Kidato Cha Kwanza - Rwanda Education Board

1y ago
22 Views
2 Downloads
1.33 MB
187 Pages
Last View : 3d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Kairi Hasson
Transcription

KiswahilikwaShule za RwandaKidato cha KwanzaMwongozo wa MwalimuSylvain NtawiyangaLeonard SanjaJacqueline M. Kinya

Kimechapishwa na:Longhorn Publishers (Rwanda) Ltd.,Orofa ya kwanza, Gilugali HouseRemera Kimironko Road 26 KG 11 AvenueKigali, RwandaLonghorn Publishers (Kenya) Ltd.,Barabara ya Funzi, Eneo la ViwandaniS.L.P. 18033–00500Nairobi, KenyaLonghorn Publishers (Uganda) Ltd.,Kanjokya street, Plot 74, KamwokyaS.L.P. 24745Kampala, UgandaLonghorn Publishers (Tanzania) Ltd.Barabara Mpya ya Bagamoyo/Garden,Mikocheni B, Ploti Namba: MKC/MCB/81S.L.P 1237, Dar es Salaam, Tanzania S. Ntawiyanga, L. Sanja, J. M. Kinya, 2016Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kuiga, kunakili, kupigisha chapa,kutafsiri au kukitoa kitabu hiki kwa jinsi yoyote ile bila idhini, kwamaandishi ya Longhorn Publishers (K) Ltd.Chapa ya kwanza 2016ISBN 978 9997 74 477 7Kimepigwa chapa na Printing Services Ltd.,Factory Street, Eneo la Viwandani,S.L.P 32197-00600, Nairobi, Kenya.

Mada Kuu: Kuelewa mazungumzo na kujieleza kimazungumzo 1Mada Ndogo: Maamkizi na utambulisho 1Somo la KwanzaMaana ya maamkizi 4Somo la PiliAina mbalimbali za maamkizi 11Somo la TatuMatumizi ya nafsi na viwakilishi vya nafsi katika maamkizi 16Mada Kuu: Matumizi ya lugha katika mazingira mbalimbali 21Mada Ndogo: Msamiati wa mazingira ya shule 21Somo la KwanzaMazungumzo shuleni 23Somo la PiliMazungumzo kati ya wanafunzi 30Somo la TatuViongozi wetu shuleni 38Somo la NneShule yangu 45Somo la TanoUsafi shuleni 53Mada Kuu: Matumizi ya lugha katika mazingira mbalimbali 62Mada Ndogo: Msamiati katika mazingira ya nyumbani 62Somo la KwanzaAina za nyumba, watu wanaoishi humo na ujenzi wa nyumba (vifaa) 65Somo la PiliVifaa mbalimbali vinavyopatikana nyumbani 70Somo la TatuMifugo wanaopatikana nyumbani na vivumishi vya ngeli ya A – WA 76iii

Somo la NneMajina yanayohusishwa na watu na uhusiano wao kijamii pamoja navivumishi vya ngeli ya A-WA 81Somo la TanoUhusiano wa kifamilia pamoja na vivumishi vya ngeli ya A-WA 86Mada Kuu: Msamiati wa Mazingira Mbalimbali 91Mada Ndogo: Msamiati wa Mazingira ya Utawala 91Somo la KwanzaNchi yangu 94Somo la PiliOfisi ya tarafa yangu 106Somo la TatuUtawala Bora 115Mada Kuu: Msamiati wa mazingira mbalimbali 124Mada Ndogo: Msamiati wa mazingira ya sokoni 124Somo la KwanzaMnunuzi na muuzaji 126Somo la PiliBiashara mbalimbali 134Somo la TatuMazingira ya Sokoni 143Mada Kuu: Matumizi ya msamiati kuhusu usafi wa mwili 151Somo la 1Maana ya Usafi wa Mwili 155Somo la piliMsamiati wa Mwili na Mazingira 160Somo la 3Usafi wa Mwili na Mazingira 164iv

vVifaa-Darasa zima-Makundi-Mwanafunzi binafsiMpangilio waDarasa-Vinasa sauti.-Picha-Vitabu.-Redio na simu.-Vifaa au zanakwa wanafunziwasiojiweza au waliowazito kuelewa.8Idadi ya Vipindi10Mada 2:MsamiatikatikaMazingira yaShule-Vinasa sauti-Michoro ya vifaatofauti ndani ya darasa-Vifaa vya shulekama vile vitabu,madaftari, penseli, kiticha mwalimu, meza,kalamu, kifutio, kabatila vitabu, rula, kifutio,ubao, chaki na saa-Kitabu cha mwanafunzi-Chombo chakunasia sauti na vifaavingine vinavyowezakuwasaidia wanafunziwanaohitaji uangalifumaalum-Darasa zima-Makundi-Mwanafunzi binafsiMada 1: KuelewaMazungumzo na KujielezaKimazungumzoRamani ya Rwandainayoonyeshampango mkuu wamazingiraPicha au michoro yanyumba za jadi naza kisasaMichoro ya vifaatofauti ndani yanyumbaPicha za mifugotofautiKitabu chamwanafunziVinasa sauti-Darasa zima-Makundi-Mwanafunzi binafsi11Mada 3: Msamiatikatika Mazingira yaNyumbani-Ramani ya Rwandainayoonyesha maeneoya kiutawala-Ramani ya Afrika-Kitabu cha mwanafunzi-Vinasa sauti-Darasa zima-Makundi-Mwanafunzi binafsi10Mada 4: Msamiatikatika Mazingira yaUtawalaRamani ya Yaliyomo-Bidhaa tofautizipatikanazosokoni-Pesa-Picha au michoroya watu na bidhaasokoni-Kitabu chamwanafunzi-Vinasa sautiDarasa zima-Makundi-Mwanafunzibinafsi11Mada 5:Msamiati katikaMazingira yaSokoni-Skeletoni-Picha au michoro yamwili wa binadamu-Mwanafunzi fulani-Kitabu chamwanafunzi-Vinasa sauti-Darasa zima-Makundi-Mwanafunzi binafsi-Afisa wa afya-Mhudumu wa afya-Mshauri12Mada 6: Matumiziya Msamiati kuhusuUsafi wa Mwili

