Muhtasari Ripoti Ya Maendeleo Ya Binadamu 2013

2y ago
226 Views
2 Downloads
1.49 MB
20 Pages
Last View : 13d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Amalia Wilborn
Transcription

MuhtasariRipoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013Kuinuka kwa Nchi za Kusini:Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu AnuwaiPublished for theUnited NationsDevelopmentProgramme(UNDP)MUHTASARI i

DibajiRipoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013,Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleoya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai,huangazia mabadiliko ya siasa ya nchi kamainavyoathiriwa na jiografia wakati huu,ikichunguza maswala ibuka na mitindo na piawahusika wapya wanaobadilisha uwanja wamaendeleo.Ripoti hii inatoa hoja kwamba mabadilikoyanayofanana yanayotokea katika idadi kubwaya nchi zinazoendelea na kuzifanya kuwa nchizenye uchumi mkubwa wenye ushawishi wakisiasa unaokua imekuwa na athari kubwakwenye ukuzaji wa maendeleo ya binadamu.Ripoti hii inaeleza kuwa katika mwongouliopita nchi zote zilichapuza mafanikio yakekatika elimu, afya, na kiwango cha mapato kamailivyokadiriwa katika Kielezo cha Maendeleo yaBinadamu (HDI) – hivi kwamba hakuna nchiambayo data yake ilikuwepo ilikuwa na thamaniya chini ya HDI katika mwaka 2012 kulikoilivyokuwa mwaka 2000. Jinsi maendeleo yakasi yalivyoafikiwa katika nchi za HDI yachini katika kipindi hiki, ndivyo kulikuwa nakukaribiana kunakotambulika kwa thamaniza HDI ulimwenguni, ingawa maendeleoyalitofautiana kwenye na kati ya maeneo.Kwa kuangazia nchi ambazo ziliinua thamaniyake ya HDI kwa kiasi kikubwa kati ya 1990na 2012 katika vipengele vya maendeleo yabinadamu vya mapato na visivyo vya mapato,Ripoti hii inachunguza mbinu zilizowezeshanchi hizo kufanya vyema. Kwa namna hiyo,Ripoti hii ya 2013 inatoa mchango mkubwakwa fikra za kimaendeleo kwa kuelezavipengele mahususi vya kubadilisha maendeleona kupendekeza sera za baadaye zinazopasakupewa kipaumbele na ambazo zinawezakusaidia kuendeleza msukumo huo.Kufikia 2020, kwa mujibu wa makadirioyaliyokuziwa Ripoti hii, matokeo ya kiuchumiyaliyounganishwa ya nchi tatu pekeezinazoendelea – Brazili, Uchina na India– yatazidi jumla ya uzalishaji wa Kanada,Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uingereza naMarekani. Upanuzi huu, kwingi unaendeshwana ubia wa biashara na teknolojia mpya katikaii RIPOTI YA MAENDELEO YA BINADAMU 2013nchi za Kusini. Hivyo ndivyo Ripoti hiiinavyoonyesha pia.Hata hivyo, ujumbe muhimu ulio katika hiiRipoti ya Maendeleo ya Binadamu na zile zaawali ni kwamba ukuaji wa kiuchumi pekeehauchangii kiotomatiki ukuaji wa maendeleoya binadamu. Sera zinazotetea maskini nauwekezaji wenye maana katika uwezo wa watu– kupitia kwa kusisitiza elimu, lishe na afya, naujuzi wa ajira – zaweza kupanua upatikanaji wakazi nzuri na ziwezeshe kuwepo kwa maendeleoendelevu.Ripoti ya 2013 inatambua maeneo mannemahususi ya kuzingatiwa ili kuendelezamsukumo wa maendeleo: kuzidisha usawa,ikiwa ni pamoja na kipengele cha jinsia;kuwezesha kusikika zaidi na kushiriki kwawananchi, kujumuisha vijana, kukabilianana shinikizo za kimazingira; na kusimamiamabadiliko ya kidemografia.Ripoti hii pia inapendekeza kwamba jinsichangamoto za maendeleo ulimwengunizinavyokuwa changamani zaidi na zinazovukamipaka, vitendo vilivyoratibiwa juu yachangamoto za enzi yetu zinazohitaji suluhuya haraka, hata kama ni umalizaji wa umaskini,mabadiliko ya tabianchi, au amani na usalama,ni muhimu. Jinsi nchi zinavyoingiliana kupitiakwa biashara, uhamiaji, teknolojia za habari namawasiliano, si jambo la kustaajabisha kwambamaamuzi ya sera yanayotolewa mahali pamojahuwa na athari kubwa kwingineko. Matatizomakuu ya miaka ya hivi karibuni – chakula,uchumi, tabianchi – ambayo yameangamizamaisha ya wengi huelekeza kwa hilo, na pia kwaumuhimu wa kujitahidi kupunguza urahisi wawatu kukumbwa na mashambulizi makali namajanga.Ili kutumia vyema ufahamu, ujuzi, nafikra za kimaendeleo zilizo Kusini, Ripoti hiiinasema kuwa kuanzishwa taasisi mpya ambazozitawezesha muungano wa kimaeneo naushirikiano wa Kusini-Kusini. Tayari mataifayenye uwezo yanayoibuka katika ulimwenguunaokua ni vyanzo vya uvumbuzi wa sera zakijamii na kiuchumi na pia ni wafanyabiasharawakuu, wawekezaji, na washirika wa

