CHAKULA CHA MAWAZO NA NIA - Jesus Life Together

3y ago
307 Views
5 Downloads
314.09 KB
12 Pages
Last View : 2d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Allyson Cromer
Transcription

Mila ya watuKwenye kanisa la watu.Kama ilivyo siku zote kama mnaitaji msaada kwa njia yeyoteandikieni kwenye P.O Box 68309, Indianapolis, IN 46268, U.S.Awww.Yesu-Kristo.com 1989 mailto:AllAtHisFeet@cs.comSheria yake ukitaka kuchapisha iko hivi tunapo zungumziaNeno la Mungu tena tuna sema hivi. Ni luksa kuchapisha ukiwaumepokea luksa kutoka kwa walio andika hiki kitabu.Kitabu hiki akiluhusiwi kuuzwa kwa bei yeyote ile.Je, mithali ya watu bado inaonekana mbele za Mungu? Ukwelini kwamba mithali hii sisi tumeiheshimu sana imeleta uharibifumkubwa kwenye mwili wa Yesu Kristo. Mithali hii imetoa uongozina u Bwana wa Yesu katika kanisa lake bila huruma.Tena yeye alisema nao, isaya alitabiri vyema juu ya ninyi wa nafiki,kama ilivyo andikwa, watu hawa uniheshimu kwa midomo, ilamioyo yao iko mbali namu. Nao waniabudu bure wakifundishayaliyo maagizo ya wanadamu.Yesu pekee alivunja nyakati zote wakati wa Mila zao balidi namipango yao wakijua kwa yanaweza yakaleta machafuko kwaviongozi wake. mfano mmoja. Alipokuwa akinena, Farisayommoja alimwita aje kwake ale chakula; akaingia, akaketi chakulani:Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwasababu hakunawakabla ya chakula. Bwana akamwambia, Ninyi mafarisayomwasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani yenu mmejaaunyanganyi na uovu. Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliye vifanya vya ndani pia? Lakini, toeni sadaka vilevya ndani, na tazama vyote huwa safi kwenu. Lakini, ole wenu,mafarisayo, kwakuwa mwatoa zaka za mnanaa na m’chicha nakila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo waMungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayoya pili. Ole wenu, mafarisayo, kwakuwa mwapenda kuketi mbelekatika masinagogi, na kusalimiwa masokoni. Ole wenu kwakuamnafanana na makaburi yasi yoonekana, ambayo watu wapitaojuu yake hawana habari nayo. Mtu mmoja katika wana – sheriaakajibu, akamwambia, mwalimu, kwakusema hayo umetushutumusisi nasi. Luka 11:37 – 45.Mjue sasa kwamba ni taabu kunawa mikono kama walivyo kuwawana taka wale wafalisi. Je, kuonyesha upendo ambao wa Kristo,wema na uvumilivu aviwezi kusogeza maisha kimo kimoja? Kika5

