KISWAHILI TUJIVUNIE LUGHA YETU Mwongozo Wa Mwalimu - REB

1y ago
31 Views
8 Downloads
1.66 MB
237 Pages
Last View : 13d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Kelvin Chao
Transcription

KISWAHILITUJIVUNIE LUGHA YETUMwongozo wa MwalimuKidato cha TanoMwandishi: HARERIMANA FideleMichepuo mingineSetting a New Trend in School Books Publishingi

MK Publishers (R) Ltd.Gikondo Industrial AreaB.P 6810 KigaliTelephone: 250785250799Kigali - RwandaMK Publishers Ltd.MK Book HousePlot 1187, KibuyeP. O. Box 12385,Tel: 256-414 - 269150Website: www.mkpublishers.comKampala - Uganda. MK Publishers LtdISBN: 9970-50-359-6 2017 Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kuiga, kunakili, kupiga chapa,kutafsiri wala kukitoa kitabu hiki kwa jinsi yoyote bila idhini ya mwandishi pamojana MK Publishers. Kwa hiyo, sheria kuhusu miliki ya mwandishi nchini Rwandaitaadhibu kinyume cha matumizi ya kitabu hiki.Kitabu hiki kimetengenezwa na:Muteteri TinaKabanda Didasii

DIBAJIKitabu hiki cha Mwalimu cha kidato cha Tano katika Michepuo isiyo ya Lughakimeandikwa kwa madhumuni ya kumsaidia mwalimu kumpa mwanafunzi yaliyomo katika kitabu cha Mwanafunzi ambacho kilitungwa kwa mtindo wa UwezoUegemeao Mtaala ambapo mbinu za kufundishia na kujifunzia zinamshirikishamwanafunzi kimpango na kimatendo. Kitabu hiki kitakuwa mwongozo wa ushirikiano kati ya mwanafunzi na mwalimu katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzajiutakaobainisha stadi za kivitendo na ujuzi ambao mwanafunzi ataupata wakatiatakapokuwa anajifunza na baada ya kufika mwisho wa kila sura au mada yaujifunzaji.Kwa hiyo, Mwalimu anatakiwa kuandaa masomo yake ipasavyo. Pia anaombwa kusoma kwa makini sehemu ya mpangilio wa masomo ya Kiswahili na kuweka vitendoni yaliyomo ndani yake. Isitoshe, analazimishwa kufuata mpangowa maandalio ya somo uliotolewa mwanzoni mwa kila sura. Mpango huo ndioutakaomwezesha kufikia lengo la Kitabu cha Mwanafunzi kwani wanafunzi wotewatashirikishwa kufanya kazi mbalimbali zilizopangwa. Ijulikane kwamba baadhiya wanafunzi hawa kutakuwemo na wale wenye matatizo maalumu ambao watahitaji huduma za kipekee.Masomo yote yanayopatikana katika Mwongozo huu wa Mwalimu yamegawanyika katika mihula mitatu na kila muhula unaundwa na wiki zake. Mwalimu analazimishwa kuzingatia muda uliopangwa ili mambo kama vile maarifa na ufahamu,stadi pamoja na maadili na mwenendo mwema yamfikie mwanafunzi kwa madhumuni ya kumpatia uwezo wa kujitetea na kujitegemea katika maisha yake.Mhaririiii

YaliyomoDibaji .iiiYaliyomo .ivMpangilio wa masomo ya Kiswahili .1Mapendekezo kuhusu huduma kwa wanafunzi wenye matatizo maalumu katika mafunzo yao . 17Shughuli za ufundishaji .19Muhula wa kwanza .23Sura ya 1: Nadharia ya fasihi simulizi ya Kiswahili na tanzu zake . 23Somo la 1: Fasihi ya Kiswahili ni nini? .29Somo la 2: Suala la udhamini wa kazi za sanaa za fasihi simulizi .39Somo la 3: Tanzu na vipera vya fasihi simulizi ya Kiswahili .47Somo la 4: Nyimbo za Kiswahili katika fasihi simulizi .57Somo la 5: Methali za Kiswahili .65Somo la 6: Nahau na misemo ya Kiswahili .72Somo la 7: Vitendawili vya Kiswahili .81Somo la 8: Ushairi wa Kiswahili katika fasihi simulizi .90Somo la 9: Kuainisha sentensi za Kiswahili .97Sura ya 2: Fani na maudhui katika fasihi simulizi ya Kiswahili . 107Somo la 10: Uhakiki katika fasihi simulizi na vipengele vyake . 113Somo la 11: Kuhakiki hadithi za Kiswahili . 119Somo la 12: Kuhakiki methali za Kiswahili . 126Somo la 13: Kuhakiki vitendawili vya Kiswahili . 133Muhula wa pili . 139Somo la 14: Kuhakiki nahau na misemo ya Kiswahili . 139Somo la 15: Kuhakiki nyimbo za Kiswahili . 145Somo la 16: Kuhakiki mashairi simulizi ya Kiswahili . 150Somo la 17: Kutoa maoni binafsi juu ya kazi ya fasihi simulizi . 156Somo la 18: Kutoa uwasilishaji kuhusu kazi za fasihi simulizi . 162Somo la 19: Tuelewe muundo wa sentensi za Kiswahili . 170iv

