Maswali Ya Ufuatiliaji Katika Mwongozo Wa Mafunzo Uliochanganywa Wa .

1y ago
53 Views
2 Downloads
3.67 MB
8 Pages
Last View : 14d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Melina Bettis
Transcription

Maswali ya Ufuatiliaji Katika Mwongozo waMafunzo Uliochanganywa wa K4Health

Lengo la Maswali ya Ufuatiliaji katika Mwongozo wa Mafunzo Uliochanganywawa K4Health ni kuwasaidia wakufunzi wanaotoa warsha zisizofahamika zamafunzo yasiyofahamika (pia hujulikana kama isiyofahamika). Inaweza kutumikakatika njia zifuatazo.Uwezeshaji wa Kikundi:Mafunzo ya Kujielekeza Binafsi: Chaugua au buni shughuli za kuwezesha Amua iwapo ungependa kufanya kazikikundi Wezesha shughuli mara moja baada yakusoma au kando kando kwa kipindiFulani cha muda kama inavyotakikana Unda nakala ya Maswali na Majibuili kusambaza wakati wa warsha yamafunzo ya ana kwa anapeke yako au jaribu kufanya kazi namshirika au kwenye kongamano lamtandaoni Rejelea maswali ya hapa chini kwamajadiliano, kwa kutafakari mwenyewe,au majibu yaliyoandikwaShukraniMaswali ya Ufuatiliaji katika Mwongozo wa Mafunzo Uliochanganywa wa K4Health Yalianzishwa na Karen Chio, LizMcLean, Sara Mazursky, na Lisa Mwaikambo kama mojawapo ya Maarifa ya Mradi wa Afya (K4Health) unaopatikanakatika Shule ya Johns Hopkins Bloomberg ya Kituo cha Afya ya Umma kwa Mipango ya Mawasiliano.K4Health inasaidiwa na Afisi ya Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, Taasisi ya Afya Ulimwenguni, Uwakala wa Marekanikwa Maendeleo ya Kimataifa chini ya masharti ya nambari ya ruzuku GPO-A-00-08-00006-00. Maoni yaliyotolewakwenye hati hii hayaonyeshi kabisa yale ya Uwakala wa Marekani kwa Maendeleo ya Kimataifa au serikali yaMarekani.

Uongofu wa Maagizo: Mwongozo wa Mafunzo Uliochanganywawa K4Health1Mafunzo ya Mtandaoni ya Afya Ulimwenguni: Nafasi zaMafunzo YaliyochanganywaMwishoni mwa sehemu hii, utaweza: Kufafanua mafunzo yaliyochanganywa. Kuelezea kozi za Mafunzo ya Mtandaoni ya Afya Ulimwenguni (GHeL) ni zipi. Kutaja manufaa matatu ya kuchanganya kozi za Mafunzo ya Mtandaoni ya Afya Ulimwengunina aina nyingine za uzoefu wa mafunzo.Maswali ya KutafakariJibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii:1. Je, mafunzo yaliyochanganywa ni nini?a. Mchanganyiko wa midia mbalimbali za mafunzo (ana kwa ana, mtandaoni, kuchapisha, mitandaoya jamii) na mazingira ya mafunzo (inayoongozwa na msimamizi, kufanya kazi kwa kushirikiana,mwingiliano baina ya rika kwa rika, utafiti binafsi na kazi ya mtu binafsi) zinazotekeleza na kuongezakasi ya ustadi na kutuma maombi ya kazi.b. Msaada wa utendakazi kwa kipindi fulani cha muda kwa wanafunzi baada ya kufanya kozi ya GHeL.c. Awamu za mafunzo kulingana na Wilson na Biller: kujifunza ndani ya, kwa, na kutoka kwa kitendo.d. Udhibiti binafsi, kozi zinazotegemea intaneti zinazotoa elimu muhimu na inayoendelea kwa mudakwa wataalam wa afya, kutoa maudhui ya ufundi ya hali ya usanii katika mada muhimu za afya yaumma, na kutumika kama rasilimali halisi kwa maarifa yanayoongezeka ya afya ya umma.e. Zote zilizo hapo juu.2. Kozi za GHeL HAZIKO:a. Mtandaonib. Udhibiti wa binafsic. Wezeshwad. Kulenga umiliki wa maarifa ya afya ya ummae. Hazitolewi kwa watu binafsi3. Ni kategoria ipi kati ya zifuatazo za malengo ya mafunzo, kulingana na Taksonomia ya Bloom,zinatolewa na kozi za GHeL (chagua zote zinazotumika):S:M:A:R:T:4. Taja manufaa matatu ya mafunzo yaliyochanganywa:1.2.3.5. Tafakari: katika njia zipi kozi za kunchanganywa za GHeL na uzoefu wa ziada wa mafunzohukusaidia au wenzi wako kutekeleza unachojifunza katika kazi yako?

