Mbinu Za Vikundi Katika Darasa Lenye Wanafunzi Wengi.

1y ago
2 Views
2 Downloads
4.31 MB
12 Pages
Last View : 1m ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Harley Spears
Transcription

TOLEO LA 12, JULAI 2020Mbinu za Vikundi Katika DarasaLenye Wanafunzi Wengi.2. Mwalimu wa DigitaliUfundishaji na mabadiliko ya teknolojia6. Mwalimu MkuuNafasi yake katika kuelekea mafanikioya Ufundishaji na Ujifunzaji

WMoyo wa Mwalimuengine huja wakitabasamu, wenginekwa macho ya machozi. Wenginewakiwa wamelowa jasho kwa kutembea umbali mrefu kati ya nyumbani nashule, wengine huja wakiwa wamejikunyata kwenyeviunga nje ya darasa wakitetemeka kutokana na baridi. Jambo moja huwafanya wote kuwa sawa ni sare zaowalizovaa.Kengele ya asubuhi inalia na hukimbilia kwenyemadarasa yao, wakichukua vitabu vyao na vifaavingine vya kujifunzia na kuviweka tayari kwa kujifunza kama vile ndio tumaini lao la mwisho. Makumiau mamia yao huelekea kwenye madawati yao, wakichukua viti kabla ya mwalimu kuingia darasani.Mwalimu huingia akitabasamu na baada tu yakusema, “Habari za asubuhi wanafunzi .” watotokwa pamoja hujibu na kuitikia kwa kutabasamu, nahivyo kusababisha hali ambayo inafanya kufundishana kujifunza vyema.Jambo moja la kweli, wanafunzi wote wanawezawakawa wamevaa sare na kufanya kufanana lakinihutoka mazingira mbalimbali. Watoto wengine hutoka kwenye familia tofauti tofauti wengine katika familia ya mzazi mmoja; wengine katika familia ya babana mama, wengine katika familia kubwa; wenginekutoka familia zilizovunjika na wengine ni yatima.Inahitaji kuwa zaidi ya mwalimu kuelewa wanafunzi hawa kwani hakuna njia moja na mfanano katikamaisha.Ukielewa mtoto mmoja mmoja, basi utajua jinsiya kuwasaidia shida zao katika kujifunza na tabia zao.Inachukua jukumu la mwalimu kuwa kama mzazi ilikuweza kufanikisha malezi bora. Hatufundishi tu kwamadhumuni ya kielimu au taaluma, lakini pia tunatoa maarifa mapana kusaidia wanafunzi wetu kuwajibika zaidi, na kuishi maisha yanayokubalika katikajamii kadiri wanavyokua. Kama mzazi anavyolea nakuwatunza watoto wao, sisi waalimu tunalo jukumuhilo pia. Jukumu la malezi na makuzi linapaswa kuwamsingi wa kazi na taaluma yetu.Kama mwalimu, wewe ni mfano wa kuigwa, mzaziwa pili na mwongozo kwa maisha yote ya wanafunziwako. Watoto ni kama saruji iliyo mbichi; ambayo huweza kuwekwa alama kwa kila kitu ambacho wamefundishwa. Kwa hivyo, walimu wanapaswa kuwa nauhusiano zaidi ya ule wa kitaaluma ili kuhamasishaToleo La 12, Julai 2020 01wanafunzi kuelekea katika ukuaji bora na hatimayekufurahi katika kujifunza masomo yao.Je, Kwako! Kufundisha ni kazi inayolipa bili au nimaisha yako kwa ujumla? Kama mzazi wa pili, fanya kazi katika kujenga akili na maadili ya watoto, kuwasaidia kutambua talanta zao na kufikia malengoyao.Wanafunzi hutumia wakati au muda mwingi shuleni kuliko nyumbani, kwa hivyo tunahitaji kuwafanya wahisi kuwa wako salama vya kutosha. Hatimaye,watakuwa makini zaidi katika masomo yao na watawaheshimu walimu wao kwa kuonyesha tabia nanidhamu bora.Mwalimu anapaswa kumwona mwanafunzi kamarafiki na kuwa mmoja kama wao. Mara tu mwanafunzi anapohisi kuwa mwalimu anathamini na kutambuajinsi mwanafunzi anavyojihisi yeye kama mwanafunzi, wanafunzi wanahisi wako kwenye ukurasa mmojana waalimu wao na kwa kweli watamuamini mwalimuwao zaidi.Tunapaswa kutoa mwongozo zaidi kuliko kuhukumu, kukosoa au hata kuwapa majina mabaya watoto.Hii huwafanya wajisikie salama, na hata kuwageuzawale wasiofaa zaidi kuwa washiriki wazuri darasani.Mwalimu mwenye furaha hufanya wanafunziwenye furaha ambao huleta mazingira ya kufundishana kujifunza kuwa mazingira salama na kufanya kilasiku kuwa ya furaha kwa kila mwanafunzi!