waumiza namna gani? Tunatakiwa tuwakute watu waliko, alafutuwe yote kwa watu wote. Tunafanya haya?inchini mwake kabla aija timia miaka mia moja (100) baada yakufa Yesu.Labda amjui Yesu amejawa na upendo – yeye tena yeye pekeemaana ya upendo wa kikristo, uvumilivu ni wema. Vitu kwa watuwote? Yesu pekee ndio anaye weza kueleza namna ya vitu vyotevinavyoweza kuwafika watu wote kwa maana ya Baba. Tena Yesualifanya mambo mengi kama vile kuonekana kwenye makutanona viongozi wadini kwaku tukana yalio kuwa yanatendeka katikachakula cha jioni. Wakati mwingine Yesu na wanafunzi wakewalikuwa wanapita kwenye shamba la nafaka siku ya sabato nakusudi wakati walio kuwa wana mpinga wanamuona wali maanishanamna nyingine na kukataza yalio anzwa zamani na Mungu. Watuhawa wanao jiamini kwenye sheria na kuyiweka kwenye kupingana kiumungu ndivyo walikuwa wana tafsiri maandiko. Kwa hiyoYesu alikuwa anawaeleza yote vizuri kabisa bila kuchanganya namawazo ya kibinadamu kwa sababu gani? Tuna amini kupata jibuwakati tunapo omba.Ata kwamba tumekimbilia mbali kutoka kwenye njia ya Yesu,mipangirio na handith zetu na kujiumiza vimekua vitu ambavyovizazi vingi duniani kama kweli. Wengine wana weza kukataakwamba yote ya matunda ambayo yalikowemo mwetu yaliozaliwa kutoka nje, kuyiumiza na mipangirio yetu. Kama walivyowatoto wana taka maonyo na vyombo vinavyo onekana kwambawachukulie. Watu viwete wanataka fimbo na viti vyakutembeleaviwete. Kuna weza kuka tokea nini kama mtoto yule atakua?Kunaweza kukaweje kama viungo vilivyo ni kilema na mwiliwa Matatizo umepona? Kuna nini kama kanisa liro kuwa kimocha Yesu?Ninaendelea na kulasa hii kipimo cha vinogeo ambavyo Yesualiviweka alipokua anatembea kwenye miji na wanafunzi wakekumi nambili vinatakiwa kufanyika na kipimo hikoiko na wafuasiwake leo. Kumi na wawili hao, walifundishwa vizuri kikristokilivyokuwa na alio kuwa anaongoza kundi la watu 3108 kuongezeawalio okoka wakwanza katika maisha ya Yesu Kristo baada ya sikuya pentekoste aliyaza maisha yao na Yesu. Walio kuwa wakiyaletakwenye kundi kubwa la ambao wakajitoa kwa Yesu na mlingomzuri wa yakunogeshea na desturi za dini kwamba sisi watututumie mpaka leo. Ukweli unatakiwa ujulikane kwa watu elfu naelfu wanao kutanika pamoja wa kanisa la kristo la kwenye Bibliaambako akuna jambo lolote linalo husu namna ya kuendesheaibada, yakunogeshea au hadithiKuli kuwa hakuna kilichofungwa na kundi lolote lire, kamatunavyofanya sisi kwamba hii inaitwa IBM au AMWAY wakiwawameandika kuli kuwa hakuna kutoa mistari mingine na kuwekamawazo ya ujanja wao. Niludie tena kusema kwamba nyongezazetu kwenye makanisa ya Mungu mala kwa mala inaonekana kama,mila zisizo na kazi zimefungia nje utakatifu, imani ya uhakikakwamba lionekane kama Mungu alivyo kuwa anataka yawe hivyo6CHAKULA CHA MAWAZO NA NIAManeno mengine ya dini yasio patikana kwenye Biblia, (kutafsirikwa makosa kuna fundisha kutoelewa �“Wakovu”Ata kwamba maneno haya yanapatikana popote siku hizi kwenyekikristo kama Biblia ambayo tunaweza kusoma kwa lugha ya kwetuinatuonyesha kweli nina waomba mfikiri pamoja nami kua dakikachache. Kwasababu gani maneno aliosema Yesu kwenye kundi lawatu, alafu maneno aliye sema mtume Paulo aliandika makanisakwa wakati huo ayafanani maana yake na maneno tunayo yasikiana kuyasoma leo? Kwa mfano neno la “gay” awatafsiri kamawalivyo kuwa wana tafsiri zamani? Yana fanana kumbe?Umesema kwamba “gay” kwenye miaka iliopita mmeendeshavizuri dini ya kisasa ina mambo ya kuiga mengi ni ya uongoyamechukuliwa kutoka kwenye maneno ya dini yametafsiriwavibaya na kundikwa kwa hekima nyingine kuacha ya Biblia.7