uhusiano wa kimaendeleo wa nchi nyinginezinazoendelea.Nchi nyingi nyingine zilizo Kusini zimestawikwa haraka, na hivyo tajriba zao na ushirikianowa Kusini-Kusini pia ni msukumo wa kutoshakuwa na sera ya maendeleo. UNDP imewezakutekeleza wajibu muhimu kama wakala wahabari na ufahamu, na kama mwalikaji wa wabia– serikali, makundi ya kijamii na makampuniya kimataifa – ili wabadilishane tajriba zao. Piatuna wajibu muhimu w kuwezesha ujifunzaji naujenzi wa watu wenye ujuzi. Ripoti hii inatoaumaizi muhimu wa namna ya kujihusishakatika ushirikiano wa Kusini-Kusini siku zausoni.Hatimaye, Ripoti hii pia inatualika kuangaziakwa makini taasisi za kiutawala ulimwenguniili kukuza dunia ya haki na usawa. Inabainishamiundo ambayo imepitwa na wakati naambayo haiakisi uhalisia mpya wa kiuchumi nakijiografia ulioelezwa, na inazingatia mambo yakuchaguliwa wakati wa kipindi cha ubia mpya.Pia inaomba kuwepo na uwazi na uwajibikajimkubwa, na inasisitiza jukumu la makundiya kijamii ulimwenguni katika kutetea hili nauwezo mkubwa wa kufanya maamuzi wa walewalioathiriwa moja kwa moja na changamotoza kilimwengu. Hawa mara nyingi huwa ni walewatu fukara kabisa na wanaoweza kudhuriwakwa urahisi katika ulimwengu wetu.Huku mazungumzo kuhusu ajenda yamaendeleo ya ulimwengu baada ya 2015yakiendelea, ninatumai kwamba watu wengiwatapata muda wa kuisoma Ripoti hii nakutafakari juu ya mafunzo yake kwa ulimwenguwetu unaobadilika kwa haraka. Ripoti hiiinaleta nguvu mpya katika uelewa wetu wahali ya sasa ya maendeleo ya ulimwengu. Piainadhihirisha kiasi ambacho watu wanawezakujifunza kutokana na tajriba ya ukuaji waharaka unaoonekana katika nchi nyingi zaKusini.Helen ClarkAdministratorUnited Nations Development ProgrammeMUHTASARI iii