viMasualaMtambukaMaarifa naUfahamu-Amani na maadili.-Umoja na uwianowa kijamii .-Usawa na heshimakijinsia.-Udumishaji wautamaduni.-Elimu pamoja.-Kuepuka mamboambayo yanawezakusababishamafarakano kati yawatu.-Mazingira namabadiliko ya hali yahewa- Kubaini aina zasalamu mbalimbalizinazotumiwakatika Kiswahilikufuatana na nyakatimbalimbali (asubuhi,mchana, jioni)-Kurudia manenoyanayotumiwa katikakujitambulisha aukumtambulishamtu mwingine. Kutaja na kurudiamaneno maalumuyanayotumiwakatika kuagana Kuonyesha kwausahihi matamshisahihi ya sauti zaKiswahili.Kuainisha na kuelezanafsi za Kiswahili namatumizi yake.-Usawa wa kijinsia-Elimu ya pamoja-Mazingira, mabadilikoya hali ya hewa namwendelezo-Utamaduni wakiusanifishaji-Masomo ya ujinsia nauzazi-Mazingira na uborawake-Kazi na ufundi-Elimu na jamii-Usawa na jinsia-Kilimo na ufugaji-Utamaduni nausasa- Kubainisha nakuainisha vifaatofauti vitumiwavyonyumbani.- Kukumbukamabadilikoyanayojitokezakatika umoja nawingi wa majinaya ngeli ya A-WApamoja na vivumishivyake.Kubainisha nakuainisha aina zanyumba na vifaavinavyozijenga.- Kuhusisha watumbalimbali katikauhusiano wafamilia kwa watuwa nyumbani Kutaja majina yamifugo mbalimbaliiliyopo nyumbani-Kuelezea umuhimuwa usafi nyumbani.- Kuorodheshamajina ya mifugowa nyumbani-Usawa wa kijinsia-Elimu ya pamoja-Mazingira, mabadilikoya hali ya hewa namwendelezo-Utamaduni wakiusanifishaji-Masomo ya ujinsia nauzazi-Kutaja na kubainishamaeneo ya kiutawalanchini Rwanda kamavile mtaa, tarafa, jimbona wilaya.-Kubaini matumizi sahihiya umoja na wingiwa majina ya Ngeli yaU-I na I-ZI pamoja namatumizi ya vivumishivinavyoambatana.-Kutaja siku za wiki namiezi ya mwaka pamojana kusoma tarehe.-Kutaja nembomabalimbali za nchina serikali na viongoziwakuu wa kiserikali.-Kutaja nchizinazopakana naRwanda kwa kuzingatiapande nne za dunia.-Kuonyesha mahaliRwanda ilipo kwenyeramani ya dunia pamojana ramani ya Afrika.-Usawa wa kijinsia-Elimu ya pamoja-Mazingira,mabadiliko yahali ya hewa namwendelezo-Utamaduni wakiusanifishaji-Masomo yaujinsia na uzazi-Kuoneshaumahiri wanamna ya kuulizabei ya bidhaambalimbali.-Kubainimakundi namajina ya bidhaambalilimbalizilizopo sokoni.-Kutoa mfanowa manenoyatumiwayokatika hesabuambayo yanabebasauti za kipekeeza Kiswahilina kuzingatiautamkaji sahihiwake k.m.[th] na[dh].-Kuonyesha ujuziwa kuhesabu tokamoja hadi elfukumi.-Kukumbukavipimovitumiwavyokatika upimaji wavitu tofauti.-Afya na maisha bora-Usafi wa mwili nafikra-Mazingira boraya mwili na haliinayotuzunguka-Matumizi bora yapesa-Elimu kwa pamoja-Usawa wa kijinsia-Utamaduni wakiusanifishaji-Masomo ya jinsia nauzazi- Kutaja majinamuhimu ya sehemumbalimbali za mwiliwa binadamu.- Kuelezea ainambalimbali za sehemuza mwili zinazotakiwakufanyiwa usafi.- Kuhusisha ukosefuwa usafi wa mwiliwa binadamuna magonjwayanayoweza kutokea.- Kueleza aukuonyeshamabadiliko yatokeayokatika matumizi yaumoja na wingi wamajina ya sehemu zamwili. Kwa mfano;mwili huwa miili Jichohuwa machoSikio huwa masikioJino huwa meno.