Mwalimu Wa DigitaliNa Mwl, Abdul Mdee, Mkuu wa Shule ya Msingi Usa, Wilaya ya Meru-Arusha.Napenda kuchukua fursa hii ya pekee kusemamachache kuhusu mabadiliko ya karne ya21 na umuhimu wa sisi kama walimu kubadilika ili kuendana na madiliko hayo na kuleta tija katika ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunziwetu.Ni ukweli usiofichika kwamba tupo katikakarne ya 21 na kumekuwa na mabadiliko makubwa ya kitekinolojia na mabadiliko haya kutufikishakatika zama mpya ya habari na mawasiliano auulimwengu wa kiditali- “The Information Age”. Katika zama hizi tumeshuhudia mapinduzi ya kidijitiambayo hufanya hata sisi wenye kuona kuwa kunautofauti mkubwa sana kati ya mwaka hadi mwaka mwingine. Madiliko haya hutuonyesha utofautimkubwa kati ya ulimwengu tulio kua sisi tukiwawatoto na ulimwengu ambao wanafunzi wetu wanakuwa sasa. Mfano mzuri katika hili ni upatikanaji wa habari na taarifa kwa sasa nitofauti sana nahapo zamani. Tunashudia leo jinsi gani taarifa auhabari zinavyopatikana na kusambaa kwa urahisina haraka tofauti na hapo awali.Utofauti kati ya ulimwengu tuliokuwa sisi kamawatoto na ulimwengu wa sasa, unatutaka sisi kamawalimu pia kubadilika kwa namna tofauti tofauti.Kwa mujibu wa kazi yetu ya ufundishaji tunahitajika kubadilika kuendana na uhitaji wa mwanafunziau mtoto wa sasa. Kwani ni dhahiri kwamba jinsiulivyojifunza wewe wakati ukiwa darasa la kwanza sio sawa na mtoto waleo wadarasa la kwanza anapaswa kujifunza. Kwani katika ulimwengu wa sasa tumeona utofauti mkubwakatika maswala kama vile intaneti, simu janja, biashara za mitandaoni, mitandao ya kijamii kamavile WhatsApp, tweeter, maktaba za mtandaoni,nakadhalika.Kulingana na mabadiliko haya, tuhitaji mwanafunzi ambaye huweza kufikiri kwa kina, kudadisina kuhoji mambo kwa mtazamo tofauti tofauti,mwanafunzi ambaye anaweza kufanya mawasiliano vyema, kushirikiana na mwenye ubunifu katikakutatua changamoto mbalimbali zinazotuzunguka. Hatuwezi kufanikiwa tusipo badilika hususanikwa sisi walimu katika kujifunza ili kujijengeauwezo wa kutosha katika ufundishaji wetu kwaujumla.Hivyo tunaona dhahiri kwamba siwezi kufundisha kwa namna ileile ambaye mimi nilifundishwamiaka kumi au miaka ishirini iliyo pita. Ili kuwezakuhakikisha wanafunzi wangu wanafanikiwa kitaaluma na kimaisha nilazima kufundisha kulinganana uhitaji na mabadiliko ya ulimwengu wa sasa.Swali ni kwamba, sisi kama walimu tumewezajeau tunatumiaje fursa za mapinduzi haya ya kidijitikatika kujijengea maarifa na ujuzi mpya na hatimaye kuboresha ufundishaji wetu na ujifunzaji wawanafunzi? Je, wajua kuwa kuna maarifa na ujuzimwingi unaweza kujipatia kwa sasa kupitia mapinduzi ya kidijiti?Toleo La 12, Julai 2020 02

Toleo La 12, Julai 2020 03Walimu wengi tumezoea kupatiwa mafunzo yamoja kwa moja yaani warsha kama njia ya kutujengea uwezo wa kufanya vizuri zaidi katika kazi yetuya ufundishaji. Ni kweli kabisa serikali ya Tanzania na wahisani mbalimbali wa elimu wamekuwamstari wa mbele katika kuhakisha walimu tunauwezo wa kutosha na kutupatia warsha na rasilimali mbalimbali. Lakini katika ulimwengu huu wasasa wa mapinduzi ya habari na mawasiliano unaweza wewe mwenyewe kuamua unavyotaka kwakupitia nyenzo na fursa mbalimbali za kimtandao.Unaweza kuamua kuwa mwalimu mahiri kwakujiongezea maarifa na kutumia rasilimali mbalimbali zilopo katika tovuti na sehemu mbalimbaliza mtandaoni kukuza umahiri wako na hatimaekuboresha ufundishaji na matokeo ya ujifunzajikwa wanafunzi wetu.Tofauti na hapo zamani, leo uzoefu wangu unanionyesha kwamba kuna idadi kubwa yawalimu ambao humiliki smartphones (simu janja).Pia kulingana na tafiti mbalimbali zilizofanyikakusini mwa bara la Afrika inasemekana zaidi yawatu milioni 250 wanatumia simu za mkononi nawalimu wakiwemo. Hivyo mimi kama mwalimuninapenda kutoa wito kwa walimu wenzangu kutumia nyenzo hii ya pekee ambayo inaweza kutuunganisha na kuturuhusu kupata maarifa na ujuzimpya, mbinu, mikakati, zana na rasilimali mbalimbali kuboresha ufundishaji na ujifunzaji katikamadarasa yetu. Sambamba na hili tunaweza kutumia applications mbalimbali kama vile google,youtube, websites za kieleimu, na kadhalika katikakujipatia maarifa na ujuzi na hatimae kufundishiakwa ufanisi zaidi. Hatuwezi kuhakikisha tunakuakatika kada yetu ya ualimu lakini pia kuwa fundisha vyema watoto kwa kutegemea pekee mafunzoya warsha na kitabu cha kiada cha darasani.