2Awamu Tatu za MafunzoMwishoni mwa sehemu hii, utaweza: Kufafanua awamu tatu za muda za mafunzo, kulingana na Wilson na Biller. Kutambua ni katika awamu ipi ya muda ya mafunzo ambako hupatikana kozi ya GHeL. Kuelezea mbona uzoefu wa mafunzo unaosaidia mafunzo katika awamu zote tatu unawezakuwa na ufanisi zaidi.Maswali ya KutafakariJibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii:1. Linganisha awamu ya muda ya mafunzo (kulingana na Wilson na Biller) namaelezo yake sahihi:a. Kujifunza kwa ajili ya kitendoi. Kujifunza rasmi maarifa mapyab. Kujifunza kwenye kitendoii. Kujifunza kutokana na uzoefu na kutafakaric. Kujifunza kutokana na kitendoiii. Kujifunza “kazini”2. Je, ni katika awamu ipi ya kujifunza kozi za GHeL hupatikana?a. Kujifunza kwa ajili ya kitendob. Kujifunza kwenye kitendoc. Kujifunza kutokana na kitendod. Yote yaliyo hapo juue. Hamna kati yayaliyo hapo juu3. Tafakari: Je, mbona uzoefu wa mafunzo unaosaidia mafunzo katika awamu zote tatuunaweza kuwa na ufanisi zaidi.

3Kuamua Mbinu InayofaaMwishoni mwa sehemu hii, utaweza: Kufafanua kielelezo cha ADDIE cha muundo wa maagizo. Kuendeleza malengo ya mafunzo ya SMART.Maswali ya KutafakariJibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii:1. Je, herufi hizi zinazofuata humanisha nini katika ADDIE ya kielelezo cha muundo wa maagizo?A:D:D:I:E:2. Je, utaunda maudhui ya mwingiliano wako katika awamu ipi ya ADDIE kati ya zifuatazo?a. Analyze (Changanua)b. Design (Buni)c. Develop (Endeleza)d. Implement (Tekeleza)e. Evaluate (Tathmini)3. Je, herufu hizi zinazofuata humanisha nini katika maagizo ya malengo ya mafunzo ya SMART?S:M:A:R:T:4. Malengo yafuatayo ya mafunzo ni SMART: “Mwezi wa Juni 2013, 60% ya washauri wa VCT(10 kati ya 15) wataongeza pakubwa maarifa yao kuhusu tohara kwa wanaume na uhusianowake na maambukizi ya VVU.”KweliUwongoMbona au mbona isiwe?