viiStadi/ UjuziUjuziAinasafu- Kutofautisha salamumbalimbali kulinganana mazingira pamojana rika na kuwezakuzitumia kwa usahihi.- Kuchagua orodha yawatu mbalimbaliwanaosalimiwakwa kutumia neno“shikamoo.”Kutumia msamiatihusika kwa usahihikatika maamkizi ausalamu mbalimbali,kuagana na kuigizakatika mawasiliano.-Stadi za utafiti-Ubunifu na ugunduzi-Ujifunzaji wa mudamrefu-Ushirikiano na stadi zamaisha-Mawasiliano katikalugha rasmi-Tafakuri tanduizi.-Usuluhishaji natanduizi.-Usuluhishaji wamatatizo.mabadiliko ya hali yahewa-Kugundua uhusianowake na watu wenginewapatikanao shuleni audarasani.-Kulinganisha nakutofautisha shulemoja na nyingine kwakuzingatia mazingira nashughuli zifanyikazo.-Kuchagua maneno aumsamiati na kuzingatiamambo muhimu katikakufanya utambulishowa shule kwa mtuyeyote anayehitajihabari kuhusu shulehiyo.Tafakuri tanduiziUsuluhishaji wamatatizoMawasiliano katikalugha rasmiStadi za utafitiUbunifu na ugunduziUshirikiano, utawalabinafsi na stadi zamaishaUjifunzaji wa mudamrefu- Kuwapanga watuwa nyumbanikutokana nauhusiano uliopokati yao- Kutunga sentensifupi kwa kuzingatiamatumizi rasmi yamajina ya ngeli yaA-WA pamoja navivumishi vyake.- Kulinganishana kutofautishanyumba za jadi nanyumba za kisasa.Tafakuri tanduiziUbunifu naugunduziUjifunzaji wa mudamrefuUshirikiano na stadiza maishaMawasiliano katikalugha rasmiUsuhihishaji wamatatizoStadi za utafiti-Kutumia pembe nneza dunia kuonyeshaupande gani kilanchi inayopakanana Rwanda ipo(Kasikazini, Kusini,Mashariki naMagharibi).-Kutumia pande nneza dunia kuelezea kitu,mahali, au mtu yupoupande upi.-Kupangilia siku zawiki, miezi ya mwakakwa kuzingatia majinayake na kipi kinaanzamwanzo hadi kile chamwisho (Jumatatu,Jumanne Tafakuri tanduiziUsuluhishaji wamatatizoMawasiliano katikalugha rasmiStadi za utafitiUbunifu na ugunduziUshirikiano, utawalabinafsi na stadi zamaishaUjifunzaji wa mudamrefu-Kujenga mahusianoya kibiashara namteja au mnunuzikwa kuwasilianavizuri nakutambulishana pia.-Kujadiliana namnunuzi aumuuzaji bei yabidhaa mbalimbali(mawasiliano kati yamteja na muuzaji).Tafakuri tanduiziUsuluhishaji wamatatizoMawasiliano katikalugha rasmiStadi za utafitiUbunifu naugunduziUshirikiano, utawalabinafsi na stadi zamaishaUjifunzaji wa mudamrefu- Kutumia msamiati wasehemu za mwili wabinadamu kwa kutungasentensi sahihikatika mawasiliano.- Kulinganisha nakutofautisha sehemumuhimu za mwili wamtu na-Tafakari tanduizi-Usuluhishaji wamatatizo-Stadi za utafiti-Ubunifu na ugunduzi-Ushirikiano, utawalabinafsi na stadi zamaisha-Ujifunzaji wa mudamrefuuzazi

viiiMaadili naMwenendoMwema- Kuonyesha adabuna heshima kwawatu mbalimbaliwanaomzunguka katikamazingira tofauti.- Kuonyesha utamaduniwa kusalimiana, kuagana kuagana, na kuitikiasalamu kwa usahihi.- Kuonyesha shaukuya kufahamiana nawatu mbalimbaliwamzungukao- Kugundua mabadilikoyapi yanayojitokezakatika maneno yasalamu kama vilesijambo, hujambo,hajambo yanapokuwakatika wingi.Kuziweka nafsi zaKiswahili katikamakundi yake yaani;nafsi ya kwanza,nafsiya pili na nafsi ya tatukatika umoja na wingina kuzitumia kwausahihi katika salamu nautambulisho.-Kujenga mahusianomema na watu wenginewote waliopo shulenina nje ya shule.-Kuimarisha usafi katikamazingira mbalimbali.-Kujivunia au kuioneashule yake fahari.-Kuheshimu vifaa vyashule kwa kujiepushana uharibifu wowotedhidi ya vifaa hivyo.Kutunga sentensi fupikwa kuzingatia wakatiuliopo.-Kutumia vyemamaelekezo aliyopewana mwalimu katikakusikiliza na kusomakwa ufasahakifungu cha habarikinachohusika.-Kutumia msamiatisahihi kuhusu vifaavitumiwavyo darasanikatika mawasilianorahisi.- Kuboresha afyakwa kuimarishausafi wa mazingira.- Kuwaheshimuwatu kulingana nauhusiano uliopo katiyao.- Kupambana naumasikini kwa njiaya mifugo na ufundi- Kuviweka vifaavya nyumbanikatika makundi nakubainisha majinayake. -Kuchunguzadhima au kazi yakila aina ya mifugoiliyopo nyumbani. Kuigawanya nyumbakatika sehemuzake muhimu Kuchambua sifa zavyumba vya nyumbaya kisasa.-Kujivunia nchi yakena kuipenda kwakuimarisha uzalendona usalama wa nchihiyo.-Kuheshimu nembo zataifa na viongozi wanchi.-Kushirikiana naWanyarwanda wotepamoja na raia wanchi zinazoizungukaRwanda katikaharakati za kupiganana umaskini nakugombania haki zakibinadamu.-Kuimarisha umoja waWanyarwanda pamojana raia wa Jumuiya yaAfrika ya Mashariki.Januari, Februari )Pia kutumia tarehekupanga ratiba aukueleza utokeaji wamatukio mbalimbali.-Kuigawanya nchiya Rwanda kwakuzingatia maeneoyake ya kiutawala (tarafa, wilaya, mkoa aujimbo).Kutofautishana kulinganishamabadilikoyanayojitokeza kuhusumatumizi ya majina yangeli ya U-I na ya I-ZIkwa kutumia vivumishivyake katika Kiswahilina Kinyarwanda.-Kuimarisha mtindowa huduma borakatika kazi yeyote nahasa biashara.-Kutokata tamaaau kutokasirikaovyo wakati wamazungumzo auwakati wa kujadiliabei.Kujenga umakinikatika masualayanayohusika napesa.-Kuheshimu nakufurahia tofautizilizomo katikalugha na tamaduninyingine kamaKiswahili.-Kumheshimu mtuyeyote wakati wamazungumzo aumajadiliano.-Kutumia ujuzi wakuhesabu nambari,pesa katika kufanyaununuzi au uuzajiwa bidhaa (kulipapesa au kurudishasalio).-Kutofautisha nakutumia mizani auvipimo kulingana nakitu kinachohusikana upimaji (K.m. kilomoja ya mchele,mita, lita moja yamaji au mafuta,n.k.)- Kuwa na jukumula kuboresha afyakwa kuimarisha usafiwa mwili.Kuhifadhi mazingirakwa ajili ya kujilindana magonjwa. Kujiepusha na kituchochote kinachowezakuathiri afya ya watukama vile uchafu,uzinifu, dawa zakulevya, n.k.kazi zake - Kutoamaelekezo ya namnaya kufanya usafi wamwili na namna yakujikinga na baadhi yamagonjwa katika mwili.- Kutumia majina yasehemu za mwili katikaumoja na wingi kwakuzingatia mabadilikoyanayojitokeza.

