Name Azimio La Kazi Ya Kiswahili Gredi 4 Muhula 2

1y ago
6 Views
2 Downloads
1.29 MB
18 Pages
Last View : 16d ago
Last Download : 3m ago
Upload by : Raelyn Goode
Transcription

AZIMIO LA KAZI YA KISWAHILI GREDI 4 MUHULA 2NAMETSC NO.SCHOOL

ShuleGrediEneo la kusomea4KiswahiliMuhulaMwaka2WikiKipindiMadaMada Ndogo Matokeo MaalumYanayotokeaMaswaliDadisiMapendekezo Ya ShughuliZa Ufunzaji11KuandikaInsha yaMaelezoKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua vifunguvya maelezo katikamatiniInsha yamaelezoinahusuniniMwanafunzi:atambue vifungu vyamaelezo vilivyoandikwakwenye matinimbalimbali au tarakilishiaandae vidokezovitakavyo mwongozakuandika insha yake2KuandikaInsha yaMaelezoKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuandika insha yamaelezo kwakufuata kanunizifaazoInsha yamaelezoinahusuniniaandike insha ya maelezokuhusu mada lengwa(ushauri-nasaha)akitumia vivumishi navielezi vifaavyo kutoapicha dhahiri kuhusuanachokielezeaakizingatia anwani,mpangilio mzuri wamawazo, hati safi, tahajia,kanuni za kisarufi,uakifishaji mwafaka nakwa lugha ya kiubunifuAshiriki na wenzakePendekezoYa TathminiNyezoMaoni

kujadili mada ya insha namuundo wa insha yamaelezo23KuandikaInsha yaMaelezoKuchangamkiautunzi mzuri wainsha ya maelezo ilikujenga ubunifuwake.Unazingatia niniunapoandikainsha yamaelezo?aandike insha ya maelezomtandaoni nakuisambaza kwa wenzakena mwalimu ili waisomena kuitathminiAwasomee wenzakeinsha aliyoandika ilikuisikiliza na kuitathmini.4SarufiNgeli ya U-IKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua nominokatika ngeli ya U-Ikuandika nomino zangeli ya U-I katikaumoja na wingiNominozinazorejeleamimeana vituvyakimaumbile nizipi?Mwanafunzi:atambue nomino katikangeli ya U-I kwenye kadi,mti maneno, tarakilishi aukapu manenoaandike nomino za ngeliya U-I katika umoja nawingi akiwa peke yake,wawili wawili au katikavikundi1SarufiNgeli ya U-Ikuandika umoja nawingi wa mafunguya maneno katikangeli ya U-INominozinazorejeleamimeana vituvyakimaumbasikilize usomaji wanomino za ngeli ya U- Ikatika umoja na wingikwenye kinasasautiaandike mafungu yamaneno yenye nomino zangeli ya U-I katika umoja

2SarufiNgeli ya U-Ikuchangamkiakutumia nomino zangeli ya U-I katikamawasiliano.3SarufiNgeli ya U-IKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua sentensizilizoundwakutokana na nominoza ngeli ya U-I katikaumoja na wingiile nizipi?na wingiNominozinazorejeleamimeana vituvyakimaumbile nizipi?Ninominogani zangeli yaU-Iunazozijua?ajaze mapengo kwakutumia viambishi vyaumoja na wingi wanomino katika ngeli ya U-Ikwa hati ya mkono aukwenyetarakilishi.Mwanafunzi:ataje nomino za ngeli yaU-I (k.v.mti – miti, mlima –milima, mto – mito,muwa – miwa, mwaka –miaka) katika umoja nawingi akishirikiana nawenzake katika vikundiasome sentensizilizoundwa kutokana nanomino za ngeli ya U-Ikatika umoja na wingiakiwa peke yake aukatika vikundi kutokakitabuni, ubaoni, katikatarakilishi au mitandaoni