4Kubuni Uzoefu wa mafunzo Yaliyochanganywa ya GHeLMwishoni mwa sehemu hii, utaweza: Kufafanua jinsi ya kuchanganua hitaji la mafunzo. Kufafanua jinsi ya kubuni mbinu ya mafunzo yaliyochanganywa ili kuangazia hitaji hili.Maswali ya KutafakariJibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii:1. Je, ni lipi muhimu kati ya yafuatayo kuzingatiwa unapochanganua hali ya sasa ya hadhirayako lengwa?a. Kufikia maarifa na mafunzo mapyab. Teknolojia na Zanac. Rasilimalid. Mudae. Zote zilizo hapo juu2. Mbona usanidi wa Bi. Chipego ulifunga kikundi cha Facebook kwa kushiriki maelezo kuhusuushauri wa tohara ya wanaume miongoni mwa washauri wake? (Chagua zote zinazotumika)a. Kuna maelezo mengi mazuri kuhusu tohara ya wanaume kwenye Facebook.b. Washauri wake waliripoti kuwa tayari wanatumia Facebook kila mara.c. Facebook hutoa njia rahisi na isiyo ghali kwa washauri kushiriki na kufikia maelezo.d. Facebook ni eneo linalofikiwa ili kupanga hati.e. Hamna kati yayaliyo hapo juu.3. Tom anapojumuisha kujadili utumiajiwa kuelewa kwa Marjorie kuhusu mpango wa uzazina muungano wa VVU/UKIMWI katika kazi yake katika misingi maalum ya usimamizi, je,anaunga mkono awamu ipi ya mafunzo?a. Kujifunza kwa kitendob. Kujifunza kutokana na kitendoc. Kujifunza kwa ajili ya kitendod. Yote yaliyo hapo juue. Hamna kati yayaliyo hapo juu4. Tom anapojumuisha kujadili utumiaji wa kuelewa kwa Marjorie kuhusu mpango wa uzazi namuungano wa VVU/UKIMWI katika kazi yake katika misingi maalum ya usimamizi, je, nivipengele vipi vya hali ya sasa ya Marjorie amevizingatia?a. Ukosefu wa ufikiaji katika intanetib. Ukosefu wa mvutio katika mitandao ya jamiic. Ukosefu wa mudad. Ukosefu wa mvutio katika mada inayoangaziwae. Hamna kati yayaliyo hapo juu5. Tafakari: Je, utapima na kutathmini katika njia zipi hatua ya mafunzo unayoishughulikia sasakatika kila kiwango cha 4 cha Kirkpatrick?

5Kufupisha na KushirikiMwishoni mwa sehemu hii, utaweza: Kufupisha masomo matatu makuu ya mwongozo huu. Kutambua unapoweza kuenda kukusanya na kushiriki hoja za kozi zilizochanganywa zaGHeL na uzoefu mwingine wa mafunzo.Maswali ya KutafakariJibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii:1. Unapobuni mbinu za mafunzo yaliyochanganywa za kozi za GHeL, je, utazingatia yapi katiya yafuatayo?a. Kuwasaidia wanafunzi katika awamu zote tatu za muda za mafunzob. Kusaidia utumiaji maombi ya mafunzo ya GHeL kupitia mbinu zilizochanganywac. Mahitaji, teknolojia, na rasilimali (watu, muda, fedha) kwa hadhira yako lengwad. Jinsi utakavyotathmini hatua hiie. Yote yaliyo hapo juu2. Tafakari: Je, utatekeleza katika njia zipi uliyojifunza kutoka kwenye mwongozo huu hadichangamoto zako za sasa za mafunzo?

Jibu Muhimu1Mafunzo ya Mtandaoni ya Afya Ulimwenguni:Nafasi za Mafunzo Yaliyochanganywa1.2.3.4.2aca na b3 kati ya yafuatayo: wanafunzi kuwa na muda mwingi kuliko uliopo katika uzoefu wa mafunzo darasaniili kutekeleza maarifa mapya kazini; uwezo wa kuleta na kujaribu mbinu mpya katika eneo la kazi; kujifunza kutoka kwa na marika; na kuunga mkono muda wa ziada wa mafunzo.Awamu tatu za Mafunzo1. a-i, b-iii, c-ii2. a3Kuamua Mbinu Halali1. Analyze (Changanua) / (Design) Buni / Develop (Endeleza) / Implement (Tekeleza)/Evaluate (Tathmini)2. c3. Specific (Maalum) / Measureable (Inayopimika) / Appropriate (Mwafaka) /Realistic (Ya hali halisi) / Time-bound (Inayozingatia muda)4. Uwongo4Kubuni Uzoefu wa Mafunzo Yaliyochanganywa ya GHeL1.2.3.4.5eb na cacKufupisha na Kushiriki1. e