Mbinu za VikundiKatika DarasaLenye WanafunziWengiMara nyingi walimu tunapata changamoto kubwa sana ya kutumia mbinushirikishi kwa kusema kuwa tuna wanafunzi wengi darasani kuliko kawaida.Kulingana na changamoto hii walimu wengi tumejikita katika ufundishaji ambao haumzingatii mwanafunzi. Licha ya changamoto hii badoyatupasa kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanashiriki somo kikamilifu kwa kadiri iwezekanavyo ili waweze kujifunza kwa umahiri unaotakiwa katika kila somo. Kwa msingi huo ninapendakutumia fursa hii kuonyesha jinsi gani mwalimuanaweza kutumia kazi za makundi kama moja katiya mbinu shirikishi za kufundishia na kujifunza.Pia kupitia mfano wa andalio la somo, tunawezakujifunza zaidi jinsi gani ya kutumia mbinu ya kaziza makundi darasani.Kazi za vikundi ni mbinu ya majadiliano bainaya mwanafunzi na mwanafunzi. Mbinu hii ambayoni shirikishi na huhusisha zaidi ubongo kulikozile nyingine ambazo hazimzingatii mwanafunzi.Hivyo kazi ya vikundi inafaidisha wanafunzi wengi, hata kama wanafunzi wachache wanakuwa njeya kazi. Katika kazi ya vikundi, wanafunzi wenyeuwezo wa juu wanapata fursa ya kufundisha wanafunzi wenye uwezo wa chini, ambao wakatimwingine hufanikiwa zaidi kuliko mwalimu anapofundisha. Hatimaye, kazi ya vikundi hutoa fursakwa wanafunzi kujifunza ujuzi halisi au stadi zamaisha kama vile ushirikiano na mawasiliano, ambayo ni muhimu katika ulimwengu halisi.Katika kazi za vikundi kuna mambo kadha wa kadha ya tupasa kuyazingaitia:i) Uundaji wa makundi,ii) Shughuli za vikundi,iii) Majukumu ya Mwalimu naiv) Majukumu ya mwanafunzi.i)Uundaji wa makundi: Ili mbinu hii iweze kufanikisha ujifunzaji wa wanafunzi kwa ufanisi wahali ya juu ni vyema mwalimu ukazingatia mambo yafuatayo. Baadhi ya vigezo ni kama vile: Idadi ya wanafunzi katika kila kundi. Inapendekezwakwamba kuwe na idadi chache ya wanafunzi katikakila kundi kulingana na idadi ya jumla ya wanafunziwako katika darasa. Kufanya hivyo utatoa nafasi yakila mwanafunzi kushiriki kikamilifu na kujifunzavyema. Pia uundaji wa makundi uzingatie uwezotofauti tofauti wa wanafunzi yaani kuwe kunamchanganyiko wa wanafunzi wenye uwezo mkubwawa kati na wale ambao uwezo wao upo chini. Bilakusahau uwepo wa jinsia tofauti tofauti katika kilakundi. Hii hutoa fursa ya kila mwanafunzi kujifunza kutoka kwa mwanafunzi mwingine.ii)Shunguli za vikundi: Jambo jingine la kuzingatia ni kazi au shughuli ambazo kila kundi litapatiwa kufanya. Ni vizuri kuwa na kazi za makundikabla ya kuingia darasani kadhalika kazi hizo ziwezinamaelekezo yanayojitosheleza. Kabla ya wanafunzi kukaa kwenye makundi yao ni vyema wakafahamu jambo au kazi wanayo tarajiwa kufanya.Pia inashauriwa kila kundi liwe lina kazi tofauti nakundi lingine kwa kufanya hivyo utaepuka kurudiajambo moja mara kwa mara kadhalika wanafunzihawata poteza mwitikio wakati wa uwasilishaji nakuwezesha kila mwanafunzi na kikundi kujifunzakutoka kwa kundi lingine. Muda wa wanafunzi kufanya kazi hizo za makundi ni lazima uzingatiwena uwe na uhalisia na kila kikundi waweze kujua nimuda gani watatumia kufanya kazi yao.Toleo La 12, Julai 2020 04