34SarufiNgeli ya U-Ikuunda sentensiakitumia nomino zangeli ya U-I, katikaumoja na wingiakizingatiaupatanisho wakisarufiNinominogani zangeli yaU-Iunazozijua?aunde sentensi sahihiakitumia nomino za ngeliya U-I katika umoja nawingi akizingatiaupatanisho wa kisarufiashiriki katika mchezo wakuchopoa kadi zasentensi zenye nomino zangeli ya U-I kutokakwenye kikapu au boksina kisha kuzisoma1SarufiNgeli ya U-IKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kufurahia matumiziya nomino za ngeliya U-I katikamawasiliano.Ninominogani zangeli yaU-Iunazozijua?atumie tarakilishi kuundasentensi katika umoja nawingi akirejelea ngeli yaU-I kisha azisambaze kwawenzakemtandaoni ili wachangiekuziboresha2Kusikiliza naKuzungumzaUshairiKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kukariri au kuimbashairi kwa kuzingatiamatamshi namahadhi mbalimbaliUshairiunawezakuboreshamazungumzo yakovipi?Mwanafunzi:akariri shairi kuhusumada lengwa (bendera yataifa) kwa kuzingatiamatamshi na mahadhimbalimbaliasikilize shairi lengwalikikaririwa au kuimbwana mwalimu, mgenimwalikwa (mghani) au

kupitia vifaa vya kidijitali43Kusikiliza naKuzungumzaUshairiKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutumia msamiatiuliotumiwa katikashairi ili mzo yakovipi?ashirikiane na wenzakekukariri au kuimba shairikwa mahadhi mbalimbaliatambue msamiatiuliotumika katika ushairikuhusu maadili (k.v.uhuru, bendera, rangi zabendera, kupandisha nakushukisha bendera) nakuueleza akiwa pekeyake au kwa kushirikianana wenzake4Kusikiliza naKuzungumzaUshairikueleza maana yamsamiatiuliotumiwa katikashairiUshairiunawezakuboreshamazungumzo yakovipi?ashirikiane na wenzakekujadili ujumbe katikashairiajibu maswaliyanayotokana na shairialilosikiliza, aliloimba aukukariri1Kusikiliza naKuzungumzaUshairikueleza ujumbe washairi ili kudhihirishaufahamu wakekuchangamkiaushairi kama njia yakujieleza kwaUshairiunawezakuboreshamazungumzo yakoashirikiane na wenzakekujadili ujumbe katikashairiajibu maswaliyanayotokana na shairialilosikiliza, aliloimba au

ufasaha.vipi?kukariri2KusomaMakalaKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kusoma makala kwakuzingatia umuhimu gani?Mwanafunzi:asomemakala ya ainambalimbali (k.m. hadithifupi, michezo mifupi,mashairi mafupi)akizingatia vipengelekama vile tahajia, sarufi,wahusika na ujumbekutoka kwa kitabu, gazetiau blogi3KusomaMakalaKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kusoma nakutambua umuhimuwa ujumbe wamakala husikaKusomahadithikunaumuhimu gani?ajadiliane na wenzakekuhusu makalaaliyoyasoma na umuhimuwake4KusomaMakalaKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kufurahia kusomamakala mbalimbaliili kukuza mie kamusi kupatamaana za msamiatiuliotumika katika makala

ikusoma?51KuandikaKuandikaInsha:Insha yaWasifuKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua insha yawasifu kwakuzingatia muundoInsha yawasifuinahusunini?Mwanafunzi:atambue insha ya wasifukwa kurejelea vielelezovya insha zilizoandikwakwenye matinimbalimbali au tarakilishiaandae vidokezovitakavyomwongozakuandika insha yake2KuandikaKuandikaInsha:Insha yaWasifukuandika insha yawasifu kwa kufuatakanuni zifaazoakizingatia vivumishina vielezi kujengapicha dhahiri yaanachokielezeaInsha yawasifuinahusunini?aandike insha inayoelezasifa za mtu kama vilemzazi au mlezi, rafiki,mwalimu au kiongoziyeyote (kwa kutumiavivumishi na vielezi ilikujenga picha dhahiri yaanachokiandikia)daftarini kwa kuzingatiaanwani, mpangilio mzuriwa mawazo, hati safi,tahajia, kanuni zakisarufi, uakifishajimwafaka na kwa lugha yakiubunifu