Sura ya 3: Utungaji wa barua rasmi, simu na matangazo . 180Somo la 20: Utungaji wa barua rasmi au ya kikazi .186Somo la 21: Utungaji wa simu .192Somo la 22: Utungaji wa matangazo .196Muhula wa tatu .201Somo la 23: Kupambanua sentensi za Kiswahili .201Sura ya 4: Ufahamu na ufupisho .209Somo la 24: Ufahamu wa habari .215Somo la 25: Ufupisho wa habari .222Somo la 26: Muhtasari wa matumizi ya nyakati kuu za Kiswahili .227Marejeo . 231v

MPANGILIO WA MASOMO YA KISWAHILIFuata mpangilio wa masomo uliotolewa hapa chini ili kuweza kutoa maudhui yamsingi yaliyokusudiwa kufundishwa katika sura zilizochaguliwa na kumsaidiamwanafunzi kuwa na uwezo unaotakiwa mwishoni mwa kidato cha tano, michepuo isiyo ya lugha, yaani:-Kuwasiliana kwa mazungumzo na maandishi na watu au jamii katika miktadha mbalimbali;-Kulinganisha na kutofautisha fasihi na aina nyingine za sanaa;-Kufanya ufafanuzi wa kina wa tanzu za fasihi ya Kiswahili;-Kusoma na kuhakiki kazi za fasihi simulizi na fasihi andishi;-Kuainisha na kubainisha tanzu za fasihi ya Kiswahili na kuelezadhima ya fasihi katika jamii;-Kufanya mawasiliano rasmi kwa ufasaha akizingatia malengo nanyenzo ya mawasiliano inayotumika;-Kusikiliza, kusoma na kuelewa kwa kina taarifa au habari mbalimbaliza kifasihi na nyinginezo.Kumbuka kuwa Kitabu cha Mwanafunzi kinachohusiana na Mwongozo waMwalimu huu kimeandikwa kwa mtindo wa Uwezo Uegemeao Mtaala ambapombinu za kufundishia na kujifunzia zinamshirikisha mwanafunzi kimpango nakimatendo. Ni kusema kwamba mtindo huu unatoa mwongozo wa maingilianokati ya mwanafunzi na mwalimu katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzajihuku ukibainisha stadi za kivitendo na ujuzi ambao mwanafunzi ataupata wakatiatakapokuwa anajifunza na baada ya kufika mwisho wa kila sura au mada yaujifunzaji.1

2madandongo1.Na32dhariayafasihisimulizi yaKiswahili natanzuzakeMadakuu1.Uwanja wafasihikamasanaaVipindi-Wanafunziwawe nauwezo wakuelezeafasihi yaKiswahili;-Wanafunziwawe nauwezo wakujadilimchangowa fasihi katikaKiswahili najamii.-Wanafunziwawe nauwezo wakuelezeaudhaminiwa kazi zakifasihi2.Suala laudhamini wakazi zasanaaza fasihisimuliziShabaha1.Fasihi yaKiswahili ninini?SuraKazikatika jozi,kazi katikamakundi,kazi yamwanafunzi pekeyake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziKazikatika jozi,kazi katikamakundi,kazi yamwanafunzi pekeyake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziNjia /Mbinu-Vitabu vyafasihi, tanzuza fasihi zilizorikodiwa, matini na majaridayanayoelezeaudhamini,mtandao waintaneti, ubao,chaki nakifutio-Vitabu vyafasihi, tanzuza fasihizilizorikodiwa,mchoro wa sanaa na matawiyake, matinina majaridayanayoelezeamwanzo namaendeleo yafasihi, mtandao wa intaneti,ubao, chaki nakifutioVifaaKufafanuaudhaminiwa kaziza sanaaza fasihisimuliziya Kiswahili katikakuiendeleza jamiiau nchiKufafanuatanzu zafasihi simulizi yaKiswahilina kuzitumia kamasanaa yakuiendeleza jamiiau nchiyakeUwezowa kuendelezwa-Kuheshimu 25na kuhifadhi milana desturiza jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyesha hamuya kuwamsanii.-Kuheshimuna kuhi26fadhi milana desturiza jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyesha hamuya kuwamsanii.Maadili namwenendo-Mafunzo kuhusumazingira namaendeleo yakudumu-Mafunzokuhusu amanina maendeleo-Mafunzo dhidiya mauaji yakuangamiza-Mafunzokuhusu amanina maendeleo (Kuishikwa amani nakuendelezajamii)-Usawa wajinsia;-Mafunzo dhidiya mauaji yakimbari;-Elimu isiyo naubaguziMasuala mtambuka yatakayoshughulikiwaMPANGILIO WA MASOMO KWA MUHULA WA KWANZAIdadi yakaziA.-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:InayofanyiwadarasaniTathmini