iii)Majukumu ya mwalimu: Jukumu la mwalimuni kutayarisha mazingira yafaayo kwa ujifunzaji wa mada,mazingira ambayo wanafunzi walewataingiliana na kuwasiliana. Mazingira ambayomwalimu mwenyewe atajizuia au kusema yalewanafunzi wake wanaweza kufanya au kusema.Mwalimu anatakiwa kuandaa shughuli za vikundina kuhakikisha kila kiongozi wa kikundi anapatikana. Kusimamia muda wakati shughuli za vikundizikiendelea. Vilevile mwalimu anatakiwa kuzungukia kikundi kimoja baada ya kingine kuona kazizinavyotendeka na kama kuna mahali penye shidakusaidia kundi. Mwalimu anapaswa kuwahimizawanafunzi kujitegemea wao kwa wao hivyo wanapaswa kushirikiana badala ya kushindana. Hivyomwanafunzi anatakiwa kuongoza wanafunzi kwakueleza tu na wanafunzi ndio hufanya shughuli darasani.Pia mwalimu huondoa tofauti miongoni mwawanafunzi na kusaidia wanafunzi walemavu nakubuni mikakati ya kuhakikisha ubora wa ujifunzaji katika vikundi. Hali ambayo huchangia ushiriki wa wanafunzi wote na kuweza kuwajibika katika shughuli za kundi lao. Wanafunzi walemavuwana nafasi ya kushiriki na kukuza stadi kama vilekuzungumza. Mara baada ya vikundi kumaliza kazizao, toa nafasi ya vikundi kuwasilisha walichojifunza na kutoa ufafanuzi kwa kifupi.iv)Majukumu ya mwanafunzi: Kutambua majukumu ya mwanafunzi katika kazi za vikundi hutuwezeshakujua kama wanafunzi wanafanya yale yawapasayo nakujifunza vyema. Kila mwanafunzi anapaswa kushiriki katika kutoa mazwazo yake kwa kundi, kuheshimumawazo ya mtu mwingine, kuwasilisha yaliyo jadiliwakwa wengine na kuchukua nukuu.Toleo La 12, Julai 2020 05

Mwalimu MkuuUNafasi yake kuelekea Mafanikio katika Ufundishaji na Ujifunzaji.ongozi na usimamizi bora wa shule unamchango mkubwa sana kwa mafanikio yamwanafunzi mmoja mmoja na kwa shulekwa ujumla. Uongozi bora katika shule nijambo la msingi sana hasa nyakati zetu hizi. Makala hii itaangazia nafaasi ya mwalimu mkuu katikakusimamia mafanikio ya shule katika ufundishajina ujifunzaji. Tafiti zinaonesha kuwa mafanikioya taasisi yoyote yanategemea kwa kiasi kikubwaufanisi wa mifumo ya uongozi na usimamizi wake.sehemu na maeneo ya mkusanyiko ya kijamii ambayo hawategemewi kuonekana! Kuna namna yalugha na misemo ambayo hawapaswi kuchangamana nayo, ipo mitindo ya mavazi ambayo taaluma yao haiwaruhusu kuvaa! Haya ni baadhitu ya mambo ambayo mwalimu mkuu anaalikwakuwa mfano wa kuigwa na waalimu wengine.Mwalimu Mkuu na jamii inayomzungukaShule zetu sio visiwa – ni sehemu ya jamii. Mwalimumkuu anapaswa kuijua vema jamii inayomzunguNafasi ya Mwalimu Mkuu kama Msimamizika na kujenga nayo mahusiano mazuri. Kwa njiaMafanikio ya shule yoyote hutegemea ufanisi wa hii ataweza kuwafanya wanajamii kuvutiwa na kimwalimu mkuu katika usimamizi wake. Hapa nachoendelea shuleni hasa kuhusiana na elimu yakwetu Tanzania waalimu wakuu huteuliwa kuto- watoto wao. Elimu wanayopata wanafunzi shulenika miongoni mwa walimu waliopo kazini. Ndio ni lazima iakisi maisha ya kawaida kwenye jamiikusema walimu wote wanapaswa kujua na kujen- zao. Ilenge kuboresha hali ya maisha kwenye jamii.ga umahiri katika uongozi. Mwalimu anapoteuliwa Mwalimu Mkuu achagize matumizi ya elimu inayokuwa mwalimu mkuu anajikuta ghafla katika waji- tolewa shuleni iboreshe mifumo ya maisha ndanibu tofauti, majukumu tofauti, changamoto tofauti, ya jamii. Kwa mfano dhana ya usafi wa mwili nakujitoa kwa upya nakadhalika.mazingira, maadili mema, kilimo cha bustani zaHata hivyo mwalimu mkuu analojukumu la mboga mboga n.k zidhihirike katika maisha yakuyaweka wazi malengo ya shule kwa kila mdau jamii wanayotoka wanafunzi.na kuhakikisha kuwa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, rasilimali fedha kwa matumizi ya shule Mwalimu Mkuu na Walimu wenzakevinapatikana pamoja na kuwatia moyo waalimu, Ubora na weledi wa mwalimu mkuu kama kionwanafunzi na wazazi ili kuleta uhai ndani ya shule gozi unahitajika sana katika mahusiano yake nana kuboresha utendaji kazi. Ndio kusema kuwa waalimu wenzake ili kufikia malengo mahususi yamwalimu mkuuu anawajibika kaatika Nyanja kad- shule kama taasisi na kwa namna ya pekee malenhaa ambazo anatakiwa wajibike kwazo.go ya ufundishaji na ujifunzaji. Katika kuwasimamia walimu wenzake kwa ufanisi, mwalimu mkuuMwalimu Mkuu na Mwajiri wakeanapaswa kufikiri na kuzingatia mambo kadhaa yaMwalimu Mkuu anawajibika kwa mwajiri wake. msingi:Waajiri wanategemea ubora wa kazi, uaminifu na Heshima: Awe mstari wa mbele na mfano borauadilifu. Haya ni mambo matatu ambayo yakizinwa kuigwa kwa kujiheshimu na kuwaheshimugatiwa yatamsaidia kujenga mahusiano mazuri nawengine na kuwaamini anaowaongoza na jamiimwajiri wake na hivyo kuchangia katika mafaniinayomzunguka kwa ujumla.kio yake kama kiongozi na msimazi wa shule kwa Haki: Awe mtu wa haki na usawa. Asionesheujumla. Ndio kusema, mwalimu mkuu ajitahidiupendeleo kwa baadhi ya walimu, wafanyakukwepa vishawishi vya kutumia vibaya mamlakakazi au wanafunzi. Hili linaweza kusababishana majukumu waliyopewa na waajiri wao.kutokuelewana na kufifisha ufanisi kama timuyenye malengo mamoja.Mwalimu Mkuu na taluma ya Ualimu Kutunza Siri: Anapaswa kuheshimu na kutunTaaluma ya ualimu ina maadili na miiko yake.za siri za walimu/wafanyakazi wengine anazoMwalimu mkuu kama walimu wengine, ni lazimajua kutokana na utendaji wake wa kila siku.awe mfano katika kuzingatia maadili ya kazi yaAjitahidi asiwajadili/kuwasema kwa wengineualimu. Kwa kuheshimu nafasi yao, kunakwani wakijua watajisikia vibaya na akakosauaminifu (trust).Toleo La 12, Julai 2020 06