3KuandikaKuandikaInsha:Insha yaWasifuKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuchangamkiautunzi mzuri wakuandika insha yawasifu ili kukuzaubunifu.Insha yawasifuinahusunini?ashiriki na wenzakekujadili mada ya insha namuundo wa insha yawasifuaandike insha ya wasifumtandaoni nakuisambaza kwa wenzakena mwalimu iliwaisome na kuitathminiawasomee wenzake inshaaliyoandika iliwaitathmini.4SarufiUmoja nawingi wanominokatika Ngeliya LI- YAKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua nominokatika ngeli ya LI-YANominozinazorejeleamatundani zipi?Mwanafunzi:atambue nomino katikangeli ya LI-YA kwenyekadi, mti maneno,tarakilishi au kapumanenoaandike nomino za ngeliya LI-YA katika umoja nawingi akiwa peke yake,wawili wawili au katikavikundiKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuandika nomino zangeli ya LI-YA katikaumoja na wingiNominozinazorejeleamatundani zipi?asikilize usomaji wanomino za ngeli ya LI-YAkatika umoja na wingikwenye tepurekoda aukinasasautiaandike mafungu yaUmoja nawingi wanominokatika Ngeliya LI- YA61SarufiUmoja nawingi wanominokatika Ngeliya LI- YA

kuandika umoja nawingi wa mafunguya maneno katikangeli ya LI-YAmaneno yenye nomino zangeli ya LI-YA katikaumoja na wingi2SarufiUmoja nawingi wanominokatika Ngeliya LI- YAKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuchangamkiakutumia nomino zangeli ya LI-YA katikamawasiliano.Nominozinazorejeleaviungovya mwilini zipi?ajaze mapengo kwakutumia viambishi vyaumoja na wingi wanomino katika ngeli ya LIYA kwa hati ya mkono aukwenye tarakilishi.3SarufiNgeli ya LIYAKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua sentensizilizoundwakutokana na nominoza ngeli ya LI-YAkatika umoja nawingiNinominogan zangeli yaLI- YAunazozijuaMwanafunzi:ataje nomino za ngeli yaLI-YA (k.v. jiwe- mawe,jiko-meko/majiko, yaimayai) katika umoja nawingi akishirikiana nawenzake katika vikundi4SarufiNgeli ya LIYAKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuunda sentensisahihi akitumianomino za ngeli yaLI-YA, katika umojana wingi akizingatiaNinominogan zangeli yaLI- YAunazozijuaasome sentensizilizoundwa kutokana nanomino za ngeli ya LI-YAkatika umoja na wingiakiwa peke yake aukatika vikundi kutokakitabuni, ubaoni,tarakilishi au mtandaoni

upatanisho wakisarufi71SarufiNgeli ya LIYAkufurahia matumiziya nomino za ngeliya LI-YA katikamawasiliano2SarufiNgeli ya KIVIKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua nominokatika ngeli ya KI-VIkutambua viambishivipatanishi vya ngelikwenye mafungu yamaneno3SarufiNgeli ya KIVIKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutumia nomino zaaunde sentensi akitumianomino za ngeli ya LI-YAkatika umoja na wingiakizingatia upatanishowa kisarufiNinominogan zangeli yaLI- YAunazozijuaNinominozipi zilizokatikangeli yaKI-VI?ashiriki katika mchezo wakuchopoa kadi zasentensi zenye nomino zangeli ya LI- YA kutokakwenye kikapu au boksinakisha kuzisomaMwanafunzi:atambue nomino katikangeli ya KI-VI (k.m. kitabu,kikombe, kisu, chakula,choo) kwenye kadi, mtimaneno, tarakilishi aukapu manenoatambue viambishi vyangeli ya KI-VI katikamafungu ya maneno kwakuvipigia mstari aukuvikoleza rangi katikatarakilishiNinominozipi zilizokatikaatumie nomino za ngeliya KI-VI katika sentensiakiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi

8ngeli ya KI-VI katikasentensingeli yaKI-VI?asikilize usomaji wasentensi zenye nominokatika ngeli ya KI-VIkutoka kwenyetepurekoda aukinasasautiaandike mafungu yamaneno yenye nomino zangeli ya KI-VI katikaumoja na wingiatunge sentensi kwakutumia nomino katikangeli ya KI-VI akiwa pekeyake au kwa kushirikianana wengineajaze mapengo kwakutumia viambishi vyangeli ya KI-VI kwa hati yamkono au kwenyetarakilishi.Mwanafunzi:atambue nahau zamaadili na uraia (k.v.fanya haki, omba kibali,omba ruhusa, piga hodina taka idhini) katikachati, michoro, picha,kapu maneno, mtimaneno, chati na katikavyombo vya kidijitali4SarufiNgeli ya KIVIKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kuchangamkiakutumia nomino zangeli ya KI-VI katikamawasiliano.Ninominozipi zilizokatikangeli yaKI-VI?1Kusikiliza naKuzungumzaNahau zamaadili nauraiaKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua nahau zamaadili na uraiakatika matinimbalimbalikutambua maana zanahau mbalimbali zamaadili na uraiaJe, ninahauzipizinazohusumaadili?

katika mazungumzo2Kusikiliza naKuzungumzaNahau zamaadili nauraiakutumia nahau zamaadili na uraiakatika mawasilianokuthamini matumiziya nahau za maadilina uraia katikamawasiliano.Je, ninahauzipizinazohusumaadili?ashiriki katika kujadili nawenzake maana za nahauza maadili na uraiakutumia nahau za maadilina uraia kutunga sentensiakiwa pekee au kwakushirikiana na wenzake3KusomaMatiniKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua matini yaaina mbalimbali yakusoma na kuchaguayanayomvutiaKwa niniunapendakusoma?Mwanafunzi:atambue matini (k.v.vitabu, majarida,magazeti) yanayomvutiamaktabani na mtandaoni4KusomaMatiniKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kusoma matinialiyochagua ilikufaidi ujumbe nalugha iliyotumiwakufurahia usomajiwa aina mbalimbaliza matiniNi niniasome matini aliyochaguakinachok ili kufaidi ujumbe naufanyalugha iliyotumiwauchaguekitabu aumakalayakusoma?

91KuandikaInsha yaMaelezoKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua insha yamaelezo katikamatinikuandika insha yamaelezo kwakufuata kanunizifaazokuchangamkiautunzi mzuri wainsha ya maelezo ilikukuza ubunifu.Je, ni vituganivinavyowezakuandikiwa inshayamaelezo?Mwanafunzi:atambue vifungu vyamaelezo vilivyoandikwakwenye matinimbalimbali au tarakilishiashiriki na wenzakekujadili mada na muundowa insha ya maelezoaandae vidokezovitakavyomwongozakuandika insha yakeaandike insha ya maelezoakizingatia mada lengwa(k.v. upanzi wa miti namimea, utunzaji wamimea, shamba lamatunda n.k.) hasaakizingatia vivumishi navielezi vifaavyo kutoapicha dhahiri kuhusuanachokielezeaaandike insha ya maelezoakizingatia anwani,mpangilio mzuri wamawazo, hati safi,tahajia, kanuni zakisarufi, uakifishajimwafaka na kwa lugha yakiubunifu

2SarufiSentensiKufikia mwisho wakatika Ngeli mada, mwanafunziya KI-VIaweze:kutambua sentensizilizoundwakutokana na nominoza ngeli ya KI-VIkatika umoja nawingi3SarufiSentensiKufikia mwisho wakatika Ngeli mada, mwanafunziya KI-VIaweze:kuunda sentensisahihi akitumianomino za ngeli yaKI-VI, katika umojana wingi akizingatiaupatanisho wakisarufikufurahia matumiziya nomino za ngeliya KI-VI katikamawasilianoNinominogani zangeli yaKI-Vunazozijua?Mwanafunzi:ataje nomino za ngeli yaKI-VI (k.v. kiatu - viatu,chakula - vyakula, kioo –vioo, choo-vyoo n.k.)katika umoja na wingiakishirikiana na wenzakekatika vikundiasome sentensizilizoundwa kutokana nanomino za ngeli ya KI-VIkatika umoja na wingiakiwa peke yake aukatika vikundi kutokakitabuni, ubaoni, kwenyetarakilishi au mtandaoniNiaunde sentensi sahihinominoakitumia nomino za ngeligani zaya KI-VI katika umoja nangeli yawingi akizingatiaKI-Vupatanisho wa kisarufiunazoziju ashiriki katika mchezo waa?kuchopoa kadi zasentensi zenye nomino zangeli ya KI- VI kutokakwenye kikapu au boksina kisha kuzisomaatumie tarakilishi kuundasentensi katika umoja nawingi akirejelea ngeli ya