Contents of the 2013 Human Development CHAPTER 5Governance and partnerships for a new eraA new global view of public goodsBetter representation for the SouthGlobal civil societyCHAPTER 1Towards coherent pluralismThe state of human developmentResponsible sovereigntyProgress of nationsNew institutions, new mechanismsSocial integrationConclusions: partners in a new eraHuman securityNotesCHAPTER 2A more global SouthRebalancing: a more global world, a more global SouthReferencesSTATISTICAL ANNEXImpetus from human developmentReaders guideInnovation and entrepreneurship in the SouthKey to HDI countries and ranks, 2012New forms of cooperationStatistical tables1Human Development Index and its components2Human Development Index trends, 1980–20123Inequality-adjusted Human Development Index4Gender Inequality IndexDrivers of development transformation5Multidimensional Poverty IndexDriver 1: a proactive developmental state6Command over resourcesDriver 2: tapping of global markets7HealthDriver 3: determined social policy innovation8Education9Social integrationCHAPTER 410International trade flows of goods and services11International capital flows and migration12Innovation and technologySustaining progress in uncertain timesCHAPTER 3Sustaining momentumPolicy priorities for developing countries13EnvironmentModelling demography and education14Population trendsImpact of the rate of population ageingRegionsThe need for ambitious policiesStatistical referencesSeizing the momentTechnical appendix: explanatory note for projections exerciseiv RIPOTI YA MAENDELEO YA BINADAMU 2013

Muhtasari wa HDR 2013Wakati nchi zilizoendelea zilikoma kukua katika kipindi cha matatizo makuu ya kiuchumi yaliyotokea 2008 – 2009 lakini nchizinazoendelea zikazidi kukua, ulimwengu wote uliamka. Kuinukia kwa Kusini, kulikochukuliwa na ulimwengu unaoendeleakama kama namna ya usawazishaji wa dunia, umezungumziwa sana tangu wakati huo. Mazungumzo haya yamejikita kwanamna finyu kwenye GDP na ukuaji wa biashara katika nchi chache kubwa; ingawa kuna mambo mengi yanayohusika,yanayahusu nchi nyingi zaidi na mielekeo ya kina yenye athari kubwa kwa maisha ya watu, kwa usawa wa kijamii nakwa utawala wa kidemokrasia katika viwango vya mahali maalumu na ulimwengu mzima. Kama Ripoti hii inavyoonyesha,kuinukia kwa Kusini ni swala la uwekezaji mfululizo katika maendeleo na mafanikio ya binadamu na pia ni nafasi ya ukuajizaidi wa binadamu katika ulimwengu kwa jumla. Kuufanya ukuaji huo kuwa wa hakika kutahitaji utungaji sera uliokitakwenye ufahamu na elimu ulimwenguni na kitaifa, ukifaidi kutoka kwa mafunzo ya sera yaliyochanganuliwa katika ripoti hii.Human Development Index ThailandMauritiusChina0.7IndonesiaViet NamIndiaBangladesh0.5GhanaUgandaRwandaHDI20120.3 Ingawa karibu nchi zote zinazoendeleazimefanikiwa, kuna idadi kubwa ya nchizilizofanikiwa sana – na hii ndiyo inayowezakuitwa “kuinuka kwa Kusini”. Baadhi yanchi kubwa zimepata mafanikio ya haraka,na zinazotambulika sana ni Brazili, Uchina,Indonesia, Meksiko, Afrika Kusini naUturuki. Lakini kumekuwepo pia maendeleoya haja katika nchi zenye uchumi mdogo kamaBangiladeshi, Chile, Ghana, Morisi, Rwanda,Tailandi na Tunisia (kielelezo 1).Zaidi ya nchi 40 za Kusini zilipata ongezeko kubwa kabisa la thamani ya HDI kati yamwaka 1990 na mwaka 2012 kuliko ilivyobashiriwa ukizingatia thamani yao ya HDIya mwaka 19901990Kuinuka kwa Kusini hakuna mfano katikaile kasi na ukubwa wake. Inabidi ielewekekatika muktadha mpana wa maendeleo yabinadamu kama kisa cha upanuzi wa kuvutiawa uwezo wa watu binafsi na ukuaji mfululizowa maendeleo ya binadamu katika nchiambazo kunaishi idadi kubwa ya watu wadunia hii. Wakati nchi nyingi na mabilioniya watu wanapokwea ngazi ya maendeleo,kama wanavyofanya sasa, hili huwa na athariya moja kwa moja kwenye uzalishaji mali naukuaji mpana wa binadamu katika nchi namaeneo yote ulimwenguni. Kuna nafasi mpyakwa nchi ambazo hazijaendelea sana kuzifikiazile zilizoendelea, na pia ya kuanzisha serabunifu ambazo zingefaidi hata nchi zenyeuchumi ulioendelea pia.KIELELEZO 1HDIKuinuka kwa Kusini0.10.10.30.50.70.9Big ImproversHighlighted 16Human Development Index 1990ModestKumbuka: Nchi zilizo juu ya laini ya digrii 45 zilikuwa na thamani ya juu ya HDI mwaka 2012 kuliko mwaka 1990. Alama za rangiya kijivu na nyeusi zinaashiria nchi zenye ongezeko kubwa kabisa la thamani ya HDI kati ya mwaka 1990 na mwaka 2012 kulikoulivyobashiriwa ukizingatia thamani yao ya HDI ya mwaka 1990. Nchi hizi zilitambulishwa kwa misingi ya mabaki yaliyopatikanakutoka kupungua kwa mabadiliko katika logi ya HDI kati ya mwaka 2012 na mwaka 1990 kwenye logi ya 1990. Nchi zilizotajwa ni kundilililochaguliwa la viboresha HDI kwa haraka ambazo zimezungumziwa kwa kina katika sura 3.Chanzo: kokotoo ya HDRO.MUHTASARI 1