3-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutambua, kufafanua kwa kinana kuzielezeatanzu mbalimbali za fasihisimulizi namakundi yakemakuu yaanisemi, masimulizi, ushairi namazungumzo.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutambua nyimbo na kujadilimchango wakekatika jamii.3.Tanzuna viperavya fasihisimuliziya Kiswahili4.Nyimboza Kiswahili katikafasihisimuliziKazi katikajozi, kazikatika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduziKazi katikajozi, kazikatika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi-Vitabu vyafasihi, tanzu zafasihi zilizorikodiwa, mchorowa sanaa namatawi yake,matini na majarida yanayoelezea nyimboza Kiswahili,mtandao waintaneti, ubao,chaki na kifutio-Vitabu vyafasihi, tanzu zafasihi zilizorikodiwa, mchorowa sanaa namatawi yake,matini na majarida yanayoelezea mwanzona maendeleoya fasihi, mtandao wa intaneti,ubao, chaki nakifutioKufafanuanyimboza fasihisimulizi yaKiswahilina kuzitumia kamasanaa yakuiendeleza jamii aunchi yakeKufafanuatanzuza fasihisimulizi yaKiswahilina kuzitumia kamasanaa yakuiendeleza jamii aunchi yake-Kuheshimuna kuhifadhimila na desturi za jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyeshahamu yakuwa msanii.-Kuheshimuna kuhifadhimila na desturi za jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyeshahamu yakuwa msanii.31 -Mafunzo dhidiya mauaji yakuangamiza(Mauaji ya watuwenye ulemavuwa ngozi yaanizeruzeru aualbino)-Mafunzo kuhusuugonjwa wakuambukiza waUKIMWI na madhara yake-Mafunzo kuhusu amani namaendeleo yakudumu-Usawa wa jinsi32 -Mafunzo kuhusuuzalishajimali-Mila na desturi,na kuzalisha kwakiwango-Mazingira namaendeleo yakudumu-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

4Kazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi6.Nahauna misemo yaKiswahili-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutambua nahauna misemo,kuitumia kwakuihusisha namaisha ya kilasiku na kujadili mchangowake katikajamii na lugha.Kazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi5.Methali -Wanafunza Kiswa- zi wawe nahiliuwezo wa kutambua methali, kuzitumiakwa kuzihusisha na maishaya kila sikuna kujadilimchangowake katikajamii.-Vitabu vyafasihi, tanzu zafasihi zilizorikodiwa, mchorowa sanaa namatawi yake,matini na majarida yanayoelezea nahauna misemoya Kiswahili,mtandao waintaneti, ubao,chaki na kifutio-Vitabu vyafasihi, tanzu zafasihi zilizorikodiwa, mchorowa sanaa namatawi yake,matini na majarida yanayoelezea methaliza Kiswahili,mtandao waintaneti, ubao,chaki na kifutioKufafanuanahau namisemoya fasihisimulizi yaKiswahilina kuitumia kamasanaa yakuiendeleza jamiiau nchiyakeKufafanuamethaliza fasihisimulizi yaKiswahilina kuzitumia kamasanaa yakuiendeleza jamiiau nchiyake-Kuheshimu 30 -Mafunzo-Tathminina kuhifadhikuhusuendelezimila na desugonjwa wa au tathturi za jamii.kuambukiza mini ya-Kuitathminiwa UKIMWI ujifunzaji:fasihi na-Amani naInayokuonyeshamaendeleo fanyiwahamu yadarasanikuwa msanii.-Kuheshimu 25 -Mafunzo-Tathminina kuhifadhikuhusuendelezimila na desugonjwa wa au tathturi za jamii.kuambukiza mini ya-Kuitathminiwa UKIMWI ujifunzaji:fasihi na-Usawa wa Inayokuonyeshajinsiafanyiwahamu ya-Mafunzodarasanikuwa msanii.kuhusukuboreshauzazi (kutiimpango waserikali wakuboreshauzazi)

