peri Up l CISRS 5 Day Supervisor Courses l CISRS Scaffolding Inspection (Basic & Advanced)

Introduction to Description Logic Szymon Klarman (part of the content based on the tutorial by Stefan Schlobach) szymon.klarman@gmail.com VU University Amsterdam, 2009-2012. AR@AI Introduction to Description Logic Plan for today Tableau algorithm for ALCwith empty TBoxes Soundness, completeness, termination Reasoning w.r.t. non-empty TBoxes Szymon Klarman 1 / 1. AR@AI Introduction to .