Maswali ya Kutafakari Jibu maswali yafuatayo ili kujaribu mafunzo yetu kutoka katika sehemu hii: 1. Linganisha awamu ya muda ya mafunzo (kulingana na Wilson na Biller) na maelezo yake sahihi: a. Kujifunza kwa ajili ya kitendo i. Kujifunza rasmi maarifa mapya b. Kujifunza kwenye kitendo ii. Kujifunza kutokana na uzoefu na kutafakari

Related Documents:

MASWALI NA MAJIBU ميِحِرلا َّنِمَٰحْرلا َِّالل َّمِسِْب NENO LA MCHAPISHAJI M aswali na Majibu ni kitabu kinachotoa mwongo-zo kwa njia ya maswali na majibu. Kitabu hiki ni mkusanyiko wa maswali aliyoulizwa Sheikh Hasan al-Saffar katika programu yake ya maswali na majibu ili-yoandaliwa katika tovuti yake.

1. Pata orodha ya maswali yako na uifungue kwenye ukurasa wa kwanza. 2. Tumia habari katika mwongoza huu wa Kiswahili kuweka alama kwa majibu yako kwenye karatasi ya orodha ya maswali la Kiingereza. USIANDIKE MAJIBU YAKO KWENYE MWONGOZO HUU. 3. Kabla ya kujibu swali la kwanza, hesabu watu wanaoishi katika nyumba

4. Biblia inajibu maswali tunayojiuliza Mwanamke fulani alitambua kwamba Biblia ina majibu ya maswali yaliyomhangaisha kwa miaka mingi.OnyeshaVIDEO,kisha mzu-ngumzie maswali haya: Katika video hiyo, mwanamke huyo alijiuliza maswali gani? Kujifunza Biblia kulimsaidiaje? Biblia inatutia moyo tuulize maswali.SomaMathayo 7:7, kisha mzungumzie .

MASWALI NA USAHIHISHO 102 1B KISWAHILI KARATASI 1B OCT/ NOV 1995 2 ½ HOURS Jibu maswali yote 1. UFAHAMU Soma Makala yatuatayo kisha ujibu maswali Ama kweli maisha ya vijana wa kisasa yanatofautiana na kuhitilafiana pakubwa na yale ya wazee wao. Sio katika mavazi, lugha, mienendo, mitazamo, mawazo tu bali pia katika kipengele kingine chochote

MASWALI & MAJIBU UTARATIBU, SIFA NA VIGEZO VYA UTOAJI MIKOPO KWA 2018/2019. Tunawawezesha Wahitaji 2 1. Swali: Ninapaswa kufanya nini ili niweze kuanza kuomba mkopo kwa njia ya mtandao (OLAMS)? Jibu: Soma mwongozo uliotolewa na Bodi ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz). Baada ya kuusoma Mwongozo, fungua mtandao

RIPOTI YA DUNIA YA UFUATILIAJI WA ELIMU ilIcMUHTASARI Dibaji Ripoti yaDunia ya Ufuatiliaji wa Elimu ya mwaka wa 2019imeandaliwa kwa kuwashirikisha timu ya wahamiaji wa kimataifa. Wanne kati yao ni watoto wa wakimbizi. Ha

maswali yeye aliuliza ilikuwa, 'Biblia ina hadithi kuhusu mtu ambaye alimezwa na samaki mkubwa. Alikuwa nani? Asilimia themanini ya watu katika kundi hilo, kwa ushujaa wakasema, 'Pinocchio!' Marla aliniambia tukiwa bado katika ibaada kwamba swali hilo bado liliulizwa katika kanisa ambako alihundumu katika Kusini mwa California na

ALBERT WOODFOX CIVIL ACTION (DOC# 72148) VERSUS BURL CAIN, ET AL NO. 06-789-D-M2 MAGISTRATE JUDGE’S REPORT This matter is before the Court on the original and amended petitions for writ of habeas corpus (R. Doc. 1 and 12) filed by petitioner, Albert Woodfox (“Woodfox”). The State has filed an answer and a memorandum in support of answer (R. Docs. 21 and 22), to which Woodfox has filed a .