UTANGULIZINafasi ya Kiswahili katika jamii na katika mfumo wa elimuLugha ya Kiswahili imepewa hadhi kubwa kwa kuteuliwa kuwa mojawapo katikalugha rasmi za Jumuiya ya Afrika. Nchini Kenya na katika nchi ya Tanzania, Kiswahili nilugha ya taifa na pia lugha rasmi. Nchi za Uganda na Burundi nazo hazijaachwa nyumakwani lugha ya Kiswahili imeanza kumea mizizi huko na kufunzwa kikamilifu.Nchi zingine kama Amerika, Ujerumani na mataifa mengi ya Ulaya yameanza kufunzalugha ya Kiswahili katika vyuo vikuu.Wanaelewa kuwa Kiswahili ndiyo lugha inayowezakuunganisha nchi za ng’ambo na Afrika. Lugha hii huwafaa sana watalii wanaozuruAfrika.Mipango imefanywa ili kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inawekwa katika programuza tarakilishi na kwenye mtandao duniani kote. Ni wazi kuwa Kiswahili kinapiga hatuakwa kasi sana ili kuweza kwenda na wakati.Kiswahili katika mfumo wa elimu nchini RwandaSomo la Kiswahili limekuwa likifundishwa katika viwango vya elimu vya sekondarinchini Rwanda. Kwa sasa, somo hili linatathminiwa kitaifa.Lugha ya Kiswahili imepewa nguvu zaidi hasa tukizingatia kuwa wanafunzi wengihulichukua somo hili katika sekondari na vyuo vikuu na kupata mafunzo katika fasihina isimu, na kufuzu katika somo hili. Tukitilia maanani mambo haya yote, tutaonakuwa wizara ya elimu imeipa lugha ya Kiswahili heshima inayostahili na kuhakikishakuwa lugha hii inakuzwa.b) SarufiSarufi ni mpangilio maalum wa maneno kwa ufasaha kulingana na kanuni zake aukupanga na kutumia maneno vizuri kulingana na mipango au taratibu zilizokubaliwakuwa ni sahihi. Sehemu muhimu katika sarufi ni ngeli. Mtu yeyote asiyejua nakuzitawala ngeli kamwe hawezi kusema kuwa anaielewa lugha ya Kiswahili. Atakuwaakituhadaa. Sarufi pia hujumlisha sehemu muhimu kama vile matamshi, majina, vielezi,vitenzi, viambishi, uakifishaji, nyakati, vivumishi, mnyambuliko wa vitenzi na nyakati.Mwalimu atumie mbinu mbalimbali katika kuwafunza wanafunzi sarufi. Mwalimuatafute nyenzo zinazofaa na rahisi kupata. Mwalimu asitafute nyenzo ambazozitagharimu kiasi kikubwa cha pesa. Mwalimu aunde vifaa vyake ili kuepuka matumiziya pesa kwa minajili ya kuvinunua.Mwalimu awatathmini wanafunzi wake ili kutambua kama yale yote waliyojifunzawameelewa. Endapo watatokea wanafunzi ambao hawajaelewa basi mwalimu achukuejukumu la kuwasaidia wanafunzi wake mmoja mmoja kibinafsi kutegemea matatizoyao.ix