Kiungo: Awaunganishe walimu wenzake watembee pamoja katika kufikia malengo yashule. Uongozi bora unahusisha uwezo wakuwaunganisha walimu wote na kuwa kitu kimoja kwa manufaa ya shule na katika kufikiamalengo ya ufundishaji na ujifunzaji. Maadili na Weledi: Aoneshe juhudi za makusudi za kukuza maadili na weledi kwa wafanyakazi wote. Maadili mema kama nilivyotanguliakusema ni tunu msingi kwa kada ya ualimu. Kukaimisha Majukumu: Aweze kuwaaminiwaalimu wenzake na kukaimisha (delegate)baadhi ya majukumu kwa waalimu wenginekadiri ya uwezo, uzoefu na viwango vyao vyauaminifu. Akumbuke daima kuwa yeye ndiyeatakaye wajibika hivyo awe makini katika kukaimisha majukumu na madaraka yake. Uongozi Shirikishi: Ajaribu sana kuwashirikisha walimu wenzake kabla hajafanya maamuzimakubwa ya kikazi yatakayowahusu aidhakama watekelezaji wake au wasimamizi wa tekelezaji wa maamuzi hayo. Mawasiliano: Zaidi ya yote ajitahidi kuboreshamfumo wa mawasiliano katika shule yake. Tafiti zinaonesha kuwa mawasiliano mazuri (effective communication) ni kama moyo wa tasisiyoyote. Ajenge mfumo mzuri wa mawasilianoutakaowezesha wadau kupata taarifa muhimukwa wakati pamoja na kutoa mrejesho (feedback) kwa wakati. Mawasiliano hafifu, yasiyozingatia muda (time frames) yamekuwa sababuya utendaji mbaya na ufanisi hafifu kwa waalimu wakuu wengi na kwa uongozi wa taasisikwa ujumla.Kwa kuhitimisha, inafaa sana waalimu wakuu wajue na kuzingatia kuwa wao sio waalimu wakuukwa ajili yao! Cheo chao ni dhamana na wanaalikwa kukitumia kuwahudumia wanaowaongozana kamwe isiwe ni fursa ya kujinufaisha binafsibali nafasi ya kuwaongoza waalimu katika kufikiamalengo ya elimu bora kwa wanafunzi wao, ambao kimsingi ndio kiini cha uwepo wa shule na nafasi zao.Rejea:Bakda, S. (2004). Management and Evaluation ofSchools. Nairobi. Oxford University Press, East AfricaLtdConlow, R. (2005). Excellence in Supervision: EssentialSkills for New Supervisor. New Delhi. Crisp Publications IncMbiti, D.M. (2009). Foundations for School Administration. Nairobi. Oxford University Press, East Africa LtdToleo La 12, Julai 2020 07