5-Wanafunziwawe nauwezo wakutambuavitendawilina kujadilimchangowake katikajamii.-Wanafunziwawe nauwezo wakutambuamashairina kujadilimchangowake katikajamii.7.Vitendawili vyaKiswahili8.Ushairi waKiswahili katikafasihisimuliziKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduziKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi-Vitabu vyafasihi, tanzuza fasihizilizorikodiwa, mchorowa sanaana matawiyake, matinina majaridayanayoelezeamashairisimulizi yaKiswahili,mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Vitabu vyafasihi, tanzuza fasihizilizorikodiwa, mchorowa sanaana matawiyake, matinina majaridayanayoelezeavitendawilivya Kiswahili, mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutioKufafanuamashairiya fasihisimulizi yaKiswahili nakuyatumiakama sanaaya kuiendeleza jamiiau nchiyakeKufafanuavitendawilivya fasihisimulizi yaKiswahili nakuvitumiakama sanaaya kuiendeleza jamiiau nchiyake-Kuheshimu 27na kuhifadhimila na desturi za jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyeshahamu yakuwa msanii.-Kuheshimu 31na kuhifadhimila na desturi za jamii.-Kuitathminifasihi nakuonyeshahamu yakuwa msanii.-Mafunzokuhusuugonjwa wakuambukiza waUKIMWI-Usawawa jinsia-Kutunzamazingira-Elimuisiyo naubaguzi-Amani namaendeleo-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwa darasani-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwa darasani

62.Uhakiki nauwasilishajikatikafasihisimulizi-Wanafunziwawe nauwezowakubainisha ainaza sentensi zaKiswahili1.Fani na 36 1.Uhakiki-Wamaudhuikatikanafunzikatikafasihiwawe nafasihisimulizi na uwezosimulizivipengele waya Kiswavyakekuelehiliwa nakuelezeauhakikikatikafasihi.9.Kuainisha sentensi zaKiswahiliKazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziKazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduzi-Vitabuvya fasihi,magazeti,kazi za sanaa zilizorikodiwa,mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Kuwezeshamwanafunzikusikiliza, kusoma, kuandikana kuzungumza hadharaniakichambuana kufafanuavipengele vyafani na maudhuivinavyojitokezakatika tanzu zafasihi simulizi yaKiswahili.-Vitabu vya -Kuzingatia ainasarufi yaza sentensi zaKiswahili,Kiswahilimatini namajaridayanayoelezea ainaza sentensiza Kiswahili,mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Kuwa23 -Uzalishanajimali,utarat-Mazingiraibu wana maendekuongoleo ya kuduzwa namu,tafakuri- Mafunzotunduizi.kuhusu-Kumpango suduni waugonjwa wamwafrikuambukizaka.wa UKIMWI-Kufu31 a sentensi zaKiswahili-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Upimaji wajumla auupimaji wakujifunza:Unawanyiwadarasani aunje ya shulekwa muundowa mtihaniwa taifa-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

7-Wanafunzi wawena uwezo wa kufafanua vipengelevya fani na maudhui katika uhakikiwa hadithi simuliziza Kiswahili.-Wanafunzi wawena uwezo wa kujadili matumizi yalugha hususani tamathali za usemi.-Wanafunzi wawena uwezo wa kufafanua vipengelevya fani na maudhui katika uhakikiwa methali zaKiswahili.-Wanafunzi wawena uwezo wa kujadili matumizi yalugha hususani tamathali za usemi.2. Kuhakikihadithi zaKiswahili3. Kuhakikimethali zaKiswahiliKazi katikajozi, kazikatika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduziKazi katikajozi, kazi katika makundi,kazi ya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi-Vitabuvya fasihi,magazeti,kazi za sanaa zilizorikodiwa,mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Vitabu vyafasihi, magazeti, kaziza sanaazilizorikodiwa, mtandaowa intaneti,ubao, chakina ika nakuzungumzahadharaniakichambuana kufafanuavipengele vyafani na maudhui vinavyojitokeza katikamethali zaKiswahili.-Kuwezeshamwanafunzikusikiliza, kusoma, kuandikana kuzungumza hadharaniakichambuana kufafanuavipengele vyafani na maudhuivinavyojitokezakatika hadithisimulizi zaKiswahili.-Kuwa na22utaratibu wakuongozwana tafakuritunduizi.-Kujivuniana kuuteteautamaduniwa mwafrika.-Kuwa na25utaratibu wakuongozwana tafakuritunduizi.-Kujivuniana kuuteteautamaduniwa mwafrika.-Amani namaendeleo,-Usawa wajinsia,-Uzalishajimali-Mafunzokuhusumaendeleoya kudumu-Mafunzokuhusuugonjwa wakuambukizawa UKIMWI(magonjwamengi ya zinaa kama li yako iliuweze kupata faida)-Tathminiendeleziau tathmini au tathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