c) MsamiatiKatika kufunza msamiati, ni jambo la busara endapo mwalimu atatumia vifaa halisikatika kueleza maana na matumizi ya msamiati. Endapo vifaa vingine ni vigumukuvipata basi mwalimu anaweza kutumia picha au aandae chati nzuri ili kulifanyafunzo hili kueleweka kwa urahisi na pia kulifanya kuwa la kusisimua zaidi. Aidha,mwalimu anaweza kuunda au kubuni kwa mfano matumizi ya katoni kuunda mfanowa tarakilishi pale ambapo si rahisi kuipata na kuileta darasani ili kuizungumzia.Mwalimu anaweza kufunza msamiati kwa njia ya ufahamu. Hapa itambidi mwalimuawaongoze wanafunzi kupata maana kutokana na habari yenyewe. Katika funzola msamiati, ni bora mwalimu awaambie wanafunzi watunge sentensi wakitumiamsamiati waliojifunza.d) Kusikiliza na kuzungumzaKusikiliza na kuzungumza ni kipengele muhimu sana katika kujifunza lugha yoyote ile.Ni wazi kuwa mtu ambaye hajapata kusikia neno lolote, yaani alizaliwa kiziwi, kamwehawezi kuongea. Ataongea akisema nini? Binadamu yeyote alijifunza kuongea kupitiakwa kuwasikiliza watu wengine wakiongea na maneno ya kwanza aliyoyazungumzani yale aliyoyasikia.Ni sharti mwalimu akuze stadi hii muhimu ya kujifunza lugha. Wanafunzi wanawezakujifunza funzo la kusikiliza na kuzungumza kwa kuigiza mchezo wa kuigiza. Kilamwanafunzi apewe sehemu yake ya kuigiza. Mwalimu ajitayarishe kwa kutunga(endapo ana uwezo) au kuteua mchezo wa kuigiza unaofaa kwa kuzingatia maudhuina kiwango cha wanafunzi. Somo hili huwajenga wanafunzi kuwa na uwezo wakuongea mbele ya wengine kwa ufasaha bila matatizo yoyote.Hali kadhalika, wanafunzi wanaweza kujadiliana na wenzao kuhusu methali.Wanawezakuendeleza methali sawasawa kisha waeleze maana ya methali hiyo na hatimayemwanafunzi mmoja atoe kisa kifupi ambacho kinaunga mkono methali hiyo.Tathmini katika funzo hili huwa ni maswali ambayo humhitaji mwanafunzi ayajibu kwakuongea ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wamepata fursa ya kuongea na kuwasikilizawengine wakiongea, itakuwa bora endapo mwalimu ataandaa mara kwa mara vipindikabambe vya michezo ya kuigiza, mafumbo, vitendawili, hadithi na hotuba. Aidha,wanafunzi wapewe fursa ya kusikiliza vipindi vya redio na hata inapowezekana,kutazama runinga na kanda za video.e) Kusoma na kuandikaWanafunzi katika kiwango hiki wanapaswa kuwa wanajua kusoma kwa ufasaha.Wanaposoma, mwalimu anapaswa kuwa macho kwa sababu wanafunzi wenginehuenda wakawa na mbinu mbaya ya usomaji. Mwalimu ahakikishe kuwa wanafunzihawasogezi kitabu karibu sana na macho na pia hawatumii vidole kuelekeza macho.x

Hiyo si mbinu nzuri na ni sharti mwalimu aikatae.Mwalimu anapaswa kusoma taarifa ambayo anawatarajia wanafunzi wasome.Achambue maneno magumu ambayo yametumika na kuelewa maana. Awaambiewanafunzi wasome mmoja mmoja kwa sauti huku akisikiliza kwa makini ili kukosoamakosa yote ya matamshi. Ni bora zaidi mwalimu ayaandike maneno magumu ubaoni.Awaelekeze wanafunzi wapate maana ya maneno magumu kutokana na makalawaliyoyasoma.Katika kuandika, mwalimu asisitize kuhusu hati nadhifu inayosomeka kwa urahisi. Kilaherufi iandikwe vizuri. Mwalimu aziandike herufi ubaoni na kuwaonyesha wanafunzijinsi zinavyoandikwa. Mwalimu azungumzie kuhusu uakifishaji bora. Mwalimu awapezoezi la kuandika na kuhakikisha kuwa wanafunzi wamefuata maagizo.Mwalimu anaweza kuandaa funzo la imla ambapo anapaswa kuteua sentensi nzurizenye maneno ambayo huwatatiza wanafunzi wake. Kisha ayaandike ubaoni nakuwaongoza wanafunzi kuyasoma kwa ufasaha. Mwalimu ayafute kisha awaambiewanafunzi wayaandike jinsi anavyoyasoma. Njia hii itamwezesha mwalimu kuelewaiwapo wanafunzi wake wameelewa au la. Vile vile mwalimu anaweza kuyasomamaneno (kwa matamshi safi) na kuwaagiza wanafunzi wayaandike.TathminiHii ndiyo sehemu muhimu sana kwa sababu hiki ndicho kigezo kinachomwezeshamwanafunzi na mwalimu kutambua kama malengo ya funzo lake yalitimia.Mwalimu huwatathmini wanafunzi wake ili:(a) Kumwezesha mwalimu kuelewa hatua walizozipiga wanafunzi.(b) Kumtia mwanafunzi moyo wa kuendelea kujifunza.(c) Kumsaidia mwalimu kuelewa maendeleo yake katika kufunza.(d) Kumwezesha mwalimu kuelewa kama ametimiza malengo yake vizuri ili awezekurudia funzo inapobidi.(e) Kumwezesha mwalimu kutambua kama malengo ya funzo lake yalifaulu na kwakiasi gani.Aina za tathmini1.Kuandika muhtasari wa yale waliyoyasoma.2.Kutahini usahihi wa sentensi zilizoandikwa kwenye madaftari.3.Kuhakiki matamshi kwa kusoma sentensi au vifungu mbalimbali.4.Kutunga sentensi zilizoendelezwa vizuri.5.Kuambatanisha maelezo na maneno kwa usahihi.6.Mazoezi na marudio ya mtihani wa wiki.7.Maswali ya chemshabongo darasani ambayo humwezesha mwanafunzi kuelewaaliyoyasoma hapo awali.8.Mitihani ya kila mwisho wa muhula.xi