Najivunia kuwa MwalimuUalimu ualimu! Upo kwenye damu yangu.Niliupenda tangu nikiwa mdogo, darasa la sitatuseme. Mwalimu wangu wa hisabati alinifanyanipende ualimu kwa jinsi alivyokua anafundishakwa juhudi, huku akijitahidi kutumia mbinu zinazomsaidia mwanafunzi aelewe haraka na apendesomo hilo, ambalo watu wengi wanalihofia.Ni miaka 14 sasa, nafundisha masomo yakuhesabu, kusoma na kuandika darasa la pili.Naipenda sana kazi yangu, maana nafundisha ilapia mara nyingine nafundishwa na najifunza mengi kila siku yanayohusu kazi yangu ya ualimu.Napenda nikushirikishe vitu viwili muhimuambavyo nimevivuna katika hii kazi na ningependa walimu wengine wajifunze.Hivi vitu vimenisaidia ndani na nje ya darasakatika maisha ninayoishi na jamii ilionizunguka.au mada kuzingatia azimio la kazi, huku nikiwapa wanafunzi wangu kipaumbele maana waondio watendaji wakuu katika swala zima la ujifunzaji.Hii inamsaidia sana mwanafunzi kukumbukaalichojifunza na alichofundishwa.Pia, nawapa wanafunzi nafasi ya kutengenezazana ili kuwajengea ubunifu na kutunza kumbukumbu na tabia ya kushirikiana vizuri na wanafunzi wengineNapenda sana kutumia mbinu shirikishi darasani. Siku moja, nilikua darasani nikagunduakuna mwanafunzi mmoja hashiriki ipasavyo. Alikua analala darasani kama anaumwa, basi nikachukua jukumu kumhoji mara baada ya kipindi.Alinieleza mambo mengi yanayomsumbuampaka kumkosesha utulivu darasani.Alikua nanjaa, hana daftari, kalamu, begi wala nguo za shule.Cha kwanza kabisa ni KujiaminiNilichukua jukumu la kumuita mzazi iliSilaha muhimu ya mwalimu ni kujiamini. Ual- nithibitishe ukweli wa mwanafunzi. Mzazi wakeimu umenijengea haiba ya kujiamini kwa vile da- alithibitisha kwamba ni kweli kama alivyoelezarasani mimi ndo naongoza njia kwa wanafunzi mtoto, maana maisha ni magumu sana ila hivyowangu kupata maarifa na kuwajengea mazingira hivyo anajitahidi hata wale mlo mmoja kwa siku.ya uhuru kuwa wabunifu ili wawe na uelewa waBinafsi nilisikitika sana, nilimshirikishakina zaidi hasa katika zama hizi za tekinolojia, mwalimu mwenzangu akamletea begi, na mimikarne ya 21.nikamnunulia daftari, kalamu na penseli pamojaNimejifunza kwamba mavazi yana mchango na kumpatia chakula cha mchana.mkubwa kumjengea mtu kujiamini na kuaminika Sasahivi, anafurahia sana kuja shule.katika jamii. Mavazi ya haiba yanajenga heshimaKwa upande wa jamii, ualimu umenisaidia kuikati ya mwalimu na wanafunzi wake, kitu ambacho tumia saikolojia yangu kuishi na watu kwa upendokinachangia kujenga kujiamini kwa kiasi kikubwa. na amani. Kushirikiana na wengine katika jamii niKupitia kujiamini, mwalimu anakua na un- swala muhimu sana, ikiwemo kwenye matukio yayumbulifu wa kutumia mbinu mbali mbali akiwa shida na raha.anafundisha. Hii inasaidia sana kujali wanafunBinadamu tunategemeana, hakuna aliyekazi wenye tofauti katika uelewa pamoja na wale milika. Najivunia uwezo nilionao kuishi kwenyewenye mahitaji maalum ya kujifunza.mazingira ambayo kuna watu wa aina tofauti naKwa upande wa jamii, ualimu umenisaidia kuweza kuishi nao huku nikijenga na kuimarishakuwa na uwezo wa kujiamini hasa pale ninapoon- umoja ndani ya jamii hiyo.gea mbele za watu. Kama mwanamke, nimekuaKupitia izo nguzo mbili, nilifanikiwa kupatamfano kwa wengi hasa pale ninapokua na ujasi- tuzo ya “Teacher of Distinction Award,”(Tuzo yari wa kuzungumza na watu ata wawe wengi kiasi mwalimu mahiri) tarehe 06.07.2018 ambayo iligani, kwa ufasaha kabisa.tolewa Arusha City Council Education Office.Napenda ualimu, najivunia kuwa mwalimu piaCha pili ni Ushirikianonapenda kujifunza kila siku Maishani mwangu.Darasani, tunashirikiana na wanafunzi katika Imeandikwa na Mwl. Neema Godwin Mtengaswala zima la kujifunza. Kwa mfano, nandaa somoToleo La 12, Julai 2020 08