Huku ikiwa inasisitiza kuinuka kwaKusini na athari yake kwa maendeleoya binadamu, Ripoti ya Maendeleo yaBinadamu 2013 pia inahusu ulimwenguhuu unaobadilika, ikiendeshwa kwa kiwangokikubwa na kuinuka kwa Kusini. Inachunguzahatua za maendeleo zilizopigwa, changamotozinazojitokeza (baadhi zikiwa ni matokeo yaufanisi huo) na nafasi zinazoibuka za utawalawakilishi wa ulimwengu mzima na wakimaeneo.Kwa mara ya kwanza katika kipindicha miaka 150, mazao jumla ya nchi tatuzenye uchumi unaoongoza katika ulimwenguunaoendelea – Brazili, Uchina na India – nikaribu sawa na GDP jumla ya mataifa yaKaskazini yenye uwezo wa kiviwanda kwamuda mrefu – Kanada, Ufaransa, Ujerumani,Italia, Uingereza na Marekani. Hali hiiinawakilisha usawazishaji mkubwa wa nguvuza kiuchumi ulimwenguni. Mnamo mwaka1950 Brazili, Uchina na India, kwa pamoja,ziliwakilisha 10% ya uchumi wa ulimwengu,huku nchi sita za Kaskazini ambazo kwa desturizilikuwa viongozi wa uchumi ziliwakilishazaidi ya nusu. Kwa mujibu wa ubashiri uliokatika Ripoti hii, kufikia 2050 Brazili, Uchinana India kwa pamoja zitawakilisha 40% yamazao ya dunia (kielelzo 2), zikipiku mazaoya jumla yaliyobashiriwa ya jumuiya ya Kundila Saba la sasa.KIELELZO 2Imebashiriwa kwamba Brazili, Uchina na India kwa pamoja zitawakilisha 40% ya mazao ulimwengunikufikia 2050, ikiwa ni ongezeko kutoka 10% mnamo mwaka 1950Share of global output 9802010Brazil, China and IndiaCanada, France, Germany, Italy, the United Kingdom and the United StatesProjectionProjection2050Kumbuka: Mazao yamepimwa kwa uwezo uliosawazishwa wa kununua dola kama ilivyokuwa mwaka 1990.Chanzo: Data ya kihistoria kutoka Maddison (2010) iliyoongezewa na HDRO na ubashiri ulioegemezwa kwenye Pardee Center for International Futures (2013).2 RIPOTI YA MAENDELEO YA BINADAMU 2013