Ni muhimu mwalimu asahihishe kazi za wanafunzi. Aelewe matatizo ambayoyanawakabili wanafunzi ili awafunze upya sehemu yenye matatizo. Mwalimu asisitizekuhusu kufanya masahihisho.Mwalimu awatambue wanafunzi wenye matatizo na kuwapa msaada maalum. Mwalimuatumie mbinu mbalimbali ili kumwezesha mwanafunzi kuelewa vyema. Mwalimu awemakini sana anaposhughulikia wanafunzi dhaifu ili wasikate tamaa. Daima awatiemotisha.Nyenzo za kufunziaNyenzo ni muhimu katika somo lolote likiwamo Kiswahili. Mwalimu anatarajiwa kuwambunifu na kutumia nyenzo ambazo zinapatikana kwa urahisi. Ni muhimu mwalimukuhakikisha kuwa hamna gharama inayoweza kuepukika katika funzo lolote lile. Nivyema mwalimu abuni baadhi ya nyenzo zake.Mwalimu yeyote ni lazima aende na wakati. Wakati huu ambapo teknolojia imekuasana hasa katika mawasiliano, ni muhimu mwalimu atumie vifaa vya kisasa. Kwa mfano,ni muhimu mwalimu kutumia vifaa halisi kama rununu na kutumia picha za baadhi yavyombo ambavyo ama havipatikani katika mazingira ya shuleni au mwalimu hawezikuvibeba na kwenda navyo darasani kama vile tarakilishi, runinga, kipepesi, n.k.Ni vyema kwa mwalimu kuyafahamu mazingira ya mwanafunzi wake. Anapofunzakuhusu baruameme, baruapepe, mtandao, wavuti n.k., somo hili litakuwa rahisi kwawanafunzi wa mjini na kuwaelezea wanafunzi hao ni rahisi sana. Wanafunzi waleambao hawajawahi kuona wala kusikia mambo hayo, kwao huenda ikawa ni kioja.Hapo mwalimu anatakiwa awe na nyenzo za kutosha ili kuwafaa wanafunzi wake.Vifaa vingine vinapatikana kwa urahisi na mwalimu anaweza kuwaambia wanafunziwake walete baadhi ya vifaa hivyo.Mwalimu asichukulie funzo lolote kuwa rahisi. Utashangaa kugundua kwambaunapofunza kuhusu mimea, wanafunzi wengi hasa wa mijini hawajapata kuionamimea mingi. Ni bora kwa mwalimu kutumia picha au mimea yenyewe kama inawezakupatikana.Mwisho kabisa, ni vyema kwa mwalimu kuelewa kuwa kufaulu au kutofaulu kwa funzololote kunamtegemea mwalimu. Ukiwaona wanafunzi wako wakilipenda somo laKiswahili ujue kuwa aliyefaulu ni wewe. Ukiwaona wanafunzi wakilalamika kuwa lughaya Kiswahili ni ngumu na inayosinya basi ujue tatizo ni wewe. Ni jukumu la mwalimuyeyote aliyehitimu kuona kuwa wanafunzi wake watakuwa wakilitarajia somo lakena kutaka asitoke darasani. Hapo utakuwa umefaulu. Wewe ndiwe unayewafanyawanafunzi wakuchukie na wewe ndiwe unayeweza kuwafanya wanafunzi wakupende.xii