84. Kuhakiki vitendawili vyaKiswahili-Wanafunzi wawe nauwezo wa kufafanuavipengele vya fanina maudhui katikauhakiki wa vitendawili vya Kiswahili.-Wanafunzi wawena uwezo wa kujadilimatumizi ya lughahususani tamathaliza usemi.Kazi katika jozi, kazikatika makundi,kazi ya mwanafunzipeke yake, michezo, mawasiliano,utafiti, ubunifu naugunduzi-Vitabu vyafasihi, magazeti, kaziza sanaazilizorikodiwa, mtandaowa intaneti,ubao, chakina ika nakuzungumza hadharani akichambua nakufafanuavipengelevya fani namaudhuivinavyojitokezakatikavitendawilivya Kiswahili.-Kuwa na22 -Mafunzoutaratibu wakuhusukuongozwaugonna tafakurijwa watunduizi.kuambuki-Kujivuniaza UKIMna kuuteteaWIutamaduni-Amani nawa mwafrika.maendeleo yakudumu-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwa darasani

9MadakuumadandongoShabaha-Wanafunzi wawe nauwezo wakufafanuavipengelevya fani namaudhuikatika uhakikiwa nahau namisemo yaKiswahili.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kujadili matumiziya lugha hususani tamathaliza usemi.Sura5.Kuhakikinahaunamisemo yaKiswahiliKazi katikajozi, kazikatikamakundi,kazi yamwanafunzi pekeyake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziNjia /Mbinu-Vitabu vyafasihi, magazeti, kaziza sanaazilizorikodiwa, mtandaowa intaneti,ubao, chakina kuandika nakuzungumzahadharaniakichambuana kufafanuavipengele vyafani na maudhui vinavyojitokeza katikanahau namisemo yaKiswahili.Uwezo wakuendelezwaIdadi ya kazi-Kuwa na21utaratibu wakuongozwana tafakuritunduizi.-Kujivuniana kuuteteautamaduniwa mwafrika.Maadili namwenendo-Mafunzokuhusumazingira namaendeleo yakudumu(kuboreshamaisha namazingiraya binadamu)-Elimuisiyo ini-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwa darasaniTathminiVipindi

10Kazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziKazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduzi-Wanafunzi wawe nauwezo wa kufafanuavipengele vya fani namaudhui katika uhakikiwa nyimbo za Kiswahili.-Wanafunzi wawena uwezo wa kujadili matumizi ya lughahususani tamathali zausemi.7.Kuhakiki-Wanafunzi wawe namashairi simuwezo wa kufafanuaulizi ya Kiswahili vipengele vya fani namaudhui katika uhakikiwa mashairi ya Kiswahili.-Wanafunzi wawena uwezo wa kujadili matumizi ya lughahususani tamathali zausemi.6.Kuhakiki nyimbo za Kiswahili-Vitabu vyafasihi, magazeti, kaziza sanaazilizorikodiwa, mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Vitabu vyafasihi, magazeti, kaziza sanaazilizorikodiwa, mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Kuwezeshamwanafunzikusikiliza, kusoma, kuandikana kuzungumza hadharaniakichambua nakufafanua vipengele vya fanina maudhui vinavyojitokeza katikamashairi simuliziya Kiswahili.-Kuwezeshamwanafunzikusikiliza, kusoma, kuandikana kuzungumza hadharaniakichambuana kufafanuavipengele vyafani na maudhuivinavyojitokezakatika nyimbo zaKiswahili.-Kuwa na22utaratibu wakuongozwana tafakuritunduizi.-Kujivuniana kuuteteautamaduniwa mwafrika.-Kuwa na19utaratibu wakuongozwana tafakuritunduizi.-Kujivuniana kuuteteautamaduniwa uuzalishajimali(kuwekeza mali nakutegemeabenki ilikuboreshamaisha yamtu)-Mafunzokuhusuamani namaendeleo(Umoja namaridhiano)-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