Huko Kusini, tabaka la kati huko linakuwaharaka sana katika ukubwa, mapato namatarajio (kielelezo 3). Idadi ya watu pekeewalio Kusini – mabilioni ya wanunuzi nawananchi – huzidisha athari ya vitendo vyamaendeleo ya binadamu ulimwenguni naserikali, kampuni na taasisi za kimataifa hukoKusini. Hivi sasa Kusini inajitokeza sambambana Kaskazini kama mahali pa kuelimisha watukuhusu uvumbuzi wa kiteknolojia na ubunifuwa ujasiriamali. Katika biashara ya KaskaziniKusini, nchi mpya zinazopitia uchumi wakiviwanda zimejenga uwezo wa kutengenezabidhaa changamano kwa ajili ya masoko yanchi zilizoendelea. Lakini kuingiliana kwaKusini-Kusini kumewezesha kampuni zaKusini kuchukua na kutumia upya bidhaa namichakato ambayo inafaa mahitaji ya mahalihapo.Hali ya maendeleo ya binadamuKatika mwaka 2012, Kielezo cha Maendeleoya Binadamu (HDI) kinafichua kuwahatua kubwa imepigwa. Katika miongoiliyopita nchi kote ulimwenguni zimekuwazikikaribiana katika kufikia viwango vya juuvya maendeleo ya binadamu. Mwendo wamaendeleo ya HDI umekuwa wa kasi sanakatika nchi zilizo kwenye kategoria za chinina wastani za maendeleo ya binadamu.Hizi ni habari njema. Hata hivyo ukuajihuhitaji zaidi ya mafanikio ya wastani katikaHDI. Halitakuwa jambo la kufurahia walalinaloweza kuendelezwa ikiwa ongezeko laHDI linaambatana na ongezeko la kutokuwana usawa katika mapato,ruwaza za utumiajizisizoweza kuendelezwa, matumizi ya juu yajeshi na uwiano wa kijamii (angalia kisanduku1)Sehemu muhimu ya maendeleo yabinadamu ni usawa. Kila mwanadamu anahaki ya kuishi maisha makamilifu kulingana nana maadili na matamanio yake. Hakuna mtuatakayehukumiwa maisha mafupi au yenyetaabu kwa kuwa anatoka tabaka au nchi “isiyosahihi”, kabila au jamii “isiyo sahihi” au jinsia“isiyo sahihi”. Kutokuwa sawa hupunguzaKIELELEZO 3Tabaka la kati lililo Kusini limepigiwa upatu kuzidi kukuaMiddle-class population (billions of people)200920202030Global middle class:1.845 billionGlobal middle class:3.249 billionGlobal middle class:4.884 2.333.338.313.703.5251.7403.228EuropeNorth AmericaMiddle East and North AfricaAsia PacificCentral and South AmericaSub-Saharan AfricaKumbuka: Tabaka la kati linajumuisha watu wanaopata au kutumia 10- 100 kwa siku (kulingana na uwezo uliosawazishwa wakununua katika mwaka 2005)Chanzo: Brookings Institution 2012.kasi ya maendeleo ya binadamu na wakatimwingine kunaweza kuyazuia kabisa. Kwajumla, kutokuwa sawa kumepungua kwa kiasikikubwa katika afya na elimu katika miongomiwili iliyopita kuliko katika mapato (kielelezi4). Karibu tafiti zote zinaafikiana kwambahali ya kutokuwa sawa kimapato iko juu koteulimwenguni, ingawa hakuna makubalianokuhusu mielekeo ya hivi karibuni.Kusini ya kiulimwengu zaidiUzalishaji ulimwenguni unajisawazisha tenakwa namna ambazo hazijaonekana katikamiaka 150. Ongezeko la uvushaji wa bidhaakwenye mipaka, huduma, watu na mawazohalina kifani.Kufikia mwaka 2011, biasharailiwakilisha karibu 60% ya mazao yote duniani.Nchi zinazoendelea zilitoa mchango mkubwakatika hili (kisanduku 2): kati ya 1980 na 2010ziliongeza mgao wake wa bidhaa za kibiahsaraulimwenguni kutoka 25% hadi 47% naMUHTASARI 3