Yakushangaza maneno hayo aya simamii yote Yesu yu, kwinginePaulo atawengine ambao tunaweza kuwa kumbuka. Wakati mnaposoma Biblia nakuendelea jitahidini kusikia yale walio sikia tenazaidi ya kusikia vilivyo kwenye kizazi kisicho badilika na tafsiriya kale. Malizeni jihadharini chakuchekesha na usumbufu kupataukweli. Wengine misingi ilio imala sikuizi taifa lote – ambaoawapatikani kwenye kanisa la kwenye Biblia ni hawa. Maombi yakuabudu, ujumbe, mafundisho ya kwa Mungu, shule za thiolojia zakikristo, kwaya, kuwaalika watumishi wa moto – watu wakuulizakazi, kujaribu, kujaribiwa wakati wakwingiya kazi, kuweka sikuya Mungu kama ilivyo siku baki, kuchaguliwa kwa watu kwambawauombe mkutano wa kikristo. Kabla mda wa kuhubiri ujatimiaau kuongoza sifa na mengine kama hayo.kutoka mbinguni kuja hapa ulimwenguni – katika yale aliyoletaYesu kuyasimika kutoka mbinguni kuja ulimwenguni – katikaupendano waki Mungu katika kanisa lake. Linaweza kuwabadilishawakati wote. Tena ni la kufurahisha?Kufanya kwa mambo ya zamani – Paulo likuwa abebi Biblia,kuhubiri kwenye shule za Biblia.Ambapo kuna moyo wa Mungu ndio kanisa linatakiwa kuwaMfano wa namna yakuendesha hapa duniani. Kanisa lirilohai, laona la wana oamini wamelifanya. Kama lao na kulijengea ukuta nakuweka mabati ambavyo sio jambo la muhimu sana ulimwengunihapa. Hayo ayana kazi kutokana na yale tunayo yatafakali hapa.Tunataka kuona kikristo haswa ambacho kina sula ya kikhristo,lakini wameikataa tena kwa umoja hata pia kwa mmoja mmoja.KUJIANDAA KWA AJILI YA INJILIKujenga mahekalu ------- Mwanzo wa mizizi ya mahekalu yakikristo inaonekana ilianza hivi karibuni katika miaka mitatuishirini baada ya kufa Yesu Kristo (AD) wakati mfalme (Emperor)konstantino aliona wote wenye dini za unafiki walikuwa na mahekaluna yeye aliwaza kwamba Mungu wake wasasa Yesu Kristo na yeyeajengewe mahekalu. Wataalamu wanao chunguza mambo ya kaleawapati mabaki yeyote ambayo yana kubaliana na dini ya kikristokatika siku za Yesu au kumi na wawili, labda ilipo pita miaka miambili. Ili ni jambo linalojulikana kwamba kundi linalofikia elfukumi waliookoka walikuwa wengine wanaenda kwenye hekalula Mungu, Labda sinagogi za kiyuda na hekalu zao, au kwenyehekalu zadini nyingine. Lingekuwa la kueleweka sana tena bilakukataliwa sikuhizo kwa wa Kristo kujenga mahekalu makubwamakubwa kama watu wanavyofanya leo na kuwa na maombi humo.Lakini awakufanya kwa nyakati mbili, hawakufanya, sababu gani?Kwasababu sheria ya kwenda hekaluni kwa siku moja iliyo wekwa,katika sehemu moja linapingana sana na kusudi na sababu za Yesuna kanisa la kwenye Bibilia ambalo alilifia kwakujenga. Chukuenimda mchache ombeeni mawazo haya pamoja nami ambayo niuhakika haswa katika yale ambayo Yesu aliyaleta kuja kulijenga8Ila yeye aliye juu hakai katika nyumba zilizofanywa kwa mikono,kama vile asemavyo nabii, mbinguni kiti changu cha enzi, na nchi nipakuwekea miguu yangu; Ni nyumba gani mtakayonijengea? AsemaBwana, au mahali gani nitakapostarehe? MATENDO 7:48-50.Na ile kumi na miwili ni lulu kumi na mbili; kila mlango ni lulumoja na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Namisikuona hekalu ndani yake; kwa maana Bwana Mungu mwenyezina mwana kondoo ndio hekalu lake. UFUNUO 21:21 – 22.Mala kwa mala Neno la Mungu linashuhudia utukufu wa njiaya kisasa. Kanisa la wakati huu la waefeso kwa mfano lilikuwalinakutana na matatizo ya hatari sana. Mji ule ulipata Neema na yanguvu ya moja ya maajabu ya duniani pote hekalu la Malkia Diana.Kukua kwa makanisa mbalimbali kwenye mji wao/ambayo bilashaka wengi waligeuka kwa Yesu) walikuwa na hekalu zuri sanaduniani pote. Je, wakristo waliendelezaje na hayo? Paulo aliandikabarua nyingi nakuwanyosha macho ya mioyo yao kwamba waonemaono yakifalme na kanisa la hekalu alisema haya yanawezayakaonekana na macho ya kiroho tu. Yohana 3:3-8, 1Korintho2:816, Mathayo 11:25-27).Njia ya maisha mapya hii inazidi sana kwakufananisha nayale yanayopatikana kwenye majumba yanayojengwa na watu baki. Munguanawatengenezea ninyi makao nyumba ya utukufu wake. msifurahiekujenga kwa watu wakati ninyi ni mawe yalio hai – yamechukuliwakutoka kwenye mwamba ambao ndio Yesu mwenyewe “Alafualitufufua pamoja nakutukatisha pamoja naye katika ulimwengu wa9