11-Wanafunzi wawe nauwezo wa kuelezeahadharani maoni yaokuhusu utanzu wafasihi simulizi ambao wameusoma aukuusikiliza darasanikwa kueleza walichofurahia, walichochukia, walichijifunzana kadhalika-Wanafunzi wawe nauwezo wa kuwasilishamada inayohusianana uhakiki wa tanzuza fasihi simulizi;-Wanafunzi wawe nauwezo wa kulinganisha tanzu moja nanyingine kwa kuelezakufanana na kutofautiana katika vipengelevya fani na maudhui8.Kutoa maoni binafsijuu ya kaziya fasihi simulizi9.Kutoauwasilishajikuhusu kaziza fasihisimuliziKazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziKazi katikajozi, kazi katika makundi, kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduzi-Vitabu vyafasihi, magazeti kuhusu utoajiwa mhadhara,kazi za sanaazilizorikodiwa,mtandao waintaneti, ubao,chaki na kifutio-Vitabu vyafasihi, magazeti kuhusuutoaji wamaoni binafsi,kazi za sanaazilizorikodiwa,mtandao waintaneti, ubao,chaki na kifutio-Kuwezesha mwanafunzi kusikiliza,kusoma, kuandikana kuzungumzahadharani akichambua na kufafanuavipengele vya fanina maudhui vinavyojitokeza katikatanzu za fasihi simulizi ya Kiswahili.-Kuwezesha mwanafunzi kusikiliza,kusoma, kuandikana kuzungumzahadharani akichambua na kufafanuavipengele vya fanina maudhui vinavyojitokeza katikatanzu za fasihi simulizi ya Kiswahili.-Uhuru wa ku17 -Mafunzotoa hoja au makuhusuoni tofauti na yakuzalishamtu mwinginekwa kiwangobila ugomvi(bidhaa zawowote.kweli yaani-Mabadiliko auzisizo zaathari chanyabandia)za kiakili na-Amani nakitabia kutokamaendeleona na ujumbe-Usawa waunaozingatiwajinsiakatika tanzu-Mafunzo dhiinayoshughudi ya mauajilikiwa.ya kimbari-Uhuru wa ku17 -Mafunzotoa hoja au makuhusu amanioni tofauti na yana maendemtu mwingineleo (kuwabila ugomvihudumiawowote.maskini-Mabadiliko auhohehaheathari chanyakwa kuwapaza kiakili nang’ombe)kitabia kutoka-Elimu isiyona na ujumbena ubaguziunaozingatiwa(elimu kwakatika tanzuwote na waninayoshughuawake kuwalikiwa.warithi)-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

123.Mawasiliano rasmi1.Utun- 40gaji wabaruarasmi,simu namatangazo1.Utungaji wabaruarasmi auya kikazi10.Tuelewemuundowa sentensi zaKiswahili-Wanafunzi wawe nauwezo wa kuelezatofauti iliyopo bainaya barua ya kirafiki nabarua rasmi.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutungabarua ya kikazi kutokana na kisa kinachojitokeza.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kukumbukasehemu muhimu zabarua rasmi.-Wanafunzi wawena uwezo wa kutoamfano wa barua zakikazi.-Wanafunzi wawena uwezo wa kukumbuka mambomuhimu ya muundo wa sentensiya Kiswahili nakuchambua sentensi za Kiswahili kwakuonyesha muundowakeKazi katikajozi, kazikatikamakundi,kazi yamwanafunzipeke yake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziKazi katikajozi, kazikatikamakundi,kazi yamwanafunzi pekeyake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduzi-Matini zenyemitindombalimbali yauandishi wabarua, magazeti, mtandaowa intaneti,vitabu, ubao,chaki, kifutio.-Vitabu vyasarufi yaKiswahili,magazetikuhusumuundo wasentensi zaKiswahili,kazi za sanaa zilizorikodiwa,mtandaowa intaneti,ubao, chakina kifutio-Kuwasilianakwanjia fu.-Kuzingatiamuundo wasentensizaKiswahili-Adabu naheshima kwawatu mbalimbalianaowasiliananao.-Ari ya kupendakuwasiliana nawatu kwa kutumia njia tofautiza mawasiliano.-Moyo wakujenga urafikina ushirikianona watu mbalimbali kwa njia yamawasiliano.18-Mafunzokuhusuugonjwa wakuambukiza UKIMWI-Mafunzokuhusuamani namaendeleo(umoja namaridhianobaina yaWanyarwanda)-Kufurahia ku- 25 -Mafunzojua kuchambuakuhususentensi yamaendeKiswahili kwaleo yakuonyeshaharaka yamuundo wake.uchumi-Mafunzokuhusumazingira namaendeleo yakudumu(sigarahuharibuafya yamtu)-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Upimaji wajumla auupimaji wakujifunza:Unawanyiwadarasani aunje ya shulekwa muundowa mtihaniwa taifa-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