KI-VI kisha azisambazekwa wenzake mtandaoniili wachangie kuziboresha104SarufiNominoKufikia mwisho wakatika Ngeli mada, mwanafunziya LI-LIaweze:kutambua nominokatika ngeli ya LI-LIkuandika nomino zangeli ya LI-LI katikaumoja na wingiNinominozipi zilizokatikangeli yaLI-LI?Mwanafunzi:atambue nomino katikangeli ya LI-LI (k.m. juajua, giza-giza, bombobombo, chaguo – chaguona huba-huba) kwenyekadi, mti maneno,tarakilishi au kapumanenoaandike nomino za ngeliya LI-LI katika umoja nawingi akiwa peke yake,wawili wawili au katikavikundi1SarufiNominoKufikia mwisho wakatika Ngeli mada, mwanafunziya LI-LIaweze:kuandika umoja nawingi wa mafunguya maneno katikangeli ya LI-LIkuchangamkiakutumia nomino zangeli ya LI-LI katikamawasiliano.Ninominozipi zilizokatikangeli yaLI-LI?asikilize usomaji wanomino za ngeli ya LI-LIkatika umoja na wingikwenye tepurekoda aukinasasautiaandike mafungu yamaneno yenye nomino zangeli ya LI-LI katika umojana wingiajaze mapengo kwakutumia viambishi vyaumoja na wingi wanomino katika ngeli ya LI-

LI kwa hati ya mkono aukwenye tarakilishi2SarufiUmoja naWingi waSentensi:Ngeli ya LILIKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kutambua sentensizilizoundwakutokana na nominoza ngeli ya LI-LIkatika umoja nawingikuunda sentensisahihi akitumianomino katika ngeliya LI-LI, katikaumoja na wingiakizingatiaupatanisho wakisarufi3SarufiUmoja naWingi waSentensi:Ngeli ya LILIKufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kufurahia matumiziya nomino za ngeliya LI-LI katikaNinominogani zangeli yaLI- LIunazozijua?Mwanafunzi:ataje nomino za ngeli yaLI-LI (k.v.jua-jua, gizagiza, bombo-bombo,chaguo– chaguo na huba-huba)katika umoja na wingiakishirikiana na wenzakekatika vikundiasome sentensizilizoundwa kutokana nanomino za ngeli ya LI-LIkatika umoja na wingiakiwa peke yake aukatika vikundi kutokakitabuni, ubaoni,tarakilishi au mtandaoniaunde sentensi sahihiakitumia nomino za ngeliya LI-LI katika umoja nawingi akizingatiaupatanisho wa kisarufiNiashiriki katika mchezo wanominokuchopoa kadi zagani zasentensi zenye nomino zangeli yangeli ya LI-LI kutokaLI- LIkwenye kikapu au boksiunazoziju na kisha kuzisoma