roho. Katika Kristo Yesu Waefeso 2:6 Basi langu sasa ninyi si wageniwala wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wanyumbani mwake Mungu. Mmejengwa juu ya msingi wa mitumena manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.Katika yeye jengo lote linaungamanishwa na kukua hata liwe hekalutakatifu katika Bwana. WAEFESO 2:19-21!Someni: Mathayo 21:1-2, Marko 14:56, Yohana 2:18; 14:1-3-314:15-21, 1korintho3:9-10, 1 Petro2:1-12; Isaya51:1-2SISI NI HEKALU LAKE!!!! Ni sehemu yake sisi! Sisi ni nyumbaya ki Kristo iliyo jengwa ambayo inapita zote, watu sio, sehemuau wakati. Tunakaa kweli katika sehemu, wakati furani lakinitukiyazunguka hayo, kuna kitu kimepungua sio kanisa lake ufalmewake auelezewi kwamba ni wa sehemu kwa wakati mwingine.Na alipoulizwa na mafarisayo, ufalme wa Mungu utakuja linialiwajibu akawambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;wala hawatasema, tazama, hupo huku, kule, kwa maana, tazama,ufalme wa Mungu umo ndani yenu. LUKA 17:20 –21.Ninyi msitafute mtakula nini, mtakunywa nini, tena msiwe nashaka moyoni kwakuwa haya yote, watu wa mataifa wanayatafuta,lakini Baba anajua mnaitaji haya yote. Zaidi sana tafuteni ufalmewake hayo mengine atawaongezea. Msiogope, enyi kundi dogo;kwakuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Viuzenimlivyo navyo, mtoe sadaka. Jifanyieni mi fuko isiyo chakaa,akiba isiyopungua katika mbingu, mahari pasipo karibia mwivi,wala nondo haharibu. Kwakuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapokuwapo na mioyo yenu. LUKA 12:32-34.Yesu akamwambiya, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayohamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.Ninyi mnaabudu msichokijua, sisi tunaabudu tukijuacho; kwakuwa wokovu watoka kwa wayahudi. Lakini saa inakuja, nayo sasaipo, ambayo waabudiyo halisi watamwabudu Baba katika roho nakweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudukatika roho na kweli. YOHANA 4:21-24.Lakini kwa kuwa mmemjua Mungu ninyi, lakini zaidi yakujulikanana Mungu kwanini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yalio10manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumukia tena?Mnashika siku, na miezi, na nyakati, na miaka. Nawachelea isiwelabda nimejitaabisha bure kwaajiri yenu. (AGALATIYA 4:9-11!)Ni cha thamani ni chakufurahisha kuona ambayo Mungu ametendeatena kwetu amekuweko kwa ukuu. Kuishi katika kuanda makaona wakati na tena tunzo la watu, baada yakumruhusu kichwa wakanisa Yesu mwenye kuongoza roho na mikutano yetu na kukosautukufu wa Mungu wa urithi. Hivi sasa tunafikiri kujilindakwetu ni kwabudu vizuri tukiwa tumetayarisha kwa ujanja usemi(inawezeka na ametoka kwenye Biblia) nakuweka siku, majumahata miaka na nyimbo zote na kuongezea kila kitu kinachotakiwamaombi katika siku.Haukuwa mpango wa mungu kuwa na Kristo ambacho kinajulikanakwa mawazo ya watu, mipangilio ya sabato na kuwa na kundilinaloitwa kamati wajuzi walio ajiriwa kazi na kanisa kuwa kiongoziwao vitu kama hivyo toka zamani tumeona yaliofuata kwenye pichazilizo mbali sana kutoka katika njia ya Yesu Kristu, na kumi na wawilipamoja na kanisa ambalo liliwajua. Roho wanaume na wamama,wasichana na wavulana wamekuwa wakikutwa, kwenye michezobila tatizo hata pia kutumiwa na shetani. Kweli wako kwenyemichezo bila tatizo la kweli ni lile Yesu Kristu aliutaja kwambamilango ya dunia ya wafu hayita washinda wao. Mipangilio namila yameshindwa. Yesu pekee ndio anayotajwa kati ya watu wakekanisa ambalo katika kweli kuwasiliana kushikamana pamoja nakupokea msaada wa kifalme cha ukuhani, familia inayofanya kazikwa njia yake, sio mtu ambayo awezi kutoa nguvu za giza.Tukiangalia sana huko nyuma tunakuta sifa za dini na kuonatulipafikia tunakuta kwamba hekalu lililojengwa limekuwasehemu ya kikristu kwa miaka mia moja na makundi matano,mengimengi. Kundi ambalo lilikuwa likipinga neno la Mungu(protestants) liliendelea kutumia mahekalu ya kirumi ilipopitawakati wakutengeneza upya na mtumishi alioitwa Martin Luther,hapo ndipo walipoanza kuelewa kama nao ni warumi. Kamatunavyo msikia mtume Paulo ni kama ilivyo leo. Kubadilikakwingine kunaitajika sana kulikuwa kuongezewa mda wa Luther.Haya ayatakiwi kuuliza tena tunatakiwa tufurahi kwamba mtukama Martin Luther alitaka atoe maisha yake kwakupiga vita dini11