KISANDUKU 1 Amartya Sen, Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya UchumiInahisije kuwa binadamu?Karibu nusu karne iliyopita hiiv, mwanafalsafa Thomas Nagel alichapisha makala maarufu iliyoitwa “What Is It Like to Be a Bat?” (“Inahisijekuwa popo?”) Swali ninalotaka kuuliza ni hili: inahisije kuwa mwanadamu?Kama inavyotokea, makala maizi ya Tom Nigel iliyochapishwa katika ThePhilosophical Review yalikuwa pia yanahusu binadamu, na kwa kiasi kidogotu popo. Pamoja na hoja zingine, Nagel alieleza shaka za kina kuhusu jaribiola wanasayansi wa kiuchunguzi kubainisha tajriba ya kuwa popo – au vivyohivyo, mwanadamu – pamoja na tukio la kimaumbile linalohusishwa katikaubongo na kwingineko mwilini, ambayo yanaweza yakafikiwa kwa urahisina ukaguzi wa nje.Dhana ya kuwa popo au binadamu haiwezi kuonekanakama kuwa na mtetemo fulani katika ubongo na mwilini. Uchangamano wahali hiyo ya kwanza hauwezi kutatuliwa na usikivu unaokuja kwa wepesi wahiyo ya pili (hata kama inashawishi sana kufanya hivyo).Mtazamo wa hivi punde wa maendeleo ya binadamu umejengwa kwenye utofautishaji – lakini wa aina tofauti na ukinzano wa epistomolojia yakimsingi wa Nagel. Mtazamo ambao Mahbub-ul-Haq aliasisi katika mfululizo wa Human Development Reports (Ripoti za Maendeleo ya Binadamu)ulioanza 1990 ni ule ulio kati ya, kwa upande mmoja, tatizo gumu la kukadiria ukwasi wa maisha ya binadamu, ikiwa ni pamoja na uhuru ambaobinadamu wana sababu za kuthamini, na kwa upande mwingine, zoezi rahisizaidi la kufuatilia mapato na rasilmali za nje ambazo watu – au mataifa –huwa nazo. Ni rahisi zaidi kupima GDP kuliko kupima ubora wa maisha ambao watu wanao. Lakini hali njema na uhuru wa binadamu, na kufungamanakwao na haki humu ulimwenguni hakuwezi kupunguzwa na kulinganishwana upimaji wa GDP na kiwango chake cha ukuaji, kama watu wengi wanavyoshawishika kufanya.Uchangamano halisi wa maendeleo ya binadamu ni muhimu katika kukubali, kwa kiasi fulani kwa sababu hatustahili kupotoshwa kulibadilishaswali: hii ndiyo ilikuwa hoja kuu iliyoongoza harakati shupavu za Mahbub-ulHaq kujaliza – na kwa kiasi fulani kutwaa mahali pa – GDP. Lakini pamoja nahayo kulitokea hoja ngumu zaidi ambayo pia ni sehemu isiyoweza kuepukwaya kile ambacho kimekuja kujulikana kama “mtazamo wa maendeleo ya binadamu”. Tunaweza, kwa ajili ya kurahisisha mambo, kutumia ishara nyingirahisi za maendeleo ya binadamu kamaHDI, kutegemea vigezogeu vitatu tupamoja na sheria rahisi ya kuvikadiria – lakini uchunguzi hauwezi kuishiahapo. Tusipuuze njia za mkato zinazofanya kazi na zinazofaa – HDI yawezakutueleza mengi kuhusu ubora wa maisha ya binadamu kuliko inavyofanyaGDP – lakini tusiridhike kabisa na manufaa ya haraka yanayopatikana kupitia njia hizi za mkato katika ulimwengu wa mazoezi mfululizo. Kukadiriaubora wa maisha ni zoezi changamano zaidi kuliko kinachoweza kunaswa nanambari moja pekee, hata kama uchaguzi wa vigezogeu vitakavyohusishwaumefanywa kwa busara na uchaguzi wa utaratibu wa kukadiria vivyo hivyo.Utambuzi wa uchangamano una athari nyingine muhimu pia. Dhimamuhimu ya urazini wa umma, ambao Ripoti ya Mwaendeleo ya Binadamuya sasa inasisitiza, unatokea kwa kiasi kutokana na utambuzi wa uchangamano huu. Siri ya mtungi aijuaye kata, lakini mipango ya kuepuka siri hiyohaiwezi kushughulikiwa vyema bila kuwapa wananchi uwezo wa kuamua napia kuwapa nafasi za kutosha za kuwa na mjadala wa umma. Umuhimu wavipengele tofauti katika kutathmini hali njema na uhuru wa watu unawezakutambuliwa vyema na kukadiriwa kupitia tu kwa mijadala baina ya watu,ukiwa na athari ya utengenezaji wa sera ya umma. Umuhimu wa kisiasa waari ya kuanzisha mambo kama Arab Spring, na ushirikiano wa watu wengikwingineko humu ulimwenguni, unalingana na ufahamu wa umuhimu wawatu kujieleza kwa kujadili na wengine kuhusu matatizo yaliyopo katikamaisha yao na udhalimu wanaotaka kuondoa. Kuna mengi ya kujadili - baina ya wahusika wote na pamoja na watumishi wa umma wanaounda sera.Jukumu hili la kubadilishana mawazo, linapotambuliwa vyema na wahusika wote wa utawala, lazima pia lijumuishe uwakilishaji wa maslahi yawatu wasiokuwepo hapa ili kueleza masikitiko yao kwa sauti zao wenyewe.Haiwezekani maendeleo ya binadamu kutojali vizazi vijavyo kwa kuwa tubado havipo hapa. Lakini binadamu wana uwezo wa kufikiri kuhusu wengine, na maisha yao, na sanaa ya siasa ya uaminifu na uwajibikaji ni kupanua mijadala kutoka ufinyu wa kufikiria juu ya maslahi yao wenyewe tuhadi uelewa m