Namna ya kuwashughulikia wanafunzi wa aina mbalimbaliMwalimu anapaswa kwenda darasani akilifahamu jambo moja kuwa wanafunzi wotewanaweza kufunzwa na kuelewa. Mwalimu ajiepushe kabisa na tabia ya kuwapawanafunzi wengine majina kuwa ni wajinga. Wanafunzi wote wameletwa shulenikuondoa ujinga. Unapomwita mwanafunzi mjinga uelewe kuwa wewe ndiweuliyeshindwa kuondoa ujinga huo.Jinsi wanafunzi walivyotoka katika mazingira tofauti ndivyo wanavyotofautiana nandivyo walivyo tofauti katika kuelewa somo au funzo lolote. Utawapata wanafunziwenye akili tambuzi kiasi kwamba wakiambiwa kitu huelewa haraka ajabu.Wakipewazoezi wao hulifanya haraka.Mwalimu anapaswa kuwa macho na kuwashughulikia vizuri kwa sababu wanawezakupotoka kwa urahisi. Wanapomaliza zoezi huishia kupiga kelele na kuwasumbuawenzao. Mwalimu anapaswa kuwaandalia mazoezi ya kutosha ili wakimaliza waendeleena mengine.Mwalimu anapaswa kuwashughulikia barabara wanafunzi wanaochukua mudakuelewa. Akishawapa wengine zoezi achukue muda huo kuwasaidia wanafunzi dhaifu.Ahakikishe kuwa japo watachukua muda kuelewa mwishowe watawafikia walewanaoelewa haraka.Mwalimu hupata sifa chungu nzima anapowasaidia wanafunzi dhaifu kuwa bora.Kufaulu kwa darasa lolote kunategemea wanafunzi wote. Ni bora kwa mwalimuyeyote kujikwamua katika kutoa sababu kuwa wanafunzi wake ni dhaifu. Swali badolitamrudia, “Umefanya nini kuondoa udhaifu wao. Umepewa jukumu. Mustakabali wawanafunzi unakutegemea wewe. Itakuwa ni fahari kubwa utakapowaona wanafunziwako wakiwa wamefanikiwa vizuri.Wanafunzi pia watamwonea fahari mwalimu wao.Mwalimu atenge muda wake ili kuwashughulikia wanafunzi wenye matatizo mbalimbalihasa wale ambao si wepesi wa kuelewa. Hali kadhalika mwalimu anapaswa kuchukuatahadhari ili asiwakere wanafunzi wengine. Kwa mfano: katika kusimulia hadithianapaswa kutoa hadithi ambazo hazitawadunisha wanafunzi wenye upungufu fulani.Mwalimu ahakikishe kuwa katika mafunzo yake ameshughulikia usawa wa jinsia.Pasiwe na ubaguzi wa aina yoyote.Ratiba ya mafunzoRatiba ni muhimu kwa mwalimu yeyote aliyehitimu. Ni sharti mwalimu awe namwongozo na taratibu za kufuata ili asisahau mambo muhimu.Mwalimu aandae ratiba kutokana na silabasi ambayo ndiyo mwongozo unaotoamwelekeo. Mwalimu avitumie vitabu bora vilivyoidhinishwa na wizara ya elimu.Ufuatao ni mfano wa ratiba ya mafunzo katika somo la Kiswahili.xiii

iii) Matumiziya nafsi namaamkizi:Viwakilishi vyanafsi-Kutambua nafsi zaKiswahili-Kutunga sentensizenye maamkizipamoja naviwakilishi vya nafsi-Kuandika umoja nawingi wa sentensizenye maamkizikatika umoja nawingiMpangilio wa funzoMAONIii) Ainambalimbali zaMaamkizi-Michoro yawatu tofautiwakiamkiana-Vinasa sauti.-Redio nasimu zenyeuwezo wakuhifadhimazungumzoASILIA3Maamkizi naKujitambulishai) Maana yaMaamkiziNYENZO2MALENGO2MADANDOGO1MADA KUUKIPINDIWIKI1KUELEWAMAZUNGUMZONA KUJIELEZAKIMAZUNGUMZO- Kufahamu maanaya maamkizi- Kuonyesha adabuna heshima kwawatu mbalimbaliwanaomzungukamwanafunzi katikamazingira tofauti-Kuonyesha shaukuya kufahamiana nawatu mbalimbali.-Kubaini aina zasalamu mbalimbalizinazotumiwa katikaKiswahili kufuatanana rika, mazingira nanyakati mbalimbali(asubuhi,mchana,jioni)-Kutofautisha salamumbalimbali kulinganana mazingira pamojana rika na kuwezakuzitumia kwausahihi-Kutumia msamiatihusika kwa usahihikatika maamkizi,kuagana na kuigizakatika mawasilianoKitabu chawanafunziukurasawa 2-10Michoro yawatu tofautiwakiamkianaVinasa sauti.-Redio nasimu zenyeuwezo wakuhifadhimazungumzo.Kitabu chawanafunziukurasawa 15-27Michoro yawatu tofautiwakiamkiana-Vinasa sauti.-RedioKitabu chawanafunziukurasawa 28-33Huu ni utaratibu anaouandaa mwalimu ili kuliendesha vyema funzo lake kuanzia mwanzohadi tamati. Utaratibu huo humwezesha mwalimu kufuata hatua baada ya nyingine na kuwezakupata picha ya funzo lake mapema kabla. Humwezesha mwalimu kushughulikia maswalayote muhimu katika funzo hili. Kufikia mwisho wa funzo, mwalimu huweza kutathmini ilikuelewa kama funzo lake limefaulu.xiv

Ufuatao ni mfano wa mpangilio wa funzo.ANDALIO LA SOMOJina la shule:BWIZAJina la Mwalimu : GASIMBA ERICMuhulaTareheSomoKidatoMadaIdadi yamasomoMudaIdadi yawanafunziwakwanza07/02/2016Kiswahilichakwanzaya 21 kwa 2Dakika 4046Aina ya wanafunzi wenye mahitaji maalum ya kielimu pamoja na idadi yao:1. Mwanafunzi mwenye matatizo ya kusikia.1Mada Kuu:Matumizi ya lugha katika mazingira mbalimbaliMada Ndogo:Msamiati wa mazingira ya shuleUwezounaohitajiwakatika mada:Mwishoni mwa mada hii, mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kusikiliza kwa makini,kusoma vifungu , na kutumia msamiati muhimu katika mazingira ya shule.Kichwa cha somoMazungumzo shuleniUwezo uhitajiwaokatika somoMpangilio wadarasaMalengo yakujifunza(Ni lazima yazingatiemahitaji ya wanafunziwote)Zana au vifaaMarejeoKufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi ataweza: Kusoma vyema, kwa sauti na bila kusitasita. Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia msamiati maalum wa shuleni. Kuigiza mazungumzo kwa kuzingatia msamiati wa shuleni.Mandhari: Somo linatokea darasani ambamo wanafunzi wataigiza mazungumzo.Maarifa na ufahamu: Kujua matamshi bora ya sauti za Kiswahili (irabu na konsonanti) Kujua msamiati wa shuleni.Stadi: Kuwa na uwezo wa kutunga sentensi sahihi. Kutokuwa na uoga wa kuongea mbele ya watu hasa wakati wa maigizo.Maadili na mwenendo mwema: Kuonyesha adabu na uadilifu wakati wa majadiliano na maigizo.Kitabu cha Mwanafunzi, redio, rekoda, ubao, chaki, michoro, wanafunzi wenyewe.Kitabu cha Kiswahili, 2016xv