zilizokuwa zikichipuka na kuchangamana na nyumba za mikonoya watu wawakati huo hata hivyo kipimo kikubwa ambachokinaongoza dini nyingi mpaka leo kalichukuliwa pamoja kutokasiku za luther kama kitu chakuabudiwa.Kanisa ambalo Yesu alilijenga (tena anaendelea kuujenga) si hukohapa, au pale. Kwa mda aufanani na sehemu ya mfalme kama viledini zote za kiyuda zilivyokuwa zinafanya.Je, hayo yanamaanisha kupungua kwa matendo, tunda hatakwambalabda inaweza kawa uchache wa mikutano kwenye kanisa? Hapa,sana zaidi Mungu aliluhusu kuharibika kwa dini, yake na kuinuayake ya mwanzo na mawazo ya watu kwasababu ya ugumu wamioyo yao. Lakini hayakuwa hivyo hapo mwanzo; Mungu aliwapawana wake siku ya Jumamosi siku takatifu. Alitupa sisi Yesu aweSabato yamapumziko (Waebrania 4:1-11; Mathayo 11:25-30) tsikuyeyote au nikiwa peke yangu labda tikikusanyika pamoja muhimukama tunaishi na Yesu mahari pakifalme na kuishi nakuwa nayote ndani yake. Kama hakika tunakaa ndani yake kuhalibikana maisha, kupanga siku na wakati maneno ya kubuni yanazuiyana kutananisha na yale ambayo yangefanyika bila hayo katikatiukuhani wa kifalme. Watu wa Mungu wana ufahamu walivyofunguliwa kuwa hai wake pamoja afadhari kusoma hayo manenona kuyaimba tu.Kungekuwa hivyo kizazi kisicho na toba tena wasiojitoa wanaumena wanawake ndio kingekuwa kinataka ufalme wao na saa namahari kwenye kalenda na mipangirio ya yale yatakayo tokeawakati tutakapo fika mbinguni. Kwasababu gani wangewekakutaka kwawo katika kuongezea kwenye desturi zao au namaandalio. Kwasababu kutaka ufalme wa mungu ni la wakati woteukweli ni kwamba kufuata maisha ya Mungu na kukusanyika kwakusudi lake mala kwa mala kwa uwazi hata pia kwenda nyumbahadi nyumba si vyema kutunza kila kitu kwa miaka ishirini itapitawakati wa vinyago.Iyi ni njia ya Mungu, inchi takatifu walitaka ufalme wake, ni Yesuaishie ndani yao:Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume na katika ushirika,na katika kuumega mkate, na katika kusali. Kila mtu akaingiwa12na hofu; ajabu nyingi na ishara zikafanywa na mitume. Na wotewalioamini walikuwa mahari pamoja, na kuwa na vitu vyoteshirika, wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyo kuwa navyo nakuwagawiya watu wote kama kila mtu alivyo kuwa na haja. Nasiku zote kwa moyo mmonja walidumu ndani ya hekalu, wakimegamkate nyumba kwa nyumba, na kushirika chakula chao kwa furahana kwa moyo mweupe, wakimsifu Mungu, na kuwapendezawatu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila kwa wale waliokuwawakiokolewa. MATENDO YA MITUME 2:42 – 47)Maisha ya kulasa ya juu wanayoyaishi ni watu wasioamini, watuwa inje waliomo, wageni waliookoka kutoka kwenye uchoyokuingia kwenye ufalme wa mwanaye aliyependwa kweli si jambogumu kwa watu ambao wanayo Yesu mwenye anaishi ndani yao,wanaenenda kama yeye alivyo kuwa anaenenda, walijaa na wepesiwakufanya mambo ya Mungu ndani ya nyumba ya Baba. MkitoaLUKA 6:1, 14:35 alafu mtaishia na kitu kingine kama MATENDO2: Je, mnaweza mkafikilia sababu nyingine ambazo zinawezazikawakataza kuishi kwaajiri yake yeye aliye wafia ninyi? Mimisina, wote pamoja hatuna.SIFA NYINGINE ZAKUFURAHISHAHivi sasa tunasikitika kuwa na kanisa lisilo na mafundisho yaMungu (shule ya Jumapili) wengine wanasema kwamba wakikuwandipo watakuwa na kanisa jema kama lile Petro na Yohana.Walikuwa wakiongoza lililokuwa na mafundisho ya kwa Munguyalio tengeneza hivi karibuni na watu na kukuza ambayo Yesu naMitume waliyatoa haya: Mambo magumu yalikaa katika siku zakutojua Mungu zamani na warumi.DHABAHU – Ilikuwepo baada ya kufa Yesu (BK) miaka miasitana warumi wakati wa (1520 AD) Martin Luther.YAKUNYUNYIZIA KWENYE KIKOMBE: Wakati wa 800 BKMAFUNDISHO YA VIONGOZI (SEMINARIES) - 1300 BKKufundisha watu (viongozi) ni jambo la kigeni sana tukionamatendo na mafundisho ya Yesu na tena Agano Jipya. Katikaufalme wa Yesu watu walikuwa wanakua katika maisha ya kina sio13