Ulinzi naUsalamawa MtotoSwala la ulinzi na usalama wa mtoto limepamba moto sana katika miaka michache iliyopita.Hivi sasa, maswala yanayohusu ulinzi na usalama wa mtoto yamekuwa kipaumbele sana katika mashirika mbalimbali kitaifa na hata kimataifa.Mimi na wewe tunaweza kujiuliza ni kwanini sasa nasio miaka mingi ya nyuma iliyopita:Ni Dhahiri kwamba hivi karibuni kumekuwana matukio mbali mbali yanayoonyesha ukatili juuya watoto. Mengi tunayasikia katika vyombo vyahabari, lakini pia mengine tunayaona yakitokeakatika jamii zetu.Watoto wote wana haki ya kulindwa, kila mtoto ana haki ya kuishi, kuwa salama, kuwa na wazazi/walezi, kusikilizwa, kupata huduma muhimuna kukuwa katika mazingira yaliyo salama.Chanzo cha ulinzi wa mtoto ni familia. Wazazina walezi wana jukumu la kuhakikisha kuwa watoto wapo katika mazingira yaliyo salama. Ni jukumuletu kutengeneza mazingira yaliyo salama na rafikikwa mtoto aidha nyumbani au nje ya nyumbani.Je, kipindi hichi cha likizo ya lazima ambachoWatoto wamekua nyumbani kwa sababu ya ugonjwa wa Korona, ni namna gani ulimlinda/unamlinda mtoto wako?Kila siku watoto wanakabiliwa na ukatili, unyanyasaji, unyonyaji, ubaguzi, utelekezwaji nautengwaji.Je, unyanyasaji wa mtoto ni nini?Unyanyasaji wa mtoto ni uvunjaji wa sheriakuhusu haki za mtoto kunakopelekea athari zakimwili, kimaadili au kihisia ikiwemo vipigo, kutuToleo La 12, Julai 2020 09kanwa matusi, kubaguliwa, kutojaliwa unyanyasajiwa kingono na utumikishwaji.Kuna aina kuu nne za unyanyasaji1. Unyanyasaji wa kimwili- Huu ni unyanyasaji unaoathiri mwili kwa ujumla, kama vile kupigwa makofi, ngumi, kuchapwa, kuchomwa na pasi,kuchomwa na kisu cha moto, kusukumwa, kutikiswa.2. Unyanyasaji wa Kisaikolojia/Kihisia- Unyanyasaji huu unaathiri hisia na akili ya mtoto.Kwa mfano: kutukanwa, kufokewa, kusingiziwa,kuaibishwa, kudhalilishwa, kutishiwa yaani vitendo vya ishara kama vile kumshikia mtoto pangaukimwambia nitakupiga au kukukatakata.3. Unyanyasaji wa kingono- Ni Unyanyasajiunaomuumiza mtoto kijinsia/kingono. Mfano waunyanyasaji huu ni kubakwa, kulawitiwa, kukeketwa au kushikwa sehemu za mwili.4. Kutelekezwa- Ni Kutojaliwa na wazazi auwalezi. kwa mfano mtoto kukaa siku nzima bilakupewa chakula.Mara nyingi, athari za unyanyasaji huingiliana, Mtoto aliyenyanyaswa kimwili, kwa mfanomara nyingi anayanyasika kihisia na mtoto aliye nyanyaswa kingono pia anaweza kutojaliwa,kuumia kihisia na kuathirika kisaikolojia.Unyanyasaji unaathari kubwa sana kwa mtoto.Kwa hali ya muonekano wa nje tu unaweza kumuona mtoto na michubuko na makovu ya vichapo,au madhara makubwa kama kuvunjika, kutokwadamu au hata kifo. Dalili za kutelekezwa tunazoweza kuona ni kama vile afya duni na kudumaa,

na matatatizo ya ukuwaji wa ubongo. Lakini piakuna zile athari tusizosiona kwa macho, yani athari za kisaikolojia; madhara ya hapo kwa hapoyaani utotoni yanaweza kuwa hofu, kutokujiamini au kuamini watu wengine, sonona, kutokuwana uwezo wa kudhibiti mkojo (incontinence).Madhara haya pia huonekana ukubwani kwamfano hali ya kutaka kujiua, kujiingiza kwenyemadawa ya kulevya ili kupooza akili, kujikataa,udokozi au wizi (kleptomania), kuwa na shauku(anxiety), wasiwasi na/ msongo au mshtuko baada ya kurejea tukio flani (Trauma).Inatupasa tukumbuke yakuwa, siyo watu wanje ya familia tu wanaonyanyasa Watoto. Katika Matukio mengi ya hivi karibuni tumesikiaaidha Mama mzazi anamkatakata mtoto, Babamzazi kumlawiti mtoto, visa vya mwalimu kubaka mwanafunzi; hivyo ni jukumu la kila mmojawetu kusimama katika nafasi yake kama mwanajamii kuwaepusha Watoto na vitendo vya kikatili, kuwalinda na kuripoti pale tunapohitaji msaadawa vyombo vya kiserikali.Ualimu Kazi YanguMimi ni mwalimu Sarah William. Niliajiriwamwaka 2003 baada ya kufanya kazi shulebinafsi kwa miaka mitatu, kutokana na ajiraza serikali kwa kipindi hicho kukosekana.Niliolewa mwaka 200l, lakini mume wangu alifariki mwaka 2005 na sijaolewa tena mpaka sasa.Nilijaliwa kupata mtoto mmoja ambaye kwa sasaanasoma kidato cha nneKazi yangu ya ualimu imenisaidia sana, niliachwa kwenye chumba kimoja lakini mpaka sasa,nimeweza kununua kiwanja na kujenga nyumbambili ambazo moja ninapangisha na nyingine naishi mwenyewe.Kupitia kazi ya ualimu, nimeweza pia kununuausafiri binafsi. Kazi ya ualimu imekua mtaji mkubwa sana kwangu. Pia nafanya shughuli za kilimohii imenisaidia kuboresha maisha yangu kufananana wafanyakazi wa sekta mbalimbali za ajira.Naheshimika sana kwa wanaume na wanawake wenzangu kutokana na juhudi zangu pamojana changamoto za maisha. Kazi ya ualimu hainamshahara mkubwa lakini imenifundisha mengiikiwemo kuweza kubana matumizi ili kuweza kuendana na uchumiKupitia kazi ya ualimu, mtu anaweza kufiikambali sana, na kuishi kama mfano wa kuigwa najamii iliomzunguka.By; Sarah W. MrithaToleo La 12, Julai 2020 10