Muda na kilahatuaUtanguliziDakika 5Somo lenyeweDakika 30Mbinu za kufundishia na kujifunziaKwa njia ya maigizo katika makundi au kati yawanafunzi watatu watatu, wanafunzi watasoma nakuigiza mazungumzo shuleni.Wajibu wa mwalimuWajibu wamwanafunzi Mwalimu awaamkiewanafunzi kishaawaulize maswali yadodosa kuhusu kilewanachokiona katikamichoro iliyo ndani yavitabu vyao. Mwalimu awapangewanafunzi katika makundiya wanafunzi watatuwatatu ili washiriki katikamjadala. Wanafunzi wajibusalamu za Mwalimuna baadaye wayajibumaswali yake. Wanafunzi wajipangekatika makundikushiriki mjadala. Mwalimu

v Ramani ya Yaliyomo Mada 1: Kuelewa Mazungumzo na Kujieleza Kimazungumzo Mada 2: Msamiati katika Mazingira ya Shule Mada 3: Msamiati katika Mazingira ya Nyumbani Mada 4: Msamiati katika Mazingira ya Utawala Mada 5: Msamiati katika Mazingira ya Sokoni Mada 6: Matumizi ya Msamiati kuhusu Usafi wa Mwili Idadi ya Vipindi

Related Documents:

KWANZA-KIDATO CHA PILI -KISWAHILI KIDATO 2 Compiled & distributed by Schools Net Kenya, P.O. Box 15509-00503, Nairobi Tel: 254202319748 E-mail: infosnkenya@gmail.com ORDER ANSWERS ONLINE at www.schoolsnetkenya.com UFAHAMU (ALAMA 15) Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia. Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona .

Kiswahili Kidato cha 4 Kitabu cha Mwanafunzi iii DIBAJI Mwanafunzi Mpendwa Bodi ya Elimu Rwanda inayo heshima kwa kutoa kitabu hiki cha Somo la Kiswahili Michepuo mingine kidato cha nne kitabu cha mwanafunzi .Kitabu hiki kitakuwa

FASIHI Julai / Agosti 2018 Muda: Saa 2½ MTIHANI AW MWISHO AW MUHULA AW PILI Kidato cha Nne KISAW HILI Karatasi - 102/3 Julai / Agosti 2018 Muda : Saa 2½ MAAGIZO 1. Jibu maswali MANNE pekee. 2. Swali la KWANZA ni la LAZIMA. 3. Kisha chagua maswali mengine matatu kutoka sehemu zilizobakia; yaani Riwaya, Hadithi Fupi, na Ushairi 4.

Legacy currency's ISO currency code AOR Conversion rate 1,000,000 readjusted kwanza 1 kwanza; with effect from 13 December 1999 Currency history 20 January 1954: Introduction of the Angolan escudo; conversion rate: 1 Angolar 1 Angolan escudo 8 January 1977: Introduction of the kwanza (AOK); conversion rate: 1 Angolan escudo 1 kwanza

Publication August 7th, 2014: MSc Thesis: Tyre pressure and Axle load surveys of Heavy vehicles and the implications in Northern Corridor, RWANDA. Page 2 of 8 Curriculum Vitae of Jean Bosco NIZEYIMANA Post Graduate Courses Education Institution Post graduate courses Date University of Rwanda University of Rwanda University of Rwanda University of Rwanda University of Rwanda University of .

Rwanda, including Ministry of Health, Rwanda Biomedical Centre (), Medical Procurement RBC and Production Division (MPPD), Rwanda Food & rug Administration, Rwanda Information D Society Authority (RISA) and National Institute of Statistics Rwanda (NISR). The team visited MPPD’s warehouse, a

a) Eleza maana ya ngano. ( alama 2) b) Tambua sifa sita za masimulizi. ( alama 6) c) Je, formula ya ufunguzi huwa na umuhimu upi katika kuwasilisha hadithi? ( alama 5) d) Fafanua sifa za mtambaji bora za hadithi. ( alama 7) IDARA YA LUGHA APRILI MWAKA 2020 KIDATO CHA NNE 102/3 – KISWAHILI – Karatasi ya 3 FASIHI Maagizo:

Gurukripa’s Guideline Answers for Nov 2016 CA Inter (IPC) Advanced Accounting – Group II Exam Nov 2016.2 Purpose / Utilisation Loan Interest Treatment 3. Working Capital 4 0.10 Written off to P&L A/c as Expense, as per AS – 16. 4. Purchase of Vehicles 1 0.025 Debited to Profit and Loss A/c. (Assumed immediate delivery taken and it is ready for use and hence not a Qualifying Asset) 5 .