411Kusikiliza naKuzungumzaVisawe:Visawe vyamanenomawilimawasilianoa?Kufikia mwisho wamada, mwanafunziaweze:kueleza maana yakisawe ilikukibainishaUnajuamanenogani yaKiswahilyaliyo namaanasawa?atumie tarakilishi kuundasentensi katika umoja nawingi akirejelea ngeli yaLI-LI kisha azisambazekwa wenzake mtandaoniili wachangiekuziboresha.Mwanafunzi:aeleze maana ya nenokisawe akiwa peke yakeau kwa kujadiliana nawenzakeatambue visawe vyamaneno mawili vyakiwango chake (k.v.tembo – ndovu, kinyonga– lumbwi, adui-hasimu,siri- faragha, baba-abu,barua-waraka, ami- amu,televisheni-runinga) kwakurejelea kapu maneno,kadi za maneno na mtimanenoTATHMINI NA KUFUNGA SHULE

umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya LI-YA kwa hati ya mkono au kwenye tarakilishi. 3 Sarufi. Ngeli ya LI-YA Kufikia mwisho wa mada, mwanafunzi aweze: kutambua sentensi zilizoundwa kutokana na nomino za ngeli ya LI-YA katika umoja na wingi Ni nomino gan za ngeli ya LI- YA unazoziju a Mwanafunzi: ataje nomino za ngeli ya LI-YA (k.v. jiwe- mawe,

Related Documents:

Mwongo wa Mwalimu Uk. 68-69 e) Mijadala kuhusu vidokezo vya insha . Umoja. 4 Sarufi na Wingi wa Nomino: Kutambua a. nomino katika ngeli Ngeli ya U-ZI Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze: kutambua nomino katika ya U-ZI b. kuandika nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na Ukuta wingi c. Kuchangamkia kutumia ukucha nomino za ngeli ya .

Wahusika - jinsi mwandishi alivyo wasawili wahusika wake Usimulizi wa kazi za fasihi Wahusika ni binadamu wanaopatikana katika kazi ya kifasihi na ambao wanasifa za kimaadili, kitabia, kiitikadi na kifalsafa ambazo hutambulishwa na wanayoyasema (mazungumzo) na wanayoyatenda (matendo) (Wamitila, 2002).

wahusika wakuu wa kazi ya fasihi na wahusika wadogo. Wahusika hao ndio wanaoipamba kazi fasihi na kuifanya iweze kuakisi mambo ya yaliyomo katika jamii (Msokile, 1992). Kwa muktadha huo tabia za wahusika wa kazi ya fasihi ndio ambao husawiri matukio na mambo mbalimbali yanayofanywa katika jamii inayohusika.

Kuwaongoza wanafunzi ili waweze kuoanisha matokeo ya utafiti, Kutilia maanani tathmini ya kazi binafsi na kazi za makundi zilizofanyika darasani kwa kutumia mchakato na mbinu za tathmini zinazoegemea katika uwezo wa wanafunzi, Kuutumia mwongozo huu kutakusaidia katika kazi yako ya kufundisha kwani

Kuchambua nadharia ya mpango wa utayari wa kuanza shule. Kuandaa azimio la kazi la wiki nne (4) na andalio la somo lenye mwelekeo wa kumjengea mtoto umahiri tarajiwa. Kuweka mikakati ya ufundishaji wa wiki nne(4) kwa ufanisi. Kufanya upimaji na tathmini ya maendeleo ya watoto kwa kutumia mbinu zilizopendekezwa katika mwongozo.

At Your Name Name above All Names Your Name Namesake Blessed Be the Name I Will Change Your Name Hymns Something about That Name His Name Is Wonderful Precious Name He Knows My Name I Have Called You by Name Blessed Be the Name Glorify Thy Name All Hail the Power of Jesus’ Name Jesus Is the Sweetest Name I Know Take the Name of Jesus

**Name: Kazi Russell MMI-409 Exam 2 Note: Some questions specify that SPSS output be shown as part of the answer. SPSS output can be copied and pasted into a Word document using the COPY and the PASTE SPECIAL commands. In the Paste Sp

Sharma, O.P. (1986). Text book of Algae- TATA McGraw-Hill New Delhi. Mycology 1. Alexopolous CJ and Mims CW (1979) Introductory Mycology. Wiley Eastern Ltd, New Delhi. 2. Bessey EA (1971) Morphology and Taxonomy of Fungi. Vikas Publishing House Pvt Ltd, New Delhi. 3. Bold H.C. & others (1980) – Morphology of Plants & Fungi – Harper & Row Public, New York. 4. Burnet JH (1971) Fundamentals .