13-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutambua mtindo wa simu.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutunga simuya maneno kutokana nakisa kinachojitokeza.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kuelewa sehemu muhimu za simu yamaneno.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutoa mfano wasimu ya maneno.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutambua mtindo wa tangazo.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutunga tangazo kutokana na kisakinachojitokeza.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kuelewa sehemu muhimu za tangazo.-Wanafunzi wawe nauwezo wa kutoa mfano watangazo.2. Utungajiwa simu3.Utungajiwa matangazoKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduziKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi-Matini zenye mitindombalimbaliya uandishi wamatangazo,magazeti,mtandaowa intaneti,vitabu, ubao,chaki, kifutio.-Matini zenye mitindombalimbaliya uandishiwa simu yamaneno,magazeti,mtandaowa intaneti,vitabu, simuya mkononi,ubao, chaki,kifutio.-Kuwasiliana kwanjia yamazungumzo namaandiko rasmi kwakutumiaKiswahilisanifu.-Kuwasiliana kwanjia yamazungumzo namaandiko rasmi kwakutumiaKiswahilisanifu.-Adabu na hes18hima kwa watumbalimbali anaowasiliana nao.-Ari ya kupendakuwasiliana nawatu kwa kutumianjia tofauti zamawasiliano.-Moyo wa kujenga urafiki na ushirikiano na watumbalimbali kwanjia ya mawasiliano.-Adabu na hes17hima kwa watumbalimbali anaowasiliana nao.-Ari ya kupendakuwasiliana nawatu kwa kutumianjia tofauti zamawasiliano.-Moyo wa kujenga urafiki na ushirikiano na watumbalimbali kwanjia ya mawasiliano.-Mafunzo kuhusuuzalishajimali(kuwekeza pesana kuwasiliana nabenki ili kukuzamtaji)-Mafunzo kuhusuamani (mkatabawa amani)-Mafunzo kuhusu ugonjwa wakuambukizaUKIMWI-Mafunzo kuhusu mazingira namaendeleo yakudumu (kuepukana na kuvutasigara)-Usawa wa jinsia-Mafunzo kuhusuuzalishajimali-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani-Tathmini endelezi autathminiya ujifunzaji:Inayofanyiwadarasani

14MadakuumadandongoShabaha-Wanafunziwawe nauwezo wakuonyeshanjia tofautiza uchanganuzi wasentensi yaKiswahili.Sura4.Kupambanuasentensiza KiswahiliKazi katikajozi, kazikatikamakundi,kazi yamwanafunzi pekeyake,michezo,mawasiliano, utafiti,ubunifu naugunduziNjia /Mbinu-Matini zenye mitindombalimbaliya uchanganuzi wasentensi zaKiswahili,magazeti,mtandaowa intaneti,vitabu,ubao, chaki,kifutio.Vifaa-Kuzingatiauchanganuziwa sentensi zaKiswahili-Kufurahia kujuakuchanganuasentensi zaKiswahiliUwezoMaadili nawamwenendokuendelezwa22Idadi ya kaziVipindi-Mafunzokuhusu amani-Mafunzo kuhusuugonjwa iwaC. MPANGILIO WA MASOMO KWA MUHULA WA TATU-Upimaji wajumla auupimaji wakujifunza:Unawanyiwadarasani aunje ya shulekwa muundowa mtihaniwa taifa-Tathminiendelezi autathmini yaujifunzaji:InayofanyiwadarasaniTathmini