kwamba kuwajaza kama chubu labda tunawafundisha madalasa yauongozi.Vyuo vya Kikristo – yalianza wakati wa 1640 Bk kutoa maafundishoya kikristo.Kuvaa siku ya Sabato – Wakati wakutojua (Dark Ages)Tai za Shingoni – zilianza na watu kutaka mashindano kuona aliyevaa mavazi ya hali ya juu sana katika chakula cha jioni.Mavazi yakifahari malefu – yalianza kusema ambayo wanaochunguzamambo ya zamani na wengine wanao chunguza dunia kutoka Misriwalikuwa hawataki kukosa yalio bakia yakaachwa! Jueni kwambahakuna lililobaya lakini na haya kama yalivyo mavazi mazuri, taishingoni hata kutegemea mavazi mazuri siku ya Sabato hasubuhi,mnisikilize lakini kwamba yanapingana na mafundisho na maishaya aliye kichwa cha kanisa Yesu Kristo. Vyema kama mlivaa vizuriwakati wakwenda kwenye kilio cha ndugu yenu, kwanini muachekuvaa vizuri wakati wakwenda kanisani?Ata kwamba lilionekana ni jambo jema zamani wakati wa 20 centurykatika inchi kama vile marekani na ulaya hayakuwa kama vileYesu alivyokuwa anataka pengine kanisa lilifanya hivyo kwambawatu wavuge hivyo wakati wakwenda kanisani. Yesu ajawahikufanya hivyo, tena akutakiwi. Ninajua yote yamesikika yakigenikwa wale walikuliya kwenye mafundisho ambayo yasio ya Kristo.Kumbukeni kwamba atuoni jawabu la kanisa ambao tunalisomakwenye Biblia, tunaliona kama hilo? Ili sio jambo lakuzalauliwa.Tulichukuliwa na desturi za watu sasa wakati umefika tuwekenyuma njia za kiutoto. (Marko 7:13,12:38-40). Kama mtume Pauloalivyoandika tusihukumiwe na yeyote yule kama tunakaa kwenyeuhuru wa ujumbe wa Yesu. (Tena tusiachane lakini tuone katikanjia ambayo Mungu anaiona).HAPA TENA KUNA MENGINE YAKUSHANGAZATukisema za wainjilisti, wachungaji (muinjilisti wa nguvuanayeongoza shughuri auteseme (Master of Ceremony, Mc) ataviongozi wa kanisani, haya yalianza wakati wa 1520B.K MartinLuther alikuwa anawatumia makuhani wa zamani, waligeuka na14kuendeleza msiba, kwendesha au tuseme kufungisha ndoa, wakatiwa u