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu na zile za awali ni kwamba ukuaji wa kiuchumi pekee hauchangii kiotomatiki ukuaji wa maendeleo ya binadamu. Sera zinazotetea maskini na uwekezaji wenye maana katika uwezo wa watu – kupitia kwa kusisitiza elimu, lishe na afya, na ujuzi wa

Related Documents:

RIPOTI YA DUNIA YA UFUATILIAJI WA ELIMU ilIcMUHTASARI Dibaji Ripoti yaDunia ya Ufuatiliaji wa Elimu ya mwaka wa 2019imeandaliwa kwa kuwashirikisha timu ya wahamiaji wa kimataifa. Wanne kati yao ni watoto wa wakimbizi. Ha

Mradi wa WOLTS Tanzania – Muhtasari wa Ripoti--Mundarara, Agosti 2017 – Kiswahili E. Daley, K. Lanz, A. Mhinda, Z. Driscoll, J. Ndakaru, J. Grabham na E. Kereri 3 kuwa ni mkuu wa kaya ya mke mwingine. Tulidhani kuwa inawezekana, hata hivyo, baadhi ya wakuu wa kaya wanawake walitengwa na w

MUHTASARI WA RIPOTI YA KAMATI YA BAJETI YA BARAZA LA WAWAKILISHI- ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 . kutoa elimu maskulini na michezo. . ambapo Serikali imemuekea sharti la kuanza kuendeleza eneo alilopat

wa elimu nchini Tanzania: mapendekezo ya kukabiliana na mwenendo huu”; (x) Prof. Flora Kessy na Bi. Mashavu Omar – waandishi wa makala ya utangulizi # 10, “Hali halisi ya maendeleo ya binadamu na matarajio ya Za

Kufuatilia majibu ya hoja za ukaguzi yaliyotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ili kuweza kujiridhisha na majibu ya hoja hizo. Kutoa ripoti ya ukaguzi ya mwisho kwa taasisi zinazokaguliwa inayoonesha hoja za ukaguzi zilizotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ambazo hazikupa

WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI 2015 102/1- KISWAHILI KARATASI YA 1 - MWONGOZO WA KUSAHIHISHA 1. SWALI LA LAZIMA SURA (i) Kichwa / Anwani ya ripoti. - Ripoti ni ya nini, nani, nani aliteua jopo na mwaka. (ii) Utangulizi - Nani alitaka ripoti iandikwe. - Muda waliopewa - Tatizo lenyewe - Wanajopo na vyeo vyao. (iii) Mbinu za uchunguzi

Ndugu Waandishi wa habari, Awali ya yote, ninamshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kukutana mahali hapa leo. Pia, ninamshukuru Mh. . Ukaguzi wa Ufanisi kuhusu Upatikanaji usioridhisha wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi yenye ubora kwa Watanzania. 12. Ripoti ya ufuatiliaji wa mapendekezo ya ukaguz

Box 1.1 The power of language Former Russian satellite countries Estonia and Latvia have made fluency in Estonian and Latvian, respectively, a requirement of citizenship, thus creating a potential problem for millions of Russian-speaking citizens who have lived in these countries for years. An Amsterdam city councilor proposed a law mandating that Dutch be spoken in Islamic mosques in his city .