Je, Unataka kusikika katika toleo letu Jipya?Tunataka kusikia kutoka kwako!Kama shule yako inayo habari au jambo lolote ambalo mnajivunia nakutaka kwashirikisha walimu wengine ili waweze kunufaika katikaswala zima la ufundishaji na ujifunzaji, tutumie ili tuweze kuchapishakatika toleo letu la Tufundishane kwa awamu inayofuata.Tunakaribisha makala mbalimbali yanayo zungumzia ufundishaji mzuri na usimamizi bora wa shule. Pia tunakaribisha kazi za sanaa mfanomashairi kutoka kwa walimu na wanafunzi.Physical Address2 Floor, King Solomon’s HouseAnglican Church CompoundOld Moshi RoadArusha - Tanzaniawww.thefoundationfor tommorrow.orginfo@thefoundationfor tter@TFFTAFRICAndFor comments or Suggestionsnoah@thefoundationfortommorrow.org 255 753 661 770

mu ya mwanafunzi katika kazi za vikundi hutuwezesha kujua kama wanafunzi wanafanya yale yawapasayo na kujifunza vyema. Kila mwanafunzi anapaswa kushiri - ki katika kutoa mazwazo yake kwa kundi, kuheshimu mawazo ya mtu mwingine, kuwasilisha yaliyo jadiliwa kwa wengine na kuchukua nukuu. Toleo La 12, Julai 2020 05

Related Documents:

Mbinu zifuatazo matokeo yake ni ya chini kuliko mbinu zote zilizotajwa mbeleni: Kondomu ya wanaume, kondomu ya wanawake, shanga za mwezi au mzunguko wa shanga, mbinu ya siku mbili. Mbinu hizi nizitumiwe vizuri sana kukuzuiya kupata mimba. Zikitumika kwa uaminifu na vizuri, si lazima kutumia mbinu ya pili. Unapohisi uko katika hatari ya kupata

wa somo la Kiswahili wa mwaka 2016 ulioanza kutumika Januari 2017, ambao ulizingatia muhamo wa ruwaza. Aidha, fomati hii imezingatia malengo ya Upimaji wa Elimu Msingi Darasa la Tatu na Darasa la Nne ambayo ni pamoja na kufuatilia kiwango cha ujifunzaji wa wanafunzi wa Darasa la Tatu na Darasa la Nne katika somo la Kiswahili.

"Kutathimini Mbinu za Ufutuhi Katika Kuelimisha Jamii Kuhusu Janga la Ukimwi, katika tamthiliya ya Embe Dodo ushuhuda wa mifupa nimeridhika kwamba imefikia kiwango kinachotakiwa na inafaa kuwasilishwa kwa ajili ya Utahini wa Shahada ya Uzamili ya Fasihi kwa Kiswahili ya Chuo Kikuu Huria cha . 4.2.2 Mbinu za Ufutuhi katika Ushuda wa Mifupa .

Katika nchi nyingi za Afrika, "hitaji lisilofikiwa" la upangaji uzazi liko juu. Kwa kweli, chunguzi zinaonyesha kwamba kuna watu zaidi ambao wanaweza kutumia mbinu za kupanga uzazi kama wanaweza kuzipata zaidi ya watu ambao wanazitumia tayari. Kwa maneno mengine, kama aina mbalimbali za mbinu za kupanga uzazi ambazo watu

kundi ,fanya jukumu la maana katika masomo yote.Umahiri wa maelezo maalum na wa baina ya mitaala yameshikanishwa pamoja katika muktadha wa maelezo. . baina ya mitaala katika muda wa mwaka wa shule. Kwa kufanya hivo wanaangazia kusoma kwao . na wanachukua jukumu la mchakato wao wa kimasomo. Tathmini ya kibinafsi hufanywa katika

na Nadharia ya Mwitiko wa M somaji na Fasihi Linganishi ndizo zilizotumika katika kuchambua data za utafiti. Mtafiti alitumia nadharia hii kwa lengo la kuwasawiri wahusika na alitumia nadharia ya Fasihi Linganishi kwa lengo la kulinganisha na kulinganua mbinu za usawiri wa wahusika katika riwaya hizi mbili. Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa .

katika tamthiliya za Kinjeketile na Nyerere na Safari ya Kanaani: Utafiti linganishi. Ili kufanikisha utafiti huu, mtafiti ametumia mbinu za maktabani katika kukusanya na kuwasiilisha data kimaelezo. Pia marejeleo mbalimbali kutoka tamthiliya za Kiswahili yalipitiwa. Nadharia ya fasihi ya jamii ndiyo iliyotumika katika

STM32 32-bit Cortex -M MCUs Releasing your creativity . What does a developer want in an MCU? 2 Software libraries Cost sensitive Advanced peripherals Scalable device portfolio Rich choice of tools Leading edge core Ultra-low-power . STM32 platform key benefits More than 450 compatible devices Releasing your creativity 3 . STM32 a comprehensive platform Flash size (bytes) Select your fit .