154.Kusoma nakutafsiri1.Ufaha- 36mu naufupishoKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduziKazi katikajozi, kazi katikamakundi, kaziya mwanafunzi pekeyake, michezo,mawasiliano,utafiti, ubunifuna ugunduzi-Wanafunziwawe na uwezowa kuelezeambinu za kufahamu kifungu chahabari fulani.-Wanafunzi wawena uwezo kujibukwa ufasahamaswali yanayoulizwa kuhusu kifungu cha habarihusika.2.-WanafunziUfupisho wawe na uwezowa habari kutaja sifa zaufupisho mzuri.-Wanafunziwawe na uwezowa kujadili kanuniza ufupisho wahabari fulani.-Wanafunziwawe na uwezowa kutoa maanainayopatikanakatika aya za kifungu cha habaribila kuyapotosha1. Ufahamu wahabari-Matini zenye habarimbalimbali, taarifa,kandana vinasa sauti,ubao, chaki, kifutio.-Matini zenye habarimbalimbali, taarifa,kandana vinasa sauti,ubao, chaki, kifutio.-Kumwezeshamwanafunzikusomavifungu vyahabari,kuvitafsiri ngu vyahabari nakuvitafsiri-Ukuzaji18wa tafakaritunduizi.-Ukomavuwa akili kwakuyatafsirimaoni yawengine.-Utimizajiwa wajibukatika mbinuza kulitatuatatizo fulani.-Ukuzaji19wa tafakaritunduizi.-Ukomavuwa akili kwakuyatafsirimaoni yawengine.-Utimizajiwa wajibukatika mbinuza kulitatuatatizo fulani.-Usawawa Jinsia-Elimuisiyo naubaguzi-Mila nadesturina kuzalisha kwakiwango-Mafunzokuhusuuzalishajimali-Mazingira namaendeleo yakudumu-Tathmini endelezi autathminiya uji

ni wa kazi za sanaa za fasihi simulizi Vipindi 32 mada ndon-go 1.Na - dharia ya fasihi sim - ulizi ya Kiswa - hili na tanzu zake Mada kuu 1.Uwan-ja wa fasihi kama sanaa A. MPANGILIO WA MASOMO KWA MUHULA WA KWANZA. 3-Tathmi-ni ende-lezi au tathmini ya ujif - unzaji: Inayo - fanyiwa darasani-Tathmi-ni ende-lezi au tathmini ya ujif - unzaji: Inayo

Related Documents:

KI 214 UFUNDISHAJI KISWAHILI KWA WAGENI MBINU ZA UFUNDISHAJI KISWAHILI KWA WAGENI I. Malengo ya ufundishaji lugha kwa wageni Lengo kubwa ni kwamba ili mwanafunzi aweze kujua lugha hiyo kwa stadi zote za lugha ile. Stadi za lugha ni 1. Kusikiliza 2.kuzungumza

inafuata mchango wa baadhi ya wanaisimu wa lugha ya Kiingereza, Kiarabu na Kiswahili walivyobainisha uwepo wa kategoria ya nomino (majina) katika lugha hizi. 1.1.2 Majina Katika Lugha ya Kiingereza Wataalamu mbalimbali wa lugha ya kiingereza wamebainisha kuwepo kw

Kukuza lugha. Aghalabu tungo zote za fasihi hutumia lugha. Isitoshe, fasihi hutumia mbinu nyingi za lugha. Wasimulizi na waandishi wa fasihi huhitaji kuwa na ukwasi wa lugha. Kuhifadhi mila, tamaduni na itikadi za jamii. Aghalabu kazi za fasihi (hasahasa Fasihi Simulizi) huambatanishwa na desturi mbalim

Lugha ya Kiswahili. Changamoto tuliyonayo ni kwa Viongozi wengine kuiga mfano huu na Watanzania wote kuendeleza kazi hii nzuri iliyoanzishwa na Viongozi hawa. Kukua kwa Lugha ya Kiswahili sio tu kutaitangaza Nchi yetu, lakini vilevile, kutatoa ajira kwa Walimu wa Kiswahili

Mawasiliano kwa Wageni wa Lugha”. Nahau hizo zinatumika katika lugha ya maandishi ya Kiswahili na katika mazungumzo ya kila siku. Mtafiti wa utafiti huu aliongozwa na malengo mahsusi matatu ambayo ni kubainisha nahau mbali mbali za lugha ya Kiswahili k

Kiswahili) na Shahada ya Umahiri/Uzamili ya Sanaa katika Kiswahili (MA. Kiswahili – akitamilikia Fasihi) zote kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania. Chuoni anafundisha kozi za Kiswahili - Lugha, Isimu na Fasihi ikiwemo kozi ya Uandishi wa Kubuni. Pia, hufundisha Kiswahili

Kiswahili dialects are endangered by, among other factors, the onslaught of standard Kiswahili, English, and Sheng, and so they are likely to be dying. The paper holds the position that the Kiswahili dialects are vital for the development of standard Kiswahili and, therefore, their endangerment is the endangerment of standard Kiswahili.

Tourism and Hospitality Terms published in 1996 according to which Cultural tourism: General term referring to leisure trav el motivated by one or more aspects of the culture of a particular area. ('Dictionary of Travel, Tour ism and Hospitality Terms', 1996). One of the most diverse and specific definitions from the 1990s is provided by ICOMOS (International Scientific Committee on Cultural .