Njia ya maisha mapya hii inazidi sana kwakufananisha nayale yanayo patikana kwenye majumba yanayojengwa na watu baki. Mungu anawatengenezea ninyi makao nyumba ya utukufu wake. msifurahie kujenga kwa watu wakati ninyi ni mawe yalio hai – yamechukuliwa kutoka kwenye mwamba ambao ndio Yesu mwenyewe “Alafu

Related Documents:

Mtindo wa uwasilishaji wa mawazo ni mbinu za kimtindo ambazo mwandishi huzitumia kuyadokeza tu mawazo katika matini za fasihi. Kwa mujibu wa Leech na Short (2007) mtindo wa uwasilishaji wa mawazo hutupa uwezo wa kuyajua mawazo ya mwandishi na wahusika. Hii

Chuo Kikuu cha Morogoro cha Kilimo kuwa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo. Seneti ya Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) mwaka 1991 ilipitisha uamuzi kwamba kila mwaka Chuo kitakuwa kinamuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine kwa kuadhimisha kumbukizi ya kifo chake kilichotokea tarehe 12 Aprili, 1984.

04-jan-2019 bldg 5222 martin rd redstone arsenal al 35898-000 i fob: destination 000101 nia nia nia 0002 pop 05-ma y -2017 to nia mlssile defense agency (mda) 04-jan-2019 bldg 5222 martln rd redstone arsenal

Wananchi wengi wanavifahamu vyama vikuu vitatu nchini yaani Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) Wananchi wengi wangewachagua wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kama uchaguzi ungefanyika wakati wa mahojiano. Idadi ya wananchi ambao hawako karibu na chama chochote cha .

Kiswahili Kidato cha 4 Kitabu cha Mwanafunzi iii DIBAJI Mwanafunzi Mpendwa Bodi ya Elimu Rwanda inayo heshima kwa kutoa kitabu hiki cha Somo la Kiswahili Michepuo mingine kidato cha nne kitabu cha mwanafunzi .Kitabu hiki kitakuwa

CHARACTER SHEET Level Other skills: Craft - INT Perform - CHA Knowledge - INT Profession - WIS Ranks Racial, Feats, Synergy Skill Bonus Misc Armour Check Penalty Skill Ranks Level Adjustment Hit Die Untrained Acrobatics DEX-Appraise INT Bluff CHA Climb STR-Diplomacy CHA Disable Device DEX Disguise CHA Escape Artist DEX Fly DEX---Handle Animal CHA

Through the partnership between NHS England and the Academic Health Science Networks (AHSNs), the NIA is making an incredible impact on the NHS and the people it serves. As of February 2020, over 2,210 NHS sites are now using NIA innovations, with more than 134.8m . Sign up to the NIA’s quarterly newsletter, featuring real-world case .

Artificial intelligence (AI) represents vast opportunities for us as individuals and for society at large. AI can lead to new, more effective business models and to effective, user-centric services in the public sector. Norway is well positioned for succeeding with artificial intelligence. We have: a high level of public trust in both the business and public sectors a population and business .